File size: 224,858 Bytes
47f7234
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66
67
68
69
70
71
72
73
74
75
76
77
78
79
80
81
82
83
84
85
86
87
88
89
90
91
92
93
94
95
96
97
98
99
100
101
102
103
104
105
106
107
108
109
110
111
112
113
114
115
116
117
118
119
120
121
122
123
124
125
126
127
128
129
130
131
132
133
134
135
136
137
138
139
140
141
142
143
144
145
146
147
148
149
150
151
152
153
154
155
156
157
158
159
160
161
162
163
164
165
166
167
168
169
170
171
172
173
174
175
176
177
178
179
180
181
182
183
184
185
186
187
188
189
190
191
192
193
194
195
196
197
198
199
200
201
202
203
204
205
206
207
208
209
210
211
212
213
214
215
216
217
218
219
220
221
222
223
224
225
226
227
228
229
230
231
232
233
234
235
236
237
238
239
240
241
242
243
244
245
246
247
248
249
250
251
252
253
254
255
256
257
258
259
260
261
262
263
264
265
266
267
268
269
270
271
272
273
274
275
276
277
278
279
280
281
282
283
284
285
286
287
288
289
290
291
292
293
294
295
296
297
298
299
300
301
302
303
304
305
306
307
308
309
310
311
312
313
314
315
316
317
318
319
320
321
322
323
324
325
326
327
328
329
330
331
332
333
334
335
336
337
338
339
340
341
342
343
344
345
346
347
348
349
350
351
352
353
354
355
356
357
358
359
360
361
362
363
364
365
366
367
368
369
370
371
372
373
374
375
376
377
378
379
380
381
382
383
384
385
386
387
388
389
390
391
392
393
394
395
396
397
398
399
400
401
402
403
404
405
406
407
408
409
410
411
412
413
414
415
416
417
418
419
420
421
422
423
424
425
426
427
428
429
430
431
432
433
434
435
436
437
438
439
440
441
442
443
444
445
446
447
448
449
450
451
452
453
454
455
456
457
458
459
460
461
462
463
464
465
466
467
468
469
470
471
472
473
474
475
476
477
478
479
480
481
482
483
484
485
486
487
488
489
490
491
492
493
494
495
496
497
498
499
500
501
502
503
504
505
506
507
508
509
510
511
512
513
514
515
516
517
518
519
520
521
522
523
524
525
526
527
528
529
530
531
532
533
534
535
536
537
538
539
540
541
542
543
544
545
546
547
548
549
550
551
552
553
554
555
556
557
558
559
560
561
562
563
564
565
566
567
568
569
570
571
572
573
574
575
576
577
578
579
580
581
582
583
584
585
586
587
588
589
590
591
592
593
594
595
596
597
598
599
600
601
602
603
604
605
606
607
608
609
610
611
612
613
614
615
616
617
618
619
620
621
622
623
624
625
626
627
628
629
630
631
632
633
634
635
636
637
638
639
640
641
642
643
644
645
646
647
648
649
650
651
652
653
654
655
656
657
658
659
660
661
662
663
664
665
666
667
668
669
670
671
672
673
674
675
676
677
678
679
680
681
682
683
684
685
686
687
688
689
690
691
692
693
694
695
696
697
698
699
700
701
702
703
704
705
706
707
708
709
710
711
712
713
714
715
716
717
718
719
720
721
722
723
724
725
726
727
728
729
730
731
732
733
734
735
736
737
738
739
740
741
742
743
744
745
746
747
748
749
750
751
752
753
754
755
756
757
758
759
760
761
762
763
764
765
766
767
768
769
770
771
772
773
774
775
776
777
778
779
780
781
782
783
784
785
786
787
788
789
790
791
792
793
794
795
796
797
798
799
800
801
802
803
804
805
806
807
808
809
810
811
812
813
814
815
816
817
818
819
820
821
822
823
824
825
826
827
828
829
830
831
832
833
834
835
836
837
838
839
840
841
842
843
844
845
846
847
848
849
850
851
852
853
854
855
856
857
858
859
860
861
862
863
864
865
866
867
868
869
870
871
872
873
874
875
876
877
878
879
880
881
882
883
884
885
886
887
888
889
890
891
892
893
894
895
896
897
898
899
900
901
902
903
904
905
906
907
908
909
910
911
912
913
914
915
916
917
918
919
920
921
922
923
924
925
926
927
928
929
930
931
932
933
934
935
936
937
938
939
940
941
942
943
944
945
946
947
948
949
950
951
952
953
954
955
956
957
958
959
960
961
962
963
964
965
966
967
968
969
970
971
972
973
974
975
976
977
978
979
980
981
982
983
984
985
986
987
988
989
990
991
992
993
994
995
996
997
998
999
1000
1001
1002
1003
1004
1005
1006
1007
1008
1009
1010
1011
1012
1013
1014
1015
1016
1017
1018
1019
1020
1021
1022
1023
1024
1025
1026
1027
1028
1029
1030
1031
1032
1033
1034
1035
1036
1037
1038
1039
1040
1041
1042
1043
1044
1045
1046
1047
1048
1049
1050
1051
1052
1053
1054
1055
1056
1057
1058
1059
1060
1061
1062
1063
1064
1065
1066
1067
1068
1069
1070
1071
1072
1073
1074
1075
1076
1077
1078
1079
1080
1081
1082
1083
1084
1085
1086
1087
1088
1089
1090
1091
1092
1093
1094
1095
1096
1097
1098
1099
1100
1101
1102
1103
1104
1105
1106
1107
1108
1109
1110
1111
1112
1113
1114
1115
1116
1117
1118
1119
1120
1121
1122
1123
1124
1125
1126
1127
1128
1129
1130
1131
1132
1133
1134
1135
1136
1137
1138
1139
1140
1141
1142
1143
1144
1145
1146
1147
1148
1149
1150
1151
1152
1153
1154
1155
1156
1157
1158
1159
1160
1161
1162
1163
1164
1165
1166
1167
1168
1169
1170
1171
1172
1173
1174
1175
1176
1177
1178
1179
1180
1181
1182
1183
1184
1185
1186
1187
1188
1189
1190
1191
1192
1193
1194
1195
1196
1197
1198
1199
1200
1201
1202
1203
1204
1205
1206
1207
1208
1209
1210
1211
1212
1213
1214
1215
1216
1217
1218
1219
1220
1221
1222
1223
1224
1225
1226
1227
1228
1229
1230
1231
1232
1233
1234
1235
1236
1237
1238
1239
1240
1241
1242
1243
1244
1245
1246
1247
1248
1249
1250
1251
1252
1253
1254
1255
1256
1257
1258
1259
1260
1261
1262
1263
1264
1265
1266
1267
1268
1269
1270
1271
1272
1273
1274
1275
1276
1277
1278
1279
1280
1281
1282
1283
1284
1285
1286
1287
1288
1289
1290
1291
1292
1293
1294
1295
1296
1297
1298
1299
1300
1301
1302
1303
1304
1305
1306
1307
1308
1309
1310
1311
1312
1313
1314
1315
1316
1317
1318
1319
1320
1321
1322
1323
1324
1325
1326
1327
1328
1329
1330
1331
1332
1333
1334
1335
1336
1337
1338
1339
1340
1341
1342
1343
1344
1345
1346
1347
1348
1349
1350
1351
1352
1353
1354
1355
1356
1357
1358
1359
1360
1361
1362
1363
1364
1365
1366
1367
1368
1369
1370
1371
1372
1373
1374
1375
1376
1377
1378
1379
1380
1381
1382
1383
1384
1385
1386
1387
1388
1389
1390
1391
1392
1393
1394
1395
1396
1397
1398
1399
1400
1401
1402
1403
1404
1405
1406
1407
1408
1409
1410
1411
1412
1413
1414
1415
1416
1417
1418
1419
1420
1421
1422
1423
1424
1425
1426
1427
1428
1429
1430
1431
1432
1433
1434
1435
1436
1437
1438
1439
1440
1441
1442
1443
1444
1445
1446
1447
1448
1449
1450
1451
1452
1453
1454
1455
1456
1457
1458
1459
1460
1461
1462
1463
1464
1465
1466
1467
1468
1469
1470
1471
1472
1473
1474
1475
1476
1477
1478
1479
1480
1481
1482
1483
1484
1485
1486
1487
1488
1489
1490
1491
1492
1493
1494
1495
audio,sentence,audio_len,transcript_len
200702-201811_swh_35d_elicit_0.wav,Robert Redfield mkurugenzi wa Vituo vya Kudhibiti na Kuzuia Maradhi CDC ameliambia gazeti la Washington Post Jumanne kuwa wimbi la maambukizi baadae mwaka huu wakati kipindi cha flu kikianza kinaweza kuwa kigumu zaidi na kufanya mfumo wa afya kuelemewa zaidi.,25.41,259
200702-201811_swh_35d_elicit_1.wav,Marekani na China ni kati ya nchi ambazo hivi sasa zinafanya majaribio ya chanjo za virusi vya corona wakati maafisa wakisema huenda tafiti hizi zikaendelea angalau hadi mapema mwaka ujao kabla ya chanjo hiyo kuwa tayari kutolewa kwa umma.,23.368125,239
200702-201811_swh_35d_elicit_2.wav,Maafisa wa afya Uingereza wamesema Chuo Kikuu cha Oxford kimepanga kuanza majaribio ya aina moja ya chanjo itakayotolewa kwa watu Alhamisi.,15.200625,139
200702-201811_swh_35d_elicit_3.wav,Katika hali ya kawaida kufikia hatua hii ingechukua mwaka mzima Waziri wa Afya Matt Hancock amewaambia waandishi.,11.7975,113
200702-201811_swh_35d_elicit_4.wav,Amekumbusha kuwa kutengeneza chanjo ni mchakato unafanywa kwa majaribio na kisha kurejea majaribio hayo tena.,12.9091875,109
200702-201811_swh_35d_elicit_5.wav,Mashirika ya ndege ya Kenya Airways na RwandaAir mapema leo yametangaza kusitisha safari zote za ndege kuelekea na kutoka China baada ya kirusi hicho kuenea kwenye karibu mataifa mengine 18.,19.239,190
200702-201811_swh_35d_elicit_6.wav,Kirusi corona kimesababisha vifo 213 nchini China na maambukizi kwenye mataifa mengine.,11.5933125,87
200702-201811_swh_35d_elicit_8.wav,Vyanzo vya habari vimesema Kenya Airways imesema kuwa bado iko kwenye mazungumzo na wizara ya afya na wizara ya mambo ya nje juu ya wakati muafaka wa kusitisha safari kwenda China.,17.015625,180
200702-201811_swh_35d_elicit_9.wav,Hata hivyo Kenya imesema safari za mji mkuu wa Thailand Bangkok zinaendelea kama kawaida.,8.80275,89
200702-201811_swh_35d_elicit_10.wav,Marekani imeonya raia wake kutosafiri hadi China wakati idadi ya vifo kutokana na virusi vya corona huku Shirika la Afya Duniani WHO Alhamisi likitangaza mlipuko huo kuwa dharura ya kiafya inayohitaji hatua za kimataifa.,21.4396875,220
200702-201811_swh_35d_elicit_11.wav,Shirika hilo limesema wasi wasi mkubwa ni kutokana na maambukizi kutoka binadamu mmoja hadi mwingine wakati serikali ya China ikisema kuwa idadi ya kesi za maambukizi zilizodhibitishwa nchini humo imefikia 9 600.,23.9366875,212
200702-201811_swh_35d_elicit_12.wav,Mkuu wa WHO Tedros Adhanom Ghebreyesus amepongeza China kutokana na hatua ilizochukua akiongeza kuwa shirika lake halijapendekeza hatua dhidi ya usafiri au biashara na China.,17.923125,174
200702-201811_swh_35d_elicit_13.wav,Tedros Adhanom amesema Natangaza dharura ya kimataifa kutokana na mlipuko wa virusi vya corona.,9.7783125,95
200702-201811_swh_35d_elicit_14.wav,Sababu kubwa ya tangazo hili siyo mambo yanayoendelea China bali ni maambukizi yaliotangazwa kwenye mataifa mengine.,11.616,116
200702-201811_swh_35d_elicit_15.wav,Wasi wasi mkubwa ulioko ni kuenea kwa kurusi hicho kwenye mataifa yasiyo na uwezo mkubwa wa kudhibiti hali au ambayo hayapo tayari kukabiliana na janga hilo.,14.883,157
200702-201811_swh_35d_elicit_17.wav,Imetayarishwa na mwandishi wetu Washington DC.,5.3315625,46
200702-201811_swh_35d_elicit_18.wav,Watumishi kutoka katika kamati tatu za baraza la wawakilishi wanaofuatilia suala la kutaka kumfungulia mashitaka Rais Donald Trump kutokana na mazungumzo yake na rais wa Ukraine wanatarajia kufanya kikao cha faragha Alhamisi na balozi wa Marekani nchini Ukraine aliyejiuzulu hivi karibuni Kurt Volker.,26.04525,301
200702-201811_swh_35d_elicit_19.wav,Maswali yao yanatarajiwa zaidi kulenga juu ya mazumgumzo ya simu ya mwezi Julai kati ya Trump na rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy.,12.06975,133
200702-201811_swh_35d_elicit_20.wav,Pia wataangaza hatua alizochukuwa Volker baada ya simu hiyo na shughuli za wakili binafsi wa Trump Rudy Giuliani kuhusiana na madai kwamba Trump alimwekea shinikizo Zelenskiy kumchunguza makamu rais wa zamani Joe Biden.,21.054,219
200702-201811_swh_35d_elicit_21.wav,Shutuma hizo zilikuja baada ya mtoa taarifa wa siri kutoa malalamiko wiki iliyopita ambayo alisema kwa mujibu wa maafisa wa White House kwamba Trump pia alimwekea shinikizo Zelenskiy kukutana au kuzungumza na watu ambao aliwataja kama wawakilishi wake binafsi juu ya masuala haya ambao ni Rudy Giuliani na mwanasheria mkuu wa Marekani William Barr.,32.443125,348
200702-201811_swh_35d_elicit_22.wav,Imetayarishwa na mwandishi wetu Washington DC.,4.6963125,46
200702-201811_swh_35d_elicit_23.wav,Vikosi vya usalama nchini Burundi vimewaua watu 14 wenye silaha waliokuwa wamevuka mpaka ikidaiwa walikuja nchini humo kufanya mashambulizi.,14.4973125,140
200702-201811_swh_35d_elicit_24.wav,Polisi na walioshuhudia tukio hilo wametoa madai kuwa watu hao waliouawa walikuwa na nia ya kufanya mashambulizi katika jimbo la kaskazini magharibi la Bubanza.,15.51825,160
200702-201811_swh_35d_elicit_25.wav,Watu hao kutoka nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC waliingia jimboni humo Jumanne alfajiri na waliuawa katika wilaya ya Musigat msemaji wa polisi Moise Nkurunziza alisema katika radio ya serikali ya nchi hiyo RTNB.,24.23025,231
200702-201811_swh_35d_elicit_26.wav,Kundi hilo lilikuwa na nia ya kurudia mauaji ya Ruhagarika akiwa na maana shambulizi lililofanywa mwaka 2018 ambalo liliuwa watu wapatao 26.,18.5810625,140
200702-201811_swh_35d_elicit_27.wav,Shambulizi hilo lilitokea siku chache kabla ya kura ya maoni ya katiba ambayo ilibadilishwa na kufungua njia kwa Rais Pierre Nkrunzinza kusalia madarakani mpaka mwaka 2034.,17.4466875,172
200702-201811_swh_35d_elicit_28.wav,Hata hivyo nkurunziza amesema hatawania urais katika uchaguzi wa mwakani.,6.6020625,73
200702-201811_swh_35d_elicit_29.wav,Ripoti kuhusu idadi ya vifo vinavyotokana na Ebola huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC inaeleza kwamba tangu mwezi Agosti mwaka 2018 zaidi ya watu 1 200 wameshakufa na wengine kadhaa wameambukizwa virusi vya ugonjwa huo Umoja wa Mataifa sasa ndio utasimamia harakati za kupambana na ugojwa wa Ebola huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo DRC ili kuhakikisha unatokomeza kabisa ugonjwa huo ambao hadi sasa umeshawaua watu wengi na huku kukiwa na hatari ya kusambaa katika nchi jirani.,48.8915625,515
200702-201811_swh_35d_elicit_30.wav,Hatua hiyo ya kuiomba Umoja wa Mataifa usimamie juhudi za kupambana na ugonjwa wa Ebola zimechukuliwa huko Geneva kufuatia ongezeko la vifo vya kila mara vya Ebola katika eneo la Kivu kaskazini pamoja na Ituri huko mashariki mwa DRC kwenye mji wa Butembo mahala ambako kumeshuhudiwa vifo na maambukizi mengi kwa wakazi wa huko.,29.357625,327
200702-201811_swh_35d_elicit_31.wav,Akizungumza na mwandishi wa VOA mbunge wa Beni Kizerbo Kasereka alieleza kwamba alipokea kwa furaha taarifa za Umoja wa Mataifa kuingilia kati kusimamia utokomezaji wa ugonjwa wa Ebola katika eneo lao.,20.60025,201
200702-201811_swh_35d_elicit_32.wav,No media source currently available Maandamano katika maeneo ya biashara mjini Hong Kong yamefanyika tena Ijumaa siku moja baada ya Chama tawala cha Watu wa China CPC kupitisha sheria ya usalama wa taifa kutumika Hong Kong.,19.3524375,223
200702-201811_swh_35d_elicit_33.wav,Waandamanaji walikusanyika wakati wa chakula cha mchana katika kituo cha biashara klichopo katika eneo lenye harakati katikati ya wilaya ya kibiashara.,16.561875,151
200702-201811_swh_35d_elicit_35.wav,Hakuna uhuru wa kujieleza kukusanyika na elimu.,5.944125,47
200702-201811_swh_35d_elicit_36.wav,Wanajaribu kukandamiza uhuru huo kwa kadiri wanavyoweza.,5.9668125,56
200702-201811_swh_35d_elicit_37.wav,Waandamanaji wakiheshimu amri ya kutokaribiana kuepusha maambukizi ya virusi vya corona walikuwa wamebeba mabango yaliyoandikwa Iwacheni Huru Hong Kong Mapinduzi hivi sasa.,17.6055,172
200702-201811_swh_35d_elicit_38.wav,Mabango mengine yaliyotundikwa katika roshani kwenye magorofa ziliandikwa Ikomboeni Hong Kong Mapinduzi ya Nyakati Zetu na Uhuru wa Hong Kong kile hasa ambacho waandamanaji wanapigania na nini Beijing wanajaribu kukandamiza.,21.3035625,224
200702-201811_swh_35d_elicit_39.wav,Wakati huo huo Polisi walikuwa wamesimama pembeni nje ya kituo cha biashara lakini hawakuonekana kutaka kuingilia kati.,12.478125,119
200702-201811_swh_35d_elicit_40.wav,Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo na Spika wa Baraza la Wawakilishi Nancy Pelosi wamepinga sheria mpya ya usalama ya China inayoshinikizwa Hong Kong.,15.1779375,162
200702-201811_swh_35d_elicit_41.wav,Kauli nzito za kulaani sheria hiyo imetolewa Ijumaa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Heiko Maas aliyesema Umoja wa Ulaya EU unakubaliana kuwa Hong Kong kiwango chake cha juu cha uhuru wake haiwezekani kuachiwa kukandamizwa.,21.9388125,229
200702-201811_swh_35d_elicit_42.wav,Tunatarajia kuwa uhuru na haki za raia zitaheshimiwa na kwa kanuni za nchi mmoja mifumo miwili Maas amesema.,11.0034375,108
200702-201811_swh_35d_elicit_43.wav,Kenya na Tanzania zinaendelea kutatua mivutano yao ya muda mrefu ya kibiashara ambayo imesababisha kuzorota kuingia kwa bidhaa zao katika maeneo ya pamoja ya mpakani.,16.743375,166
200702-201811_swh_35d_elicit_44.wav,Maafisa wa biashara kutoka nchi hizo mbili walifanya mazungumzo ya pande mbili Arusha mwezi Aprili kujaribu kutatua masuala kadhaa yenye utata ya kibiashara ikiwemo kanuni za asili zilizoko kwa ajili ya baadhi ya bidhaa na utilianaji mashaka wa ubora wa bidhaa ambazo zinauzwa katika mipaka ya pande zote mbili.,28.540875,311
200702-201811_swh_35d_elicit_46.wav,Mpaka sasa maafisa wa biashara wamefanya mikutano mitano ya pamoja baina ya nchi hizo mbili tangu 2017.,9.211125,103
200702-201811_swh_35d_elicit_47.wav,Mkutano hiyo inafuatia maelekezo yaliyotolewa na Wakuu wa Nchi mwezi Machi yakiwataka mawaziri wa biashara na wa masuala ya Afrika Mashariki kutoka Kenya na Tanzania kutatua vikwazo ambavyo havihusiani na ushuru ambavyo vinaathiri biashara kati ya nchi hizo mbili.,23.2093125,264
200702-201811_swh_35d_elicit_48.wav,Timu zetu za biashara zimekuwa zikikutana kwa sababu tunataka kutatua masuala haya kwa utaratibu mzuri amesema Waziri wa Masuala ya Afrika Mashariki Adan Mohamed.,14.7709375,162
200702-201811_swh_35d_elicit_49.wav,Mahakama Kuu nchini Kenya Ijumaa imeendeleza marufuku dhidi ya ushoga na hili linafanya adhabu ya kifungo cha miaka 14 jela kwa wale wenye mahusiano ya jinsia mmoja kuendelea kutumika katika taifa hilo la Afrika Mashariki.,18.7185625,222
200702-201811_swh_35d_elicit_50.wav,Mahusiano ya jinsia moja ni kosa la jinai katika nchi zaidi ya 70 duniani na karibuni nusu ya hizo ziko Afrika.,11.0034375,111
200702-201811_swh_35d_elicit_51.wav,Afrika Kusini ni nchi pekee ya Kiafrrika iliyoruhusu ndoa ya jinsia moja.,7.3734375,73
200702-201811_swh_35d_elicit_52.wav,Sisi tunalikataa ombi lao na kutupilia mbali rufaa hii Jaji Roselyn Aburili aliiambia mahakama iliyokuwa imefurika watu katika mji mkuu wa Kenya Nairobi akieleza maoni ya majaji watatu wa jopo lake bila ya kutaja majina yao.,22.1656875,224
200702-201811_swh_35d_elicit_53.wav,Tumegundua kuwa vipengere vilivyokuwa vinahojiwa haviko kinyume cha katiba hivyo basi rufaa hii ya pamoja iliyoletwa haina ukweli.,14.2250625,130
200702-201811_swh_35d_elicit_54.wav,Shirika la habari la Reuters limeripoti kesi hiyo na kueleza kuwa wanaharakati waliokata rufaa kwa ajili ya kuhalalisha ndoa ya jinsia moja wanadai kuwa sheria hiyo inavunja katiba ya Kenya ya 2010 iliyokuwa imeboreshwa kwa kutoa haki sawa heshima kwa wote na faragha ya kila raia.,24.8428125,281
200702-201811_swh_35d_elicit_55.wav,Tutakata rufaa.,4.08375,15
200702-201811_swh_35d_elicit_57.wav,Majaji hao walioanza kusikiliza kesi mwaka 2018 walitupilia mbali madai hayo wakisema katazo la mahusiano ya jinsia moja linakwenda sambamba kwa upana zaidi na maadili ya utamaduni wa Kenya ulioelezwa kwa muhtasari katika katiba yake.,22.1203125,234
200702-201811_swh_35d_elicit_58.wav,Mwanariadha mashuhuri na mshindi wa mbio za Olympiki duniani Eliud Kipchoge ameshinda tena mbio za London Marathon 2019 kwa mara ya nne mfululizo.,14.202375,146
200702-201811_swh_35d_elicit_59.wav,Kipchoge raia wa Kenya 34 ambaye alifanikiwa kuvunja rekodi ya dunia ya mbio hizo mjini Berlin 2018 alikamilisha mbio za Jumapili kwa muda wa saa mbili dakika mbili na sekunde thelathini na nane 2 02 38.,20.6229375,203
200702-201811_swh_35d_elicit_60.wav,zilizofanyika katika mji mkuu wa Uingereza.,3.267,43
200702-201811_swh_35d_elicit_61.wav,Vyanzo vya habari vimeeleza kuwa Kipchoge aliwabwaga wanariadha Mosinet Geremew na Mule Wasihun raia wa Ethiopia ambao waliweza kumaliza mbio hizo katika nafasi ya pili na ya tatu.,15.382125,180
200702-201811_swh_35d_elicit_62.wav,Hata hivyo Kipchoge ambaye alishinda mwaka 2015 2016 and 2018 mbio hizo za Marathon hakuweza kuipiku rekodi yake ya Dunia ya sekunde 59 ambayo ilikuwa 2 01 39 aliyokuwa ameiweka katika shindano la mwaka uliopita.,20.191875,212
200702-201811_swh_35d_elicit_63.wav,Kwa mujibu wa shirika la habari la Uingereza BBC Mo Farah raia wa Uingereza alichukuwa nafasi ya tano baada ya kumaliza dakika 3 na sekunde moja nyuma ya Kipchoge huku Callum Hawkins kutoka Uingereza akimaliza katika nafasi ya 10.,20.282625,230
200702-201811_swh_35d_elicit_64.wav,Pia imesema kuwa Brigid Kosgei 25 raia wa Kenya alishinda mbio hizo upande wa wanawake na kuwa mwanamke wa kwanza wa umri mdogo kushinda London marathon.,13.5444375,153
200702-201811_swh_35d_elicit_65.wav,Mwengine ni Kosgei aliyeweza kumshinda bingwa mtetezi Vivian Cheruiyot kwa kutumia mda wa saa 2 18 20 kushinda mbio hizo kwa mara ya kwanza.,12.5235,140
200702-201811_swh_35d_elicit_66.wav,Imeongeza kuwa Mkenya Vivian Cheruiyot alichukua nafasi ya pili huku Roza Dereje wa Ethiopia akimaliza wa tatu.,10.07325,111
200702-201811_swh_35d_elicit_67.wav,Muingereza Charlotte Purdue alimaliza nafasi ya 10.,5.3769375,51
200702-201811_swh_35d_elicit_68.wav,Guterres akiwa nchini Ethiopia alisema Afrika inakuwa mfano kwamba inawezekana kutatua na kuzuia mizozo na ninamatumaini upepo huu unaweza kuendelezwa kwenye maeneo mengine ya dunia.,17.2198125,182
200702-201811_swh_35d_elicit_69.wav,Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres alisema Jumamosi kwamba chaguzi zilizofanyika kwa amani na maridhiano huko Afrika zilikuwa ishara za upepo wa matumaini kwenye bara hilo.,15.926625,186
200702-201811_swh_35d_elicit_70.wav,Guterres alikuwa anazungumza pembeni ya mkutano wa Umoja wa Afrika katika mji mkuu wa Ethiopia Addis Ababa mahala ambako wakuu wa nchi kutoka mataifa wanachama 55 watakutana kuanzia Jumapili.,19.14825,191
200702-201811_swh_35d_elicit_71.wav,Huu ni wakati ambapo upepo wa matumaini unavuma kote Afrika.,5.762625,60
200702-201811_swh_35d_elicit_72.wav,Tumeshuhudia maridhiano kati ya Ethiopia na Eritrea tumeshuhudia mikataba ya amani huko Sudan Kusini na Jamhuri ya Afrika ya kati CAR alisema Guterres.,13.3175625,151
200702-201811_swh_35d_elicit_73.wav,Mwaka jana Ethiopia na Eritrea walimaliza vita baridi vilivyodumu miongo miwili wakati Sudan Kusini inajaribu kutekeleza makubaliano ya karibuni ya amani yaliyosubiriwa kwa muda mrefu ili kumaliza mgogoro wa miaka mitano ya umwagaji damu.,21.68925,238
200702-201811_swh_35d_elicit_74.wav,Jamhuri ya Afrika ya kati CAR wiki hii ilifikia makubaliano ya amani kati ya serikali na makundi 14 ya wanamgambo ikiongeza matumaini ya kumaliza matatizo ambayo yameikabili nchi hiyo tangu mwaka 2012 na kuzusha mzozo ambao umesababisha vifo vya maelfu ya watu na zaidi ya watu milioni moja kukoseshwa makazi.,29.3803125,309
200702-201811_swh_35d_elicit_75.wav,Matukio haya yote yamefanikiwa kupitia juhudi za pamoja za Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika kuhakikisha mizozo ya bunduki itasitishwa kutoka mwaka 2020 na kuendelea kwenye bara la Afrika alisema Guterres.,18.195375,207
200702-201811_swh_35d_elicit_76.wav,Aliendelea kusema ninaamini Afrika inakuwa mfano kwamba inawezekana kutatua mizozo na kuzuia mizozo na ninamatumaini upepo huu unaweza kuendelezwa kwenye maeneo mengine ya dunia.,15.7678125,178
200702-201811_swh_35d_elicit_77.wav,Mpango utabadilisha malengo ya namna wahamiaji watakavyopatiwa vibali halali ikitoa kipaumbele kwa wenya ujuzi wa juu na watu wasomi wenye ajira au matarajio ya uwekezaji badala ya mahusiano ya kifamilia kwa raia wa Marekani au mahitaji ya kibinadamu Rais wa Marekani Donald Trump anapanga kutangaza Alhamis pendekezo lake lililosubiriwa kwa muda mrefu la uhamiaji mpango ambao unalengo la kuondoa utaratibu wa wahamiaji kuidhinishwa kutoka mahusiano ya kifamilia na mahitaji ya kibinadamu.,46.600125,490
200702-201811_swh_35d_elicit_78.wav,Katika mazungumzo na waandishi wa habari ofisa mwandamizi wa utawala alieleza kwamba mpango huo utaimarisha usalama wa mpaka na kuunda mfumo utakaozingatia sifa za mtu akisisitiza kwamba ni suala la ushindani wa uwezo wa mtu.,21.3943125,225
200702-201811_swh_35d_elicit_80.wav,1 kila mwaka lakini itabadilisha malengo ya namna wahamiaji watakavyopatiwa ikitoa kipaumbele kwa wenya ujuzi wa juu na watu wasomi wenye ajira au matarajio ya uwekezaji badala ya mahusiano ya kifamilia kwa raia wa Marekani au mahitaji ya kibinadamu.,22.0749375,250
200702-201811_swh_35d_elicit_81.wav,Hivi sasa asilimia 12 ya wahamiaji wanapewa ruhusa ya kuja Marekani kulingana na ujuzi wao na asilimia 66 kwa sababu ya uhusiano wao na familia ambazo tayari zipo Marekani kihalali.,17.6055,181
200702-201811_swh_35d_elicit_82.wav,Chini ya mpango huo asilimia 57 ya visa za wahamiaji zitatolewa kwa watu wenye ujuzi au zinatolewa kwenye ajira na asilimia 33 pekee ya watu wenye uhusiano wa kifamilia.,18.0819375,169
200702-201811_swh_35d_elicit_83.wav,Visa zinazotolewa kulingana na mahitaji ya kibinadamu zitapunguzwa kutoka asilimia 22 hadi asilimia 10.,12.705,103
200702-201811_swh_35d_elicit_84.wav,Maelfu ya wafungwa wa Cameroon wameachiwa huru kama ilivyoamriwa na Rais wa nchi hiyo Paul Biya baada ya serikali yake kuripoti kwamba janga la virusi vya corona lilikuwa linaenea kwa kasi na wafungwa walikuwa miongoni mwa vikundi vilivyoambukizwa kwa kiwango cha juu.,24.547875,268
200702-201811_swh_35d_elicit_85.wav,Serikali haijatoa idadi ya wafungwa walioambukizwa lakini inasema zaidi ya watu 1 500 wamekutwa na virusi vya COVID 19 nchini humo chini ya miezi miwili na vifo zaidi ya 50.,18.1726875,173
200702-201811_swh_35d_elicit_86.wav,Gereza kuu la Bamenda lina wafungwa 403 waliotangazwa rasmi.,9.8236875,60
200702-201811_swh_35d_elicit_87.wav,Cameroon ina magereza 78 yaliyokuwa yamejaa sana na wafungwa 30 000 katika vituo vya mahabusu ambavyo vilijengwa ili kuwahifadhi wafungwa wapatao 9 000 tu.,18.96675,155
200702-201811_swh_35d_elicit_88.wav,Kati ya watu 1 400 waliopata uhuru wao kutoka kwenye magereza ya Bamenda Bafoussam Bertoua na Buea ni Emmanuel Ngomba anayesema alikamatwa miaka miwili iliyopita akiwa na miaka 16 na kushikiliwa katika Gereza Kuu la Buea.,23.958,221
200702-201811_swh_35d_elicit_89.wav,Nilitoka nyumbani jioni moja kwenda kuonana na rafiki.,6.3525,54
200702-201811_swh_35d_elicit_90.wav,Alisema kwamba tunataka kwenda kuchukua vitu kutoka kwa duka la mjomba wake.,8.5531875,76
200702-201811_swh_35d_elicit_91.wav,Tulikwenda huko tukachukua chupa za gesi na mafuta ya injini.,8.212875,61
200702-201811_swh_35d_elicit_92.wav,Polisi walinikamata.,3.267,20
200702-201811_swh_35d_elicit_93.wav,Gereza sio mahali pazuri alisema.,3.8795625,33
200702-201811_swh_35d_elicit_94.wav,Ngumba ambaye alizungumza kupitia App moja ya kutuma ujumbe alisema alinyimwa haki zake kwa sababu anatuhumiwa kwa wizi na alifungwa gerezani kwa miaka miwili bila kufungulia mashtaka.,17.6735625,184
200702-201811_swh_35d_elicit_95.wav,Pierre Tchamba mwenye umri wa miaka hamsini na mbili pia alipata uhuru baada ya zaidi ya miaka 24 katika gereza la Bertoua ambapo alihukumiwa kifungo cha maisha kwa kuua bila kukusudia na wizi wa kutumia nguvu.,19.1709375,210
200702-201811_swh_35d_elicit_96.wav,Tchamba anasema baada ya miaka 24 na miezi minne ya kuwekwa kizuizini katika hali ya kinyama hatimaye amepata uhuru wake wa shukran kwa COVID 19 ambayo imekuwa ikienea nchini Cameroon na kuwaambukiza wafungwa.,20.1465,209
200702-201811_swh_35d_elicit_97.wav,Mkutano wa dharura uliosimamiwa na Waziri Mkuu wa Cameroon Joseph Dion Ngute wiki iliyopita ulitangaza kwamba COVID 19 ilikuwa tishio katika magereza ya Cameroon lakini haukusema ni wafungwa wangapi walikuwa wameambukizwa au kufa kutokana na janga hilo.,22.143,253
200702-201811_swh_35d_elicit_98.wav,Mnamo Aprili 15 Rais Biya aliamuru kuachiliwa kwa maelfu ya wafungwa kutokana na wasiwasi juu ya msongamano unavyoeneza korona.,15.6770625,127
200702-201811_swh_35d_elicit_99.wav,Chini ya uamuzi wa rais vifungo vya maisha vilipunguzwa kwa miaka 25 na wale ambao vifungo vya maisha vilipunguzwa hadi miaka 25 waliondolewa miaka mitano kwenye hukumu zao.,17.4920625,173
200702-201811_swh_35d_elicit_101.wav,Wademokrats wamepinga madai ya mafanikio ya kiuchumi na huduma za afya aliyotaja rais Donald Trump wakati akitoa hotuba yake ya kila mwaka juu ya hali ya Taifa mbele ya mabaraza mawili ya bunge jana usiku.,20.827125,205
200702-201811_swh_35d_elicit_102.wav,Rais Trump alitoa hotuba yake bila ya kutaja mashtaka dhidi yake katika Baraza la Seneti ambalo Jumatano linatarajiwa kupiga kura ya kufutilia mbali mashtaka hayo.,16.0400625,163
200702-201811_swh_35d_elicit_103.wav,Katika hotuba yake Trump alizingatia zaidi masuala ya ndani ya nchi akilenga kutoa wito kwa wapiga kura kabla ya uchaguzi mkuu baadae mwaka huu.,15.7905,144
200702-201811_swh_35d_elicit_104.wav,Rais Trump alianza hotuba yake juu ya hali ya taifa katika mwaka wa uchaguzi 2020 kwa kukumbushia ahadi zake za kampeni alizotoa 2016.,16.2669375,134
200702-201811_swh_35d_elicit_105.wav,Marekani kwanza Rais Trump alisema Miaka mitatu iliyopita tulianzisha kampeni ya kuifanya Marekani kuwa taifa kuu tena.,12.0470625,119
200702-201811_swh_35d_elicit_106.wav,Hii leo ninasimama mbele yenu kuwaelezeni mafanikio makubwa tuliyoyapata.,8.4170625,73
200702-201811_swh_35d_elicit_107.wav,Rais alionesha wazi mvutano uliyopo kati yake na Spika wa Baraza la Wawakilishi Nancy Pelosi kwa kutosalimiana naye alipowasili katika ukumbi wa Bunge kabla ya kuanza hotuba yake.,16.6299375,179
200702-201811_swh_35d_elicit_108.wav,Alieleza kuwa hakuna shaka serikali yake imepata mafanikio ya kiuchumi ambayo alisema wademokrat wanapinga.,12.2739375,107
200702-201811_swh_35d_elicit_109.wav,Gavana wa Jimbo la Michigan Gretchen Whitmer alijibu hotuba ya Rais akikana madaia ya rais kwamba mpango wa Wademokrat wakupanua mpango wa huduma za afya kugharimiwa na serikali ni mapinduzi ya kisoshalisti.,21.2128125,207
200702-201811_swh_35d_elicit_110.wav,Gretchen Whitmer Gavana wa Jimbo la Michigan Whitmer alisema kila Mdemokrati anaegombania kiti cha rais ana mpango wa kupanua huduma ya afya kwa Wamarekani wote.,15.926625,161
200702-201811_swh_35d_elicit_111.wav,Kila mtu ameunga mkono huduma ya afya ya Obama Care kuwahudumia watu wote.,9.4606875,74
200702-201811_swh_35d_elicit_112.wav,Huenda mipango yao inatafautiana lakini lengo ni sawa.,6.62475,54
200702-201811_swh_35d_elicit_113.wav,Lakini Rais Trump kwa bahati mbaya ana mpango tofauti anaomba mahakama kufutilia mbali huduma muhimu za kuokoa maisha amesema.,12.841125,126
200702-201811_swh_35d_elicit_115.wav,Hata hivyo alizungumzia pia ushirikiano wake na China na mikataba ya biashara na mafanikio yake ya kigeni iIkiwa ni pamoja na kumualika mgeni maalum Rais wa Venezuela anaetambuliwa na Marekani Juan Guaido.,18.60375,205
200702-201811_swh_35d_elicit_116.wav,Rais ameeleza kuwa Wamarekani wameungana na wavenezuela katika vita vya kupata uhuru wao.,10.3228125,89
200702-201811_swh_35d_elicit_117.wav,Trump aliwahakikishia pia Wamarekani kwamba serikali inashughulikia mlipuko wa virusi vya Corona.,11.0034375,97
200702-201811_swh_35d_elicit_118.wav,Ushirikiano na China Trump amesema Tunashirikiana na serikali ya China na kufanya kazi kwa karibu pamoja kukabiliana na mlipuko wa virusi vya Corona huko China.,13.3175625,160
200702-201811_swh_35d_elicit_119.wav,Utawala wangu utachukua hatua zote muhimu kuhakikisha usalama wa raia wetu kutokana na kitisho hicho.,10.300125,101
200702-201811_swh_35d_elicit_120.wav,Lakini wachambuzi wanasema rais hakuzungumzia sana juu ya ushirikiano wa kisiasa pamoja na wademokrats.,11.4118125,103
200702-201811_swh_35d_elicit_121.wav,Na mchambuzi wa kisiasa wa chuo kikuu cha American Bill Sweeney anasema kutotaja kesi dhidi yake haimanishi kwamba hajakasirishwa na hali hiyo na mvutano uliyopo.,16.5845625,162
200702-201811_swh_35d_elicit_122.wav,Ni wazi kabisa ulipokuwa anatizama wabunge hukuwaona wademokrats wakimpigia makofi kuhusu masuala yanayohusiana na umoja wa taifa.,15.200625,130
200702-201811_swh_35d_elicit_123.wav,Wakati huo huo hujamsikia akipendekeza kufanya kazi kwa pamoja pia jambo ambalo ni kawaida kusisitiza katika hotuba yake juu ya hali ya taifa.,13.0466875,142
200702-201811_swh_35d_elicit_124.wav,Trump na Pelosi hawajazungumza tangu mwezi Oktoba na ugomvi wao ulijidhihirisha wazi hapo jana.,10.300125,95
200702-201811_swh_35d_elicit_125.wav,Imetayarishwa na mwandishi wetu Abdushakur Aboud Washington DC.,8.666625,63
200702-201811_swh_35d_elicit_126.wav,Ilhan Omar anabadilisha sura nzima ya Bunge la Marekani.,6.488625,56
200702-201811_swh_35d_elicit_127.wav,Omar moja wa wawakilishi wawili ambao watakuwa ni Waislam wa kwanza wanawake kutumikia Bunge la Marekani Congress wanavaa hijabu.,14.5880625,129
200702-201811_swh_35d_elicit_128.wav,Lakini chaguo lake la hijab kiutaratibu linazuiwa chini ya kanuni za Baraza la Wawakilishi wa Marekani.,10.572375,103
200702-201811_swh_35d_elicit_129.wav,Bunge la Congress la 116 litakuwa ni lenye mchanganyiko kupita yote yaliyopita.,9.4153125,79
200702-201811_swh_35d_elicit_130.wav,Wakati Wademokrat wakiwa ni walio wengi katika bunge hilo wiki hii watakuwa wanabadilisha sheria hizo kulingana na hali halisi.,11.8201875,127
200702-201811_swh_35d_elicit_131.wav,Kanuni ambayo ingemzuia Omar kuvaa hijab iliandaliwa miaka 181 iliyopita wakati Bunge la Marekani Congress ilikuwa ni pahali tofauti.,17.2425,133
200702-201811_swh_35d_elicit_132.wav,Wanawake na makundi madogo hayakupata fursa kutumikia kama wawakilishi siku za nyuma.,9.3245625,85
200702-201811_swh_35d_elicit_133.wav,Wakati wabunge wakiamua kila mwakilishi lazima awe hajajifunika wakati mkutano wa bunge ukifanyika walikuwa wanakusudia utamaduni wa wanaume katika karne ya 19 wa kuvaa kofia.,19.69275,175
200702-201811_swh_35d_elicit_134.wav,Kanuni hii ilikuwa haijawekwa kwa ajili ya kuyabagua makundi madogo ya kidini.,9.34725,78
200702-201811_swh_35d_elicit_136.wav,Baadhi ya wawakilishi walikuwa wanadai kuwa kuvaa kofia ilikuwa inakumbusha utamaduni muhimu wa Bunge la Uingereza uliokuwa ni ishara ya uhuru kutoka utawala wa kifalme.,15.4048125,169
200702-201811_swh_35d_elicit_138.wav,Lakini kisheria na kusisitiza kwake juu ya heshima ya utamaduni huo lilikuwepo tangu zama hizo.,13.2495,95
200702-201811_swh_35d_elicit_139.wav,Kofia ni moja tu ya vitu vingine vingi vilivyo katazwa ndani ya Bunge.,9.8236875,70
200702-201811_swh_35d_elicit_140.wav,Sigara chakula na simu haziruhusiwi chini ya kanuni za Bunge.,8.5305,61
200702-201811_swh_35d_elicit_141.wav,Kidiplomasia nchi zote mbili zinadai kumiliki eneo lenye zaidi ya kilomita za mraba 100 000 katika bahari ya Hindi ambalo linasemekana kuwa ni eneo lenye utajiri wa rasilimali za asili.,20.3506875,185
200702-201811_swh_35d_elicit_143.wav,Afisa huyo aliiambia Idhaa ya Kisomali ya Sauti ya Amerika kwamba Kenya imeomba kikao hicho kiahirishwe kwa mwaka mmoja ili kuweza kuunda timu mpya ya mawakili.,16.924875,160
200702-201811_swh_35d_elicit_144.wav,Kesi hiyo ilipangwa kuanza kusikilizwa wiki ijayo kuanzia Septemba 9 hadi 13 kwenye mahakama ya sheria za kimataifa ICJ huko The Hague Uholanzi.,16.1761875,144
200702-201811_swh_35d_elicit_145.wav,Gazeti la Daily Nation la Kenya pia liliripoti kwamba Kenya inaomba kesi hiyo kuahirishwa ili kupata muda zaidi kuwaandikisha mawakili wapya wa utetezi.,15.7465,152
200702-201811_swh_35d_elicit_146.wav,Kwa mujibu wa chanzo hicho serikali ya Somalia imekataa ombi la Kenya la dakika za mwisho mwisho.,9.846375,97
200702-201811_swh_35d_elicit_148.wav,Somalia inasisitiza kuwa inataka mahakama hiyo ya juu ya kimataifa ICJ kusikiliza kesi hiyo.,10.5496875,92
200702-201811_swh_35d_elicit_149.wav,Mbio maalum alizoshiriki Eliud Kipchoge huko Vienna Austria zimemfanya kuwa mwanariadha wa kwanza duniani kuvunja rikodi ya mbio za marathon kwa kukimbia kilomita 42 chini ya saa mawili Shirika la habari la Uingereza Reuters limeripoti.,24.59325,236
200702-201811_swh_35d_elicit_150.wav,Kipchoge mwenye umri wa miaka 34 ambaye ni raia wa Kenya alikimbia muda wa kilomita 42.,11.253,87
200702-201811_swh_35d_elicit_151.wav,2 katika saa moja dakika 59 na sekunde 40 katika mbio hizo zilizofanyika Ineos Challenge mjini Vienna nchini Austria siku ya Jumamosi.,15.9493125,134
200702-201811_swh_35d_elicit_152.wav,Kwa hivyo ameweza kupunguza sekunde ishirini katika mbio hizo na kuweza kuvunja rikodi iliyowekwa miaka 65 iliyopita.,13.6805625,117
200702-201811_swh_35d_elicit_153.wav,Mwanariadha huyo mashuhuri duniani amelinganisha mbio hizo na mtu wa kwanza kwenda mwezini kabla ya kuanza kukimbia alisema kwamba ameweka historia sawa na raia wa Uingereza Sir Roger Bannister alivyofanya wakati alipokuwa mtu wa kwanza kukimbia maili moja chini ya dakika nne mwaka 1954.,30.0609375,288
200702-201811_swh_35d_elicit_154.wav,Nahisi vyema baada ya Roger Bannister kuweka historia ilinichukua miaka 65.,8.8254375,75
200702-201811_swh_35d_elicit_155.wav,Nimejaribu lakini nimevunja alisema raia huyo wa Kenya.,7.1011875,55
200702-201811_swh_35d_elicit_156.wav,Hii inaonyesha uzuri wa michezo.,4.08375,32
200702-201811_swh_35d_elicit_157.wav,Nataka kuufanya mchezo huu kuwa safi na wa kufurahisha.,7.16925,55
200702-201811_swh_35d_elicit_158.wav,Pamoja tunapokimbia tunafanya ulimwengu kuwa mzuri wa kuishi alisema Kipchoge.,8.5531875,78
200702-201811_swh_35d_elicit_159.wav,Bingwa huyo wa Olimpiki alikuwa ameikosa rekodi hiyo kwa sekunde 25 katika jaribio lake la hapo awali 2017.,12.841125,107
200702-201811_swh_35d_elicit_160.wav,Hata hivyo mafanikio hayo hayataingia katikarikodi mpya ya dunia katika mbio hizo kwani hilo halikuwa shindano.,15.835875,111
200702-201811_swh_35d_elicit_161.wav,Kundi la wanariadha lilitumika siyo kwa mashindano bali kusaidia kusukuma kasi ya mbio hizo.,13.113375,92
200702-201811_swh_35d_elicit_162.wav,Wakati ilipofahamika kuwa anakaribia kuvunja rikodi hiyo ya dunia wanariadha walioambatana naye wakati wa mbio hizo ili kudhibiti kasi ya mbio hizo walirudi nyuma na kumwacha bingwa huyo kutimka hadi katika utepe huku akishangiliwa na mashabiki wengi katika mji mkuu wa Austria.,26.362875,278
200702-201811_swh_35d_elicit_163.wav,Tamasha la tuzo za Oscar za 91 zilifana usiku wa Jumapili katika jiji la Los Angeles kwenye jimbo la California.,13.7259375,112
200702-201811_swh_35d_elicit_164.wav,Green Book filamu yenye kusisimua inayohusu urafiki kati ya mwanamuziki Mmarekani mweusi na dereva wake mzungu ambaye siyo mstaarabu ikisimulia hali ilivyokuwa wakati wa kipindi cha ubaguzi nchini Marekani imeshinda tuzo tatu za Academy ikiwemo katika kundi la Picha Bora.,26.453625,272
200702-201811_swh_35d_elicit_165.wav,Tuzo hiyo iliyokuwa ikitarajiwa sana imekuwa muwafaka katika usiku uliyokuwa umewakutanisha watu wa rangi mbalimbali katika Tamasha la Oscar.,15.563625,141
200702-201811_swh_35d_elicit_166.wav,Muigizaji Mahershala Ali wa filamu ya Green Book ambaye alikuwa anaigiza nafasi ya Don Shirley alishinda tuzo ya Oscar ya muigizaji msaidizi bora.,15.654375,146
200702-201811_swh_35d_elicit_167.wav,Filamu hiyo pia imeshinda tuzo ya Oscar ya uandishi wa asili wa filamu uliyo bora.,10.1413125,82
200702-201811_swh_35d_elicit_168.wav,Filamu ya Green Book licha ya kupata ukosoaji wa hapa na pale ilishinda kipengele cha picha bora 2019 kwa kazi nzuri waliyoifanya katika filamu hiyo ndani ya Hollywood mwaka 2018.,17.741625,179
200702-201811_swh_35d_elicit_169.wav,Kipengele cha picha bora kilishirikisha filamu nane ambazo baadhi yake zilipewa kipaumbele cha juu na kuchukuwa tuzo hiyo ikiwemo Black Panther au Roma ambazo zilikuwa na ushawishi mkubwa.,16.9021875,188
200702-201811_swh_35d_elicit_170.wav,Watu wengi walikuwa wanatabiri kuwa huenda zingeweza kufanikiwa kuchukuwa tuzo bora.,9.211125,84
200702-201811_swh_35d_elicit_171.wav,Mahershala Ali muigizaji katika Green Book alishinda tuzo ya Muigizaji Msaidizi Bora kwa ajili ya umahiri aliyouonyesha ndani ya filamu hii.,14.7695625,140
200702-201811_swh_35d_elicit_172.wav,Ambapo pia alishinda tuzo za Oscar 2017 kwenye filamu ya Moonlight.,9.029625,67
200702-201811_swh_35d_elicit_173.wav,Green Book iliingia mtaani Novemba mwaka 2018 filamu iliyogharimu bajeti ya dola milioni 23 na imeingiza mauzo ya dola milioni 83.,17.3105625,130
200702-201811_swh_35d_elicit_174.wav,5 na mkurugenzi wake alikuwa Peter Farrelly.,5.9214375,44
200702-201811_swh_35d_elicit_175.wav,Imetayarishwa na Mwandishi wetu Washington DC Wakati Kiongozi wa Kanisa Katoliki Papa Francis akijitayarisha kukutana na maelfu ya vijana kutoka kote ulimwenguni kwa ajili ya siku ya vijana wiki hii amefanya jitihada ya kuungana nao kwenye jukwaa la mtandao wa kijamii intaneti ambalo watamuelewa kwa urahisi.,31.626375,309
200702-201811_swh_35d_elicit_176.wav,Katika sala ya kila wiki ya Angeluis huko Vatican jana Jumapili kiongozi huyo wa kiroho Francis alizindua jukwaa la app yake ya Click to Pray ambayo ni rasmi hivi sasa kwa ajili ya mtandao wa sala zinazo endeshwa na Vatican duniani.,23.3000625,232
200702-201811_swh_35d_elicit_177.wav,Kwa msaada wa msaidizi wake aliyekamata kifaa cha kielekroniki aina ya tablet baba mtakatifu aligusa kioo cha tablet akisema kwa maneno yake hapa ndio mahala nitaweka maombi kwa ajili ya sala kwa shughuli za kanisa.,23.9806875,215
200702-201811_swh_35d_elicit_178.wav,Baba mtakatifu aliwaambia waumini huko katika uwanjwa wa St.,7.486875,60
200702-201811_swh_35d_elicit_179.wav,Peters square kwamba mitandao ya kijamii ni njia ya kushirikiana na kuelezea azma ya kuimarisha jamii.,11.661375,102
200702-201811_swh_35d_elicit_180.wav,Ripoti ya pamoja ya Shirika la Kimataifa la Kazi ILO na Mfuko wa Fedha wa watoto wa Umoja wa Mataifa UN imeonya mamilioni ya watoto wanaweza kusukumwa kuingia kwenye ajira za kulazimishwa kwa sababu ya kuzorota kwa uchumi kutokana na janga la COVID 19.,26.3401875,252
200702-201811_swh_35d_elicit_181.wav,Lisa Schlein anaripoti kutoka Geneva kwamba mashirika hayo mawili yanazindua ripoti iliyopewa jina COVID 19 na ajira kwa mtoto wakati wa Mgogoro kuashiria Siku ya Dunia Dhidi ya ajira kwa watoto.,21.87075,195
200702-201811_swh_35d_elicit_182.wav,Waandishi wa ripoti hiyo wanaonya janga hili la ulimwengu linaweza kubadili miongo kadhaa ya maendeleo thabiti yaliyofanywa katika kupunguza idadi ya wafanyakazi watoto.,17.9004375,169
200702-201811_swh_35d_elicit_183.wav,Katika miaka 20 iliyopita ILO inasema ajira kwa watoto imepungua kwa milioni 94.,13.3175625,80
200702-201811_swh_35d_elicit_184.wav,Takwimu za hivi karibuni zinaweka idadi ya wafanyakazi watoto ulimwenguni kote ni milioni 152 karibu nusu kati ya yao wako kile kinachoitwa ajira ya hatari kwa mtoto.,21.2355,166
200702-201811_swh_35d_elicit_185.wav,Kazi hizo ni hatari na zinatishia afya ya mwili na akili ya watoto.,10.164,67
200702-201811_swh_35d_elicit_186.wav,Ni pamoja na kazi katika sekta za kilimo madini ujenzi viwandani na wafanyakazi wa majumbani.,11.661375,93
200702-201811_swh_35d_elicit_187.wav,Ripoti hiyo inaonya kuwa mamilioni ya watoto huenda wakalazimishwa kuingia katika aina mbaya zaidi ya ajira kwani COVID 19 inaharibu uchumi na familia hazina njia ya msaada.,19.8969375,173
200702-201811_swh_35d_elicit_188.wav,Mtafiti mwandamizi na mwandishi mkuu wa ripoti hiyo ya ILO Lorenzo Guarcello ameiambia VOA kwamba ushahidi unazidi kuonyesha kwamba ajira ya watoto inaongezeka kadri shule zinavyofungwa wakati huu wa janga la corona.,24.820125,216
200702-201811_swh_35d_elicit_189.wav,Anasema watoto wengi ambao hawaendi shuleni wanaweza kulazimishwa kufanya kazi za unyonyaji na za hatari.,12.61425,105
200702-201811_swh_35d_elicit_190.wav,Guarcello anasema Familia zinatuma watoto kuuza bidhaa barabarani baadhi chakula maua n.,10.5496875,88
200702-201811_swh_35d_elicit_191.wav,k Kwa hivyo tayari wanaanza kufanya kazi.,4.8778125,41
200702-201811_swh_35d_elicit_192.wav,Wamewekwa kufanya kazi katika mazingira ya hatari kwa sababu ya kuongezeka uwezekano wa kuhusika katika sekta isiyo rasmi.,12.7730625,122
200702-201811_swh_35d_elicit_193.wav,Guarcello ameongeza kusema Afrika ina idadi kubwa zaidi ya wafanyakazi watoto.,9.71025,78
200702-201811_swh_35d_elicit_194.wav,Kati ya wafanyakazi watoto milioni 72 duniani anasema milioni 31.,10.4589375,65
200702-201811_swh_35d_elicit_196.wav,Anasema wengi huajiriwa katika sekta ya kilimo.,7.6456875,47
200702-201811_swh_35d_elicit_197.wav,Tunajua kuwa kufanya kazi katika kilimo kunaweka watoto katika hali hatari kwa kufanya kazi kwa muda mrefu kufanya kazi kwenye joto na jua kali kwa siku nzima kwa kutumia mashine hatari na kadhalika ameeleza.,21.5985,208
200702-201811_swh_35d_elicit_198.wav,Guarcello anasema ILO na UNICEF wanatengeneza mfano wa kuiga ili kuangalia athari za ulimwengu wa COVID 19.,14.883,107
200702-201811_swh_35d_elicit_199.wav,Anasema makadirio mapya ya kidunia yatatolewa mwaka ujao.,10.8673125,57
200701-101457_swh_35d_elicit_0.wav,Wizara ya afya ya Tanzania imeripoti Jumatatu kuwa watu takriban 14 zaidi wamepata maambukizi ya Covid 19.,12.5235,106
200701-101457_swh_35d_elicit_1.wav,Walioambukizwa wote ni raia wa Tanzania 13 wakiwa Dar es salaam na mmoja mjini Arusha.,12.2285625,86
200701-101457_swh_35d_elicit_2.wav,Wizara ya afya imeripoti kwamba juhudi za kufuatilia watu waliokuwa karibu na wagonjwa zinaendelea.,12.4100625,99
200701-101457_swh_35d_elicit_3.wav,Wakati wa maadimisho ya pasaka wakristo walikusanyika kanisani kwa maombi bila kuzingatia ushauri wa wataalam wa afya.,14.61075,118
200701-101457_swh_35d_elicit_4.wav,Kuna mijadala kwenye mitandao ya kijamii Tanzania kuhusu hatua zinazochukuliwa kudhibithi maambukizi nchini humo.,13.4536875,113
200701-101457_swh_35d_elicit_5.wav,Nchini Afrika kusini watu 145 zaidi wameambukizwa virusi vya Corona na kujumulisha idadi ya watu 2 173 ambao wameambukizwa virusi vya Corona nchini humo.,20.4868125,153
200701-101457_swh_35d_elicit_6.wav,Taarifa ya wizara ya afya hata hivyo haijasema idadi ya watu ambao wamekufa wala kupona kutokana na virusi vya Corona nchini humo.,14.52,130
200701-101457_swh_35d_elicit_7.wav,Nchini Sudan maafisa wameongeza mikakati zaidi ya kuzuia virusi vya Corona kusambaa.,11.34375,84
200701-101457_swh_35d_elicit_8.wav,Wamepiga marufuku usafiri wa magari kati ya miji na kutekeleza sheria za hali ya dharura ili kuhakikisha kwamba amri hizo zinatekelezwa.,14.9964375,136
200701-101457_swh_35d_elicit_10.wav,Nchini Liberia Vurugu zimeshuhudiwa wakati wa kutekeleza amri ya watu kutotoka majumbani polisi wakitumia nguvu kuwalazimisha watu waliokuwa wanafanya shughuli za kujitafutia vitu muhimu za matumizi kukaa makwao.,23.277375,212
200701-101457_swh_35d_elicit_11.wav,Hali ya kuchanganyikiwa ilionekana katika mji wa Monrovia wenye jumla ya watu milioni 1 wengi wakisema kwamba walikuwa wamepata Habari kupitia mitandao ya kijamii kwamba serikali ilikuwa imetangaza watu kusalia majumbani mwao kuanzia saa tisa alasiri hadi saa kumi na mbili asubuhi na wala sio kufunga shughuli zote kabisa.,32.987625,323
200701-101457_swh_35d_elicit_12.wav,Raia wa Liberia wana wasiwasi kwamba hatua hiyo ya rais George Weah itaathiri zaidi Maisha ya watu katika nchi ambayo zaidi ya nusu ya watu ni maskini.,19.0801875,151
200701-101457_swh_35d_elicit_13.wav,Imetayarishwa na Kennes Bwire VOA Washington DC Wanamgambo wamewakata vichwa watu 16 katika mauaji mapya kwenye kijiji kimoja karibu na Beni kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo DRC vyanzo vya usalama vimesema Ijumaa.,26.635125,236
200701-101457_swh_35d_elicit_14.wav,Kwa mujibu wa shirika la habari la Ufaransa raia watatu wamejeruhiwa katika mji wa Beni kutokana na mlipuko wa kilipuzi Alhamisi usiku afisa mmoja amesema ikiwa ni dalili kuwa hizi ni mbinu mpya katika eneo hilo kutokana na ghasia za wanamgambo.,24.3890625,245
200701-101457_swh_35d_elicit_15.wav,Wanamgambo wa ADF Mauaji ya Alhamisi katika mkoa wa Mbau kaskazini mwa Beni yanashukiwa kufanya na kundi la waasi la Allied Democratic Force ADF ambalo linahusika na mfululizo wa mauaji tangu kuanza kwa ghasia mwezi November.,25.5234375,225
200701-101457_swh_35d_elicit_16.wav,Miili ya watu 16 waliokatwa vichwa imegundulika katika msako ulioanza jana jioni Jamal Moussa msemaji wa mtandao wa taasisi za jamii za kiraia huko Mbau ameiambia AFP.,21.14475,167
200701-101457_swh_35d_elicit_19.wav,Majeshi ya DRC yameanzisha operesheni dhidi ya ADF katika eneo la mashariki tangu mwishoni mwa mwezi Oktoba.,14.06625,108
200701-101457_swh_35d_elicit_20.wav,Lakini majibu ya ADF yamekuwa ni kufanya mauaji ya watu wengi katika juhudi za kuwakatisha tamaa raia kulisaidia jeshi la serikali.,15.7224375,131
200701-101457_swh_35d_elicit_21.wav,Kiasi cha watu 100 wameuawa tangu Novemba 5 katika mashambulizi ambayo ADF inalaumiwa kuhusika kundi ambalo lina mizizi yake nchini Uganda.,18.0819375,139
200701-101457_swh_35d_elicit_23.wav,Tamko la Lucha Kundi la kijamii la Lucha limerioti kuwa watu tisa ndiyo wameuawa karibu na Mbau.,11.616,96
200701-101457_swh_35d_elicit_24.wav,Abiria wawili waliokuwa katika pikipiki walirusha kilipuzi ambacho kiliripuka kwenye eneo la soko nakujeruhi watu watatu amesema Alois Mbwarara mkuu wa utawala wa Rwenzori moja ya wilaya nne katika mji huo.,22.642125,206
200701-101457_swh_35d_elicit_26.wav,Mara ya mwisho kilipuzi kutumika huko Beni ilikuwa mwaka 2007 afisa huyo ameongezea.,12.97725,84
200701-101457_swh_35d_elicit_27.wav,Jeshi la Congo limegundua kiwanda cha kutengeneza mabomu ya kienyeji katika kambi moja ya ADF waliyoiteka msemaji wa jeshi jenerali Leon Richard Kasonga amesema Jumatano.,19.5339375,170
200701-101457_swh_35d_elicit_28.wav,Imetayarishwa na mwandishi wetu Khadija Riyami Washington DC.,7.486875,61
200701-101457_swh_35d_elicit_29.wav,Shirika la Afya Duniani WHO Jumapili limeripoti kuongezeka kwa maambukizi mapya 183 000 ya COVID 19 ongezeko kubwa kuliko yote kwa siku moja ambayo imerekodi tangu kuanza kwa janga hilo.,25.818375,186
200701-101457_swh_35d_elicit_30.wav,Maafisa wa WHO wamesema kwa wiki kadhaa ufuatiliaji wa mlipuko huo umeangazia mabara ya Marekani na idadi ya Jumapili imeonyesha ongezeko la siku moja la zaidi ya maambukizi 116 000 katika eneo Latin Amerika na Amerika ya Kaskazini.,26.6578125,232
200701-101457_swh_35d_elicit_31.wav,Brazil ilikuwa inaongoza kwa takriban maambukizi mapya 55 000 ikifuatiwa na Marekani ikiwa na zaidi ya maambukizi 36 000 na India ikiwa takriban na maambukizi mapya 15 000.,22.1656875,172
200701-101457_swh_35d_elicit_32.wav,Mkurugenzi Mkuu wa WHO Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema Jumatatu tishio kubwa hivi sasa sio virusi vyenyewe lakini hasa ni ukosefu wa mshikamano wa kimataifa na uongozi.,19.9423125,171
200701-101457_swh_35d_elicit_33.wav,Hatuwezi kulishinda janga hili wakati ulimwengu umegawanyika amesema.,8.394375,69
200701-101457_swh_35d_elicit_34.wav,Zaidi ya darzeni ya majimbo ya Marekani yameshuhudia kuongezeka kwa maambukizi.,11.4345,79
200701-101457_swh_35d_elicit_35.wav,Dkt Tom Inglesby mkurugenzi wa Kituo cha Usalama wa Afya katika Chuo cha Afya ya Jamii cha Johns Hopkins Bloomberg amesema kupitia kipindi cha Fox News Sunday kwamba kuongezeka kwa maambukizi kunatokana na mchanganyiko wa kuongezeka kwa upimaji na mlipuko hasa wa maambukizi.,26.181375,275
200701-101457_swh_35d_elicit_36.wav,Unaweza kupambanua kati ya kuongezeka upimaji na hali ya dharura ya ugonjwa huu kwa kuangalia kiwango cha watu wanaolazwa hospitali kiwango cha watu walioko kitengo cha mahututi na asilimia ya jumla ya wale wanaogundulika kuwa na maambukizi katika jimbo mojawapo Inglesby amesema.,29.448375,280
200701-101457_swh_35d_elicit_37.wav,Na katika majimbo mengi katika yale ulioonyesha hususan Arizona Texas Carolinas Florida kile tunacho shuhudia ni kuongezeka maambukizi kwa waliopimwa na wengi wao kulazwa hospitalini hali ya wagonjwa ikiwa mbaya.,22.551375,212
200701-101457_swh_35d_elicit_38.wav,Rais Donald Trump amerejea kusema anaamini idadi ya maambukizi yaliothibitishwa nchini Marekani ambayo inaongoza duniani kukiwa na zaidi ya maambukizi milioni 2.,16.4938125,161
200701-101457_swh_35d_elicit_39.wav,2 ni kutokana na juhudi katika nchi hii kufanya upimaji.,6.6020625,56
200701-101457_swh_35d_elicit_40.wav,Upimaji wetu wa virusi vya corona ni wa juu zaidi vipimo 25 milioni na ambavyo vya utaalam wa juu na inatufanya tuonekane kama tuna maambukizi mengi zaidi hasa ukilinganisha na nchi nyingine alituma ujumbe wa tweet Jumapili jioni.,24.3890625,230
200701-101457_swh_35d_elicit_41.wav,Hilo lilifuatia maoni yake aliotoa katika mkutano wa hadhara wa kampeni Jumamosi ambapo rais alisema Unapofanya vipimo kwa kiwango hicho lazima utajikuta una maambukizi zaidi.,19.9423125,175
200701-101457_swh_35d_elicit_42.wav,Hivyo nawaambia watu wangu Punguzeni kasi ya upimaji.,7.6003125,53
200701-101457_swh_35d_elicit_43.wav,White House baadae ilisema kuwa rais alikuwa anafanya mashara.,6.0575625,62
200701-101457_swh_35d_elicit_44.wav,Wajumbe wa kikosi kazi cha virusi vya corona cha White House wamepangiwa kutoa ushuhuda mbele ya kamati ya Nishati na Biashara ya Baraza la Wawakilishi Jumanne na Spika wa Baraza la Wawakilishi Nancy Pelosi amesema Wananchi wa Marekani wanahitaji majibu kwa nini Rais Trump anataka upimaji upunguzwe kasi wakati wataalam wanasema upimaji zaidi unahitajika.,35.8689375,356
200701-101457_swh_35d_elicit_45.wav,Juhudi za Rais kupunguza kasi ambapo upimaji unahitajika kwa dharura kuficha ukweli wa kiwango cha maambukizi ya virusi inamaanisha Wamarekani zaidi watapoteza maisha yao amesema Pelosi katika tamko lake Jumapili.,22.097625,213
200701-101457_swh_35d_elicit_46.wav,Idadi ya vifo kutokana na maambukizo ya kirusi corona imeongezeka na kufikia 81 Jumatatu.,10.6404375,89
200701-101457_swh_35d_elicit_47.wav,Wagonjwa wengine 3 000 wamethibitishwa kuwa na maambukizo wakati serikali ikiongeza muda wa mapumziko kwa siku tatu katika sherehe za mwaka mpya unaofuata kuandama kwa mwezi.,17.51475,174
200701-101457_swh_35d_elicit_48.wav,Wakati huohuo biashara kubwa nchini humo zimefungwa au waajiriwa kupewa muongozo wa kufanyia kazi majumbani mwao katika juhudi za kupunguza maambukizo.,16.198875,151
200701-101457_swh_35d_elicit_49.wav,Waziri Mkuu Li Kequang alitembelea mji wa Wuhan katika kituo cha mlipuko wa kirusi hicho.,13.52175,89
200701-101457_swh_35d_elicit_50.wav,Serikali inaongeza juhudi za kupambana na ugonjwa unaosababishwa na kirusi corona huku kukiwa na shutuma kutoka kwa wananchi ya kutokuwepo na uwajibikaji wa kutosha.,17.106375,165
200701-101457_swh_35d_elicit_51.wav,Idadi ya watu walioathiriwa na kirusi hicho China imepanda kwa asilimia 30 kutoka ile ya awali huku nusu yao wakitokea jimbo la Hubei ambao mji mkuu wake ni Wuhan.,19.87425,163
200701-101457_swh_35d_elicit_52.wav,Lakini baadhi ya wataalamu wanasema idadi ya walioathiriwa inaweza kuwa kubwa zaidi.,11.4118125,84
200701-101457_swh_35d_elicit_53.wav,Hali hiyo imesababisha sherehe za mwaka mpya kuahirishwa hadi February 2 ambapo watu wengi husafiri kuingia na kutoka China.,13.52175,124
200701-101457_swh_35d_elicit_54.wav,Wawekezaji wana wasiwasi kuhusu matokeo ya safari utalii na harakati za kiuchumi huko China kwa hivi sasa.,13.9074375,106
200701-101457_swh_35d_elicit_55.wav,Imetayarishwa na mwandishi wetu Washington DC.,7.7364375,46
200701-101457_swh_35d_elicit_56.wav,Mwenyekiti wa bodi ya Hospitali ya Mbagathi iliyo mjini Nairobi Kenya amesema usaidizi wowote wa kimataifa wa kukabilina na virusi vya Corona utatumiwa kwa uangalifu na kwa njia inayofaa.,18.9440625,187
200701-101457_swh_35d_elicit_57.wav,George Osewe mmoja wa wasimamizi waandamizi wa hospitali hiyo ambako wagonjwa wengi wanaugua maradhi ya Corona wanaendelea kupokea matibabu ameiambia Sauti ya Amerika kwamba misaada inayotolewa na taasisi za kimataifa kama Benki kuu ya Dunia na nchi za Magharibi kama Marekani ya kusaidia katika kukabilina na janga la Corona itaelekezwa kule ilikokusidiwa.,35.3698125,357
200701-101457_swh_35d_elicit_58.wav,Haya yalijiri huku Marekani ikitangaza msaada wa 274 Milioni kwa bara la Afrika ambapo Kenya na Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo ni baadhi ya nchi zitakazonufaika.,19.012125,163
200701-101457_swh_35d_elicit_59.wav,Siku ya Jumatano bodi ya Benki Kuu ya Dunia iliidhinisha dolla milioni 50 ambazo ilisema zimetolewa kwa Kenya kupambambana na hali hiyo.,16.06275,136
200701-101457_swh_35d_elicit_60.wav,Baadhi ya wauguzi na wahudumu wengine katika hospitali hiyo wamekuwa wakilalamika kwamba hakuna vifaa vya kutosha vinavyohitajika ili kutekeleza majukumu bila kuhatarisha maisha yao.,16.8114375,182
200701-101457_swh_35d_elicit_61.wav,Tunakaribisha sana msaada kutoka Marekani na mashirika ya kihisani ya kimataifa kwa sababu wao ni washirika wetu wa karibu alisema Osewe.,14.52,137
200701-101457_swh_35d_elicit_62.wav,Ni ishara kwamba wana imani na mfumo wetu wa afya aliongeza.,8.757375,60
200701-101457_swh_35d_elicit_63.wav,Baadhi ya Wakenya wametaka serikali kuwa na uwazi katika matumizi ya fedha za misaada wakidai kwamba katika siku za awali ubadhirifu wa pesa kama hizo na ufisadi ulishuhudiwa.,16.380375,175
200701-101457_swh_35d_elicit_64.wav,Kenya ni miongoni mwa nchi zilizo na idadi kubwa ya visa vya Corona vilivyothibitishwa barani Afrika ikiwa na watu 142 walioambukizwa kufikia siku ya Jumapili.,16.7206875,159
200701-101457_swh_35d_elicit_65.wav,Sikiliza mahojiano hapa No media source currently available Saudi Arabia imekanusha ripoti inayodai kuwa ilijaribu kudukua simu ya muanzilishi wa kampuni ya Amazon Jeff Bezos.,17.424,175
200701-101457_swh_35d_elicit_66.wav,Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Saudi Arabia Faisal Bin Farhan al Saud amesema kwenye mkutano wa Davos kuwa madai hayo ni upuuzi mtupu.,13.6125,137
200701-101457_swh_35d_elicit_67.wav,Tamko hilo limekuja baada ya ubalozi wa Saudia mjini Washington kutoa ujumbe kama huo kwenye ukurasa wake wa Tweeter.,13.0453125,117
200701-101457_swh_35d_elicit_68.wav,Siku Jumatano maafisa wawili wa Umoja wa Mataifa watawasilisha ripoti inayoeleza kwamba kuna ushahidi wa kutosha unaodhihirisha kwamba Saudi Arabia ilidukua simu ya Bezos.,18.013875,171
200701-101457_swh_35d_elicit_69.wav,Ripoti hiyo inaeleza kwamba simu yake huenda ilidukuliwa kupitia ujumbe wa video iliyotumwa kupitia ukurasa wa WhatsApp wa mwana wa mfalme mrithi wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman.,18.0819375,182
200701-101457_swh_35d_elicit_70.wav,Ripoti hiyo inatazamiwa kuharibu zaidi uhusiano kati ya mtu tajiri kabisa duniani na utawala wa kifalme baada ya mauaji ya Jamal Khashoggi aliyekuwa anafanya kazi na Gazeti la Washington Post linalomilikiwa na Bezos.,22.869,216
200701-101457_swh_35d_elicit_71.wav,Imetayarishwa na mwandishi wetu Washington DC.,6.08025,46
200701-101457_swh_35d_elicit_72.wav,Wakati Kanisa Katoliki la Notre Dame liliposhika moto habari iliyokuwa ikienezwa kupitia mtandao wa Facebook picha ya video ikionyesha mtu aliyevaa mavazi ya Kiislam iliyokuwa haionyeshi vizuri akiwa ndani ya kanisa.,21.6665625,216
200701-101457_swh_35d_elicit_73.wav,Wahakiki wa habari duniani kuthibisha ukweli wake walichukuwa hatua na kuonyesha kuwa video hiyo na uwekaji wa picha hiyo ulikuwa ni uzushi na hivyo posti hiyo haikupata umaarufu wowote.,20.010375,186
200701-101457_swh_35d_elicit_74.wav,Lakini wiki hii serikali ya Sri Lanka kwa kipindi kifupi ilifunga mtandao wa Facebook na majukwaa mengine kuzuia kuenea kwa habari za upotoshaji wakati wa tukio la shambulizi la mabomu Jumapili ya Pasaka nchini humo yaliouwa watu 250.,21.78,234
200701-101457_swh_35d_elicit_75.wav,Mwaka 2018 habari za upotoshaji katika mtandao wa Facebook zililaumiwa kwa kusababisha ghasia nchini humo.,11.5933125,106
200701-101457_swh_35d_elicit_76.wav,Mitandao ya Facebook Twitter Youtube na mengine imeendelea kulaumiwa kuhusika na maudhui katika majukwaa yao wakati dunia ikijaribu kukabiliana na uhalisia wa mambo yanapokuwa yanatokea.,18.0819375,186
200701-101457_swh_35d_elicit_77.wav,Kuanzia watungaji sheria mpaka umma wote kumekuwa na ongezeko la kilio dhidi ya majukwaa haya ya mitandao ya kijamii juu ya habari za upotoshaji hasa pale zinapokuwa zinavilenga baadhi ya vikundi.,19.965,196
200701-101457_swh_35d_elicit_78.wav,Kwa miaka mingi baadhi ya wakosoaji wa makampuni ya mitandao ya kijamii ikiwemo Twitter Youtube na Facebook wamewatuhumu kuchukuwa hatua isiyoridhisha katika kufuatilia na kuondoa habari zenye kupotosha kutoka katika majukwaa yao.,22.3018125,230
200701-101457_swh_35d_elicit_79.wav,Juu ya yote majukwaa ya intaneti kwa ujumla hayana jukumu la kisheria kwa maudhui yanayowekwa kwenye mitandao hiyo Ni shukrani kuwa sheria ya serikali kuu ya Marekani ya 1996 inayosema kuwa wao siyo wachapishaji.,21.462375,212
200701-101457_swh_35d_elicit_80.wav,Sheria hii imetumika kama ni kinga kwa uhuru wa kujielezea katika mitandao.,8.1448125,75
200701-101457_swh_35d_elicit_81.wav,Na kuwa kinga hiyo ya kisheria imekuwa ni chachu ya ongezeko kubwa la makampuni ya Internet.,10.0505625,92
200701-101457_swh_35d_elicit_82.wav,Lakini kunaongezeko la kukubaliana kuwa makampuni yanajukumu la kimaadili kwa maudhui yoyote yanayopotosha jamii na hasa iwapo maudhui hayo yanawafuatiliaji na imekusudiwa kuyalenga makundi fulani.,19.647375,197
200701-101457_swh_35d_elicit_83.wav,Katika mahojiano yaliofanywa hivi karibuni na Kamati ya Sheria ya Baraza la Wawakilishi juu ya wazungu wenye misimamo ya ubaguzi na jinai ya chuki dhidi ya makundi mengine Mwakilishi Sylvia Garcia Mdemokrat kutoka Texas aliwahoji wawakilishi wa Facebook na Google juu ya sera zao.,29.539125,280
200701-101457_swh_35d_elicit_84.wav,Mmechukua hatua gani kuhakikisha kuwa watu wenu wote duniani wanafahamu ujumbe wenye jinai unaokusudiwa kuwafikia kikundi fulani wanajua maneno muhimu namna yalivyoelezewa vitu ambavyo watu wanavijibu ilituweza kuwa tunakabiliana na kuchukua tahadhari mapema kuzuia baadhi ya lugha hii anasema Garcia.,30.4239375,301
200701-101457_swh_35d_elicit_85.wav,Facebook ambayo pengine inahesabiwa zaidi na umma kuwa na habari za uongo haitosema kuwa ni kampuni ya habari.,12.568875,110
200701-101457_swh_35d_elicit_86.wav,Lakini imechukuwa kidogo jukumu la kusimamia maudhui inayowekwa katika jukwaa lake amesema Daniel Funke mwandishi wa mtandao wa kimataifa wa kuhakiki habari iwapo ni za kweli katika Chuo cha Poynter.,20.1238125,199
200701-101457_swh_35d_elicit_88.wav,Inashirikiana na wahakiki wengine wanaopima ukweli wa taarifa zinazotolewa ili kuondoa maudhui yasiokubalika na imeajiri maelfu ya watu kupambana na maudhui potofu katika jukwaa lake.,18.3315,183
200701-101457_swh_35d_elicit_89.wav,Mahakama ya Juu ya Korea Kusini imeamrisha mahakama ya chini ifikirie tena moja ya mashtaka ya jinai dhidi ya Rais wa zamani Park Geun hye ambaye alilazimishwa kuondoka madarakani mwaka 2017 kutokana na kashfa ya ufisadi.,25.047,221
200701-101457_swh_35d_elicit_90.wav,Park mwenye umri wa miaka 67 alihukumiwa mwaka 2018 kwa kutumia madaraka vibaya kutumia mabavu na rushwa na kuhukumiwa kutumikia kifungo cha miaka 24 ambapo mahakama ya rufaa iliongoeza kifungo hicho kwa mwaka mmoja.,24.457125,216
200701-101457_swh_35d_elicit_91.wav,Lakini mahakama kuu ilitoa uamuzi Alhamisi kwamba rais wa zamani huyo ahukumiwe tena kwa mashtaka ya rushwa pembeni ya mashtaka mengine aliyohukumiwa kwayo.,17.287875,156
200701-101457_swh_35d_elicit_92.wav,Park alikuwa ametuhumiwa kwa kushirikiana na rafiki yake wa karibu Choi Soon sil kwa kuyalazimisha makampuni makubwa ya kimataifa kama vile Samsung kuchangia mabilioni ya dola za Marekani kwa mashirika mawili yasiyo ya kibiashara yaliyokuwa chini ya himaya ya Choi.,25.7956875,265
200701-101457_swh_35d_elicit_93.wav,Mahakama ya Juu hiyo pia imetoa amri kwa mahakama ya rufaa irejee mara nyengine uamuzi wake wa kumpa mrithi wa Samsung Lee Jae yong miaka miwili na nusu ya kuahirishwa kwa hukumu katika kesi hiyo.,19.8061875,196
200701-101457_swh_35d_elicit_94.wav,Lee makamu mwenyekiti wa Samsung Electronics alihukumiwa mwaka 2017 kutokana na makosa ya rushwa na ubadhirifu na awali alihukumiwa kutumikia kifungo cha miaka mitano.,20.1238125,167
200701-101457_swh_35d_elicit_95.wav,Waendesha mashtaka walimtuhumu Lee kwa kumhonga Choi ikiwa ni sehemu ya mpango wake wa kumrithi baba yake katika kuongoza kampuni hiyo.,14.61075,135
200701-101457_swh_35d_elicit_96.wav,Choi Soon sil alihukumiwa mwaka 2018 kwa kosa la rushwa na hivi sasa anatumikia kifungo cha miaka 20.,13.3175625,101
200701-101457_swh_35d_elicit_97.wav,Mahakama ya Juu pia inapeleka hukumu yake ya awali ili ipitiwe tena na mahakama ya chini.,11.1395625,89
200701-101457_swh_35d_elicit_98.wav,Hukumu iliyotolewa kwa Park ilifanya kashfa yake kuwa ya juu kuliko zote ambayo ilipelekea kiongozi huyo aliyechaguliwa kidemokrasia wa Korea Kusini kulazimika kuachia madaraka mwaka 2017 wakati Mahakama ya Katiba ya taifa hilo ilikubali kuwa Bunge la Taifa kupiga kura ya kumuondoa madarakani katika miezi ya awali.,30.0609375,316
200701-101457_swh_35d_elicit_99.wav,Familia moja nchini Kenya imefungua mashtaka katika mahakama ya Chicago Jumatano dhidi ya kampuni ya kutengeneza ndege ya Boeing kufuatia ajali ya ndege ya shirika la ndege la Ethiopia iliyotokea March 10.,19.375125,205
200701-101457_swh_35d_elicit_100.wav,Familia ya George Kabau aliyepoteza maisha katika ajali ya ndege ya Ethiopia akiwa na umri wa miaka 29 inataka kampuni ya Boeing kutoa taarifa na mawasiliano ya barua pepe ikitoa taarifa kamili juu ya uchunguzi wa ajali hiyo inayohusu ndege yake ya 737 Max 8.,23.958,259
200701-101457_swh_35d_elicit_101.wav,Pia Aprili 4 2019 familia ya Samya Stumo kupitia mawakili wake walifungua kesi dhidi ya kampuni ya Boeing Aprili 4 2019reacts during a news conference in Chicago where attorneys for the family announced a lawsuit against Boeing April 4 2019.,26.862,241
200701-101457_swh_35d_elicit_103.wav,Wakati huohuo Wizara ya Mambo ya Nje nchini Kenya imezitaka familia za wahanga wa ajali hiyo ya Shirika la Ndege la Ethiopia kutafuta kibali cha uwakilishi kutoka mahakamani ili waweze kupata fidia.,16.6753125,198
200701-101457_swh_35d_elicit_104.wav,Kibali cha uwakilishi ni waraka unaothibitisha haki ya kisheria na uwezo wa kushughulikia mali ya mtu ambaye amekufa.,11.48125,117
200701-101457_swh_35d_elicit_105.wav,Kinamruhusu aliyepewa kibali hicho kusimamia malipo ya mtu aliyekufa.,7.986,69
200701-101457_swh_35d_elicit_106.wav,Wizara hiyo inapenda kuzishauri familia na ndugu wa wale waliokufa katika ajali ya ndege ET 302 Machi 10 wakati wako Kenya kuchukua waraka huo kutoka mahakama za Kenya kama inavyotakiwa na sheria ya kurithi ya Kenya ili waweze kupata fidia kutoka shirika la ndege la Ethiopia Katibu Mkuu Michael Kamau amesema Jumatano.,28.4288125,319
200701-101457_swh_35d_elicit_107.wav,Mchakato huu unakusudia kuhakikisha kuwa wale tu wanaostahiki malipo ikiwa ni wenye waraka wa mirithi au barua ya usimamizi wa mali ya marehemu waweze kupata fidia.,17.1304375,164
200701-101457_swh_35d_elicit_108.wav,Maelfu ya Wapalestina wamekusanyika katika eneo la mpakani kati ya Gaza na Israeli Jumamosi kuadhimisha mwaka wa kwanza wa wimbi la maandamano ya kukumbusha ulimwengu juu ya haki ya ardhi yao na kuvikabali vikosi vya Israeli vilivyokuwa vimekusanyika mpakani.,29.0626875,259
200701-101457_swh_35d_elicit_109.wav,Vikosi hivyo vya Israeli vilitupa mabomu ya machozi kuwatawanya Wapalestina waliokuwa mpakani hapo na jeshi la Israeli limesema inakadiriwa kuwa takriban waandamanaji 20 000 walikuwa wakitupa mawe maguruneti na kusukuma matairi yanayowaka moto kuelekea kwa vikosi hivyo.,30.900375,270
200701-101457_swh_35d_elicit_110.wav,Wanaharakati wa Palestina wakiwa wamevalia vizbao rangi ya machungwa walikuwa wakijaribu kuwazuia waandamanaji japokuwa baadhi yao walifanikiwa kufikia uzio ulioko mpakani.,17.9458125,172
200701-101457_swh_35d_elicit_111.wav,Ghasia zimeshuhudiwa katika eneo la mpaka wa Israeli na Gaza wiki hii kabla ya kufanyika maandamano ya kumbukumbu yanayojulikana kama Great March of Return Maandamano ya Wapalestina kurejea katika ardhi yao yaliyoanza Machi 30 2018.,23.9806875,232
200701-101457_swh_35d_elicit_112.wav,Risasi iliyotupwa kutoka jeshi la Israeli ilimuuwa mwanaume wa Kipalestina aliyekuwa karibu na Ukanda wa Gaza Jumamosi maafisa wa afya wamesema.,17.3105625,144
200701-101457_swh_35d_elicit_113.wav,Wakati huohou majeshi ya Israeli yameendelea kukusanyika mpakani kabla ya mkusanyiko Great March of Return uliopangwa kuadhimisha mwaka wa kwanza wa msukumo mkubwa wa maandamano hayo kwenye mpaka wa Gaza.,19.4885625,204
200701-101457_swh_35d_elicit_114.wav,Takriban wananchi wa Gaza 200 wameuawa na vikosi vya Israeli tangu maandamano hayo yaanze kwa mujibu wa takwimu za Wizara ya Afya ya Palestina na askari wa Israeli aliuawa na Mpalestina aliyepiga bunduki kutoka mafichoni.,24.1168125,221
200701-101457_swh_35d_elicit_115.wav,Wapalestina wanapaza sauti wakishinikiza kuondolewa kizuizi cha usalama kilichowekwa na Israeli na Misri na wanataka Wapalestina kuwa na haki kurejea katika ardhi yao ambayo familia zao zililazimika kuikimbia au kulazimishwa kukimbia wakati taifa la Israeli lilipoundwa mwaka 1948.,28.0644375,281
200701-101457_swh_35d_elicit_116.wav,Jeshi la Israeli limesema kuwa lilikuwa halijapata taarifa juu ya tukio hilo.,8.8708125,77
200701-101457_swh_35d_elicit_117.wav,Madaktari wa Palestina wamesema mtu huyo aliuawa kwa risasi kabla ya alfajiri katika eneo ambako mara nyingi maandamano yanafanyika karibu na mpakani.,16.335,150
200701-101457_swh_35d_elicit_118.wav,Siku ya Ijumaa usiku jeshi la Israeli lilisema kuwa Wapalestina walikuwa wakirusha vilipuzi katika uzio ulioko mpakani.,12.79575,119
200701-101457_swh_35d_elicit_119.wav,Zaidi ya Wapalestina milioni 2 wamejazana katika eneo finyu lililotengwa la pwani ambapo umaskini na ukosefu wa ajira uko katika viwango vya juu.,16.60725,145
200701-101457_swh_35d_elicit_120.wav,Vizuizi hivyo vilivyowekwa na Israeli vinaelezewa na mashirika ya kibinadamu ni sababu kuu ya umaskini katika ukanda wa Gaza.,13.3629375,125
200701-101457_swh_35d_elicit_121.wav,Mapigano yalizuka wakati Wapalestina walipotupa roketi shambulizi kutoka Gaza lilowajeruhi Waisraeli saba katika Kijiji kilichopo kaskazini ya Tel Aviv Jumatatu.,17.9004375,161
200701-101457_swh_35d_elicit_122.wav,Katika kujibu mashambulizi hayo Israeli ilifanya mashambulizi kadhaa ya angani na kusogeza vifaa vyake vya kijeshi na majeshi ya ziada katika mpaka wake.,16.4938125,153
200701-101457_swh_35d_elicit_123.wav,Majeshi ya Israeli yamebakia katika eneo la mpakani hadi Jumamosi na jeshi limesema linatarajia kuwepo machafuko ya uvunjifu wa amani na ilikuwa tayari imejitayarisha kwa kuongezeka hali hiyo ya hatari.,22.279125,202
200701-101457_swh_35d_elicit_124.wav,Maelfu ya wananchi wa Palestina walikuwa wanatarajiwa kuandamana ambapo maandamano hayo yamekuwa ni hatari kubwa katika siku za nyuma na wasuluhishi wa Misri wamekuwa wakijitahidi kuzuia kumwagika damu zaidi.,20.373375,208
200701-101457_swh_35d_elicit_125.wav,Viongozi wa makundi yenye silaha ya Hamas na Islamic Jihad ndani ya Gaza wamesema mazungumzo ya kutafuta suluhu yanaendelea kuonyesha mafanikio.,14.7695625,144
200701-101457_swh_35d_elicit_126.wav,Mahakama ya Jumuiya ya Afrika Mashariki Alhamisi imeiamuru Tanzania kurekebisha sheria yake ya huduma ya habari ya mwaka 2016.,12.8638125,126
200701-101457_swh_35d_elicit_127.wav,Mahakama hiyo imesema uamuzi huo umefikiwa baada ya sheria hiyo kuonekana inakiuka mkataba wa uanzishwaji wa Jumuiya hiyo na mikataba mingine ya kimataifa ambayo nchi hiyo imeridhia.,18.3088125,182
200701-101457_swh_35d_elicit_128.wav,Maelekezo hayo yametolewa katika hukumu ya kesi ya kupinga ukandamizaji wa uhuru wa vyombo vya habari iliyokuwa imewasilishwa na Baraza la habari Tanzania MCT Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu LHRC na mtandao wa watetezi wa haki za binadamu.,24.7520625,244
200701-101457_swh_35d_elicit_129.wav,Asasi hizo tatu ambazo kwa pamoja zilifunguwa kesi katika Mahakama ya Afrika Mashariki dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupinga baadhi ya vifungu katika sheria hiyo.,16.289625,170
200701-101457_swh_35d_elicit_130.wav,Hukumu hiyo imetolewa mbele ya Jopo la majaji watatu Jaji Charles Nyachae Monica Mugenyi na Jaji Justice Ngie.,13.204125,110
200701-101457_swh_35d_elicit_131.wav,Mwanasheria wa asasi hizi tatu anasema kuwa maamuzi ya mahakama hii yanatekelezeka na wameahidi kurudi mahakamani kuomba amri ya kutekeleza maamuzi hayo iwapo serikali ya Tanzania haitatekeleza uamuzi wa mahakama.,23.32275,213
200701-101457_swh_35d_elicit_133.wav,Akisoma hukumu hiyo Jaji Nyachae amesema vifungu vilivyo kwenye sheria hiyo ni vibovu na vinakiuka mkataba wa uanzishwaji wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.,17.1744375,153
200701-101457_swh_35d_elicit_134.wav,Hivyo Jaji ameitaka Serikali ya Tanzania kurekebisha vifungu vya Sheria ya Uhuru wa Habari kutokana na kukiuka Mkataba wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.,14.474625,150
200701-101457_swh_35d_elicit_135.wav,Sheria hii inapaswa kufanyiwa marekebisho ili iendane na mkataba wa uanzishwaji wa Jumuiya amesema Jaji Nyachae.,12.115125,112
200701-101457_swh_35d_elicit_136.wav,Akizungumza baada ya hukumu hiyo kutolewa Katibu wa MCT Kajubi Mukajanga amesema leo ni siku ya kihistoria na ushindi kwa wanahabari na ushindi kwa Serikali kwani imepewa wasaa wa kwenda kurekebisha sheria hiyo.,24.6613125,211
200701-101457_swh_35d_elicit_137.wav,Demokrasia leo imeshinda haki ya wanahabari kufanya kazi bila kuingiliwa imethibitishwa leo na Mahakama ya Afrika Mashariki amesema Mukajanga.,15.9039375,142
200701-101457_swh_35d_elicit_138.wav,Katibu mtendaji wa MCT Kajubi Mukajanga na baadhi ya wanasheria wamezungumzia hatua hiyo huku wakieleza kuwa haki imetendeka na sasa wanasubiri utekelezaji wa amri hiyo kwa upande wa serikali ya Tanzania.,18.104625,204
200701-101457_swh_35d_elicit_139.wav,Mwaka 2016 Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha sheria yahuduma ya vyombo vya habari ambayo ililalamikiwa na wadau wote kuwa inakandamiza uhuru wa habari hatua iliyopelekea wadau haokwenda mahakamani.,21.1220625,217
200701-101457_swh_35d_elicit_140.wav,Imetayarishwa na Mwandishi wetu Washington DC Makamo Rais wa zamani wa Marekani Joe Biden aliangaziwa sana katika mdahalo wa pili wa Alhamisi usiku kati ya wagombea 10 wa chama cha Demokrat akihoji uhusiano wake na wabaguzi wa rangi.,24.2075625,233
200701-101457_swh_35d_elicit_141.wav,Ukosoaji ulijitokeza ndani ya ukumbi wa Miami Florida wakati mgombea mwenza seneta wa California Kamala Haris alivyomkabili vikali Biden na kusema miongo minne iliyopita alipinga kuwepo mabasi ya kuwachukua wanafunzi ili kuziunganisha shule.,25.727625,241
200701-101457_swh_35d_elicit_142.wav,Harris alielezea maskitiko yake makubwa aliposikiliza matamshi ya Biden akikiri kuwa alipokuwa seneta kijana alishirikiana na maseneta wabaguzi kwa kupasisha mswada wa sheria ambao Harris aliutaja kama waubaguzi dhidi ya wamarekani weusi.,27.1115625,238
200701-101457_swh_35d_elicit_143.wav,Harris ambaye ni mwendesha mashtaka wa zamani wa serikali alimgeukia Biden na kusema Siamini kuwa wewe ni mbaguzi.,12.6823125,114
200701-101457_swh_35d_elicit_144.wav,Lakini seneta huyo Marekani mweusi aliwafurahisha waliohudhuria mdahalo huo katika ukumbi wa mikutano Miami Florida aliposema inaumiza kusikia kile Biden hivi karibuni alichoeleza kama seneta kijana alifanya kazi na maseneta wabaguzi wa maeneo ya kusini kupitisha sheria za ubaguzi.,26.22675,282
200701-101457_swh_35d_elicit_145.wav,Hiyo ni kunipa wasifu usiolingana na nafasi yangu katika jamii alijibu Biden aliyekuwa amekunja uso wake.,12.1831875,105
200701-101457_swh_35d_elicit_146.wav,Mimi sikuwa nakubali vitendo vya ubaguzi.,5.446375,41
200701-101457_swh_35d_elicit_147.wav,Lakini Harris alishinikiza katika shutuma hizo akimtaka Biden kueleza Je unakubali ilikuwa ni makosa kupinga matumizi ya basi za kuwapeleka wanafunzi shule zilizokuwa zinawaunganisha wanafunzi wa rangi zote Harris alisema alinufaika na mradi wa mabasi ya shule na kumwezesha kuhudhuria masomo katika shule zilizokuwa hazina ubaguzi.,29.3349375,332
200701-101457_swh_35d_elicit_148.wav,Mwaka wa 1970 mahakama iliamua kwamba mswada huo wa sheria utenganishe Wamarekani katika miji mingi ya marekani.,13.34025,112
200701-101457_swh_35d_elicit_149.wav,Yemen imethibitisha Ijumaa kuwepo ambukizi la kwanza la virusi vya corona lililotokea katika jimbo la kusini la Hadharalmauti lenye utajiri wa mafuta.,15.654375,150
200701-101457_swh_35d_elicit_150.wav,Kamati ya kitaifa ya dharura kwa ajili ya COVID 19 imetoa taarifa hiyo kwenye twitter bila ya kutoa maelezo zaidi.,10.2320625,114
200701-101457_swh_35d_elicit_152.wav,Maafisa wa Umoja wa Mataifa wameelezea wasiwasi wao wakisema iwapo virusi hivyo vitasambaa nchini Yemen athari yake itakuwa janga kubwa kwa sababu mfumo wa huduma za afya kwa nusu ya raia wote wa Yemen ni duni sana.,21.4850625,215
200701-101457_swh_35d_elicit_153.wav,UN imeeleza kuwa taifa hilo linakabiliwa na uhaba wa vifaa muhimu vya matibabu wataalam wa kutosha na uhaba wa vituo vya kutoa huduma.,13.022625,134
200701-101457_swh_35d_elicit_154.wav,Habari hiyo imefuatia taarifa ya sitisho la mapigano nchini kote kufuati wito wa UN ukizitaka pande zote hasimu duniani kusitisha mapigano ili kutoa fursa kwa misaada ya dharura kufikia nchi hizo kukabiliana na mlipuko wa corona.,20.736375,229
200701-101457_swh_35d_elicit_155.wav,Serikali ya Yemen inayoungwa mkono na Saudi Arabia illitangaza kusitisha operesheni za kijeshi katika kipindi cha wiki maili lakini waasi wa Kihouthi wanaoungwa mkono na Iran walikuwa hawakubaliana na pendekezo hilo la serikali.,24.3890625,228
200701-101457_swh_35d_elicit_157.wav,Majambazi yenye silaha yameua watu wasiopungua 50 katika vijiji kadhaa vilivyoko katika jimbo la Kaduna kaskazini mwa Nigeria Jumapili kwa mujibu wa maelezo ya polisi na wakazi wa eneo hilo.,16.78875,190
200701-101457_swh_35d_elicit_159.wav,Majambazi hao walianza kufyetua risasi kila upande wakati waumini wakitoka msikitini baada ya sala ya alfajiri Ibrahim amesema akiongeza kuwa waliojeruhiwa walipelekwa katika hospitali mbili zilizoko katika eneo.,18.05925,212
200701-101457_swh_35d_elicit_160.wav,Dayyabu Kerawa diwani katika eneo amesema mashambulizi hayo yamefanyika kulipiza kisasi operesheni ya jeshi inayofanywa dhidi ya majambazi hao katika eneo.,16.924875,155
200701-101457_swh_35d_elicit_161.wav,Washambuliaji hao wamewatuhumu wakazi wa vijiji hivyo kwa kutoa taarifa zao mahali walikojificha kwa jeshi hilo amesema.,11.570625,120
200701-101457_swh_35d_elicit_163.wav,Kwa mujibu wa polisi wa eneo hilo takriban watu mia moja wenye silaha walivamia vijiji vya Kerawa Rago Zareyawa Marina Hashimawa na Unguwar Barau ambavyo vyote viko katika wilaya ya Igabi na majambazi hao walipiga bunduki na kuiba pamoja na kuchoma nyumba za wakati hao.,25.818375,270
200701-101457_swh_35d_elicit_165.wav,Mwezi uliopita watu 21 kumi na sita kati yao wakiwa wanafamilia moja waliuawa katika mashambulizi kama hayo katika kijiji cha Bakali jirani na wilaya ya Giwa.,15.7224375,158
200701-101457_swh_35d_elicit_166.wav,Rais wa Marekani Donald Trump Jumanne usiku alianza hotuba yake ya tatu ya Hali ya Taifa kwa kuelezea hatua ambazo alisema utawala wake umepiga katika kuimarisha uchumi tangu alipoingia mamlakani.,19.8515625,196
200701-101457_swh_35d_elicit_167.wav,Trump alikuwa akilihutubia taifa kwenye majengo ya bunge ambapo alielezea sera za utawala wake na kusema kwamba alikuwa ametimiza ahadi alizotoa wakati wa kampeni ya kwelekea kwa uchaguzi wa mwaka 2016.,20.78175,202
200701-101457_swh_35d_elicit_168.wav,Hata hivyo punde tu baada ya hotuba hiyo Spika wa Baraza la Wawakilishi Nancy Pelosi akionekana mwenye hasira alirarua nakala ya hotuba hiyo na kuitupa mezani.,14.79225,159
200701-101457_swh_35d_elicit_169.wav,Awali Trump alishangiliwa na wabunge wa chama cha Republican muda mfupi baada ya kuanza hotuba yake.,11.116875,100
200701-101457_swh_35d_elicit_170.wav,Miaka mingine minne Miaka mingine minne walisema.,7.033125,49
200701-101457_swh_35d_elicit_171.wav,Pamoja na kusifia juhudi zake za kuimarisha uchumi rais huyo ambaye anakabiliwa na mashtaka ya kutaka kumwondoa mamlakani aliguzia masuala mengine kadhaa ikiwa ni pamoja na sera zake kuhusu elimu uhamiaji jeshi la Marekani ugaidi na nafasi za ajira kwa Wamerkani weusi na wanawake.,26.181375,281
200701-101457_swh_35d_elicit_172.wav,Na katika tukio lingine la kushtukiza Trump alimkaribisha kiongozi wa upinzani wa Venezuela Juan Guaido ambaye alikuwa ndani ya ukumbi huo wa bunge.,13.6351875,148
200701-101457_swh_35d_elicit_173.wav,Aidha Trump aliwatuza baadhi ya wageni walioalikwa ikiwa ni pamoja na mtangazaji maarufu wa redio Rush Limbaugh anayefahamika kwa kutetea sera za Warepublican.,15.33675,159
200701-101457_swh_35d_elicit_174.wav,Limbaugh alitangaza mapema wiki hii kwamba anaugua saratani ya mapafu.,7.53225,70
200701-101457_swh_35d_elicit_175.wav,Mwanzoni mwa hotuba hiyo tukio lisilo la kawaida lilijiri pale rais huyo alionekana kama alipuuza ishara ya Spika Pelosi ambaye alikuwa amemnyooshea mkono wa kumkaribisha kwenye jukwaa ili kuanza hotuba yake.,18.830625,208
200701-101457_swh_35d_elicit_176.wav,Trump alipita bila kumwangalia Bi Pelosi na kusimama mbele yake tayari kwa hotuba hiyo.,7.940625,87
200701-101457_swh_35d_elicit_177.wav,Hotuba hiyo ilijiri wakati ambapo Wamarekani wamegawanyika kisiasa kwa hususan kufuatia hatua ya Baraza la Wawakilishi kuwasilisha mashtaka ya kutaka kumwondoa mbele ya baraza la seneti huku taifa likielekea kwa uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Novemba mwaka huu.,25.455375,264
200701-101457_swh_35d_elicit_178.wav,Mchambuzi wa masuala ya siasa Prof Fulbert Namwamba alisema hotuba ya rais huyo ni mkakati tu wa kujitayarisha kwa uchaguzi huo.,12.5008125,128
200701-101457_swh_35d_elicit_179.wav,Yote aliyoyasema kwenye hotuba hiyo ni ya kutaka kujipendekeza kwa wapiga kura alisema Prof Namwamba katika mahojiano ya moja kwa moja kwa njia ya simu na idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Amerika.,18.1726875,194
200701-101457_swh_35d_elicit_180.wav,Wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wameanza Jumapili kupiga kura kwenye uchaguzi wa Rais ambao umechelewa kufanyika kwa zaidi ya miaka miwili.,14.6334375,152
200701-101457_swh_35d_elicit_181.wav,Vituo vya kupigia kura vimefunguliwa na kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo takriban wapiga kura milioni 40 tayari wamesha jiandikisha kupiga.,15.7678125,150
200701-101457_swh_35d_elicit_182.wav,Rais Joseph Kabila ambaye amekuwa madarakani tangu mwaka 2001 alitangaza mwaka huu kuachia madaraka.,9.6435625,100
200701-101457_swh_35d_elicit_183.wav,Lakini siku chake zilizopita kumeshuhudiwa ghasia kufuatia uamuzi kwa kuwanyima karibu watu milioni 1.,9.6195,102
200701-101457_swh_35d_elicit_184.wav,3 haki ya kupiga kura.,3.493875,22
200701-101457_swh_35d_elicit_185.wav,Upigaji kura ulianza majira ya saa kumi ya alfajiri na utaendelea hadi saa kumi na moja jioni.,8.6439375,94
200701-101457_swh_35d_elicit_186.wav,Wachambuzi wa siasa wanasema kuwa uchaguzi huu unatazamiwa utaleta mabadilishano ya kwanza ya madaraka kwa njia ya kidemokrasia tangu nchi hiyo ipate uhuru mwaka 1960.,19.3070625,167
200701-101457_swh_35d_elicit_187.wav,Kabila ambaye amekuwa madarakani tangu kuuawa kwa baba yake 2001 ataachia ngazi katika hatua ya kihistoria.,10.0959375,107
200701-101457_swh_35d_elicit_188.wav,DRC imeshuhudia utawala wa kiimla mapinduzi ya kijeshi na vita vya wenyewe kwa wenyewe tangu lilipopata uhuru kutoka Ubelgiji mwaka 1960.,14.1343125,137
200701-101457_swh_35d_elicit_189.wav,Waziri Mkuu wa Uhispania Pedro Sanchez analenga ifikapo kipindi cha pili cha mwezi Mei kufikia upeo wa kupunguza maambukizi wakati serikali yake na wengine wakianza kupanga kulegeza masharti magumu yaliyowekwa kudhibiti kuenea kwa virusi vya corona.,23.095875,249
200701-101457_swh_35d_elicit_190.wav,Akizungumza katika bunge Jumatano wakati akiomba muda wa amri ya kutotoka nje uliowekwa hivi sasa uongezwe hadi Mei 9 Sanchez amesema Uhispania ikianza kulegeza masharti mchakato utakuwa hatua kwa hatua.,19.69275,203
200701-101457_swh_35d_elicit_191.wav,Hilo litakwenda sambamba na tahadhari zilizotolewa na maafisa wa afya wa umma ambao siku za karibuni wamezitaka serikali kuwa waangalifu katika kulegeza masharti upande wa biashara na shughuli za umma wakisema kuwa kuharakisha hilo kunahatarisha kuzuka maambukizi mapya.,24.547875,270
200701-101457_swh_35d_elicit_192.wav,Uhispania imekuwa moja kati ya nchi zilizoathirika vibaya zaidi na maambukizi duniani ambapo kuna maambukizi 208 000 yaliyothibitishwa ya COVID 19 na vifo visivyo pungua 21 700.,17.4013125,177
200701-101457_swh_35d_elicit_193.wav,Masharti ya kutotoka nje yalitangazwa katikati ya mwezi Machi.,7.305375,62
200701-101457_swh_35d_elicit_194.wav,Baadhi ya biashara zimeruhusiwa kufunguliwa na baada ya ukosoaji kutoka kwa wananchi serikali imesema kuanzia Jumapili watoto chini ya miaka 14 wataruhusiwa kutoka nje kutembea.,15.9946875,177
200701-101457_swh_35d_elicit_195.wav,Wakati ambapo nchi nyingi duniani zimejikita katika programu za kupima kutambua maambukizi kuwatenga walioambukizwa na kufuatilia wale waliokuwa wamekaribiana nao kuna wasiwasi juu ya maeneo ambapo upimaji wa umma haupo na watu wanaishi kwa kuchanganyikana.,23.8445625,257
200701-101457_swh_35d_elicit_196.wav,Hii ni pamoja na makambi ya wakimbizi na Jumatano shirika la Umoja wa Mataifa UN linalowasimamia wakimbizi wa Palestina limeripoti ambukizi lililothibitishwa la mtu wa kwanza katika kambi mmoja mashariki ya Lebanon.,19.4431875,215
200701-101457_swh_35d_elicit_197.wav,Shirika hilo limesema mwanamke ni Mpalestina kutoka Syria na amepelekwa hospitali mjini Beirut.,9.1430625,95
200701-101457_swh_35d_elicit_198.wav,Limeongeza kuwa linachukuwa hatua muhimu zinazohitajika kuwasaidia familia yake kujitenga na misongamano na kwamba inapeleka timu ya wataalam kuchukuwa vipimo vya virusi vya corona.,17.197125,181
200701-101457_swh_35d_elicit_199.wav,Serikali pia zinania ya kutafuta chanjo ya COVID 19 hatua muhimu itakayo epusha milipuko mikubwa siku za usoni.,12.750375,111
200703-095932_swh_35d_elicit_0.wav,Miongoni mwa mapendekezo yake ripoti hiyo ya pamoja inataka usalama kamili wa kijamii na upatikanaji rahisi wa mikopo kwa kaya masikini ili kukabiliana na tishio la ajira kwa watoto.,18.013875,182
200703-095932_swh_35d_elicit_1.wav,Imetayarishwa na mwandishi wetu Sunday Shomari Washington DC.,6.9650625,61
200703-095932_swh_35d_elicit_2.wav,Watu nchini Mauritius kuanzia sasa watafanya manunuzi ya bidhaa muhimu kwa siku maalum ambazo zimetengwa kulingana na herufi ya kwanza ya jina lao la pili ikiwa ni hatua ya kuzuia kusambaa kwa virusi vya corona.,21.8480625,211
200703-095932_swh_35d_elicit_3.wav,Waziri Mkuu Pravind Jugnauth amesema hatua hiyo huenda ikasaidia kuepusha misongamano na kuongeza kuwa wanunuzi watapewa muda wa dakika 30 kununua bidhaa.,19.012125,154
200703-095932_swh_35d_elicit_4.wav,Hii ina maana kwamba wale ambao majina yao ya mwisho yanaanza na herufi A mpaka F watafanya manunuzi siku ya Jumatatu na Alhamisi na wenye majina ya wisho yanayo anzia G mpaka N watafanya manunuzi siku ya Jumanne na Ijumaa na wenye majina ya mwisho O mpaka Z watafanya manunuzi Jumatano na Jumamosi.,32.7834375,299
200703-095932_swh_35d_elicit_6.wav,Jumanne taifa hilo la kisiwani liliripoti kifo cha tano kufuatia mlipuko wa COVID 19 tangu kuripotiwa maambukizi nchini humo.,15.2233125,125
200703-095932_swh_35d_elicit_7.wav,Muathirika wa karibuni alikuwa mwanamme mwenye umri wa miaka 71 ambaye alilazwa hospitali tangu Jumapili.,13.70325,105
200703-095932_swh_35d_elicit_8.wav,Mamlaka zinasema watu 161 wenye Covid 19 wanatibiwa katika mahospitali kote nchini humo.,13.204125,88
200703-095932_swh_35d_elicit_9.wav,Kiasi cha watu 1 709 wako katika karantini kwenye vituo maalum vya serikali na hoteli binafsi.,13.34025,94
200703-095932_swh_35d_elicit_10.wav,Waziri mkuu pia ametangaza kuongeza muda wa kuzuia watu kutosha nje mpaka Aprili 15.,12.024375,84
200703-095932_swh_35d_elicit_11.wav,Imetayarishwa na mwandishi wetu Khadija Riyami Washington DC.,9.120375,61
200703-095932_swh_35d_elicit_14.wav,Kurejea kwa Lowassa kulikuwa kukitabiriwa na baadhi ya watu lakini mara kadhaa Lowassa alikanusha kuwa anampango wa kurudi katika chama hicho.,15.2233125,142
200703-095932_swh_35d_elicit_15.wav,Vyanzo vya habari vinasema hatua hiyo imewashitua watu wengi kwa sababu ya kile ambacho kilisababisha yeye kuhama chama hicho.,14.02225,126
200703-095932_swh_35d_elicit_16.wav,Lowassa baada ya kuitumikia CCM kwa kipindi kirefu alikihama chama cha hicho kufuatia mvutano uliotokea baada ya kutoidhinishwa na chama hicho kuwa mgombea wa urais.,22.6194375,165
200703-095932_swh_35d_elicit_17.wav,Sherehe za mapokezi yake wakati akirejea rasmi Ijumaa zilifanyika katika ofisi ndogo ya CCM iliyoko Lumumba Dar es Salaam na kupokelewa na Mwenyekiti wa chama hicho John Magufuli.,22.1203125,179
200703-095932_swh_35d_elicit_18.wav,Lowassa mara kadhaa amefanya mazungumzo na Rais John Magufuli Ikulu ya Tanzania.,11.16225,80
200703-095932_swh_35d_elicit_19.wav,Kumekuwa na wimbi la wanachama wa upinzani kuingia CCM tangu Magufuli achaguliwe 2015 kitu ambacho kimekuwa kikizungumziwa katika duru za siasa kwamba kinadhoofisha upinzani.,20.6683125,174
200703-095932_swh_35d_elicit_20.wav,Msaada huo ni hatua ya kwanza katika kujibu kile maafisa wa Marekani wanachokiita shambulizi la Iran lililofanywa mwanzoni mwa mwezi huu kwenye vinu vya mafuta vya Saudi Arabia Pentagon inapeleka Saudi Arabia betri za makombora aina ya Patriot mifumo minne ya rada na kiasi cha wanajeshi 200 ili kusaidia kulinda anga ya nchi hiyo ya kifalme dhidi ya mashambulizi zaidi.,37.525125,370
200703-095932_swh_35d_elicit_21.wav,Msemaji mkuu wa Pentagon Jonathan Hoffman alisema Alhamis upelekaji huo utaongeza nguvu ya ulinzi wa makombora ya anga kwenye miundo mbinu muhimu ya kijeshi na kiraia nchini humo.,20.010375,179
200703-095932_swh_35d_elicit_22.wav,Hoffman aliongeza kuwa betri mbili zaidi za patriot na mfumo wa ulinzi wa teknolojia ya juu THAAD pia unaandaliwa kupelekwa huko ili kujikinga dhidi ya makombora kama ikihitajika.,20.0330625,179
200703-095932_swh_35d_elicit_23.wav,Msaada huo ni hatua ya kwanza katika kujibu kile maafisa wanachokiita shambulizi la Iran lililofanywa mwanzoni mwa mwezi huu kwenye vinu vya mafuta vya Saudi Arabia.,19.556625,165
200703-095932_swh_35d_elicit_24.wav,Ofisa mmoja wa Marekani aliiambia Sauti ya Amerika VOA kwamba shambulizi lilianzia huko kusini magharibi ya Iran na kwamba Marekani ina ushahidi zaidi wa kuunga mkono madai yake sio tu mabaki japokuwa hakuna ushahidi wowote uliotolewa na Marekani hadi hivi sasa.,25.1604375,262
200703-095932_swh_35d_elicit_25.wav,Polisi nchini Tanzania wamethibitisha Jumanne kuwa wanamshikilia mwandishi wa habari Erick Kabendera ambaye Jumatatu iliripotiwa kuwa amechukuliwa na watu wasiojulikana.,18.15,169
200703-095932_swh_35d_elicit_26.wav,Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam Lazaro Mambosasa aliwaambia waandishi wa habari mjini Dar es salaam Jumanne kuwa Kabendera anashikiliwa kuhojiwa kuhusu uraia wake.,18.8533125,176
200703-095932_swh_35d_elicit_27.wav,Mambosasa alisema polisi ililazimika kumkamata Kabendera baada ya kushindwa kuripoti kituo cha polisi kama alivyotakiwa.,13.5898125,120
200703-095932_swh_35d_elicit_28.wav,Kabendera mwandishi wa habari za uchunguzi katika magazeti ya ndani na nje ya nchi alikamatwa nyumbani kwake Jumatatu katika mazingira yaliyozusha wasiwasi kwamba waliomchukua sio polisi baada ya polisi kusema hawana habari yoyote kuhusu kukamatwa kwa mwandishi huyo.,24.003375,267
200703-095932_swh_35d_elicit_29.wav,Baada ya habari kuanza kuripotiwa katika vyombo vya ndani na nje ya nchi pamoja na mitandao ya kijamii polisi katika wilaya ya Kinondoni Dar es salaam walithibitisha Jumatatu usiku kuwa mwandishi huyo amekamatwa na yuko mikononi mwa polisi.,24.1621875,240
200703-095932_swh_35d_elicit_30.wav,Ndugu wa Kabendera wanasema mwandishi huyo alizaliwa Bukoba mkoa wa Kagera mwaka 1980.,11.70675,86
200703-095932_swh_35d_elicit_31.wav,Alikwenda chuo kikuu cha Dar es salaam na ameishi maisha yake yote nchini Tanzania.,10.0505625,83
200703-095932_swh_35d_elicit_32.wav,Serikali ya China imetangaza Jumatatu kwamba inahitaji misaada ya vifaa vya huduma za afya na maski zinazotumika katika vyumba vya upasuaji wakati idadi ya vifo kutokana na ugonjwa unaosababishwa na kirusi corona ikiongezeka na kufikia 360.,26.04525,240
200703-095932_swh_35d_elicit_33.wav,Idadi hiyo hivi sasa imepita idadi ya vifo vilivyotokea wakati wa mlipuko wa homa ya mafua Sars miaka 20 iliyopita na idadi ya watu walioambukizwa imepinduk 17 200.,22.6648125,164
200703-095932_swh_35d_elicit_34.wav,Idadi ya vifo 57 vilivoripotiwa Jumatatu ni idadi kubwa ya siku moja tangu ugonjwa kugunduliwa mwaka 2019 katika mji wa kati wa Wuhan.,16.4030625,134
200703-095932_swh_35d_elicit_35.wav,Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje Hua Chunying amewaambia waandishi habari kwamba China inahitaji kwa dharura maski na mavazi ya kujikinga na maambukizi ya virusi.,18.7625625,171
200703-095932_swh_35d_elicit_36.wav,Tangazo hilo limetolewa wakati serikali ya Bejing ilikuwa inafungua hospitali ya muda yenye vitanda elfu 1 iliyojengwa kwa haraka ili kuweza kukabiliana na mlipuko huo wa kirusi corona.,18.876,185
200703-095932_swh_35d_elicit_37.wav,Virusi hivyo vimeshaenea katika nchi 24 za dunia licha ya kwamba serikali mbali mbali zinachukuwa hatua za tahadhari ambazo hazijawahi kushuhudiwa.,15.5863125,147
200703-095932_swh_35d_elicit_38.wav,Mkuu wa Shirika la Afya Duniani WHO Tedros Adhanom Gehebreyesus amesema Jumatatu kwamba hakuna haja ya kuchukua hatua ambazo zitaingilia kati usafiri wa kimataifa na biashara katika kujaribu kuzuia kuenea kwa virusi vya corona.,21.5985,227
200703-095932_swh_35d_elicit_40.wav,Mchambuzi wa kiuchumi mjini Juba alieleza inaonekana Ezekiel Gatkuoth alifukuzwa kazi kwa sababu hakuwa muwazi namna fedha za wizara hiyo zilivyokuwa zikitumika na huwenda amevunja sheria kuweka fedha ndani ya akaunti kwenye benki ya serikali Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir amemfuta kazi mkuu wa wizara muhimu ya mafuta ambayo inaingiza zaidi ya asilimia 90 ya mapato ya serikali ya Sudan Kusini.,41.699625,397
200703-095932_swh_35d_elicit_41.wav,Kiir alichukua hatua hiyo Alhamis kumfuta kazi Ezekiel Lol Gatkuoth baada ya kuongoza wizara hiyo kwa miaka mitatu na nafasi yake kuchukuliwa na Awow Daniel Chuang.,19.3524375,164
200703-095932_swh_35d_elicit_42.wav,Hata hivyo Rais Kiir hakutoa sababu za kufanya mabadiliko hayo lakini mchambuzi wa kiuchumi anayeishi mjini Juba alieleza inaonekana Gatkuoth alifukuzwa kazi kwa sababu hakuwa muwazi kuhusu namna fedha za wizara hiyo zilivyokuwa zikitumika na huwenda amevunja sheria kuhusu namna ya kuweka fedha ndani ya akaunti kwenye benki moja ya serikali.,33.9178125,343
200703-095932_swh_35d_elicit_43.wav,Naye mchambuzi wa sera Augustino Ting Mayai wa taasisi ya SUDD yenye makao yake Juba alieleza kwamba katika mwaka wa kwanza wa Ezekiel Lol Gatkouth kama waziri wa mafuta uzalishaji mafuta na mapato ni kwamba mapato ya serikali yalipunguka wakati mzozo ulipokuwa unaendelea nchi nzima pale bei ya mafuta iliposhuka kwenye soko la kimataifa.,34.485,339
200703-095932_swh_35d_elicit_44.wav,Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amesema ataheshimu utaratibu wa sheria lakini Uingereza itajiondowa kutoka Umoja wa Ulaya EU ifikapo Oktoba 31.,17.5828125,150
200703-095932_swh_35d_elicit_45.wav,Johnson alikuwa anazungumza mjini New York anakohudhuria mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa baada ya mahakama kuu ya Uingereza kwa sauti moja kuamua kwamba hatua yake ya kuahirisha kikao cha Bunge imekwenda kinyume cha sheria na haiwezi kutekelezwa.,24.684,256
200703-095932_swh_35d_elicit_46.wav,Vyama vya upinzani mara moja vimemtaka waziri mkuu ajiuzulu na kikao cha bunge kuitishwa Jumatano.,11.88825,98
200703-095932_swh_35d_elicit_47.wav,Mahakimu 11 wa mahakama kuu ya Uingereza kwa sauti moja walisema hatua ya Johnson kumshauri Malkia Elizabeth kuahirisha kikao cha bunge inakwenda kinyume na katiba.,18.558375,164
200703-095932_swh_35d_elicit_48.wav,Bunge liliahirishwa na waziri mkuu hapo sep temba 10 wakati wa majadiliano juu ya pendekezo la Johnson kutaka uchaguzi wa mapema kufanyika kabla ya muda wa Uingereza kujiundowa kutoka umoja wa Ulaya hapo Oktoba 31.,23.14125,214
200703-095932_swh_35d_elicit_50.wav,Baraza kuu la bunge lnalofahamika kama House of Commons litakutana tena kesho kufuatoia uwamuzi huo wa mahakama na spika wa baraza hilo John Brecow anasema kitakua kikao cha kawaida bila ya kipindi cha maswala na majibu.,22.05225,220
200703-095932_swh_35d_elicit_51.wav,Viongoi wa chama kikuu cha upinzani cha Labour kimesema kitafikishahoja ya kutokuwa na imani na wazir mkuu wakisema ametumia vibaya mamlaka yake na kumpotosha Malkia.,17.5828125,166
200703-095932_swh_35d_elicit_53.wav,Imetayarishwa na mwandishi wetu Abdushakur Aboud Washington DC.,7.623,63
200703-095932_swh_35d_elicit_54.wav,Rais wa China Xi Jinping amekutana na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ambaye yuko China akihudhuria mkutano wa ushirikiano wa kimataifa kuhusu ujenzi wa reli na barabara.,15.654375,167
200703-095932_swh_35d_elicit_55.wav,Hii ni mara ya tatu Kenyatta kukutana na Xi Jinping katika kipindi cha mwaka mmoja ambapo Xi Jinping amesema mkutano huo ni muhimu kwa ajili ya kuboresha uhusiano mwema kati ya Kenya na China.,18.4449375,192
200703-095932_swh_35d_elicit_57.wav,Viongozi hao wamekubaliana kuimarisha uhusiano wao katika kufanikisha miradi mbalimbali.,10.8219375,88
200703-095932_swh_35d_elicit_59.wav,Nchi 12 barani Afrika zikiwemo Tanzania Burundi Uganda zimepitisha sheria au sera zinazokandamiza kimakosa asasi zisizokuwa za kiserikali na jumuiya za kiraia ambazo ziko hatarini imeeleza taasisi inayofuatilia demokrasia Freedom House katika ripoti yake mpya.,37.5931875,260
200703-095932_swh_35d_elicit_60.wav,Vikwazo dhidi ya NGOs vinaathiri uwezo wa jumuiya za kiraia kujipanga na raia kuweza kuziwajibisha serikali na kusimamia haki za binadamu amesema Godfrey M.,17.87775,156
200703-095932_swh_35d_elicit_61.wav,Musila mwandishi wa ripoti iliyotolewa Jumanne na Taasisi inayojitegemea yenye makao yake Washington.,11.3664375,101
200703-095932_swh_35d_elicit_62.wav,No media source currently available Udhibiti wa madikteta au serikali kandamizi Ameongeza kuwa vipingamizi vilivyowekwa na serikali bila shaka vinaambatana na hatua nyengine za kuzuia aina nyengine za uhuru na kuimarisha udhibiti unaofanywa na serikali au mtu anayetawala kwa mabavu.,27.4291875,283
200703-095932_swh_35d_elicit_64.wav,Hatua kama vile kuweka ugumu katika usajili au kuzuia wafanyakazi wa kigeni na misaada ya kifedha zimekuwa zikitekelezwa katika nchi zifuatazo Algeria Burundi Misri Ethiopia Rwanda Sierra Leone Sudan Kusini Sudan Tanzania Tunisia Uganda and Zambia.,28.813125,248
200703-095932_swh_35d_elicit_65.wav,Ethiopia imeondoa vikwazo hivyo mwezi Februari 2018.,8.031375,52
200703-095932_swh_35d_elicit_66.wav,Nchi zilizochelewesha kutekeleza Ripoti hiyo inasema kuwa vikwazo dhidi ya NGO vimewekwa pembeni au vinaweza kutekelezwa nchini Misri Malawi Msumbiji Rwanda Sudan na Zambia.,19.102875,173
200703-095932_swh_35d_elicit_67.wav,Vikwazo kama hivyo vilianzishwa lakini vikatupiliwa mbali na viongozi vikakataliwa na bunge au vikafutwa na mahakama katika nchi sita Kenya Angola Congo Brazzaville Malawi Nigeria and Zimbabwe Ethiopia imepiga hatua kuondoa vikwazo Ethiopia mwaka 2009 ilikuwa imeweka kile Musila anachokieleza kwa VOA kama ni vikwazo kandamizi kama vile kuzuia makundi ya haki za binadamu kushiriki katika uhamasishaji lakini iliziondoa baada ya Waziri Mkuu Abiy Ahmed kuchukua madaraka Aprili 2018.,54.132375,483
200703-095932_swh_35d_elicit_68.wav,Na katika nchi hii ya Pembe ya Afrika inang ara.,6.6474375,48
200703-095932_swh_35d_elicit_70.wav,Mcheza filamu mkongwe wa Bollywood nchini India Rishi Kapoor amefariki Alhamisi mjini Mumbai baada ya kuugua kwa miaka miwili saratani ya damu Leukemia.,16.7206875,152
200703-095932_swh_35d_elicit_71.wav,Nyota huyo wa filamu amefariki akiwa na umri wa miaka 67 alipata umaarufu kwa picha aliyocheza utotoni ya Mera Naam Joker My Name is Joker ilipelekea kukonga nyoyo za mamilioni ya washabiki ikisimulia mapenzi ya utotoni Bobby mwaka 1973.,25.6595625,237
200703-095932_swh_35d_elicit_73.wav,Kapoor aliwahi kutibiwa katika hospitali ya New York kwa mwaka mmoja kabla ya kurejea India mwezi Septemba mwaka 2019.,13.5898125,118
200703-095932_swh_35d_elicit_74.wav,Alikuwa amelazwa katika hospitali ya Mumbai Jumatano.,8.0540625,53
200703-095932_swh_35d_elicit_75.wav,Madaktari na wauguzi katika hospitali hiyo wamesema alikuwa akiwaburudisha hadi mwisho wa uhai wake.,11.6840625,100
200703-095932_swh_35d_elicit_76.wav,Alikuwa ni mcheshi na mwenye matuamini ya kuishi kwa kipindi chote cha miaka miwili ya matibabu yake katika mabara mawili alikokuwa akitibiwa familia ya Kapoor imesema katika tamko lake.,18.2634375,186
200703-095932_swh_35d_elicit_77.wav,Kapoor alikuwa ni wa kizazi cha tatu katika familia maarufu ya Bollywood ambayo inamchango mkubwa katika sekta hiyo ya filamu.,14.0889375,126
200703-095932_swh_35d_elicit_78.wav,Martin Luther King Jr.,3.3804375,22
200703-095932_swh_35d_elicit_79.wav,ni muasisi wa harakati za haki za kiraia nchini Marekani ambaye aliuwawa zaidi ya miaka 50 iliyopita Aprili 4 1968.,13.9074375,115
200703-095932_swh_35d_elicit_80.wav,Mwanzo wa maisha yake Martin Luther King Jr.,5.6038125,44
200703-095932_swh_35d_elicit_81.wav,alizaliwa Jan 15 1929 katika mji wa Atlanta Jimbo la Georgia.,9.211125,61
200703-095932_swh_35d_elicit_82.wav,Alikuwa ni mtoto wa Martin Luther King Sr.,4.26525,42
200703-095932_swh_35d_elicit_83.wav,ambaye ni mhubiri maarufu na kiongozi wa kupigania haki za raia na mama yake Alberta King ambaye alikuwa ni mwalimu.,10.9580625,116
200703-095932_swh_35d_elicit_84.wav,King anasema kuwa alikuja kuwa na ufahamu zaidi juu ya ubaguzi katika umri wa miaka 6 wakati baba wa moja wa rafiki zake ambaye ni mzungu alikuwa hawezi kumruhusu mtoto wake kucheza naye.,17.2651875,187
200703-095932_swh_35d_elicit_85.wav,Maandalizi ya maandamano King alipata umaarufu katikati ya kipindi cha mwaka 1950 wakati kama mhubiri kijana aliongoza kwa mafanikio harakati za kuondoa ubaguzi ulioigubika sekta ya usafiri wa mabasi ya umma huko mjini Montgomery Jimbo la Alabama akisukuma mji huo kuondoa vitendo vya ubaguzi kwa abiria ambao ni watu weusi.,34.0993125,324
200703-095932_swh_35d_elicit_86.wav,Aliandaa maandamano kupinga ubaguzi huo kipindi chote cha mwaka 1950 na 1960 dhidi ya ubaguzi ulio kuwepo upande wa kusini ya Marekani kwa ajili ya kupigania usawa wa watu weusi na haki za kupiga kura.,20.8044375,201
200703-095932_swh_35d_elicit_87.wav,Falsafa ya amani King alikuwa anafahamu njia kuu ya mafanikio katika harakati za haki za kiraia ilikuwa ni kufuata mkakati wa kuandamana kupinga ubaguzi bila ya uvunjifu wa amani ikiwa ni njia mbadala wa harakati za kutumia silaha.,24.457125,231
200703-095932_swh_35d_elicit_88.wav,King amesema alikuwa amehamasishwa na mafundisho ya kiongozi wa India Mahatma Gandhi.,8.848125,85
200703-095932_swh_35d_elicit_89.wav,Harakati hizo za kupinga ubaguzi zilijaribiwa katika maeneo kama vile Birmingham Alabama ambako polisi walitumia mbwa washambuliaji na maji ya zima moto kuwatawanya waandamanaji watoto wa shule na huko Selma Alabama ambako maandamano ya 1965 yanakumbukwa kama Bloody Sunday Umwagaji wa damu siku ya Jumapili kutokana na polisi kuwashambulia na kuwajeruhi waandamanaji.,37.5705,368
200703-095932_swh_35d_elicit_90.wav,Maandamano ya Mjini Washington Hotuba ya King maarufu I Have a Dream ninayo ndoto ilianzisha kile kilichokuwa ni harakati za watu wengi zaidi weusi wa upande wa Kusini na kampeni hizo za kupigania haki za raia kuenea nchini kote Marekani.,23.1639375,238
200703-095932_swh_35d_elicit_91.wav,Ilipofika August 1963 msukumo huo muhimu wa kuleta haki uliongozeka nchini kote na watu weusi na wazungu 250 000 walisafiri kwenda makao makuu ya Marekani kushiriki katika mandamano hayo yaliyofanyika Washington.,22.9370625,212
200703-095932_swh_35d_elicit_92.wav,Maandamano hayo yalifanyika kwa amani na hapajakuwa na kukamatwa kwa mtu yeyote.,9.438,80
200703-095932_swh_35d_elicit_93.wav,Ushindi wa kisiasa Harakati za haki za binadamu zilifikia kilele chake mwaka 1964 wakati Rais Lyndon Johnson aliposaini Sheria ya Haki za Raia ikipiga marufuku ubaguzi wa rangi katika maeneo ya umma na King alishinda Tuzo ya Amani ya Nobel.,24.366375,240
200703-095932_swh_35d_elicit_94.wav,Mwaka uliofuatia Sheria ya Haki ya Kupiga Kura ilizuia vitendo vilivyo kuwa vikifanywa na wabaguzi kuwazuia watu weusi kushiriki kupiga kura.,16.2215625,141
200703-095932_swh_35d_elicit_95.wav,Kuuwawa King April 4 1968 King aliuwawa kwa kupigwa risasi moja katika nyumba ya malazi mjini Memphis Jimbo la Tennesse ambako alikwenda kuwaunga mkono wafanyakazi wanao safisha mji walio kuwa katika mgomo.,21.68925,206
200703-095932_swh_35d_elicit_96.wav,James Earl Ray mbaguzi ambaye alikiri kumpiga risasi King na kutumikia maisha yake yote Jela.,11.661375,93
200703-095932_swh_35d_elicit_97.wav,King ambaye alikufa akiwa na miaka 39 alitoa hotuba usiku mmoja kabla ya kifo chake ambacho kiliashiria kuuwawa kwake.,14.383875,118
200703-095932_swh_35d_elicit_98.wav,Na tayari nimeiona ardhi iliyo ahidiwa pengine sito weza kufika pale na nyinyi lakini nataka mjue usiku huu kwamba sisi kama watu tutafika pale tulipoahidiwa alieleza.,15.745125,167
200703-095932_swh_35d_elicit_99.wav,Watu wapatao 15 000 bado wanahitaji kuokolewa kutoka maeneo yaliyoathiriwa na mafuriko baada ya kimbunga Idai kupiga eneo la kati la Msumbiji wiki iliyopita Waziri wa Ardhi na Mazingira Celso Correia amesema Alhamisi.,26.4763125,217
200625-112612_swa_5a1_elicit_0.wav,"Ikawa, hapo hilo taifa zima lilipokuwa limekwisha vuka Yordani, ndipo Bwana akanena na Yoshua, akamwambia.",8.3263125,106
200625-112612_swa_5a1_elicit_1.wav,"Haya, twaeni watu waume kumi na wawili katika hao watu, kila kabila mtu mmoja.",6.1936875,78
200625-112612_swa_5a1_elicit_2.wav,"Kisha uwaamrishe, kusema, Twaeni mawe kumi na mawili, hapo katikati ya Yordani, mahali hapo miguu Ya hao makuhani iliposimama imara.",7.8271875,132
200625-112612_swa_5a1_elicit_3.wav,"Mwende nayo mawe hayo, mkayaweke nchi kambini, hapo mtakapolala usiku huu.",6.8289375,74
200625-112612_swa_5a1_elicit_4.wav,"Basi Yoshua akawaita hao watu kumi na wawili, aliokuwa amewaweka tayari tangu hapo.",6.44325,83
200625-112612_swa_5a1_elicit_5.wav,"Katika wana wa Israeli, kila kabila mtu mmoja.",4.719,46
200625-112612_swa_5a1_elicit_6.wav,"Naye Yoshua akawaambia, Haya, piteni ninyi mtangulie mbele ya sanduku la Bwana, Mungu wenu.",7.214625,91
200625-112612_swa_5a1_elicit_7.wav,"Mwende pale katikati ya Yordani, mkatwae kila mtu wenu jiwe moja begani mwake.",6.8289375,78
200625-112612_swa_5a1_elicit_8.wav,"Kwa kadiri ya hesabu ya kabila za wana wa Israeli; ili kwamba jambo hili liwe ishara kati yenu. Hapo watoto wenu watakapowauliza ninyi katika siku zijazo, wakisema, Ni nini maana yake mawe haya?",7.4188125,194
200625-112612_swa_5a1_elicit_9.wav,"Ndipo mtakapowaambia, Ni kwa sababu maji ya Yordani yalitindika mbele ya sanduku la agano la Bwana.",7.71375,99
200625-112612_swa_5a1_elicit_10.wav,"Hapo lilipovuka Yordani, hayo maji ya Yordani yalitindika; na mawe haya yatakuwa ni ukumbusho kwa wana wa Israeli milele.",9.392625,121
200625-112612_swa_5a1_elicit_11.wav,Basi wana wa Israeli walifanya vile vile kama Yoshua alivyowaamuru.,5.9214375,67
200625-112612_swa_5a1_elicit_13.wav,"Nao wakatwaa mawe kumi na mawili pale katikati ya Yordani, kama Bwana alivyomwambia Yoshua. Sawasawa na hesabu ya kabila za wana wa Israeli.",7.577625,140
200625-112612_swa_5a1_elicit_14.wav,"Wakayachukua wakavuka nayo hata mahali pale walipolala, nao wakayaweka nchi kuko huko.",5.1954375,86
200625-112612_swa_5a1_elicit_15.wav,Kisha Yoshua akapanga mawe kumi na mawili katikati ya Yordani.,9.483375,62
200625-112612_swa_5a1_elicit_16.wav,Mahali pale miguu ya hao makuhani waliolichukua hilo sanduku la agano iliposimama; nayo yapo pale pale hata hivi leo.,5.7399375,117
200625-112612_swa_5a1_elicit_17.wav,Kwa kuwa makuhani waliolichukua hilo sanduku walisimama katikati ya Yordani.,9.89175,76
200625-112612_swa_5a1_elicit_18.wav,"Hata mambo yote Bwana aliyomwamuru Yoshua awambie hao watu yakaisha, sawasawa na hayo yote Musa aliyokuwa amemwamuru Yoshua.",4.0156875,124
200625-112612_swa_5a1_elicit_19.wav,Kisha hao watu wakafanya haraka wakavuka.,9.6195,41
200625-112612_swa_5a1_elicit_20.wav,"Ikawa watu wote walipokuwa wamekwisha vuka kabisa, hilo sanduku la Bwana likavuka, na hao makuhani, mbele ya macho ya hao watu.",5.944125,127
200625-112612_swa_5a1_elicit_21.wav,"Na wana wa Reubeni, na wana wa Gadi na hiyo nusu ya kabila ya Manase.",7.0558125,69
200625-112612_swa_5a1_elicit_22.wav,"Wakavuka, hali ya kuvaa silaha mbele ya wana wa Israeli, kama Musa alivyowaambia.",6.851625,81
200625-112612_swa_5a1_elicit_23.wav,"Walipata kama watu arobaini elfu hesabu yao, wenye kuvaa silaha tayari kwa vita.",6.62475,80
200625-112612_swa_5a1_elicit_24.wav,"Waliovuka mbele ya Bwana, waende vitani, hata nchi tambarare za Yeriko.",10.209375,71
200625-112612_swa_5a1_elicit_25.wav,"Siku ile Bwana alimtukuza Yoshua mbele ya macho ya Israeli wote; nao wakamcha, kama walivyokuwa wakimcha Musa, siku zote za maisha yake.",4.26525,136
200625-112612_swa_5a1_elicit_26.wav,"Kisha Bwana akanena na Yoshua, akamwambia.",5.7853125,42
200625-112612_swa_5a1_elicit_27.wav,"Haya, uwaamuru makuhani, hao waliolichukua sanduku la ushuhuda.",5.4676875,63
200625-112612_swa_5a1_elicit_28.wav,Kwamba wakwee juu kutoka mle katika Yordani.,7.2373125,44
200625-112612_swa_5a1_elicit_29.wav,"Basi Yoshua akawaamuru hao makuhani, akawaambia, Haya, kweeni mtoke Yordani.",8.6439375,76
200625-112612_swa_5a1_elicit_30.wav,"Ilikuwa, hapo hao makuhani waliolichukua sanduku la agano la Bwana walipokwea juu kutoka mle kati ya Yordani.",9.075,109
200625-112612_swa_5a1_elicit_31.wav,"Na nyayo za miguu yao hao makuhani zilipoinuliwa na kutiwa katika nchi kavu, ndipo maji ya Yordani yaliporudi mahali pake.",5.762625,122
200625-112612_swa_5a1_elicit_32.wav,"Na kujaa na kuipita mipaka yake, kama yalivyokuwa hapo kwanza.",9.4606875,62
200625-112612_swa_5a1_elicit_33.wav,"Na hao watu wakakwea kutoka Yordani siku ya kumi ya mwezi wa kwanza, wakapiga kambi Gilgali, katika mpaka wa mashariki wa Yeriko.",7.3734375,129
200625-112612_swa_5a1_elicit_34.wav,Na yale mawe kumi na mawili waliyoyatwaa katikati ya Yordani Yoshua akayasimamisha Gilgali.,8.485125,91
200625-112612_swa_5a1_elicit_35.wav,"Akawaambia wana wa Israeli, akasema, Watoto wenu watakapowauliza baba zao katika siku zijazo, wakisema.",2.6998125,103
200625-112612_swa_5a1_elicit_36.wav,Mawe haya maana yake ni nini?,7.89525,29
200625-112612_swa_5a1_elicit_37.wav,"Ndipo mtakapowaarifu watoto wenu mkisema, Israeli walivuka mto huu wa Yordani, kwa njia ya nchi kavu.",5.127375,101
200625-112612_swa_5a1_elicit_38.wav,"Kwa sababu Bwana, Mungu wenu aliyakausha maji ya Yordani, mbele yenu.",6.2844375,69
200625-112612_swa_5a1_elicit_39.wav,"Hata mlipokwisha kuvuka kama Bwana, Mungu wenu, alivyoitenda Bahari ya Shamu.",4.310625,77
200625-112612_swa_5a1_elicit_40.wav,Aliyoikausha mbele yetu hata tulipokwisha kuvuka.,8.485125,49
200625-112612_swa_5a1_elicit_41.wav,"Watu wote wa duniani wapate kujua mkono wa Bwana, ya kuwa ni mkono wenye uweza, ili wamche Bwana, Mungu wenu, milele.",5.5584375,117
200625-112612_swa_5a1_elicit_42.wav,"Ikawa, wafalme wa Waamori, waliokaa ng'ambo ya Yordani pande za magharibi",4.7416875,73
200625-112612_swa_5a1_elicit_43.wav,"Na wafalme wote wa Wakanaani, waliokuwa karibu na bahari.",6.5566875,57
200625-112612_swa_5a1_elicit_44.wav,Waliposikia jinsi Bwana alivyoyakausha maji ya Yordani mbele ya wana wa Israeli.,4.855125,80
200625-112612_swa_5a1_elicit_45.wav,"Hata tulipokwisha kuvuka, basi mioyo yao iliyeyuka.",6.4205625,51
200625-112612_swa_5a1_elicit_46.wav,Wala haikuwamo roho ya nguvu ndani yao tena; kwa ajili ya wana wa Israeli.,3.1989375,74
200625-112612_swa_5a1_elicit_47.wav,Wakati huo Bwana akamwambia Yoshua.,7.123875,35
200625-112612_swa_5a1_elicit_48.wav,"Haya, jifanyie visu vya mawe ya gumegume, watahiri tena wana wa Israeli mara ya pili.",4.9231875,85
200625-112612_swa_5a1_elicit_49.wav,Basi Yoshua akajifanyia visu vya mawe ya gumegume.,5.581125,50
200625-112612_swa_5a1_elicit_50.wav,Akawatahiri wana wa Israeli huko Gibea-haaralothi.,6.44325,50
200625-112612_swa_5a1_elicit_51.wav,"Na sababu ya Yoshua kutahiri ni hii; watu wote waliotoka Misri, waliokuwa waume",7.8045,79
200625-112612_swa_5a1_elicit_52.wav,"Hao watu waume wote waendao vitani walikufa katika bara njiani, baada ya wao kutoka Misri.",5.308875,90
200625-112612_swa_5a1_elicit_53.wav,Kwa kuwa watu wote waliotoka walikuwa wamekwisha kutahiriwa.,7.71375,60
200625-112612_swa_5a1_elicit_54.wav,"Lakini watu wote waliozaliwa katika bara njiani walipokwisha kutoka Misri, hao hawakutahiriwa.",5.127375,94
200625-112612_swa_5a1_elicit_55.wav,Kwa kuwa wana wa Israeli walitembea muda wa miaka arobaini barani,7.1919375,65
200625-112612_swa_5a1_elicit_56.wav,"Hata hilo taifa zima, yaani, watu waume waendao vitani, waliotoka Misri, walipokuwa wameangamia.",7.8045,96
200625-112612_swa_5a1_elicit_57.wav,Kwa sababu hawakuisikiza sauti ya Bwana; nao ndio Bwana aliowaapia ya kwamba hatawaacha waione hiyo nchi.,6.2844375,105
200625-112612_swa_5a1_elicit_58.wav,Ambayo Bwana aliwaapia baba zao kwamba atatupa sisi; nchi ijaayo maziwa na asali.,5.1954375,81
200625-112612_swa_5a1_elicit_59.wav,"Na watoto wao, aliowainua badala yao ndio hao aliowatahiri Yoshua.",6.3298125,66
200625-112612_swa_5a1_elicit_60.wav,"Kwa kuwa wao walikuwa hawakutahiriwa, kwa maana walikuwa hawakuwatahiri njiani.",7.9633125,79
200625-112612_swa_5a1_elicit_61.wav,"Ilikuwa walipokwisha kutahiriwa taifa zima, wakakaa kila mtu mahali pake maragoni, hata walipopoa.",7.16925,98
200625-112612_swa_5a1_elicit_62.wav,"Bwana akamwambia Yoshua, Siku hii ya leo nimeivingirisha hiyo aibu ya Misri iondoke juu yenu.",5.218125,93
200625-112612_swa_5a1_elicit_63.wav,"Kwa hiyo jina la mahali pale likaitwa Gilgali, hata hivi leo.",4.6509375,61
200625-112612_swa_5a1_elicit_64.wav,Basi wana wa Israeli wakapanga hema zao huko Gilgali.,7.986,53
200625-112612_swa_5a1_elicit_65.wav,"Nao wakala sikukuu ya pasaka siku ya kumi na nne ya mwezi, jioni, katika nchi tambarare za Yeriko.",6.5566875,98
200625-112612_swa_5a1_elicit_66.wav,Nao wakala katika mazao ya nchi siku ya pili ya kuiandama hiyo sikukuu ya pasaka.,5.2408125,81
200625-112612_swa_5a1_elicit_67.wav,"Mikate isiyotiwa chachu, na bisi, siku iyo hiyo.",6.1936875,48
200625-112612_swa_5a1_elicit_68.wav,"Ndipo ile mana ikakoma siku ya pili yake, baada ya wao kuyala hayo mazao ya nchi.",7.668375,81
200625-112612_swa_5a1_elicit_69.wav,Na hao wana wa Israeli hawakuwa na mana tena; lakini wakala katika viliwa vya nchi ya Kanaani mwaka huo.,6.897,104
200625-114939_swa_5a1_elicit_0.wav,"Na tazama, mtu mume akasimama kumkabili mbele yake, naye alikuwa na upanga wazi mkononi mwake.",7.7364375,94
200625-114939_swa_5a1_elicit_1.wav,"Yoshua akamwendea, na kumwambia, Je! Wewe u upande wetu, au upande wa adui zetu?",6.579375,80
200625-114939_swa_5a1_elicit_2.wav,"Akasema, La, lakini nimekuja sasa, nili amiri wa jeshi la Bwana.",5.762625,64
200625-114939_swa_5a1_elicit_3.wav,"Yoshua akapomoka kiusouso hata nchi, naye akasujudu, akamwuliza.",5.71725,64
200625-114939_swa_5a1_elicit_4.wav,Bwana wangu aniambia nini mimi mtumishi wake?,3.7434375,45
200625-114939_swa_5a1_elicit_5.wav,"Huyo amiri wa jeshi la Bwana akamwambia Yoshua, Vua viatu vyako miguuni mwako.",6.1936875,78
200625-114939_swa_5a1_elicit_6.wav,Kwa kuwa mahali hapo usimamapo ni patakatifu.,3.63,45
200625-114939_swa_5a1_elicit_7.wav,Yoshua akafanya vivyo.,2.6090625,22
200625-114939_swa_5a1_elicit_8.wav,Basi Yeriko ulikuwa umefungwa kabisa kwa sababu ya wana wa Israeli.,5.1500625,67
200625-114939_swa_5a1_elicit_9.wav,Hapana mtu aliyetoka wala hapana mtu aliyeingia.,3.947625,48
200625-114939_swa_5a1_elicit_10.wav,"Bwana akamwambia Yoshua, Tazama, nimeutia Yeriko katika mkono wako, na mfalme wake, na mashujaa wake.",7.1465625,101
200625-114939_swa_5a1_elicit_11.wav,"Nanyi mtauzunguka mji huu, watu wote wa vita, mkiuzunguka mji mara moja.",5.7399375,72
200625-114939_swa_5a1_elicit_12.wav,Fanya hivi siku sita.,2.223375,21
200625-114939_swa_5a1_elicit_13.wav,Na makuhani saba watachukua tarumbeta saba za pembe za kondoo waume.,5.3315625,68
200625-114939_swa_5a1_elicit_14.wav,"Mbele ya hilo sanduku; na siku ya saba mtauzunguka mji mara saba, nao makuhani watapiga tarumbeta zao.",7.214625,102
200625-114939_swa_5a1_elicit_15.wav,Kisha itakuwa watakapopiga hizo pembe za kondoo waume kwa nguvu.,4.80975,64
200625-114939_swa_5a1_elicit_16.wav,"Nanyi mtakaposikia sauti ya tarumbeta, watu wote watapiga kelele kwa sauti kuu.",5.8760625,79
200625-114939_swa_5a1_elicit_17.wav,"Na ukuta wa mji utaanguka chini pale pale, na hao watu watapanda, kila mtu akiendelea mbele kukabili.",7.305375,101
200625-114939_swa_5a1_elicit_18.wav,"Bali Yoshua, mwana wa Nuni, akawaita makuhani, akawaambia.",3.9703125,58
200625-114939_swa_5a1_elicit_19.wav,"Lichukueni sanduku la agano, tena makuhani saba na wachukue tarumbeta saba za pembe za kondoo waume mbele ya sanduku la Bwana.",9.392625,126
200625-114939_swa_5a1_elicit_20.wav,"Naye akawaambia watu, Piteni mbele, mkauzunguke mji.",4.4240625,52
200625-114939_swa_5a1_elicit_21.wav,Na hao watu wenye silaha na watangulie mbele ya sanduku la Bwana.,4.719,65
200625-114939_swa_5a1_elicit_22.wav,Basi ikawa Yoshua alipokwisha kusema na watu.,3.312375,45
200625-114939_swa_5a1_elicit_23.wav,"Wale makuhani saba, wenye kuzichukua tarumbeta saba za pembe za kondoo waume mbele za Bwana.",6.4205625,92
200625-114939_swa_5a1_elicit_24.wav,"Wakatangulia, wakazipiga hizo tarumbeta; nalo sanduku la agano la Bwana likawafuata.",5.9668125,84
200625-114939_swa_5a1_elicit_25.wav,Wale watu wenye silaha walikwenda mbele ya hao makuhani waliozipiga tarumbeta.,5.1954375,78
200625-114939_swa_5a1_elicit_26.wav,Na wale waliokuwa nyuma wakalifuata hilo sanduku; makuhani wakizipiga tarumbeta walipokuwa wakienda.,7.123875,100
200625-114939_swa_5a1_elicit_27.wav,"Yoshua akawaamuru watu, akasema Msipige kelele, wala sauti zenu zisisikiwe.",6.2844375,75
200625-114939_swa_5a1_elicit_28.wav,"Wala neno lo lote lisitoke kinywani mwenu, hata siku ile nitakapowaamuru kupiga kelele, ndipo mtakapopiga kelele.",8.0086875,113
200625-114939_swa_5a1_elicit_29.wav,"Basi akalipeleka sanduku la Bwana liuzunguke huo mji, likauzunguka mara moja, kisha wakaenda kambini wakakaa kambini.",8.25825,117
200625-114939_swa_5a1_elicit_30.wav,"Yoshua akaondoka asubuhi na mapema, nao makuhani wakalichukua sanduku la Bwana.",5.308875,79
200625-114939_swa_5a1_elicit_31.wav,Na wale makuhani saba wakazichukua tarumbeta saba za pembe za kondoo waume mbele ya sanduku la Bwana.,6.5566875,101
200625-114939_swa_5a1_elicit_32.wav,Wakaendelea wakazipiga tarumbeta; nao watu wenye silaha wakawatangulia.,5.762625,71
200625-114939_swa_5a1_elicit_33.wav,Na hao waliokuwa nyuma wakalifuata sanduku la Bwana; makuhani wakizipiga tarumbeta walipokuwa wakienda.,7.123875,103
200625-114939_swa_5a1_elicit_34.wav,"Siku ya pili wakauzunguka mji mara moja, wakarejea kambini; ndivyo walivyofanya siku sita.",7.1011875,90
200625-114939_swa_5a1_elicit_35.wav,Ikawa siku ya saba wakaondoka asubuhi na mapema wakati wa mapambazuko.,5.1500625,70
200625-114939_swa_5a1_elicit_36.wav,Wakauzunguka mji vivyo hivyo mara saba; ila siku hiyo waliuzunguka huo mji mara saba.,6.942375,85
200625-114939_swa_5a1_elicit_37.wav,"Hata mara ya saba makuhani walipozipiga tarumbeta, Yoshua akawaambia watu.",5.3315625,74
200625-114939_swa_5a1_elicit_38.wav,Pigeni kelele; kwa maana Bwana amewapeni mji huu.,3.90225,49
200625-114939_swa_5a1_elicit_39.wav,"Na mji huu utakuwa wakfu kwa Bwana, mji wenyewe na vitu vyote vilivyomo.",5.853375,72
200625-114939_swa_5a1_elicit_40.wav,"Isipokuwa Rahabu, yule kahaba, ataishi, yeye na watu wote walio pamoja naye nyumbani.",5.7399375,85
200625-114939_swa_5a1_elicit_41.wav,Kwa sababu aliwaficha hao wapelelezi tuliowatuma.,3.8341875,49
200625-114939_swa_5a1_elicit_42.wav,"Na ninyi, msikose kujiepusha na kitu kilichowekwa wakfu.",4.9231875,56
200625-114939_swa_5a1_elicit_43.wav,"Msije mkakitwaa kitu kilichowekwa wakfu, baada ya kukiweka wakfu.",5.35425,65
200625-114939_swa_5a1_elicit_44.wav,Nanyi hivyo mtayafanya matuo ya Israeli kuwa yamelaaniwa na kuyafadhaisha.,6.1936875,74
200625-114939_swa_5a1_elicit_45.wav,"Lakini fedha yote, na dhahabu, na vyombo vya shaba, na chuma, ni vitakatifu kwa Bwana.",6.397875,86
200625-114939_swa_5a1_elicit_46.wav,Vitaletwa katika hazina ya Bwana.,2.949375,33
200625-114939_swa_5a1_elicit_47.wav,"Basi watu wakapiga kelele, na makuhani wakazipiga tarumbeta.",4.401375,60
200625-114939_swa_5a1_elicit_48.wav,"Hata ikawa, hapo watu waliposikia sauti ya tarumbeta hao watu wakapiga kelele kwa sauti kuu sana.",6.7381875,97
200625-114939_swa_5a1_elicit_49.wav,"Na ule ukuta wa mji ukaanguka nchi kabisa, hata watu wakapanda juu.",5.2635,67
200625-114939_swa_5a1_elicit_50.wav,"Wakaingia katika mji, kila mtu akiendelea kukabili mbele; wakautwaa huo mji.",6.1029375,76
200625-114939_swa_5a1_elicit_51.wav,Basi wakaangamiza kabisa vitu vyote vilivyokuwa ndani ya mji.,4.8778125,61
200625-114939_swa_5a1_elicit_52.wav,"Wanaume na wanawake, watoto na wazee, na ng'ombe, na kondoo, na punda, kwa makali ya upanga.",6.62475,92
200625-114939_swa_5a1_elicit_53.wav,Naye Yoshua akawaambia wale wanaume wawili walioipeleleza nchi.,4.582875,63
200625-114939_swa_5a1_elicit_54.wav,"Ingieni katika nyumba ya yule kahaba, mkamtoe huyo mwanamke mwenyewe na vitu vyote alivyo navyo, kama mlivyomwapia.",8.303625,115
200625-114939_swa_5a1_elicit_55.wav,"Basi wale vijana wapelelezi wakaingia, wakamtoa Rahabu, na baba yake, na mama yake, na ndugu zake, na vitu vyote walivyokuwa navyo.",9.029625,131
200625-114939_swa_5a1_elicit_56.wav,Wakawatoa na jamaa zake wote pia; wakawaweka nje ya matuo ya Israeli.,5.5130625,69
200625-114939_swa_5a1_elicit_57.wav,"Kisha wakauteketeza mji kwa moto, na vitu vyote vilivyokuwa ndani yake.",5.71725,71
200625-114939_swa_5a1_elicit_58.wav,"Bali fedha, na dhahabu, na vyombo vya shaba, na vya chuma.",4.62825,58
200625-114939_swa_5a1_elicit_59.wav,Wakavitia katika hazina ya nyumba ya Bwana.,3.403125,43
200625-114939_swa_5a1_elicit_60.wav,"Lakini Yoshua akamhifadhi Rahabu, yule kahaba, na watu wa nyumba ya baba yake, na vitu vyote alivyokuwa navyo.",7.8725625,110
200625-114939_swa_5a1_elicit_61.wav,Naye akakaa kati ya Israeli hata leo; kwa sababu aliwaficha wale wajumbe aliowatuma Yoshua ili kuupeleleza mji wa Yeriko.,9.2338125,121
200625-114939_swa_5a1_elicit_62.wav,"Naye Yoshua akawaapisha kiapo wakati ule, akasema.",3.993,50
200625-114939_swa_5a1_elicit_63.wav,Na alaaniwe mbele za Bwana mtu yule atakayeinuka na kuujenga tena mji huu wa Yeriko.,5.9668125,84
200625-114939_swa_5a1_elicit_64.wav,Ataweka msingi wake kwa kufiliwa na mzaliwa wa kwanza wake.,4.855125,59
200625-114939_swa_5a1_elicit_65.wav,Tena atayasimamisha malango yake kwa kufiliwa na mtoto wake mwanamume aliye mdogo.,6.216375,82
200625-114939_swa_5a1_elicit_66.wav,Basi Bwana alikuwa pamoja na Yoshua; sifa zake zikaenea katika nchi ile yote.,6.44325,77
200625-114939_swa_5a1_elicit_67.wav,Lakini wana wa Israeli walifanya dhambi katika kitu kilichowekwa wakfu.,5.4676875,71
200625-114939_swa_5a1_elicit_68.wav,"Maana Akani, mwana wa Karmi, mwana wa Zabdi, mwana wa Zera, wa kabila ya Yuda.",6.80625,78
200625-114939_swa_5a1_elicit_69.wav,Alitwaa baadhi ya vitu vilivyowekwa wakfu; hasira ya Bwana ikawaka juu ya wana wa Israeli.,6.7835625,90
200625-121032_swa_5a1_elicit_0.wav,"Kisha Yoshua akatuma watu kutoka Yeriko mpaka mji wa Ai, ulio karibu na Bethaveni, upande wa mashariki wa Betheli.",9.392625,114
200625-121032_swa_5a1_elicit_1.wav,"Akawaambia, akisema, Pandeni juu mkaipeleleze nchi, basi wakapanda juu wakaupeleleza Ai.",7.7818125,88
200625-121032_swa_5a1_elicit_2.wav,"Wakarejea kwa Yoshua wakamwambia, Wasiende watu wote, ila waende watu kama elfu mbili, tatu, wakaupige Ai.",8.5305,106
200625-121032_swa_5a1_elicit_3.wav,Usiwataabishe watu wote kwa kuwaendesha huko; maana watu hao ni wachache tu.,5.9668125,76
200625-121032_swa_5a1_elicit_4.wav,Basi watu wakaenda huko wapata elfu tatu tu; nao wakakimbia mbele ya watu wa Ai.,6.397875,80
200625-121032_swa_5a1_elicit_5.wav,Watu wa Ai wakawapiga watu kama thelathini na sita; wakawafuatia kutoka mbele ya mlango mpaka Shebarimu.,7.940625,104
200625-121032_swa_5a1_elicit_6.wav,"Wakawapiga huko kwenye matelemko; mioyo ya watu ikayeyuka, ikawa kama maji.",5.8306875,75
200625-121032_swa_5a1_elicit_7.wav,"Yoshua akararua mavazi yake, akaanguka kifudifudi mbele ya sanduku la Bwana hata jioni.",7.0104375,87
200625-121032_swa_5a1_elicit_8.wav,Yeye na wazee wa Israeli; wakatia mavumbi vichwani mwao.,4.2879375,56
200625-121032_swa_5a1_elicit_9.wav,"Yoshua akasema, Ee Bwana MUNGU, kwa nini umewavusha watu hawa mto wa Yordani, ili kututia katika mikono ya Waamori, na kutuangamiza?",9.801,132
200625-121032_swa_5a1_elicit_10.wav,Laiti tungelikuwa radhi kukaa ng'ambo ya Yordani,3.9249375,48
200625-121032_swa_5a1_elicit_11.wav,"Ee Bwana, niseme nini baada ya Israeli kuwapa visogo adui zao?",4.80975,62
200625-121032_swa_5a1_elicit_12.wav,"Maana Wakanaani na wenyeji wote wa nchi hii watasikia habari hii, nao watatuzingira, na kulifuta jina letu katika nchi.",8.6439375,119
200625-121032_swa_5a1_elicit_13.wav,Nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu?,3.63,46
200625-121032_swa_5a1_elicit_14.wav,"Bwana akamwambia Yoshua, Haya! Inuka, mbona umeanguka kifudifudi hivi?",5.53575,70
200625-121032_swa_5a1_elicit_15.wav,"Israeli wamefanya dhambi, naam, wamelivunja agano langu nililowaagiza.",5.1046875,70
200625-121032_swa_5a1_elicit_16.wav,"Naam, wametwaa baadhi ya vitu vilivyowekwa wakfu; tena wameiba, tena wameficha na kuvitia pamoja na vitu vyao wenyewe.",7.940625,118
200625-121032_swa_5a1_elicit_17.wav,Ndiposa wana wa Israeli hawawezi kusimama mbele ya adui zao; wakawapa visogo adui zao.,6.44325,86
200625-121032_swa_5a1_elicit_18.wav,"Kwa sababu wamelaaniwa; mimi sitakuwa pamoja nanyi tena, msipokiharibu kitu kile mlicho nacho kilichowekwa wakfu.",8.031375,113
200625-121032_swa_5a1_elicit_19.wav,"Haya! Inuka, uwatakase watu, ukaseme, Jitakaseni, mwe tayari kesho; maana Bwana, Mungu wa Israeli, asema hivi.",8.3716875,110
200625-121032_swa_5a1_elicit_20.wav,"Kitu kilichowekwa wakfu kiko katikati yako, Ee Israeli; huwezi kusimama mbele ya adui zako.",6.3751875,91
200625-121032_swa_5a1_elicit_21.wav,Hata mtakapokiondoa kile mlicho nacho kilichowekwa wakfu.,3.993,57
200625-121032_swa_5a1_elicit_22.wav,Basi asubuhi mtaletwa karibu nami kabila kwa kabila.,3.7888125,52
200625-121032_swa_5a1_elicit_23.wav,Kisha itakuwa ya kwamba kabila ile atakayoitwaa Bwana itakaribia jamaa kwa jamaa.,6.3751875,81
200625-121032_swa_5a1_elicit_24.wav,Na jamaa ile atakayoitwaa Bwana itakaribia nyumba kwa nyumba; na nyumba ile atakayoitwaa Bwana itakaribia mtu kwa mtu.,8.62125,118
200625-121032_swa_5a1_elicit_25.wav,"Tena itakuwa ya kwamba yeye atakayetwaliwa, naye anacho kitu kile kilichowekwa wakfu.",7.0558125,85
200625-121032_swa_5a1_elicit_26.wav,"Atateketezwa kwa moto, yeye na vitu vyote alivyo navyo.",4.4240625,55
200625-121032_swa_5a1_elicit_27.wav,"Kwa sababu amelivunja agano la Bwana, na kwa sababu ametenda upumbavu katika Israeli.",6.2844375,85
200625-121032_swa_5a1_elicit_28.wav,"Basi Yoshua akaondoka asubuhi na mapema, akawasogeza Israeli kabila kwa kabila; kabila ya Yuda ikatwaliwa.",8.303625,106
200625-121032_swa_5a1_elicit_29.wav,"Akazisogeza jamaa za Yuda, akaitwaa jamaa ya Wazera; akaisogeza jamaa ya Wazera mtu kwa mtu; Zabdi akatwaliwa.",10.1866875,110
200625-121032_swa_5a1_elicit_30.wav,Akawasogeza watu wa nyumba yake mmoja mmoja.,3.8341875,44
200625-121032_swa_5a1_elicit_31.wav,"Na Akani, mwana wa Karmi, mwana wa Zabdi, mwana wa Zera, wa kabila ya Yuda akatwaliwa.",6.62475,86
200625-121032_swa_5a1_elicit_32.wav,"Yoshua akamwambia Akani, Mwanangu, nakusihi, umtukuze Bwana, Mungu wa Israeli.",6.3298125,78
200625-121032_swa_5a1_elicit_33.wav,Ukaungame kwake; uniambie sasa ulilolitenda; usinifiche.,4.6963125,56
200625-121032_swa_5a1_elicit_34.wav,"Akani akamjibu Yoshua, akasema, Kweli nimefanya dhambi juu ya Bwana, Mungu wa Israeli, nami nimefanya mambo haya na haya.",8.575875,121
200625-121032_swa_5a1_elicit_35.wav,"Nilipoona katika nyara joho nzuri ya Babeli, na shekeli mia mbili za fedha.",6.6474375,75
200625-121032_swa_5a1_elicit_36.wav,"Na kabari ya dhahabu, uzani wake shekeli hamsini, basi nalivitamani nikavitwaa.",7.2373125,79
200625-121032_swa_5a1_elicit_37.wav,"Tazama, vimefichwa mchangani katikati ya hema yangu, na ile fedha chini yake.",6.3525,77
200625-121032_swa_5a1_elicit_38.wav,Basi Yoshua akatuma wajumbe wakapiga mbio mpaka hemani.,4.764375,55
200625-121032_swa_5a1_elicit_39.wav,"Na tazama, vile vitu vilikuwa vimefichwa hemani mwake, na ile fedha chini yake.",5.89875,79
200625-121032_swa_5a1_elicit_40.wav,"Wakavitoa kutoka hapo katikati ya hema, wakavileta kwa Yoshua, na kwa wana wa Israeli wote, nao wakaviweka chini mbele za Bwana.",9.211125,128
200625-121032_swa_5a1_elicit_41.wav,"Kisha Yoshua, na Israeli wote pamoja naye, wakamtwaa Akani, mwana wa Zera.",5.2861875,74
200625-121032_swa_5a1_elicit_42.wav,"Na ile fedha, na Lile joho, na ile kabari ya dhahabu, na wanawe, na binti zake, na ng'ombe zake, na punda zake, na kondoo zake.",8.7346875,127
200625-121032_swa_5a1_elicit_43.wav,"Na hema yake, na vitu vyote alivyokuwa navyo, wakavileta juu hata bonde la Akori.",5.9214375,81
200625-121032_swa_5a1_elicit_44.wav,"Yoshua akasema, Mbona umetufadhaisha hivi?",3.6980625,42
200625-121032_swa_5a1_elicit_45.wav,Bwana atakufadhaisha wewe leo.,2.904,30
200625-121032_swa_5a1_elicit_46.wav,"Ndipo Israeli wote wakampiga kwa mawe, kisha wakawateketeza kwa moto, na kuwapiga kwa mawe.",7.2373125,91
200625-121032_swa_5a1_elicit_47.wav,Kisha wakakusanya juu yake chungu kubwa ya mawe hata leo.,5.1954375,57
200625-121032_swa_5a1_elicit_48.wav,Naye Bwana akauacha ukali wa hasira yake.,3.856875,41
200625-121032_swa_5a1_elicit_49.wav,"Kwa sababu hiyo jina la mahali pale likaitwa, Bonde la Akori, hata hivi leo.",6.851625,76
200627-112925_swa_5a1_elicit_0.wav,"Kisha Bwana akamwambia Yoshua, Usiche, wala usifadhaike.",5.5584375,56
200627-112925_swa_5a1_elicit_1.wav,"Wachukue watu wote wa vita waende pamoja nawe, nanyi inukeni, mwende Ai.",6.62475,72
200627-112925_swa_5a1_elicit_2.wav,"Angalia, mimi nimemtia mkononi mwako huyo mfalme wa Ai, na watu wake, na mji wake, na nchi yake.",7.9633125,96
200627-112925_swa_5a1_elicit_3.wav,Nawe utautenda mji wa Ai na mfalme wake kama ulivyoutenda mji wa Yeriko na mfalme wake.,7.033125,87
200627-112925_swa_5a1_elicit_4.wav,Lakini nyara zake na wanyama wake wa mji mtavitwaa kuwa mateka yenu wenyewe; huo mji uuwekee waoteaji upande wa nyuma.,10.5043125,118
200627-112925_swa_5a1_elicit_5.wav,"Basi Yoshua akainuka, na watu wote wa vita pamoja naye, ili waende Ai.",5.762625,70
200627-112925_swa_5a1_elicit_6.wav,"Yoshua akachagua watu thelathini elfu, watu mashujaa wenye uwezo, akawapeleka wakati wa usiku.",7.1011875,94
200627-112925_swa_5a1_elicit_7.wav,"Akawaagiza, akasema, Angalieni, mtaotea kuuvizia ule mji, upande wa nyuma wa mji.",7.305375,81
200627-112925_swa_5a1_elicit_8.wav,"Msiende mbali sana na mji, lakini kaeni tayari nyote;na mimi, na watu wote walio pamoja nami, tutaukaribia mji.",8.4624375,111
200627-112925_swa_5a1_elicit_9.wav,"Kisha itakuwa, hapo watakapotoka nje kupigana nasi.",4.719,51
200627-112925_swa_5a1_elicit_10.wav,"Kama walivyofanya hapo kwanza, sisi tutakimbia mbele yao.",4.26525,57
200627-112925_swa_5a1_elicit_11.wav,"Nao watatoka nje watufuate, hata tuwavute waende mbali na mji wao.",5.1046875,66
200627-112925_swa_5a1_elicit_12.wav,"Kwa kuwa watasema, Wakimbia mbele yetu, kama walivyofanya kwanza; nasi tutakimbia mbele yao.",6.98775,92
200627-112925_swa_5a1_elicit_13.wav,"Basi ninyi mtainuka mtoke hapo mwoteapo, na kuushika mji.",5.036625,57
200627-112925_swa_5a1_elicit_14.wav,"Kwa kuwa Bwana, Mungu wenu, atautia mikononi mwenu.",4.08375,51
200627-112925_swa_5a1_elicit_15.wav,"Kisha itakuwa, mtakapoushika mji, ndipo mtauteketeza mji kwa moto; sawasawa na hilo neno la Bwana; angalieni, nimewaagiza.",9.438,122
200627-112925_swa_5a1_elicit_16.wav,Basi Yoshua akawatuma; nao wakaenda hata hapo watakapootea.,5.445,59
200627-112925_swa_5a1_elicit_17.wav,"Wakakaa kati ya Betheli na Ai, upande wa magharibi wa Ai; lakini Yoshua akalala usiku huo kati ya watu.",8.1448125,103
200627-112925_swa_5a1_elicit_18.wav,"Yoshua akaamka asubuhi na mapema, akawakutanisha watu.",4.26525,54
200627-112925_swa_5a1_elicit_19.wav,"Kisha akatangulia kukwea kwenda Ai mbele ya hao watu, yeye na wazee wa Israeli.",6.1936875,79
200627-112925_swa_5a1_elicit_20.wav,"Watu wote, hao wa vita, waliokuwa pamoja naye, wakaenda wakakaribia, na kufikilia mbele ya mji.",6.897,95
200627-112925_swa_5a1_elicit_21.wav,Wakatua upande wa kaskazini wa Ai; napo palikuwa na bonde kati ya yeye na Ai.,5.944125,77
200627-112925_swa_5a1_elicit_22.wav,"Kisha akatwaa watu kama elfu tano, akawaweka kuotea kati ya Betheli na Ai, upande wa magharibi wa huo mji.",7.759125,106
200627-112925_swa_5a1_elicit_23.wav,"Basi wakawaweka hao watu, jeshi zima lililokuwa upande wa kaskazini wa mji.",6.1029375,75
200627-112925_swa_5a1_elicit_24.wav,Na wale waliokuwa waotea upande wa magharibi wa mji; naye Yoshua akaenda usiku huo katikati ya hilo bonde.,7.849875,106
200627-112925_swa_5a1_elicit_25.wav,"Kisha ikawa hapo huyo mfalme wa Ai alipoona jambo hilo, ndipo walipofanya haraka.",6.6474375,81
200627-112925_swa_5a1_elicit_26.wav,"Na wakaamka asubuhi na mapema, na watu waume wa mji wakatoka nje waende kupigana na Israeli.",6.80625,92
200627-112925_swa_5a1_elicit_27.wav,"Yeye na watu wake wote, kwa wakati ulioamriwa, kuikabili Araba.",5.490375,63
200627-112925_swa_5a1_elicit_28.wav,Lakini hakujua ya kwamba walikuwako waviziao kinyume chake kwa upande wa nyuma wa mji.,6.5566875,86
200627-112925_swa_5a1_elicit_29.wav,"Kisha Yoshua na watu wa Israeli wote walifanya kana kwamba wameshindwa mbele yao, wakakimbia kwa njia ya nyika.",7.53225,111
200627-112925_swa_5a1_elicit_30.wav,Watu wote waliokuwa ndani ya mji waliitwa wakusanyike pamoja ili kuwafuatia.,5.8760625,76
200627-112925_swa_5a1_elicit_31.wav,"Nao wakamfuatia Yoshua, wakasongea mbele na kuuacha mji.",4.7870625,56
200627-112925_swa_5a1_elicit_32.wav,"Hakusalia mtu ye yote ndani ya Ai, au katika Betheli, asiyetoka nje kuwafuatia Israeli.",6.851625,87
200627-112925_swa_5a1_elicit_33.wav,Wakauacha mji wazi na kuwafuatia Israeli.,3.2443125,41
200627-112925_swa_5a1_elicit_34.wav,"Kisha Bwana akamwambia Yoshua, Haya, unyoshe huo mkuki ulio nao mkononi mwako.",6.0121875,78
200627-112925_swa_5a1_elicit_35.wav,Uuelekeze upande wa Ai; kwa kuwa nitautia mkononi mwako.,4.764375,56
200627-112925_swa_5a1_elicit_36.wav,Basi Yoshua akaunyosha huo mkuki uliokuwa mkononi mwake kuuelekea huo mji.,6.08025,74
200627-112925_swa_5a1_elicit_37.wav,Wale watu waliovizia wakainuka kwa upesi kutoka mahali pao.,4.62825,59
200627-112925_swa_5a1_elicit_38.wav,Nao wakapiga mbio mara hapo alipokuwa amekwisha unyosha mkono wake.,5.308875,67
200627-112925_swa_5a1_elicit_39.wav,"Wakaingia ndani ya mji, na kuushika; nao wakafanya haraka kuuteketeza kwa moto huo mji.",7.0785,87
200627-112925_swa_5a1_elicit_40.wav,"Kisha hapo hao watu wa Ai walipotazama nyuma yao, wakaona.",5.0593125,58
200627-112925_swa_5a1_elicit_41.wav,"Na tazama, moshi wa huo mji ulikuwa unapaa juu kwenda mawinguni.",5.4676875,64
200627-112925_swa_5a1_elicit_42.wav,Nao hawakuwa na nguvu za kukimbia huku wala huku.,4.719,49
200627-112925_swa_5a1_elicit_43.wav,Na wale watu waliokuwa wamekimbia kuenenda nyikani wakageuka na kuwarudia hao waliokuwa wakiwafuatia.,7.6456875,101
200627-112925_swa_5a1_elicit_44.wav,Basi hapo Yoshua na Israeli wote walipoona ya kwamba hao waliovizia wamekwisha kuushika huo mji.,7.71375,96
200627-112925_swa_5a1_elicit_45.wav,"Na ya kwamba moshi wa mji umepaa juu, ndipo wakageuka tena, na kuwaua watu wa Ai.",6.579375,81
200627-112925_swa_5a1_elicit_46.wav,Tena hao; wengine wakatoka nje kuutoka huo mji kinyume chao; basi hivyo walikuwa wa katikati ya Israeli.,8.0086875,104
200627-112925_swa_5a1_elicit_47.wav,Wengine upande huu na wengine upande huu; nao wakawapiga.,4.356,57
200627-112925_swa_5a1_elicit_48.wav,"Hata wasimwache hata mmoja miongoni mwao aliyesalia, wala kupona.",5.2408125,65
200627-112925_swa_5a1_elicit_49.wav,"Kisha wakamshika mfalme wa Ai ali hai, nao wakamleta kwa Yoshua.",5.9214375,64
200627-112925_swa_5a1_elicit_50.wav,"Kisha ikawa, hapo Israeli walipokuwa wamekwisha kuwaua wenyeji wote wa Ai katika bara.",6.6928125,86
200627-112925_swa_5a1_elicit_51.wav,"Hapo katika nyika walipokuwamo wakiwafuatia, nao walikuwa wamekwisha anguka wote kwa makali ya upanga.",7.4641875,102
200627-112925_swa_5a1_elicit_52.wav,"Hata walipokuwa wameangamizwa wote, ndipo Israeli wakarejea Ai, na kuupiga huo mji kwa makali ya upanga.",7.668375,104
200627-112925_swa_5a1_elicit_53.wav,"Wote walioanguka siku hiyo waume kwa wake, walikuwa ni kumi na mbili elfu, yaani, watu wote wa mji wa Ai.",7.9633125,105
200627-112925_swa_5a1_elicit_54.wav,"Kwani huyo Yoshua hakuuzuia mkono wake, huo ulionyosha huo mkuki.",5.9668125,65
200627-112925_swa_5a1_elicit_55.wav,Hata hapo alipokuwa amewaangamiza kabisa wenyeji wote wa Ai.,4.9685625,60
200627-112925_swa_5a1_elicit_56.wav,Isipokuwa wanyama wa mji na nyara za mji Israeli wakatwaa wenyewe kuwa ni mapato yao.,7.35075,85
200627-112925_swa_5a1_elicit_57.wav,Sawasawa na hilo neno la Bwana alilomwamuru Yoshua.,5.127375,51
200627-112925_swa_5a1_elicit_58.wav,"Basi Yoshua akaupiga moto mji wa Ai, na kuufanya kuwa ni chungu ya magofu hata milele kuwa ni ukiwa hata siku hii ya leo.",9.6875625,121
200627-112925_swa_5a1_elicit_59.wav,Na huyo mfalme wa Ai akamtundika katika mti hata wakati wa jioni.,5.6945625,65
200627-112925_swa_5a1_elicit_60.wav,"Kisha hapo jua lilipokuchwa Yoshua akaagiza, nao wakauondoa mzoga wake katika huo mti.",7.2373125,86
200627-112925_swa_5a1_elicit_61.wav,Na kuutupa hapo penye maingilio ya lango la mji.,4.26525,48
200627-112925_swa_5a1_elicit_62.wav,"Kisha wakaweka pale juu yake chungu kubwa ya mawe, hata hivi leo.",5.4223125,65
200627-112925_swa_5a1_elicit_63.wav,"Ndipo Yoshua alijenga madhabahu kwa Bwana, Mungu wa Israeli katika mlima Ebali.",6.7155,79
200627-112925_swa_5a1_elicit_64.wav,"Kama Musa, mtumishi wa Bwana, alivyowaamuru wana wa Israeli, kama ilivyoandikwa katika kitabu cha torati ya Musa.",8.6439375,113
200627-112925_swa_5a1_elicit_65.wav,"Madhabahu ya mawe yasiyochongwa, ambayo mtu hakutumia juu yake chombo cha chuma.",6.6474375,80
200627-112925_swa_5a1_elicit_66.wav,"Nao wakatoa juu yake sadaka za kuteketezwa kwa Bwana, na kuchinja sadaka za amani.",7.033125,82
200627-112925_swa_5a1_elicit_67.wav,"Akaandika huko juu ya mawe hayo nakala ya torati ya Musa, aliyoiandika mbele ya wana wa Israeli.",7.486875,96
200627-112925_swa_5a1_elicit_68.wav,"Na Israeli wote, na wazee wao, na maakida yao, na makadhi yao, wakasimama upande huu wa sanduku na upande huu.",9.1430625,110
200627-112925_swa_5a1_elicit_69.wav,"Mbele ya makuhani Walawi, waliolichukua sanduku la agano la Bwana, huyo aliyekuwa mgeni pamoja na huyo mzalia.",9.3245625,110
200627-112925_swa_5a1_elicit_70.wav,"Nusu yao mbele ya mlima Gerizimu, na nusu yao mbele ya mlima Ebali.",5.6265,67
200627-112925_swa_5a1_elicit_71.wav,"Kama Musa, mtumishi wa Bwana, alivyoamuru, ili wawabarikie watu wa Israeli kwanza.",7.123875,82
200627-112925_swa_5a1_elicit_72.wav,"Na baadaye alisoma maneno yote ya torati, baraka na laana, sawasawa na maneno yote yaliyoandikwa katika kitabu cha torati.",9.0976875,122
200627-112925_swa_5a1_elicit_73.wav,"Hapakuwa na hata neno moja katika hayo aliyoamuru Musa, ambalo Yoshua hakulisoma mbele ya kusanyiko lote la Israeli.",9.2791875,116
200627-114907_swa_5a1_elicit_0.wav,"Na mbele ya wanawake, na watoto, na wageni waliokaa nao.",4.5375,56
200627-114907_swa_5a1_elicit_1.wav,Kisha ikawa hapo wafalme wote waliokaa ng'ambo ya pili ya Yordani.,5.308875,66
200627-114907_swa_5a1_elicit_2.wav,"Hapo penye nchi ya vilima, na katika Shefela, na katika upande wa pwani yote ya bahari kubwa kuikabili Lebanoni, yaani.",9.4606875,119
200627-114907_swa_5a1_elicit_3.wav,"Huyo Mhiti, na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi, waliposikia habari ya mambo hayo.",9.438,104
200627-114907_swa_5a1_elicit_4.wav,"Ndipo walipojikutanisha pamoja wenyewe kwa wenyewe, ili kupigana na Yoshua, na hao Israeli, kwa nia moja.",8.0086875,105
200627-114907_swa_5a1_elicit_5.wav,"Lakini wenyeji wa Gibeoni waliposikia habari ya hayo yote Yoshua aliyokuwa amewatenda watu wa Yeriko, na wa Ai.",7.7818125,111
200627-114907_swa_5a1_elicit_6.wav,"Wao wakatenda kwa hila, nao wakaenda na kujifanya kama ndio wajumbe.",5.445,68
200627-114907_swa_5a1_elicit_7.wav,"Wakaenda na magunia makuukuu juu ya punda zao, na viriba vya mvinyo vilivyokuwa vikuukuu vilivyoraruka-raruka, na kutiwa viraka.",9.664875,128
200627-114907_swa_5a1_elicit_8.wav,Na viatu vilivyotoboka na kushonwa-shonwa katika miguu yao.,4.719,59
200627-114907_swa_5a1_elicit_9.wav,Na mavao makuukuu waliyokuwa wanavaa; tena mkate wote wa chakula chao ulikuwa umekauka na kuingia koga.,8.031375,103
200627-114907_swa_5a1_elicit_10.wav,"Nao wakamwendea Yoshua hata maragoni huko Gilgali, nao wakamwambia yeye na watu wa Israeli.",7.1919375,91
200627-114907_swa_5a1_elicit_11.wav,Sisi tumetoka nchi ya mbali sana; basi kwa hiyo fanyeni agano pamoja nasi.,5.762625,74
200627-114907_swa_5a1_elicit_12.wav,"Basi watu wa Israeli wakawaambia hao Wahivi, Labda mwakaa kati yetu; nasi tutawezaje kufanya agano nanyi?",7.8725625,105
200627-114907_swa_5a1_elicit_13.wav,"Nao wakamwambia Yoshua, Sisi tu watumishi wako.",3.6526875,47
200627-114907_swa_5a1_elicit_14.wav,"Yoshua akawauliza, Ninyi ni nani? Nanyi mwatoka wapi?",4.492125,53
200627-114907_swa_5a1_elicit_15.wav,"Nao wakamwambia, Sisi watumishi wako twatoka nchi iliyo mbali sana, kwa sababu ya jina la Bwana, Mungu wako.",7.3734375,108
200627-114907_swa_5a1_elicit_16.wav,"Kwa kuwa sisi tumesikia sifa zake, na habari ya hayo yote aliyofanya huko Misri.",6.2844375,80
200627-114907_swa_5a1_elicit_17.wav,Na habari ya hayo yote aliyowatenda wale wafalme wawili wa Waamori.,5.308875,67
200627-114907_swa_5a1_elicit_18.wav,"Waliokuwa huko ng'ambo ya pili ya Yordani, maana huyo Sihoni.",5.127375,61
200627-114907_swa_5a1_elicit_19.wav,"Mfalme wa Heshboni, na Ogu, mfalme wa Bashani, aliyekuwa huko Ashtarothi.",6.7381875,73
200627-114907_swa_5a1_elicit_20.wav,"Kisha wazee wetu, na wenyeji wote wa nchi yetu, walinena nasi na kutuambia.",6.1483125,75
200627-114907_swa_5a1_elicit_21.wav,Chukueni vyakula mkononi mwenu kwa ajili ya safari.,3.7434375,51
200627-114907_swa_5a1_elicit_22.wav,"Mmwende mkawalaki watu hao, na kuwaambia, Sisi tu watumishi wenu; basi sasa fanyeni agano nasi.",7.759125,95
200627-114907_swa_5a1_elicit_23.wav,"Huu mkate wetu tuliutwaa ukali moto katika nyumba zetu, siku hiyo tuliyotoka kuja kwenu.",6.80625,88
200627-114907_swa_5a1_elicit_24.wav,"Uwe chakula chetu; lakini sasa, tazama, umekauka, na kuingia koga.",5.3315625,66
200627-114907_swa_5a1_elicit_25.wav,"Na viriba vyetu hivi, tulivyovitia divai, vilikuwa ni vipya; sasa, tazama.",6.125625,74
200627-114907_swa_5a1_elicit_26.wav,Vimeraruka-raruka; na haya mavazi yetu na viatu vyetu vimekuwa vikuukuu kwa vile tulivyokuja safari ya mbali sana.,8.848125,114
200627-114907_swa_5a1_elicit_27.wav,"Basi hao watu wakatwaa katika vyakula vyao, wala wasitake shauri kinywani mwa Bwana.",6.1483125,84
200627-114907_swa_5a1_elicit_28.wav,"Naye Yoshua akafanya amani pamoja nao, na kufanya agano nao, ili kwamba waachwe hai; na wakuu wa mkutano wakawaapia.",9.7329375,116
200627-114907_swa_5a1_elicit_29.wav,"Kisha ikawa, mwisho wa siku ya tatu baada ya kufanya hilo agano nao.",5.445,68
200627-114907_swa_5a1_elicit_30.wav,"Walisikia habari ya kuwa watu hao ni jirani zao, na ya kwamba waliketi kati yao.",6.0575625,80
200627-114907_swa_5a1_elicit_31.wav,"Kisha wana wa Israeli walisafiri, wakaifikilia miji ya watu hao siku ya tatu.",6.0121875,77
200627-114907_swa_5a1_elicit_32.wav,"Basi miji ya watu hao ilikuwa ni hii, Gibeoni, na Kefira, na Beerothi, na Kiriath-yearimu.",8.2355625,90
200627-114907_swa_5a1_elicit_33.wav,"Wana wa Israeli hawakuwapiga, kwa sababu wakuu wa mkutano walikuwa wamekwisha kuwaapia kwa Bwana, Mungu wa Israeli.",8.5531875,115
200627-114907_swa_5a1_elicit_34.wav,Nao mkutano wote wakawanung'unikia hao wakuu.,3.7434375,45
200627-114907_swa_5a1_elicit_35.wav,"Lakini wakuu wote waliwaambia mkutano wote, Sisi tumewaapia kwa Bwana.",5.445,70
200627-114907_swa_5a1_elicit_36.wav,Mungu wa Israeli; basi sasa hatuwezi kuwagusa watu hawa.,4.99125,56
200627-114907_swa_5a1_elicit_37.wav,"Tutawafanyia neno hili, kisha tutawaacha wawe hai; hasira isije juu yetu, kwa ajili ya hicho kiapo tulichowaapia.",9.120375,113
200627-114907_swa_5a1_elicit_38.wav,"Wakuu waliwaambia, Waacheni wawe hai; basi wakawa wenye kupasua kuni.",5.853375,69
200627-114907_swa_5a1_elicit_39.wav,"Na wenye kuteka maji, kwa ajili ya mkutano wote; vile vile kama hao wakuu walivyowaambia.",6.942375,89
200627-114907_swa_5a1_elicit_40.wav,"Basi Yoshua akawaita, akanena nao, na kuwaambia, Mbona ninyi mmetudanganya.",6.2844375,75
200627-114907_swa_5a1_elicit_41.wav,"Huku mkisema, Sisi tu mbali sana na ninyi; nanyi kumbe!Mwakaa kati yetu?",6.579375,72
200627-114907_swa_5a1_elicit_42.wav,Basi sasa mmelaaniwa kisha hatakosekana kuwapo mtu wa kwenu aliye mtumwa.,6.897,73
200627-114907_swa_5a1_elicit_43.wav,"Wenye kupasua kuni, na wenye kuteka maji, kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu.",5.445,77
200627-114907_swa_5a1_elicit_44.wav,"Nao wakamjibu Yoshua, na kusema, Ni kwa sababu ya sisi watumishi wako kuambiwa hakika.",6.7381875,86
200627-114907_swa_5a1_elicit_45.wav,"Jinsi huyo Bwana, Mungu wako alivyomwamuru mtumishi wake Musa kuwapa ninyi nchi hii yote.",7.123875,89
200627-114907_swa_5a1_elicit_46.wav,Na kuwaangamiza wenyeji wote wa nchi hii watoke mbele zenu.,4.764375,59
200627-114907_swa_5a1_elicit_47.wav,"Kwa sababu hii tuliogopa mno kwa ajili ya uhai wetu kwa sababu yenu, nasi tumefanya neno hili.",6.897,94
200627-114907_swa_5a1_elicit_48.wav,"Basi sasa, tazama, sisi tu mkononi mwako; basi kama uonavyo kuwa ni vyema na haki kwako wewe kututenda, tutende vivyo.",9.438,118
200627-114907_swa_5a1_elicit_49.wav,"Naye akawafanyia hivyo, na kuwaokoa na mkono wa wana wa Israeli, ili wasiwaue.",6.9650625,78
200627-114907_swa_5a1_elicit_50.wav,"Siku iyo hiyo Yoshua akawafanya kuwa ni wenye kupasua kuni, na wenye kuteka maji.",6.44325,81
200627-114907_swa_5a1_elicit_51.wav,"Kwa ajili ya mkutano, na kwa ajili ya madhabahu ya Bwana, hata siku hii ya leo, katika mahali hapo atakapopachagua.",8.80275,115
200627-114907_swa_5a1_elicit_52.wav,"Basi ikawa hapo Adoni-sedeki, mfalme wa Yerusalemu, aliposikia jinsi Yoshua alivyoushika mji wa Ai na kuuharibu kabisa.",9.6421875,119
200627-114907_swa_5a1_elicit_53.wav,"Kama alivyoufanyia mji wa Yeriko na mfalme wake, akaufanya vivyo Ai na mfalme wake.",7.4188125,83
200627-114907_swa_5a1_elicit_54.wav,"Na jinsi wenyeji waliokaa Gibeoni walivyofanya amani na Israeli, na ya kwamba walikuwa kati yao.",8.0540625,96
200627-114907_swa_5a1_elicit_55.wav,"Ndipo wakacha mno, kwa sababu Gibeoni ulikuwa ni mji mkubwa, kama ilivyo miji ya kifalme mmojawapo.",7.89525,99
200627-114907_swa_5a1_elicit_56.wav,"Tena kwa sababu ulikuwa ni mji mkubwa kupita Ai, tena watu wake wote walikuwa ni mashujaa.",7.26,90
200627-114907_swa_5a1_elicit_57.wav,"Basi kwa hiyo Adoni-sedeki, mfalme wa Yerusalemu, akatuma ujumbe kwa Hohamu.",6.670125,76
200627-114907_swa_5a1_elicit_58.wav,"Mfalme wa Hebroni, na kwa Piramu, mfalme wa Yarmuthi, na kwa Yafia.",6.0575625,67
200627-114907_swa_5a1_elicit_59.wav,"Mfalme wa Lakishi, na kwa Debiri, mfalme wa Egloni, akiwaambia.",5.8760625,63
200627-114907_swa_5a1_elicit_60.wav,"Haya, kweeni mje kwangu, mnisaidie, tuupige Gibeoni.",4.99125,52
200627-114907_swa_5a1_elicit_61.wav,Kwa sababu umefanya mapatano ya amani pamoja na Yoshua na wana wa Israeli.,6.26175,74
200627-114907_swa_5a1_elicit_62.wav,"Ndipo hao wafalme watano wa Waamori, mfalme wa Yerusalemu.",4.582875,58
200627-114907_swa_5a1_elicit_63.wav,"Na mfalme wa Hebroni na mfalme wa Yarmuthi na mfalme wa Lakishi, na mfalme wa Egloni.",7.3734375,85
200627-114907_swa_5a1_elicit_64.wav,"Wakakutana pamoja, kisha wakakwea, wao na jeshi zao zote.",5.3315625,57
200627-114907_swa_5a1_elicit_65.wav,"Na kupanga marago yao kinyume cha Gibeoni, na kuupiga vita.",5.0139375,59
200627-114907_swa_5a1_elicit_66.wav,Ndipo watu wa Gibeoni wakatuma wajumbe kwenda kwa Yoshua huko Gilgali maragoni.,5.9895,79
200627-114907_swa_5a1_elicit_67.wav,"Wakamwambia, Usiulegeze mkono wako hata ukatuacha sisi watumishi wako.",5.53575,70
200627-114907_swa_5a1_elicit_68.wav,"Uje kwetu kwa upesi, utuokoe, na kutusaidia.",4.3333125,44
200627-114907_swa_5a1_elicit_69.wav,Kwa sababu wafalme wote wa Waamori wakaao katika nchi ya vilima wamekutana pamoja juu yetu.,7.1465625,91
200627-114907_swa_5a1_elicit_70.wav,"Basi Yoshua akakwea kutoka Gilgali, yeye, na watu wa vita wote pamoja naye, na mashujaa wenye uwezo pia wote.",8.5985625,109
200627-114907_swa_5a1_elicit_71.wav,"Bwana akamwambia Yoshua, Usiwache watu hao.",4.08375,43
200627-114907_swa_5a1_elicit_72.wav,kwa kuwa mimi nimekwisha kuwatia mikononi mwako; hapana mtu awaye yote miongoni mwao atakayesimama mbele yako.,8.2809375,110
200627-114907_swa_5a1_elicit_73.wav,Basi Yoshua akawafikilia ghafula; kwani alikwea kutoka Gilgali kwenda usiku kucha.,6.7381875,82
200627-120545_swa_5a1_elicit_0.wav,"Bwana naye akawatapanya mbele ya Israeli, naye Israeli akawaua uuaji ulio mkuu hapo Gibeoni.",7.4641875,92
200627-120545_swa_5a1_elicit_1.wav,Akawafukuza waikimbilie hiyo njia ya kukwelea kwenda Beth-horoni.,5.8760625,65
200627-120545_swa_5a1_elicit_2.wav,"Na kuwapiga hata kufikilia Azeka, tena hata kufikilia Makeda.",5.2635,61
200627-120545_swa_5a1_elicit_3.wav,"Kisha ikawa, hapo walipokuwa wakimbia mbele ya Israeli.",4.219875,55
200627-120545_swa_5a1_elicit_4.wav,Hapo walipokuwa katika kutelemkia Beth-horoni.,3.72075,46
200627-120545_swa_5a1_elicit_5.wav,Ndipo Bwana alipowatupia mawe makubwa kutoka mbinguni juu yao hata kufikilia Azeka.,6.488625,83
200627-120545_swa_5a1_elicit_6.wav,Nao wakafa; hao waliokufa kwa kuuawa na hayo mawe ya barafu.,5.808,60
200627-120545_swa_5a1_elicit_7.wav,Walikuwa ni wengi kuliko hao waliouawa na wana wa Israeli kwa upanga.,4.8778125,69
200627-120545_swa_5a1_elicit_8.wav,Ndipo Yoshua akanena na Bwana katika siku hiyo ambayo Bwana aliwatoa Waamori mbele ya wana wa Israeli.,7.668375,102
200627-120545_swa_5a1_elicit_9.wav,"Akasema mbele ya macho ya Israeli, Wewe Jua, simama kimya juu ya Gibeoni",5.944125,72
200627-120545_swa_5a1_elicit_10.wav,"Na wewe Mwezi, simama katika bonde la Aiyaloni.",4.1518125,47
200627-120545_swa_5a1_elicit_11.wav,"Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia, Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha jipatiliza juu ya adui zao.",8.485125,106
200627-120545_swa_5a1_elicit_12.wav,Haikuwapo siku nyingine mfano wa siku hiyo katika siku zilizotangulia mbele yake.,6.5566875,81
200627-120545_swa_5a1_elicit_13.wav,"Wala katika hizo zilizoandama baada yake, hata ikawa yeye Bwana kuisikia sauti ya binadamu.",7.1011875,91
200627-120545_swa_5a1_elicit_14.wav,Kwa kuwa Bwana alipiga vita kwa ajili ya Israeli.,4.08375,49
200627-120545_swa_5a1_elicit_15.wav,"Basi Yoshua akarudi, na Israeli wote wakarudi pamoja naye, mpaka maragoni hapo Gilgali.",6.8743125,87
200627-120545_swa_5a1_elicit_16.wav,"Na hawa wafalme watano wakakimbia, wakajificha ndani ya pango la Makeda.",5.3315625,72
200627-120545_swa_5a1_elicit_17.wav,"Kisha Yoshua aliambiwa habari hiyo, ya kwamba, Hao wafalme watano wameonekana.",5.7399375,78
200627-120545_swa_5a1_elicit_18.wav,Nao wa hali ya kujificha ndani ya pango la Makeda,4.1971875,49
200627-120545_swa_5a1_elicit_19.wav,"Basi Yoshua akasema, Haya, vingirisheni mawe makubwa mdomoni mwa lile pango.",6.3298125,76
200627-120545_swa_5a1_elicit_20.wav,Kisha wekeni watu hapo ili kuwalinda.,3.766125,37
200627-120545_swa_5a1_elicit_21.wav,"Lakini msikae ninyi; wafuatieni adui zenu, mwapige hao walio nyuma.",5.9668125,67
200627-120545_swa_5a1_elicit_22.wav,"Msiwaache wakaingia ndani ya miji yao; kwa kuwa Bwana, Mungu wenu, amewatia mikononi mwenu.",6.942375,91
200627-120545_swa_5a1_elicit_23.wav,"Kisha ikawa, hapo Yoshua, na wana wa Israeli, walipokuwa wamekwisha kuwaua watu wengi mno.",6.216375,90
200627-120545_swa_5a1_elicit_24.wav,"Hata wakaangamizwa, na hayo mabaki yao yaliyowasalia walipokuwa wamekwisha ingia katika miji yao yenye boma.",7.9633125,108
200627-120545_swa_5a1_elicit_25.wav,Ndipo hao watu wote wakamrudia Yoshua maragoni huko Makeda salama.,5.6038125,66
200627-120545_swa_5a1_elicit_26.wav,Hakuna mtu awaye yote aliyetoa ulimi kinyume cha hao wana wa Israeli hata mmojawapo.,6.7835625,84
200627-120545_swa_5a1_elicit_27.wav,"Kisha Yoshua akasema, Haya, funua mdomo wa pango, mniletee hao wafalme watano hapa nje ya pango.",7.16925,96
200627-120545_swa_5a1_elicit_28.wav,"Nao wakafanya, wakamletea hao wafalme watano hapo nje ya pango.",4.719,63
200627-120545_swa_5a1_elicit_29.wav,"Yaani, mfalme wa Yerusalemu, na mfalme wa Hebroni, na mfalme wa Yarmuthi, na mfalme wa Lakishi, na mfalme wa Egloni.",8.98425,116
200627-120545_swa_5a1_elicit_30.wav,Kisha ikawa hapo walipomletea Yoshua hao wafalme watano hapo nje.,5.5130625,65
200627-120545_swa_5a1_elicit_31.wav,"Yoshua akawaita wanaume wote wa Israeli, akawaambia majemadari wa watu wa vita waliokwenda naye.",7.3280625,96
200627-120545_swa_5a1_elicit_32.wav,"Haya, jongeeni karibu, mweke nyayo za miguu yenu katika shingo za wafalme hawa.",6.488625,79
200627-120545_swa_5a1_elicit_33.wav,"Nao wakajongea karibu, wakatia nyayo zao katika shingo zao.",4.764375,59
200627-120545_swa_5a1_elicit_34.wav,"Yoshua akawaambia, Msiche, wala msifadhaike; iweni hodari na wa mioyo ya ushujaa.",7.033125,81
200627-120545_swa_5a1_elicit_35.wav,Kwa kuwa ndivyo Bwana atakavyowafanyia adui zenu wote ambao mwapigana nao.,6.6474375,74
200627-120545_swa_5a1_elicit_36.wav,"Baadaye Yoshua akawapiga, na kuwaua, akawatundika katika miti mitano.",5.9668125,69
200627-120545_swa_5a1_elicit_37.wav,Nao wakawa wakitundikwa katika hiyo miti hata jioni.,4.44675,52
200627-120545_swa_5a1_elicit_38.wav,"Kisha wakati wa kuchwa jua, Yoshua akatoa amri, nao wakawatelemsha katika hiyo miti.",7.123875,84
200627-120545_swa_5a1_elicit_39.wav,"Na kuwatupa katika lile pango ambamo walikuwa walijificha kisha wakatia mawe makubwa mdomoni mwa pango, hata hivi leo.",8.9615625,118
200627-120545_swa_5a1_elicit_40.wav,"Siku hiyo Yoshua akautwaa mji wa Makeda, akaupiga kwa makali ya upanga, na mfalme wake.",6.760875,87
200627-120545_swa_5a1_elicit_41.wav,"Wakawaangamiza kabisa na wote pia waliokuwamo ndani yake, hakumwacha hata mmoja aliyesalia.",7.668375,91
200627-120545_swa_5a1_elicit_42.wav,Naye akamfanyia huyo mfalme wa Makeda kama alivyomfanyia huyo mfalme wa Yeriko.,6.62475,79
200627-120545_swa_5a1_elicit_43.wav,"Kisha Yoshua akapita kutoka hapo Makeda, mpaka Libna, na Israeli wote pamoja naye, nao wakapiga Libna.",8.303625,102
200627-120545_swa_5a1_elicit_44.wav,Bwana akautia na mji huo pia pamoja na mfalme wake mkononi mwa Israeli.,6.2390625,71
200627-120545_swa_5a1_elicit_45.wav,"Naye akaupiga kwa makali ya upanga, na wote pia waliokuwamo ndani yake.",5.671875,71
200627-120545_swa_5a1_elicit_46.wav,Hakumwacha hata mmoja aliyesalia ndani yake; naye akamtenda mfalme wake kama alivyomtenda huyo mfalme wa Yeriko.,8.575875,112
200627-120545_swa_5a1_elicit_47.wav,"Kisha Yoshua akapita kutoka hapo Libna, na Israeli wote pamoja naye.",4.9231875,68
200627-120545_swa_5a1_elicit_48.wav,"Wakafika Lakishi, wakapanga marago mbele yake na kupigana nao.",5.490375,62
200627-120545_swa_5a1_elicit_49.wav,"Bwana akautia huo mji wa Lakishi mkononi mwa Israeli, naye akautwaa siku ya pili.",6.5113125,81
200627-120545_swa_5a1_elicit_50.wav,"Akaupiga kwa makali ya upanga, na wote pia waliokuwamo ndani yake, sawasawa na hayo yote aliyoutenda Libna.",8.9615625,107
200627-120545_swa_5a1_elicit_51.wav,"Wakati huo Horamu, mfalme wa Gezeri, akakwea ili kuusaidia Lakishi.",6.1483125,67
200627-120545_swa_5a1_elicit_52.wav,"Lakini Yoshua akampiga yeye na watu wake, hata asimsazie hata mtu mmoja.",5.9668125,72
200627-120545_swa_5a1_elicit_53.wav,"Kisha Yoshua akapita kutoka hapo Lakishi, na Israeli wote pamoja naye, hata wakafikilia Egloni.",7.7818125,95
200627-120545_swa_5a1_elicit_54.wav,"Nao wakapanga marago mbele yake, na kupigana nao.",4.4694375,49
200627-120545_swa_5a1_elicit_55.wav,"Siku iyo hiyo wakautwaa, nao wakaupiga kwa makali ya upanga.",5.490375,60
200627-120545_swa_5a1_elicit_56.wav,"Na wote pia waliokuwamo ndani yake akawaangamiza kabisa siku hiyo, sawasawa na hayo yote aliyoufanyia mji wa Lakishi.",9.4606875,117
200627-120545_swa_5a1_elicit_57.wav,"Kisha Yoshua akakwea kutoka hapo Egloni, na Israeli wote pamoja naye.",5.6038125,69
200627-120545_swa_5a1_elicit_58.wav,Hata wakafikilia Hebroni; nao wakapigana nao.,4.2879375,45
200627-120545_swa_5a1_elicit_59.wav,"Wakautwaa, na kuupiga kwa makali ya upanga, na mfalme wake, na miji yake yote.",6.08025,78
200627-120545_swa_5a1_elicit_60.wav,Na wote waliokuwamo ndani yake; hakumwacha aliyesalia hata mtu mmoja.,5.6265,69
200627-120545_swa_5a1_elicit_61.wav,Sawasawa na hayo yote aliyoufanyia huo mji wa Egloni.,4.6509375,53
200627-120545_swa_5a1_elicit_62.wav,"Lakini akauangamiza kabisa, na wote pia waliokuwamo ndani yake.",5.4223125,63
200627-120545_swa_5a1_elicit_63.wav,"Kisha Yoshua akarudi, na Israeli wote pamoja naye, hata Debiri; nao wakapigana nao.",6.7381875,83
200627-120545_swa_5a1_elicit_64.wav,"Kisha akautwaa, na mfalme wake, na miji yake yote; nao wakawapiga kwa makali ya upanga.",7.0785,87
200627-120545_swa_5a1_elicit_65.wav,Wakawaangamiza kabisa wote pia waliokuwamo ndani yake; hakumwacha hata mmoja aliyesalia.,7.26,88
200627-120545_swa_5a1_elicit_66.wav,"Kama alivyoufanyia Hebroni aliufanyia na Debiri vivyo, na mfalme wake; kama alivyoufanyia Libna, na mfalme wake.",9.120375,112
200627-120545_swa_5a1_elicit_67.wav,"Basi Yoshua akaipiga nchi hiyo yote, nchi ya vilima, na nchi ya Negebu.",5.944125,71
200627-120545_swa_5a1_elicit_68.wav,"Na nchi ya Shefela, na nchi ya matelemko, na wafalme wake wote; hakumwacha aliyesalia hata mmoja.",8.485125,97
200627-120545_swa_5a1_elicit_69.wav,"Lakini akawaharibu kabisa wote waliokuwa wavuta pumzi, kama Bwana, Mungu wa Israeli, alivyoamuru.",7.71375,97
200627-120545_swa_5a1_elicit_70.wav,"Yoshua akawapiga kutoka Kadesh-barnea mpaka Gaza, na nchi yote ya Gosheni, hata Gibeoni.",7.4641875,88
200627-120545_swa_5a1_elicit_71.wav,"Na wafalme hao wote na nchi zao Yoshua akatwaa, wakati huo, kwa sababu yeye Bwana.",7.2826875,82
200627-120545_swa_5a1_elicit_72.wav,"Mungu wa Israeli, alipigana kwa ajili ya Israeli.",4.1971875,49
200627-120545_swa_5a1_elicit_73.wav,"Kisha Yoshua akarudi, na Israeli wote pamoja naye, hata marago yao huko Gilgali.",6.80625,80
200629-122626_swa_5a1_elicit_0.wav,"Kisha ikawa, hapo huyo Yabini, mfalme wa Hazori, aliposikia habari ya mambo hayo.",6.760875,81
200629-122626_swa_5a1_elicit_1.wav,"Akatuma mjumbe aende kwa Yobabu, mfalme wa Madoni, na kwa mfalme wa Shimroni.",6.4659375,77
200629-122626_swa_5a1_elicit_2.wav,"Na mfalme wa Akshafu,na hao wafalme waliokuwa upande wa kaskazini.",5.4223125,66
200629-122626_swa_5a1_elicit_3.wav,"Katika nchi ya vilima, na katika Araba upande wa kusini wa Kinerethi.",6.1029375,69
200629-122626_swa_5a1_elicit_4.wav,"Na katika Shefela, na katika nchi zilizoinuka za Dori upande wa magharibi.",6.1029375,74
200629-122626_swa_5a1_elicit_5.wav,"Na kwa Mkanaani upande wa mashariki, na upande wa magharibi.",4.6963125,60
200629-122626_swa_5a1_elicit_6.wav,"Na kwa Mwamori, na Mhiti, na Mperizi na Myebusi katika nchi ya vilima.",6.62475,70
200629-122626_swa_5a1_elicit_7.wav,Na kwa Mhivi pale chini ya Hermoni katika nchi ya Mispa.,5.399625,56
200629-122626_swa_5a1_elicit_8.wav,"Nao wakatoka nje, wao na jeshi zao zote pamoja nao, watu wengi mno.",5.7853125,67
200629-122626_swa_5a1_elicit_9.wav,"Kama mchanga ulio ufuoni mwa bahari kwa wingi, pamoja na farasi na magari mengi sana.",6.9650625,85
200629-122626_swa_5a1_elicit_10.wav,Wafalme hao wote wakakutana pamoja; wakaenda na kupanga mahema yao pamoja.,5.7399375,74
200629-122626_swa_5a1_elicit_11.wav,"Hapo penye maji ya Meromu, ili kupigana na Israeli.",4.7416875,51
200629-122626_swa_5a1_elicit_12.wav,"Bwana akamwambia Yoshua, Usiche wewe kwa ajili ya hao.",4.4240625,54
200629-122626_swa_5a1_elicit_13.wav,Kwani kesho wakati kama huu nitawatoa hali wameuawa wote mbele ya Israeli.,6.307125,74
200629-122626_swa_5a1_elicit_14.wav,"Utawatema farasi zao, na magari yao utayapiga moto.",4.582875,51
200629-122626_swa_5a1_elicit_15.wav,"Basi Yoshua akaenda, na watu wote wa vita pamoja naye.",4.4694375,54
200629-122626_swa_5a1_elicit_16.wav,Ili kupigana nao hapo penye maji ya Meromu ghafula; wakawaangukia.,5.4223125,66
200629-122626_swa_5a1_elicit_17.wav,"Bwana akawatia mkononi mwa Israeli, nao wakawapiga.",4.4240625,51
200629-122626_swa_5a1_elicit_18.wav,"Na kuwafukuza hata kufikilia Sidoni ulio mkuu, na hata kufikilia Misrefoth-maimu.",7.4188125,81
200629-122626_swa_5a1_elicit_19.wav,Tena hata kufikilia bonde la Mispa upande wa mashariki.,4.310625,55
200629-122626_swa_5a1_elicit_20.wav,Wakawapiga hata wasiwasaze hata mtu mmoja aliyesalia.,4.7870625,53
200629-122626_swa_5a1_elicit_21.wav,Yoshua akawafanyia vile vile kama Bwana alivyomwamuru.,4.2879375,54
200629-122626_swa_5a1_elicit_22.wav,"Akawatema farasi zao, na magari yao akayapiga moto.",3.993,51
200629-122626_swa_5a1_elicit_23.wav,"Yoshua akarudi wakati huo na kuutwaa Hazori, akampiga mfalme wa Hazori kwa upanga.",6.44325,82
200629-122626_swa_5a1_elicit_24.wav,Kwa kuwa Hazori hapo kwanza ulikuwa ni kichwa cha falme hizo zote.,4.764375,66
200629-122626_swa_5a1_elicit_25.wav,Nao wakawapiga wote pia waliokuwamo ndani ya Hazori kwa makali ya upanga.,5.308875,73
200629-122626_swa_5a1_elicit_26.wav,Wakawaangamiza kabisa; hakusazwa hata mmoja aliyevuta pumzi; kisha akauteketeza Hazori kwa moto.,7.623,96
200629-122626_swa_5a1_elicit_27.wav,"Tena miji yote ya wafalme hao, na wafalme wake wote.",4.26525,52
200629-122626_swa_5a1_elicit_28.wav,"Yoshua akawatwaa, akawapiga kwa makali ya upanga, na kuwaangamiza kabisa.",5.5584375,73
200629-122626_swa_5a1_elicit_29.wav,Vile vile kama huyo Musa mtumishi wa Bwana alivyomwamuru.,4.673625,57
200629-122626_swa_5a1_elicit_30.wav,Lakini katika habari ya miji hiyo iliyosimama katika vilima vyao.,5.2635,65
200629-122626_swa_5a1_elicit_31.wav,"Israeli hawakuipiga moto miji hiyo, isipokuwa ni mji wa Hazori tu; mji huo Yoshua aliupiga moto.",7.4188125,96
200629-122626_swa_5a1_elicit_32.wav,"Tena nyara zote za miji hiyo, na wanyama wa miji.",3.584625,49
200629-122626_swa_5a1_elicit_33.wav,Wana wa Israeli walitwaa kuwa nyara zao wenyewe.,4.08375,48
200629-122626_swa_5a1_elicit_34.wav,"Lakini kila mtu wakampiga kwa makali ya upanga, hata walipokuwa wamewaangamiza wote.",5.6945625,84
200629-122626_swa_5a1_elicit_35.wav,Wala hawakumsaza mmoja mwenye kuvuta pumzi.,3.7888125,43
200629-122626_swa_5a1_elicit_36.wav,Vile vile kama Bwana alivyomwamuru Musa mtumishi wake.,4.62825,54
200629-122626_swa_5a1_elicit_37.wav,Ndivyo Musa alivyomwamuru Yoshua; naye Yoshua akafanya vivyo.,4.6963125,61
200629-122626_swa_5a1_elicit_38.wav,Hakukosa kufanya neno lo lote katika hayo yote Bwana aliyomwamuru Musa.,5.762625,71
200629-122626_swa_5a1_elicit_39.wav,"Hivyo Yoshua akatwaa nchi hiyo yote, hiyo nchi ya vilima.",4.80975,57
200629-122626_swa_5a1_elicit_40.wav,"Na nchi yote ya Negebu, na nchi yote ya Gosheni, na hiyo Shefela.",5.3769375,65
200629-122626_swa_5a1_elicit_41.wav,"Na hiyo Araba na nchi ya vilima vilima ya Israeli, na hiyo nchi tambarare.",5.944125,74
200629-122626_swa_5a1_elicit_42.wav,"Tangu kilima cha Halaki, kiendeleacho upande wa Seiri.",4.401375,54
200629-122626_swa_5a1_elicit_43.wav,Mpaka Baal-gadi katika bonde la Lebanoni chini ya kilima cha Hermoni.,5.1500625,69
200629-122626_swa_5a1_elicit_44.wav,"Naye akawatwaa wafalme wao wote, akawapiga, na kuwaua.",4.356,54
200629-122626_swa_5a1_elicit_45.wav,Yoshua akapiga vita siku nyingi na wafalme hao wote.,4.2425625,52
200629-122626_swa_5a1_elicit_46.wav,Haukuwapo mji hata mmoja uliofanya amani na wana wa Israeli.,4.62825,60
200629-122626_swa_5a1_elicit_47.wav,Isipokuwa ni wale Wahivi wenye kukaa Gibeoni; wakaitwaa yote vitani.,5.6038125,68
200629-122626_swa_5a1_elicit_48.wav,Kwa kuwa lilikuwa ni la Bwana kuifanya mioyo yao kuwa migumu.,4.9685625,61
200629-122626_swa_5a1_elicit_49.wav,"Hata wakatoka kupigana na Israeli, ili apate kuwaangamiza kabisa.",4.8324375,65
200629-122626_swa_5a1_elicit_50.wav,"Wasihurumiwe lakini apate kuwaangamiza, kama vile Bwana alivyomwamuru Musa.",5.7853125,75
200629-122626_swa_5a1_elicit_51.wav,Wakati huo Yoshua akaenda na kuwakatilia mbali hao Waanaki watoke nchi ya vilima.,6.397875,81
200629-122626_swa_5a1_elicit_52.wav,"Kutoka Hebroni, na kutoka Debiri, na kutoka Anabu.",4.1745,50
200629-122626_swa_5a1_elicit_53.wav,Na kutoka katika nchi yote ya vilima vilima ya Yuda.,4.26525,52
200629-122626_swa_5a1_elicit_54.wav,Na kutoka katika nchi yote ya vilima vilima ya Israeli.,4.26525,55
200629-122626_swa_5a1_elicit_55.wav,Yoshua akawaangamiza kabisa na miji yao.,3.2896875,40
200629-133324_swa_5a1_elicit_0.wav,Na watu wote wenye kuikaa nchi ya vilima kutoka Lebanoni hata Misrefoth-maimu.,7.8045,78
200629-133324_swa_5a1_elicit_1.wav,"Maana, hao Wasidoni wote; hao wote nitawafukuza watoke mbele ya wana wa Israeli.",7.6910625,80
200629-133324_swa_5a1_elicit_2.wav,"Lakini wewe uwape Israeli kuwa ni urithi wao, kama nilivyokuamuru.",6.488625,66
200629-133324_swa_5a1_elicit_3.wav,"Basi sasa gawanya nchi hii, iwe urithi wa hizi kabila kenda.",6.62475,60
200629-133324_swa_5a1_elicit_4.wav,Na nusu ya kabila ya Manase.,3.53925,28
200629-133324_swa_5a1_elicit_5.wav,"Pamoja na yeye, Wareubeni na Wagadi walipata urithi wao.",6.4205625,56
200629-133324_swa_5a1_elicit_6.wav,"Waliopewa na Musa, huko ng'ambo ya Yordani upande wa mashariki.",5.944125,63
200629-133324_swa_5a1_elicit_7.wav,Vile vile kama huyo Musa mtumishi wa Bwana alivyowapa; kutoka huko Aroeri.,7.7818125,74
200629-133324_swa_5a1_elicit_8.wav,"Iliyo pale ukingoni mwa bonde la Amoni, na huo mji ulio pale katikati ya bonde.",7.849875,79
200629-133324_swa_5a1_elicit_9.wav,Na nchi tambarare yote ya Medeba mpaka Diboni.,5.6265,46
200629-133324_swa_5a1_elicit_10.wav,"Na miji yote ya Sihoni mfalme wa Waamori, aliyetawala katika Heshboni.",7.4641875,70
200629-133324_swa_5a1_elicit_11.wav,Hata mpaka wa wana wa Amoni; na Gileadi na mpaka wa Wageshuri.,6.7835625,62
200629-133324_swa_5a1_elicit_12.wav,"Na Wamaaka, na mlima wa Hermoni wote, na Bashani yote mpaka Saleka.",7.7818125,67
200629-133324_swa_5a1_elicit_13.wav,Ufalme wote wa Ogu uliokuwa katika Bashani.,5.4676875,43
200629-133324_swa_5a1_elicit_14.wav,Huyo aliyekuwa akitawala katika Ashtarothi na katika Edrei.,6.7835625,59
200629-133324_swa_5a1_elicit_15.wav,Huyo alisalia katika mabaki ya wale Warefai; kwa kuwa Musa aliwapiga hao na kuwafukuza.,8.485125,87
200629-133324_swa_5a1_elicit_16.wav,"Pamoja na hayo wana wa Israeli hawakuwafukuza Wageshuri, wala Wamaaka.",7.4641875,70
200629-133324_swa_5a1_elicit_17.wav,"Lakini Wageshuri na Wamaaka wamekaa kati ya Israeli, hata siku hii ya leo.",7.123875,74
200629-133324_swa_5a1_elicit_18.wav,Lakini hakuwapa watu wa kabila ya Lawi urithi uwao wote.,6.760875,56
200629-133324_swa_5a1_elicit_19.wav,"Maana sadaka za Bwana, Mungu wa Israeli.",4.5375,40
200629-133324_swa_5a1_elicit_20.wav,"Zisongezwazo kwa njia ya moto ndizo urithi wake huyo, kama alivyomwambia.",8.4170625,73
200629-133324_swa_5a1_elicit_21.wav,Musa akawapa kabila ya wana wa Reubeni kwa kadiri ya jamaa zao.,7.0104375,63
200629-133324_swa_5a1_elicit_22.wav,"Mpaka wao ulikuwa kutoka hapo Aroeri, iliyo pale ukingoni mwa bonde la Arnoni.",8.1448125,78
200629-133324_swa_5a1_elicit_23.wav,"Na huo mji ulio katikati ya bonde, na nchi tambarare yote iliyo karibu na Medeba.",8.5985625,81
200629-133324_swa_5a1_elicit_24.wav,Na Heshboni na miji yake yote iliyoko katika bonde; na Diboni.,7.9633125,62
200629-133324_swa_5a1_elicit_25.wav,"Na Bamoth-baali, na Beth-baal-meoni; na Yahasa, na Kedemothi, na Mefaathi.",8.1448125,74
200629-133324_swa_5a1_elicit_26.wav,"Na Kiriathaimu, na Sibma, na Sereth-shahari katika kilima cha hilo bonde.",8.212875,73
200629-133324_swa_5a1_elicit_27.wav,"Na Beth-peori, na nchi za matelemko ya Pisga, na Beth-yeshimothi.",7.0785,65
200629-133324_swa_5a1_elicit_28.wav,"Na miji yote ya nchi tambarare, na ufalme wote wa Sihoni mfalme wa Waamori.",7.8045,75
200629-133324_swa_5a1_elicit_29.wav,"Aliyekuwa akitawala katika Heshboni, aliyepigwa na Musa pamoja na hao wakubwa wa Midiani.",8.80275,89
200629-133324_swa_5a1_elicit_30.wav,"Nao ni Evi, na Rekemu, na Suri, na Huri, na Reba, hao mashehe wa Sihoni.",9.392625,72
200629-133324_swa_5a1_elicit_31.wav,Waliokuwa katika nchi hiyo.,3.675375,27
200629-133324_swa_5a1_elicit_32.wav,"Balaamu naye, huyo mwana wa Beori, huyo mchawi.",5.490375,47
200629-133324_swa_5a1_elicit_33.wav,Wana wa Israeli walimwua kwa upanga kati ya hao wengine waliowaua.,7.3280625,66
200629-133324_swa_5a1_elicit_34.wav,"Na mpaka wa wana wa Reubeni ulikuwa ni mto wa Yordani, na mpaka wake.",6.9196875,69
200629-133324_swa_5a1_elicit_35.wav,"Huo ndio urithi wa wana wa Reubeni sawasawa na jamaa zao, miji yake na vijiji vyake.",8.62125,84
200629-133324_swa_5a1_elicit_36.wav,"Musa akawapa kabila ya Gadi, hao wana wa Gadi, kwa kadiri ya jamaa zao.",7.6003125,71
200629-133324_swa_5a1_elicit_37.wav,"Mpaka wao ulikuwa ni Yazeri, na miji hiyo ya Gileadi.",6.034875,53
200629-133324_swa_5a1_elicit_38.wav,"Na nusu ya nchi ya wana wa Amoni, mpaka Aroeri uliokabili Raba.",6.897,63
200629-133324_swa_5a1_elicit_39.wav,"Tena kutoka Heshboni mpaka Ramath-Mizpe, na Betonimu.",6.44325,53
200629-133324_swa_5a1_elicit_40.wav,Tena kutoka Mahanaimu hata mpaka wa Debiri.,5.3315625,43
200629-133324_swa_5a1_elicit_41.wav,"Tena katika bonde, Beth-haramu, na Bethnimira, na Sukothi, na Safoni.",7.4641875,69
200629-133324_swa_5a1_elicit_42.wav,Hiyo iliyosalia ya ufalme wa Sihoni mfalme wa Heshboni.,6.2844375,55
200629-133324_swa_5a1_elicit_43.wav,Yaani mto wa Yordani na mpaka wake.,4.6963125,35
200629-133324_swa_5a1_elicit_44.wav,Mpaka mwisho wa bahari ya Kinerethi ng'ambo ya pili ya Yordani upande wa mashariki.,8.0994375,83
200629-133324_swa_5a1_elicit_45.wav,"Huo ndio urithi wa wana wa Gadi sawasawa na jamaa zao, miji yake na vijiji vyake.",8.349,81
200629-133324_swa_5a1_elicit_46.wav,Kisha Musa akawapa hao wa nusu ya kabila ya Manase urithi wao.,6.9650625,62
200629-133324_swa_5a1_elicit_47.wav,Ulikuwa ni wa hiyo nusu ya kabila ya wana wa Manase sawasawa na jamaa zao.,7.305375,74
200629-133324_swa_5a1_elicit_48.wav,"Na mpaka wao ulikuwa kutoka huko Mahanaimu, Bashani yote.",6.307125,57
200629-133324_swa_5a1_elicit_49.wav,"Na ufalme wote wa Ogu mfalme wa Bashani, na miji yote ya Yairi.",7.16925,63
200629-133324_swa_5a1_elicit_50.wav,"Iliyo katika Bashani, miji sitini; na nusu ya Gileadi, na Ashtarothi, na Edrei.",9.0069375,79
200629-133324_swa_5a1_elicit_51.wav,"Hiyo miji ya ufalme wa Ogu katika Bashani, ilikuwa ni ya wana wa Makiri mwana wa Manase maana.",9.3699375,94
200629-133324_swa_5a1_elicit_52.wav,Kwa hiyo nusu ya wana wa Makiri sawasawa na jamaa zao.,5.5130625,54
200629-133324_swa_5a1_elicit_53.wav,Hizi ndizo mirathi ambazo Musa alizigawanya katika nchi tambarare za Moabu.,7.577625,75
200629-133324_swa_5a1_elicit_54.wav,"Ng'ambo ya pili ya Yordani, kukabili Yeriko, upande wa mashariki.",6.2844375,65
200629-133324_swa_5a1_elicit_55.wav,Lakini Musa hakuwapa kabila ya Lawi urithi uwao wote.,6.2844375,53
200629-133324_swa_5a1_elicit_56.wav,"Yeye Bwana, Mungu wa Israeli, ndiye urithi wao, kama alivyowaambia.",6.6020625,67
200630-095158_swa_5a1_elicit_0.wav,Kisha hizi ndizo nchi ambazo wana wa Israeli walizitwaa katika nchi ya Kanaani.,6.7381875,79
200630-095158_swa_5a1_elicit_1.wav,"Ambazo Eleazari kuhani, na Yoshua mwana wa Nuni.",4.4694375,48
200630-095158_swa_5a1_elicit_2.wav,"Na vichwa vya nyumba za mababa wa kabila za Israeli, waliwagawanyia.",5.490375,68
200630-095158_swa_5a1_elicit_3.wav,"Kwa kuandama hiyo kura ya urithi wao, vile vile kama Bwana alivyoamuru kwa mkono wa Musa.",7.1011875,89
200630-095158_swa_5a1_elicit_4.wav,"Kwa ajili ya hizo kabila kenda, na hiyo nusu ya kabila.",4.26525,55
200630-095158_swa_5a1_elicit_5.wav,Kwa kuwa Musa alikuwa amekwisha kuwapa urithi hizo kabila mbili na nusu.,5.2635,72
200630-095158_swa_5a1_elicit_6.wav,Ng'ambo ya pili ya Yordani; lakini hakuwapa Walawi urithi uwao wote kati yao.,6.44325,77
200630-095158_swa_5a1_elicit_7.wav,"Kwa kuwa wana wa Yusufu walikuwa kabila mbili, Manase na Efraimu.",5.490375,65
200630-095158_swa_5a1_elicit_8.wav,"Nao hawakuwapa Walawi sehemu katika hiyo nchi, isipokuwa waliwapa miji wapate kuikaa.",6.942375,85
200630-095158_swa_5a1_elicit_9.wav,"Pamoja na viunga vyake kwa ajili ya wanyama wao wa mifugo, na kwa ajili ya riziki zao.",6.534,86
200630-095158_swa_5a1_elicit_10.wav,"Vile vile kama Bwana alivyomwamuru Musa, hao wana wa Israeli walifanya vivyo.",6.0121875,77
200630-095158_swa_5a1_elicit_11.wav,Nao wakaigawanya hiyo nchi.,2.6544375,27
200630-095158_swa_5a1_elicit_12.wav,Wakati huo wana wa Yuda walimkaribia Yoshua hapo Gilgali.,5.1046875,57
200630-095158_swa_5a1_elicit_13.wav,"Na Kalebu, mwana wa Yefune, huyo Mkenizi, akamwambia.",4.62825,53
200630-095158_swa_5a1_elicit_14.wav,"Wewe wajua hilo neno Bwana alilomwambia Musa, huyo mtu wa Mung.",5.445,63
200630-095158_swa_5a1_elicit_15.wav,"Katika habari zangu, na katika habari zako wewe, tulipokuwa katika Kadesh-barnea.",6.4205625,81
200630-095158_swa_5a1_elicit_16.wav,Mimi nilikuwa mtu wa miaka arobaini umri wangu.,3.7888125,47
200630-095158_swa_5a1_elicit_17.wav,Hapo Musa mtumishi wa Bwana aliponituma niende kutoka Kadesh-barnea ili kuipeleleza hiyo nchi.,7.0785,94
200630-095158_swa_5a1_elicit_18.wav,"Nami nilimletea habari tena, kama ilivyokuwa ndani ya moyo wangu.",4.945875,65
200630-095158_swa_5a1_elicit_19.wav,Lakini wale ndugu zangu waliokwea kwenda pamoja nami waliiyeyusha mioyo ya watu.,6.3525,80
200630-095158_swa_5a1_elicit_20.wav,"Ila mimi nilimfuata Bwana, Mungu wangu, kwa utimilifu.",4.582875,54
200630-095158_swa_5a1_elicit_21.wav,"Kisha Musa akaniapia siku hiyo, akasema.",3.493875,40
200630-095158_swa_5a1_elicit_22.wav,Hakika hiyo nchi ambayo miguu yako imekanyaga itakuwa ni urithi kwako wewe.,5.808,75
200630-095158_swa_5a1_elicit_23.wav,"Na kwa watoto wako milele, kwa sababu wewe umemfuata Bwana, Mungu wako, kwa utimilifu.",7.4641875,86
200630-095158_swa_5a1_elicit_24.wav,"Sasa basi, angalia, yeye Bwana ameniweka hai, kama alivyosema.",6.171,62
200630-095158_swa_5a1_elicit_25.wav,"Miaka hii arobaini na mitano, tangu wakati huo Bwana alipomwambia Musa neno hilo.",7.5095625,81
200630-095158_swa_5a1_elicit_26.wav,Wakati Israeli waliokuwa wakienenda barani; na sasa tazama.,5.445,59
200630-095158_swa_5a1_elicit_27.wav,Hivi leo nimepata miaka themanini na mitano umri wangu.,5.1500625,55
200630-095158_swa_5a1_elicit_28.wav,Hata sasa mimi nina nguvu zangu hivi leo kama nilivyokuwa siku hiyo Musa aliyonituma.,7.8045,85
200630-095158_swa_5a1_elicit_29.wav,"Kama nguvu zangu zilivyokuwa wakati huo, na nguvu zangu ndivyo zilivyo sasa.",6.0575625,76
200630-095158_swa_5a1_elicit_30.wav,Kwa vita na kwa kutoka nje na kuingia ndani.,4.3786875,44
200630-095158_swa_5a1_elicit_31.wav,"Basi sasa unipe mlima huu, ambao Bwana alinena habari zake siku hiyo.",6.44325,69
200630-095158_swa_5a1_elicit_32.wav,Kwani wewe ulisikia siku hiyo jinsi Waanaki walivyokuwa huko.,5.9214375,61
200630-095158_swa_5a1_elicit_33.wav,Na miji ilivyokuwa mikubwa yenye boma; yumkini yeye Bwana atakuwa pamoja nami.,7.0785,78
200630-095158_swa_5a1_elicit_34.wav,"Nami nitawafukuza watoke nje, kama Bwana alivyonena.",5.5584375,52
200630-095158_swa_5a1_elicit_35.wav,"Yoshua akambarikia, akampa Kalebu, huyo mwana wa Yefune, Hebroni kuwa urithi wake.",7.623,82
200630-095158_swa_5a1_elicit_36.wav,"Kwa hiyo Hebroni ukawa urithi wa Kalebu, mwana wa Yefune, Mkenizi, hata leo.",7.6910625,76
200630-095158_swa_5a1_elicit_37.wav,"Kwa sababu alimwandama Bwana, Mungu wa Israeli, kwa utimilifu.",5.762625,62
200630-095158_swa_5a1_elicit_38.wav,Basi jina la Hebroni hapo kwanza uliitwa Kiriath-arba.,6.034875,54
200630-095158_swa_5a1_elicit_39.wav,Huyo Arba alikuwa ni mtu mkubwa kupita wenziwe wote katika hao Waanaki.,7.53225,71
200630-095158_swa_5a1_elicit_40.wav,"Hiyo nchi nayo ikatulia, vita vikakoma.",4.582875,39
200630-095158_swa_5a1_elicit_41.wav,Kura ya kabila ya wana wa Yuda kwa kuandama jamaa zao.,5.2861875,54
200630-095158_swa_5a1_elicit_42.wav,"Ilikuwa kufikilia hata mpaka wa Edomu, hata bara ya Sini upande wa kusini.",7.0104375,74
200630-095158_swa_5a1_elicit_43.wav,Huko mwisho upande wa kusini.,3.4485,29
200630-095158_swa_5a1_elicit_44.wav,Mpaka wao wa kusini ulikuwa kutoka mwisho wa Bahari ya Chumvi.,4.9231875,62
200630-095158_swa_5a1_elicit_45.wav,Kutoka ile hori ielekeayo kusini.,4.0156875,33
200630-095158_swa_5a1_elicit_46.wav,Nao ukaendelea upande wa kusini wa kukwea kwenda Akrabimu.,5.808,58
200630-095158_swa_5a1_elicit_47.wav,"Kisha ukaendelea hata Sini, kisha ukaenda upande wa kusini wa Kadesh-barnea.",7.396125,76
200630-095158_swa_5a1_elicit_48.wav,"Kisha ukaendelea karibu na Hesroni, kisha ukafikilia Adari, na kuzunguka kwendea Karka.",8.6893125,87
200630-095158_swa_5a1_elicit_49.wav,"Kisha ukaendelea hata Azmoni, na kutokea hapo penye kijito cha Misri.",6.26175,69
200630-095158_swa_5a1_elicit_50.wav,Na matokeo ya huo mpaka yalikuwa baharini; huu ndio mpaka wenu wa upande wa kusini.,7.5549375,83
200630-095158_swa_5a1_elicit_51.wav,"Na mpaka wa upande wa mashariki ulikuwa Bahari ya Chumvi, hata mwisho wa mto wa Yordani.",7.3280625,88
200630-095158_swa_5a1_elicit_52.wav,Na mpaka wa upande wa kaskazini ulikuwa kutoka.,4.80975,47
200630-095158_swa_5a1_elicit_53.wav,Pale penye hori ya baharini mwisho wa mto wa Yordani.,4.9231875,53
200630-095158_swa_5a1_elicit_54.wav,"Na huo mpaka ukaendelea hata Beth-hogla, kisha ukaendelea upande wa kaskazini wa Beth-araba.",8.666625,92
200630-095158_swa_5a1_elicit_55.wav,Kisha mpaka ukaendelea hata jiwe la Bohani mwana wa Reubeni.,6.171,60
200630-095158_swa_5a1_elicit_56.wav,Kisha mpaka ukaendelea hata Debiri kutoka bonde la Akori.,5.6265,57
200630-095158_swa_5a1_elicit_57.wav,"Vivyo ukaendelea upande wa kaskazini, kwa kuelekea Gilgali.",6.125625,59
200630-095158_swa_5a1_elicit_58.wav,"Iliyo mkabala wa kukwelea kwenda Adumimu, ulio upande wa kusini wa mto.",7.486875,71
200630-095158_swa_5a1_elicit_59.wav,Kisha huo mpaka ukaendelea hata ukafikilia maji ya Enshemeshi.,6.6928125,62
200630-095158_swa_5a1_elicit_60.wav,Na matokeo yake yalikuwa hapo Enrogeli.,4.4694375,39
200630-095158_swa_5a1_elicit_61.wav,Kisha mpaka ukaendelea karibu na bonde la mwana wa Hinomu.,5.445,58
200630-095158_swa_5a1_elicit_62.wav,Na kufikilia ubavuni mwa huyu Myebusi upande wa kusini (ndio Yerusalemu).,7.26,73
200630-095158_swa_5a1_elicit_63.wav,Kisha mpaka ukaendelea hata kilele cha mlima ulio pale.,5.2635,55
200630-095158_swa_5a1_elicit_64.wav,Mkabala wa bonde la Hinomu upande wa magharibi.,4.6055625,47
200630-095158_swa_5a1_elicit_65.wav,Lililo pale mwisho wa bonde la Warefai upande wa kaskazini.,5.581125,59
200630-095158_swa_5a1_elicit_66.wav,Kisha mpaka ulipigwa kutoka juu ya mlima huo hata kufikilia chemchemi ya maji.,7.2826875,78
200630-100755_swa_5a1_elicit_0.wav,Ya Neftoa kisha ukatokea hata miji ya kilima cha Efroni.,6.034875,56
200630-100755_swa_5a1_elicit_1.wav,Kisha mpaka ulipigwa hata kufikilia Baala (ndio Kiriath-yearimu).,7.033125,65
200630-100755_swa_5a1_elicit_2.wav,Kisha mpaka ukazunguka kutoka Baala kwendelea upande wa magharibi hata kilima Seiri.,8.1901875,84
200630-100755_swa_5a1_elicit_3.wav,Kisha ukaendelea hata upande wa mlima wa Yearimu upande wa kaskazini (huo ndio Kesaloni).,8.575875,89
200630-100755_swa_5a1_elicit_4.wav,"Kisha ukatelemkia Beth-shemeshi, na kwendelea karibu na Timna.",6.1483125,62
200630-100755_swa_5a1_elicit_5.wav,Kisha mpaka ukatokea hata kufikilia upande wa Ekroni upande wa kaskazini.,7.16925,73
200630-100755_swa_5a1_elicit_6.wav,"Tena mpaka ulipigwa hata Shikroni, na kwendelea hata kilima cha Baala.",6.942375,70
200630-100755_swa_5a1_elicit_7.wav,Kisha ukatokea hapo Yabneeli; na matokeo ya mpaka yalikuwa baharini.,6.7155,68
200630-100755_swa_5a1_elicit_8.wav,"Na mpaka wa upande wa magharibi ulifikilia hata bahari kubwa, na mpaka wake.",7.1011875,76
200630-100755_swa_5a1_elicit_9.wav,Huo ndio mpaka wa wana wa Yuda kwa kuzunguka kote kote sawasawa na jamaa zao.,7.35075,77
200630-100755_swa_5a1_elicit_10.wav,Kisha alimpa huyo Kalebu mwana wa Yefune sehemu kati ya wana wa Yuda.,7.0104375,69
200630-100755_swa_5a1_elicit_11.wav,"Kama Bwana alivyomwamuru Yoshua, maana ni Kiriath-arba.",6.08025,55
200630-100755_swa_5a1_elicit_12.wav,Ni huyo Arba aliyekuwa babaye Anaki (huo ndio Hebroni).,6.62475,55
200630-100755_swa_5a1_elicit_13.wav,Huyo Kalebu aliwafukuza watoke hapo hao wana watatu wa Anaki.,6.216375,61
200630-100755_swa_5a1_elicit_14.wav,"Nao ni Sheshai, na Ahimani, na Talmai, wana wa Anaki.",6.3525,53
200630-100755_swa_5a1_elicit_15.wav,Kisha akakwea kutoka huko ili kuwaendea wenyeji wa Debiri.,5.7853125,58
200630-100755_swa_5a1_elicit_16.wav,Jina la Debiri hapo kwanza lilikuwa Kiriath-seferi.,5.3315625,51
200630-100755_swa_5a1_elicit_17.wav,"Kalebu akasema, Yeye atakayeupiga Kiriath-seferi na kuutwaa.",6.5113125,60
200630-100755_swa_5a1_elicit_18.wav,Mimi nitampa Aksa binti yangu awe mkewe.,5.0139375,40
200630-100755_swa_5a1_elicit_19.wav,"Naye Othnieli mwana wa Kenazi, nduguye Kalebu, aliutwaa; basi akampa Aksa binti yake awe mkewe.",10.027875,95
200630-100755_swa_5a1_elicit_20.wav,"Kisha ikawa, hapo huyo mwanamke alipokwenda kwa mumewe, akamtaka aombe shamba kwa baba yake.",8.2809375,92
200630-100755_swa_5a1_elicit_21.wav,"Akashuka katika punda wake; Kalebu akamwuliza, Wataka nini?",5.7853125,59
200630-100755_swa_5a1_elicit_22.wav,"Huyo mwanamke akasema, Nipe baraka; kwa kuwa umeniweka katika nchi ya kusini.",7.396125,77
200630-100755_swa_5a1_elicit_23.wav,Unipe na chemchemi za maji pia. Ndipo akampa chemchemi za maji ya juu.,7.033125,70
200630-100755_swa_5a1_elicit_24.wav,Na chemchemi za maji ya chini.,2.9266875,30
200630-100755_swa_5a1_elicit_25.wav,Huu ndio urithi wa kabila ya wana wa Yuda sawasawa na jamaa zao.,5.5130625,64
200630-100755_swa_5a1_elicit_26.wav,Miji ya mwisho ya kabila ya wana wa Yuda upande wa kuelekea.,4.8324375,60
200630-100755_swa_5a1_elicit_27.wav,"Mpaka wa Edomu katika nchi ya Negebu ilikuwa ni Kabseeli, na Ederi, na Yaguri.",7.8045,78
200630-100755_swa_5a1_elicit_28.wav,"Na Kina, na Dimona, na Adada.",3.8795625,29
200630-100755_swa_5a1_elicit_29.wav,"Na Kedeshi, na Hazori, na Ithnani, na Zifu, na Telemu, na Bealothi.",8.031375,67
200630-100755_swa_5a1_elicit_30.wav,"Na Hazor-hadata, na Kerioth-hezroni (ndio Hazori);na Amamu, na Shema, na Molada.",8.8935,80
200630-100755_swa_5a1_elicit_31.wav,"Na Hasar-gada, na Heshmoni, na Bethpeleti; na Hasarshuali, na Beer-sheba, na Biziothia.",9.5514375,87
200630-100755_swa_5a1_elicit_32.wav,"Na Baala, na Iyimu, na Esemu; na Eltoladi, na Kesili, na Horma.",8.2809375,63
200630-100755_swa_5a1_elicit_33.wav,"Na Siklagi, na Madmana, na Sansana; na Lebaothi, na Shilhimu, na Aini, na Rimoni.",10.3228125,81
200630-100755_swa_5a1_elicit_34.wav,"Miji hiyo yote ni miji ishirini na kenda, pamoja na vijiji vyake.",6.1029375,65
200630-100755_swa_5a1_elicit_35.wav,"Katika nchi ya Shefela, Eshtaoli, na Sora, na Ashna, na Zanoa, na Enganimu.",8.07675,75
200630-100755_swa_5a1_elicit_36.wav,"Na Tapua, na Enamu; na Yarmuthi, na Adulamu, na Soko, na Azeka.",8.303625,63
200630-100755_swa_5a1_elicit_37.wav,"Na Shaarimu, na Adithaimu, na Gedera, na Gederothaimu miji kumi na minne, pamoja na vijiji vyake.",9.89175,97
200630-100755_swa_5a1_elicit_38.wav,"Senani, na Hadasha, na Migdal-gadi; na Dilani, na Mispe, na Yoktheeli.",8.1448125,70
200630-100755_swa_5a1_elicit_39.wav,"Na Lakishi, na Boskathi, na Egloni; na Kaboni, na Lamasi, na Kithilishi.",8.712,72
200630-100755_swa_5a1_elicit_40.wav,"Na Gederothi, na Beth-dagoni, na Naama, na Makeda; miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.",10.027875,93
200630-100755_swa_5a1_elicit_41.wav,"Libna, na Etheri, na Ashani; na Yifta, na Ashna, na Nesibu.",6.6928125,59
200630-100755_swa_5a1_elicit_42.wav,"Na Keila, na Akizibu, na Maresha; miji kenda, pamoja na vijiji vyake.",7.486875,69
200630-100755_swa_5a1_elicit_43.wav,"Ekroni, pamoja na miji yake na vijiji vyake.",4.6963125,44
200630-100755_swa_5a1_elicit_44.wav,"Kutoka huko Ekroni mpaka baharini, yote iliyokuwa upande wa Ashdodi, pamoja na vijiji vyake.",8.666625,92
200630-100755_swa_5a1_elicit_45.wav,"Ashdodi, na miji yake na vijiji vyake; na Gaza, na miji yake na vijiji vyake.",7.2373125,77
200630-100755_swa_5a1_elicit_46.wav,"Mpaka kijito cha Misri, na bahari kubwa, na mpaka wake.",5.6491875,55
200630-100755_swa_5a1_elicit_47.wav,"Na katika nchi ya vilima, Shamiri, na Yatiri, na Soko.",5.7853125,54
200630-100755_swa_5a1_elicit_48.wav,"Na Dana, na Kiriath-sana (ambao ni Debiri); na Anabu, na Eshtemoa, na Animu.",8.5985625,76
200630-100755_swa_5a1_elicit_49.wav,"Na Gosheni, na Holoni, na Gilo; miji kumi na mmoja, pamoja na vijiji vyake.",8.07675,75
200630-100755_swa_5a1_elicit_50.wav,"Arabu, na Duma, na Eshani; na Yanumu, na Beth-tapua, na Afeka.",7.486875,62
200630-100755_swa_5a1_elicit_51.wav,"Na Humta, na Kiriath-arba (ndio Hebroni), na Siori; miji kenda, pamoja na vijiji vyake.",8.666625,87
200630-100755_swa_5a1_elicit_52.wav,"Maoni, na Karmeli, na Zifu, na Yuta; na Yezreeli, na Yokdeamu, na Zanoa.",8.5531875,72
200630-100755_swa_5a1_elicit_53.wav,"Na Kaini, na Gibea, na Timna; miji kumi, pamoja na vijiji vyake.",6.6474375,64
200630-100755_swa_5a1_elicit_54.wav,"Halhuli, na Bethsuri, na Gedori; na Maarathi, na Bethanothi, Eltekoni.",8.349,70
200630-100755_swa_5a1_elicit_55.wav,"Miji sita, pamoja na vijiji vyake.",3.53925,34
200630-100755_swa_5a1_elicit_56.wav,"Kiriath-baali (ndio Kiriath-yearimu), na Raba; miji miwili, pamoja vijiji vyake.",8.2809375,80
200630-100755_swa_5a1_elicit_57.wav,"Huko nyikani, Betharaba, na Midini, na Sekaka; na Nibshani.",6.2844375,59
200630-100755_swa_5a1_elicit_58.wav,"Na huo Mji wa Chumvi, na Engedi; miji sita, pamoja na vijiji vyake.",6.760875,67
200630-100755_swa_5a1_elicit_59.wav,"Tena katika habari ya Wayebusi, hao wenye kukaa Yerusalemu.",5.6265,59
200630-100755_swa_5a1_elicit_60.wav,Wana wa Yuda hawakuweza kuwatoa.,3.675375,32
200630-100755_swa_5a1_elicit_61.wav,Lakini hao Wayebusi walikaa pamoja na wana wa Yuda huko Yerusalemu hata hivi leo.,7.26,81
200630-100755_swa_5a1_elicit_62.wav,Kura ya wana wa Yusufu ilianza kutoka mto wa Yordani hapo Yeriko.,6.5566875,65
200630-100755_swa_5a1_elicit_63.wav,"Hapo penye maji ya Yeriko upande wa mashariki, maana, ni hiyo nyika.",6.1029375,68
200630-100755_swa_5a1_elicit_64.wav,Kukwea kutoka Yeriko kati ya hiyo nchi ya vilima mpaka Betheli.,5.2635,63
200630-100755_swa_5a1_elicit_65.wav,Kisha ikatoka huko Betheli kwendelea Luzu.,4.2879375,42
200630-100755_swa_5a1_elicit_66.wav,Kisha ikaendelea hata kuufikilia mpaka wa Waarki mpaka Atarothi.,6.307125,64
200630-102320_swa_5a1_elicit_0.wav,Kisha ikatelemkia upande wa magharibi hata kuufikilia mpaka wa Wayafleti.,7.35075,73
200630-102320_swa_5a1_elicit_1.wav,"Hata mpaka wa Beth-horoni ya chini, hata kufikilia Gezeri.",5.6265,58
200630-102320_swa_5a1_elicit_2.wav,Na matokeo yake yalikuwa hapo baharini.,3.9703125,39
200630-102320_swa_5a1_elicit_3.wav,"Na wana wa Yusufu, Manase na Efraimu, walitwaa urithi wao.",6.5566875,58
200630-102320_swa_5a1_elicit_4.wav,Na mpaka wa wana wa Efraimu kwa kuandama jamaa zao ulikuwa hivi.,6.1029375,64
200630-102320_swa_5a1_elicit_5.wav,"Mpaka na urithi wao upande wa mashariki ulikuwa ni Ataroth-adari, hata Beth-horoni wa juu.",8.303625,90
200630-102320_swa_5a1_elicit_6.wav,Kisha mpaka ukatokea kwendelea upande wa magharibi huko Mikmeta upande wa kaskazini.,8.031375,84
200630-102320_swa_5a1_elicit_7.wav,Kisha mpaka ukazunguka kwendea upande wa mashariki hata Taanath-shilo.,6.7835625,70
200630-102320_swa_5a1_elicit_8.wav,Kisha ukaendelea upande wa mashariki wa Yanoa; kisha ulitelemka kutoka Yanoa hata Atarothi.,8.394375,91
200630-102320_swa_5a1_elicit_9.wav,"Na Naara, kisha ukafikilia Yeriko, na kutokea hapo penye mto wa Yordani.",6.9196875,72
200630-102320_swa_5a1_elicit_10.wav,Kutoka hapo Tapua mpaka ukaendelea upande wa magharibi hata kijito cha Kana.,6.942375,76
200630-102320_swa_5a1_elicit_11.wav,Na matokeo yake yalikuwa baharini.,3.5165625,34
200630-102320_swa_5a1_elicit_12.wav,Huo ndio urithi wa hao wana wa Efraimu kwa kuandama jamaa zao.,6.216375,62
200630-102320_swa_5a1_elicit_13.wav,Pamoja na ile miji iliyotengwa kwa ajili ya wana wa Efraimu.,5.944125,60
200630-102320_swa_5a1_elicit_14.wav,"Katikati ya urithi wa hao wana wa Manase, miji yote pamoja na vijiji vyake.",6.7835625,75
200630-102320_swa_5a1_elicit_15.wav,Nao hawakuwatoa Wakanaani waliokuwa Wakikaa Gezeri.,5.1500625,51
200630-102320_swa_5a1_elicit_16.wav,"Lakini hao Wakanaani waliketi kati ya Efraimu, hata hivi leo, wakawa watumishi wa kufanya kazi za shokoa.",9.71025,105
200630-102320_swa_5a1_elicit_17.wav,Kisha hii ndiyo kura iliyoiangukia kabila ya Manase.,4.719,52
200630-102320_swa_5a1_elicit_18.wav,"Maana, yeye alikuwa ni mzaliwa wa kwanza, wa Yusufu. Katika habari za Makiri.",7.033125,77
200630-102320_swa_5a1_elicit_19.wav,"Mzaliwa wa kwanza wa Manase, babaye Gileadi.",4.6509375,44
200630-102320_swa_5a1_elicit_20.wav,"Kwa sababu alikuwa mtu wa vita, basi alikuwa na Gileadi na Bashani.",6.2844375,67
200630-102320_swa_5a1_elicit_21.wav,Na kura ilikuwa ni ya hao wana wa Manase waliosalia kwa kuandama jamaa zao.,6.897,75
200630-102320_swa_5a1_elicit_22.wav,"Kwa wana wa Abiezeri, na kwa wana wa Heleki, na kwa wana wa Asrieli.",6.80625,68
200630-102320_swa_5a1_elicit_23.wav,"Na kwa wana wa Shekemu, na kwa wana wa Heferi, na kwa wana wa Shemida.",6.760875,70
200630-102320_swa_5a1_elicit_24.wav,"Hao ndio wana waume wa Manase, mwana wa Yusufu, kwa kuandama jamaa zao.",6.534,71
200630-102320_swa_5a1_elicit_25.wav,"Lakini Selofehadi, mwana wa Heferi, mwana wa Gileadi, mwana wa Makiri.",6.9196875,70
200630-102320_swa_5a1_elicit_26.wav,"Mwana wa Manase, hakuwa na wana waume ila binti.",4.8778125,48
200630-102320_swa_5a1_elicit_27.wav,"Na majina ya hao binti zake walikuwa wakiitwa Mala, na Noa, na Hogla, na Milka, na Tirsa.",9.9598125,89
200630-102320_swa_5a1_elicit_28.wav,"Nao wakakaribia mbele ya Eleazari, kuhani, na mbele ya Yoshua, mwana wa Nuni.",7.0558125,77
200630-102320_swa_5a1_elicit_29.wav,"Na mbele ya mashehe, wakasema, Bwana alimwamuru Musa kutupa sisi urithi kati ya ndugu zetu.",8.212875,91
200630-102320_swa_5a1_elicit_30.wav,Basi kwa kuiandama hiyo amri ya Bwana akawapa urithi kati ya ndugu za baba yao.,6.897,79
200630-102320_swa_5a1_elicit_31.wav,Kisha kura zilizomwangukia Manase zilikuwa ni sehemu kumi.,5.2408125,58
200630-102320_swa_5a1_elicit_32.wav,"Mbali na nchi ya Gileadi na Bashani, iliyo ng'ambo ya Yordani.",5.218125,62
200630-102320_swa_5a1_elicit_33.wav,Kwa sababu hao binti za Manase walikuwa na urithi katika wanawe waume.,6.4659375,70
200630-102320_swa_5a1_elicit_34.wav,Na nchi ya Gileadi ilikuwa ni mali ya hao wana waume wa Manase waliosalia.,6.6020625,74
200630-102320_swa_5a1_elicit_35.wav,"Mpaka wa Manase ulikuwa kutoka Asheri hata Mikmeta, ulioelekea Shekemu.",6.9650625,71
200630-102320_swa_5a1_elicit_36.wav,"Tena mpaka ukaendelea upande wa kuume, hata kuwafikilia wenyeji wa Entapua.",6.3751875,75
200630-102320_swa_5a1_elicit_37.wav,Hiyo nchi ya Tapua ilikuwa ni mali ya Manase.,4.4240625,45
200630-102320_swa_5a1_elicit_38.wav,Lakini ule mji wa Tapua uliokuwa katika mpaka wa Manase ulikuwa ni mali ya wana wa Efraimu.,8.4624375,91
200630-102320_swa_5a1_elicit_39.wav,"Tena mpaka ulitelemkia mpaka kijito cha Kana, upande wa kusini wa hicho kijito.",7.668375,79
200630-102320_swa_5a1_elicit_40.wav,Miji hiyo ilikuwa ya Efraimu kati ya miji ya Manase.,5.1500625,52
200630-102320_swa_5a1_elicit_41.wav,Na mpaka wa Manase ulikuwa upande wa kaskazini wa hicho kijito.,5.808,63
200630-102320_swa_5a1_elicit_42.wav,Na matokeo yake yalikuwa baharini; upande wa kusini ilikuwa ni mali ya Efraimu.,7.16925,79
200630-102320_swa_5a1_elicit_43.wav,"Na upande wa kaskazini ilikuwa ni mali ya Manase, na bahari ilikuwa mpaka wake.",7.1919375,79
200630-102320_swa_5a1_elicit_44.wav,"Nao wakafikilia hata Asheri upande wa kaskazini, na kufikilia hata Isakari upande wa mashariki.",8.394375,95
200630-102320_swa_5a1_elicit_45.wav,"Tena Manase alikuwa na miji katika Isakari na katika Asheri, nayo ni hii.",7.35075,73
200630-102320_swa_5a1_elicit_46.wav,"Bethsheani na vijiji vyake, na Ibleamu na miji yake, na wenyeji wa Dori na miji yake.",8.938875,85
200630-102320_swa_5a1_elicit_47.wav,"Na wenyeji wa Endori na miji yake, na wenyeji wa Taanaki na miji yake.",7.3734375,70
200630-102320_swa_5a1_elicit_48.wav,"Na wenyeji wa Megido na miji yake, hata mahali patatu palipoinuka.",7.0558125,66
200630-102320_swa_5a1_elicit_49.wav,Lakini wana wa Manase hawakuweza kuwafukuza wenyeji wa miji hiyo.,6.171,65
200630-102320_swa_5a1_elicit_50.wav,Bali hao Wakanaani walijikaza ili wakae katika nchi hiyo.,5.71725,57
200630-102320_swa_5a1_elicit_51.wav,"Kisha ikawa, hapo hao wana wa Israeli walipokuwa wamepata nguvu zaidi.",6.44325,70
200630-102320_swa_5a1_elicit_52.wav,"Ndipo wakawatenza nguvu hao Wakanaani wafanye kazi ya shokoa, wala hawakuwafukuza kabisa.",8.303625,89
200630-102320_swa_5a1_elicit_53.wav,"Kisha wana wa Yusufu wakanena na Yoshua, wakasema.",5.127375,50
200630-102320_swa_5a1_elicit_54.wav,Kwa nini umenipa mimi kura moja tu na fungu moja kuwa ni urithi wangu.,6.9196875,70
200630-102320_swa_5a1_elicit_55.wav,"Kwa kuwa mimi ni taifa kubwa la watu, kwa sababu Bwana amenibarikia hata hivi sasa?",7.4415,83
200630-102320_swa_5a1_elicit_56.wav,"Yoshua akawaambia, Kwamba wewe u taifa kubwa la watu, haya, kwea uende mwituni.",8.666625,79
200630-102320_swa_5a1_elicit_57.wav,Ujikatie mahali hapo kwa ajili ya nafsi yako katika nchi ya Waperizi.,6.80625,69
200630-102320_swa_5a1_elicit_58.wav,"Na ya hao Warefai; ikiwa hiyo nchi ya vilima ya Efraimu ni nyembamba, haikutoshi.",7.8725625,81
200630-102320_swa_5a1_elicit_59.wav,"Wana wa Yusufu wakasema, Hiyo nchi ya vilima haitutoshi sisi.",6.397875,61
200630-102320_swa_5a1_elicit_60.wav,Lakini Wakanaani wote wakaao katika nchi ya bondeni wana magari ya chuma.,7.305375,73
200630-102320_swa_5a1_elicit_61.wav,"Nao walio katika Bethsheani na miji yake, na hao walio katika bonde la Yezreeli pia.",8.07675,84
200630-102320_swa_5a1_elicit_62.wav,"Kisha Yoshua alinena na nyumba ya Yusufu, maana, ni Efraimu na Manase.",6.8743125,70
200630-102320_swa_5a1_elicit_63.wav,"Akawaambia, Wewe u taifa kubwa la watu, nawe una uwezo mwingi; hutapata kura moja tu.",9.0069375,85
200630-102320_swa_5a1_elicit_64.wav,"Lakini hiyo nchi ya vilima itakuwa ni yako; maana, ijapokuwa ni mwitu.",6.9650625,70
200630-102320_swa_5a1_elicit_65.wav,"Wewe utaukata, na matokeo yake yatakuwa ni yako.",4.99125,48
200630-102320_swa_5a1_elicit_66.wav,"Kwa kuwa wewe utawafukuza hao Wakanaani, wajapokuwa wana magari ya chuma.",6.579375,73
200630-102320_swa_5a1_elicit_67.wav,Wajapokuwa ni wenye uwezo.,2.858625,26
200630-115234_swa_5a1_elicit_0.wav,Kisha mkutano mzima wa wana wa Israeli walikutana pamoja hapo Shilo.,6.488625,68
200630-115234_swa_5a1_elicit_1.wav,Wakasimamisha hema ya kukutania kuko; nayo nchi ilikuwa imeshindwa mbele zao.,8.2355625,77
200630-115234_swa_5a1_elicit_2.wav,Zilisalia katika wana wa Israeli kabila saba ambazo hazijagawanyiwa bado urithi wao.,8.5078125,84
200630-115234_swa_5a1_elicit_3.wav,"Yoshua akawauliza wana wa Israeli, akasema.",4.6055625,43
200630-115234_swa_5a1_elicit_4.wav,Je! Hata lini mtakuwa walegevu katika kuingia kwenu na kuimiliki hiyo nchi.,7.396125,75
200630-115234_swa_5a1_elicit_5.wav,"Ambayo yeye Bwana, Mungu wa baba zenu, amewapa?",5.0593125,47
200630-115234_swa_5a1_elicit_6.wav,"Haya, jichagulieni watu watatu kwa ajili ya kila kabila.",5.5130625,56
200630-115234_swa_5a1_elicit_7.wav,"Nami nitawatuma, nao watainuka waende kati ya hiyo nchi.",6.0121875,56
200630-115234_swa_5a1_elicit_8.wav,Na kuiandika kama urithi wao ulivyo; kisha watanijilia mimi.,6.44325,60
200630-115234_swa_5a1_elicit_9.wav,Watu hao wataigawanya nchi iwe mafungu saba.,4.9685625,44
200630-115234_swa_5a1_elicit_10.wav,Yuda atakaa katika mpaka wake huko upande wa kusini.,5.218125,52
200630-115234_swa_5a1_elicit_11.wav,Na nyumba ya Yusufu watakaa katika mpaka wao upande wa kaskazini.,6.1029375,65
200630-115234_swa_5a1_elicit_12.wav,"Nanyi mtaiandika nchi iwe mafungu saba, kisha hayo maandiko yake mtaniletea mimi hapa.",8.5985625,86
200630-115234_swa_5a1_elicit_13.wav,"Nami nitawapigia kura hapa mbele ya Bwana, Mungu wetu.",5.6038125,54
200630-115234_swa_5a1_elicit_14.wav,Kwa maana Walawi hawana fungu kati yenu; Kwa kuwa huo ukuhani wa Bwana ndio urithi wao.,8.3716875,87
200630-115234_swa_5a1_elicit_15.wav,"Tena Gadi, na Reubeni, na hiyo nusu ya kabila ya Manase.",5.6265,56
200630-115234_swa_5a1_elicit_16.wav,Wamekwisha pata urithi wao ng'ambo ya pili ya Yordani upande wa mashariki.,6.670125,74
200630-115234_swa_5a1_elicit_17.wav,"Ambao walipewa na Musa, mtumishi wa Bwana.",4.6055625,42
200630-115234_swa_5a1_elicit_18.wav,Basi watu hao wakainuka wakaenda.,4.08375,33
200630-115234_swa_5a1_elicit_19.wav,Kisha Yoshua aliwaagiza wale waliokwenda kuiandika nchi.,5.53575,56
200630-115234_swa_5a1_elicit_20.wav,"Akawaambia, Endeni, mkapite katikati ya nchi, na kuiandika habari zake.",6.7835625,71
200630-115234_swa_5a1_elicit_21.wav,"Kisha mnijie tena hapa, nami nitawapigia kura kwa ajili yenu hapo mbele za Bwana huko Shilo.",8.6893125,92
200630-115234_swa_5a1_elicit_22.wav,"Basi watu hao wakaenda, wakapita katikati ya nchi.",4.7870625,50
200630-115234_swa_5a1_elicit_23.wav,"Wakaandika habari zake katika chuo, na kuigawanya kwa miji yake.",5.581125,64
200630-115234_swa_5a1_elicit_24.wav,"Hata iwe mafungu saba, kisha wakamrejea Yoshua maragoni huko Shilo.",6.62475,67
200630-115234_swa_5a1_elicit_25.wav,Kisha Yoshua akapiga kura kwa ajili yao hapo mbele za Bwana katika Shilo.,7.1465625,73
200630-115234_swa_5a1_elicit_26.wav,Huko Yoshua akawagawanyia wana wa Israeli hiyo nchi sawasawa na mafungu yao.,7.4641875,76
200630-115234_swa_5a1_elicit_27.wav,Kisha ilizuka kura ya kabila ya wana wa Benyamini kwa kuandama jamaa zao.,7.4188125,73
200630-115234_swa_5a1_elicit_28.wav,Na mpaka wa hiyo kura yao ukatokea kati ya wana wa Yuda na wana wa Yusufu.,6.9196875,74
200630-115234_swa_5a1_elicit_29.wav,Mpaka wao upande wa kaskazini ulikuwa kutoka mto wa Yordani.,5.1046875,60
200630-115234_swa_5a1_elicit_30.wav,Kisha mpaka ukaendelea kufikilia ubavuni mwa mji wa Yeriko upande wa kaskazini.,7.033125,79
200630-115234_swa_5a1_elicit_31.wav,Kisha ukaendelea kati ya nchi ya vilima kwa kuelekea upande wa magharibi.,6.488625,73
200630-115234_swa_5a1_elicit_32.wav,Na matokeo yake yalikuwa hapo penye nyika ya Bethaveni.,5.445,55
200630-115234_swa_5a1_elicit_33.wav,Kisha mpaka ukaendelea kutoka hapo na kufikilia mji wa Luzu.,6.0121875,60
200630-115234_swa_5a1_elicit_34.wav,"Ubavuni mwa Luzu (ndio Betheli), kwa upande wa kusini, kisha mpaka.",6.5566875,67
200630-115234_swa_5a1_elicit_35.wav,"Ukatelemkia Ataroth-adari, karibu na mlima ulio upande wa kusini wa Beth-horoni wa chini.",8.9161875,89
200630-115234_swa_5a1_elicit_36.wav,Kisha mpaka uliendelea na kuzunguka upande wa magharibi wa kuelekea kusini.,6.8289375,75
200630-115234_swa_5a1_elicit_37.wav,Kutoka huo mlima ulio mkabala wa Beth-horoni upande wa kusini.,6.2844375,62
200630-115234_swa_5a1_elicit_38.wav,Na matokeo yake yalikuwa hapo Kiriath-baali (ndio Kiriath-yearimu).,6.6474375,67
200630-115234_swa_5a1_elicit_39.wav,Ni mji wa wana wa Yuda; huo ndio upande wa magharibi.,5.1046875,53
200630-115234_swa_5a1_elicit_40.wav,Na upande wa kusini ulikuwa ukitoka upande wa mwisho wa Kiriath-yearimu.,6.7835625,72
200630-115234_swa_5a1_elicit_41.wav,"Na mpaka ukatokea upande wa magharibi, ukaendelea hata chemchemi ya maji, pale Neftoa.",8.5531875,86
200630-115234_swa_5a1_elicit_42.wav,Kisha mpaka ulitelemka hata mwisho wa mlima ulio pale mkabala wa bonde la mwana wa Hinomu.,8.80275,90
200630-115234_swa_5a1_elicit_43.wav,"Lililo pale katika bonde la Warefai, upande wa kaskazini.",5.53575,57
200630-115234_swa_5a1_elicit_44.wav,"Nao ukatelemkia mpaka bonde la Hinomu, hata ubavuni mwa Myebusi upande wa kusini.",7.9633125,81
200630-115234_swa_5a1_elicit_45.wav,"Kisha ukatelemka hata Enrogeli, kisha ulipigwa upande wa kaskazini.",6.9196875,67
200630-115234_swa_5a1_elicit_46.wav,"Nao ukatokea hapo Enshemeshi, ukatokea hata kufikilia Gelilothi.",7.1011875,64
200630-115234_swa_5a1_elicit_47.wav,Ambao ni mkabala wa makweleo ya Adumimu.,4.9231875,40
200630-115234_swa_5a1_elicit_48.wav,Kisha ulitelemka hata jiwe la Bohani mwana wa Reubeni.,5.4223125,54
200630-115234_swa_5a1_elicit_49.wav,"Kisha ukaendelea mbele ubavuni kuikabili Araba, upande wa kuelekea kaskazini.",7.8725625,77
200630-115234_swa_5a1_elicit_50.wav,Nao ukatelemka hata hiyo Araba.,3.72075,31
200630-115234_swa_5a1_elicit_51.wav,Kisha mpaka ukaendelea mbele ubavuni mwa Beth-hogla upande wa kaskazini.,6.9650625,72
200630-115234_swa_5a1_elicit_52.wav,Na matokeo ya mpaka yalikuwa katika ile hori ya kaskazini ya Bahari ya Chumvi.,7.9179375,78
200630-115234_swa_5a1_elicit_53.wav,Mwisho wa kusini wa mto wa Yordani; huo ndio mpaka wa upande wa kusini.,6.4205625,71
200630-115234_swa_5a1_elicit_54.wav,Na mto wa Yordani ulikuwa ndio mpaka wake upande wa mashariki.,6.125625,62
200630-115234_swa_5a1_elicit_55.wav,"Huo ndio urithi wa wana wa Benyamini, kwa kuandama mipaka yake kwa kuuzunguka kote kote.",8.938875,88
200630-115234_swa_5a1_elicit_56.wav,Sawasawa na jamaa zao.,3.3350625,22
200630-115234_swa_5a1_elicit_57.wav,Basi miji ya kabila ya wana wa Benyamini kwa kuandama jamaa zao ilikuwa ni Yeriko.,7.9633125,82
200630-115234_swa_5a1_elicit_58.wav,"Na Beth-hogla, na Emek-kesisi, na Bethiaraba, na Semaraimu, na Betheli.",8.43975,71
200630-115234_swa_5a1_elicit_59.wav,"Na Avimu, na Para, na Ofra; na Kefar-amoni, na Ofni, na Geba.",8.7346875,61
200630-120452_swa_5a1_elicit_0.wav,"Miji kumi na miwili, pamoja na vijiji vyake; na Gibeoni, na Rama, na Beerothi.",8.3716875,78
200630-120452_swa_5a1_elicit_1.wav,"Na Mispa, na Kefira, na Moza; na Rekemu, na Irpeeli, na Tarala.",8.0086875,63
200630-120452_swa_5a1_elicit_2.wav,"Na Zela, na Elefu, na huyo Myebusi (ndio Yerusalemu), na Gibeathi, na Kiriathi.",9.4606875,79
200630-120452_swa_5a1_elicit_3.wav,"Miji kumi na minne, pamoja na vijiji vyake.",4.3786875,43
200630-120452_swa_5a1_elicit_4.wav,Huo ndio urithi wa wana wa Benyamini kwa kuandama jamaa zao.,5.71725,60
200630-120452_swa_5a1_elicit_5.wav,"Kisha kura ya pili ilitokea kwa ajili ya Simeoni, maana.",6.216375,56
200630-120452_swa_5a1_elicit_6.wav,"Kwa ajili ya hiyo kabila ya wana wa Simeoni, kwa kuandama jamaa zao.",6.488625,68
200630-120452_swa_5a1_elicit_7.wav,Na urithi wao ulikuwa katikati ya urithi wa wana wa Yuda.,5.6038125,57
200630-120452_swa_5a1_elicit_8.wav,"Miji waliyokuwa nayo katika urithi wao ni Beer-sheba, na Sheba, na Molada.",8.0086875,74
200630-120452_swa_5a1_elicit_9.wav,"Na Hasarshuali, na Bala, na Esemu; na Eltoladi, na Bethuli, na Horma.",9.211125,69
200630-120452_swa_5a1_elicit_10.wav,"Na Siklagi, na Bethmarkabothi, na Hasarsusa; na Bethlebaothi, na Sharuheni.",9.2338125,75
200630-120452_swa_5a1_elicit_11.wav,"Miji kumi na mitatu, pamoja na vijiji vyake; na Aini, na Rimoni, na Etheri, na Ashani.",9.3699375,86
200630-120452_swa_5a1_elicit_12.wav,"Miji minne, pamoja na vijiji vyake.",4.1064375,35
200630-120452_swa_5a1_elicit_13.wav,Tena vijiji vyote vilivyozunguka miji hiyo kote kote mpaka Baalath-beeri.,7.8045,73
200630-120452_swa_5a1_elicit_14.wav,Rama wa Kusini. Huo ndio urithi wa kabila ya wana wa Simeoni kwa kuandama jamaa zao.,8.575875,84
200630-120452_swa_5a1_elicit_15.wav,Huo urithi wa hao wana wa Simeoni ulitoka katika fungu la wana wa Yuda.,6.80625,71
200630-120452_swa_5a1_elicit_16.wav,Kwa maana hilo fungu la wana wa Yuda lilikuwa ni kubwa mno kwao.,6.3751875,64
200630-120452_swa_5a1_elicit_17.wav,Kwa hiyo wana wa Simeoni walikuwa na urithi katikati ya urithi wao.,6.44325,67
200630-120452_swa_5a1_elicit_18.wav,Kisha kura ya tatu ilitokea kwa ajili ya wana wa Zabuloni kwa kuandama jamaa zao.,8.0540625,81
200630-120452_swa_5a1_elicit_19.wav,Na mpaka wa urithi wao ulifikilia hata Saridi.,5.1500625,46
200630-120452_swa_5a1_elicit_20.wav,"Kisha mpaka wao ukakwea kwendelea upande wa magharibi, hata kufikilia Marala.",7.305375,77
200630-120452_swa_5a1_elicit_21.wav,Nao ukafikilia hata Dabeshethi; nao ukafikilia kijito cha maji kilicho mkabala wa Yokneamu.,9.5514375,91
200630-120452_swa_5a1_elicit_22.wav,Kisha ukazunguka kutoka Saridi kwendelea upande wa mashariki.,5.581125,61
200630-120452_swa_5a1_elicit_23.wav,Kwa kuelekea maawio ya jua hata kufikilia mpaka wa Kisiloth-ubori.,7.123875,66
200630-120452_swa_5a1_elicit_24.wav,"Kisha ukatokea hata Daberathi, kisha ukakwea kwendelea Yafia.",6.80625,61
200630-120452_swa_5a1_elicit_25.wav,Kutoka hapo ukaendelea kuelekea mashariki mpaka Gath-heferi.,5.944125,60
200630-120452_swa_5a1_elicit_26.wav,Hata kufikilia Ethkasini; kisha ukatokea huko Rimoni ufikiliao hata Nea.,8.212875,72
200630-120452_swa_5a1_elicit_27.wav,Kisha mpaka uliizunguka nchi hiyo kwa upande wa kaskazini hata Hanathoni.,7.26,73
200630-120452_swa_5a1_elicit_28.wav,"Kisha matokeo yake yalikuwa katika bonde la Iftaeli; na Katathi, na Nahalali.",8.1675,77
200630-120452_swa_5a1_elicit_29.wav,"Na Shimroni, na Idala, na Bethlehemu; miji kumi na miwili, pamoja na vijiji vyake.",8.5078125,82
200630-120452_swa_5a1_elicit_30.wav,Huu ndio urithi wa wana wa Zabuloni kwa kuandama jamaa zao; miji hii pamoja na vijiji vyake.,8.8935,92
200630-120452_swa_5a1_elicit_31.wav,Kisha kura ya nne ilitokea kwa ajili ya Isakari.,5.1046875,48
200630-120452_swa_5a1_elicit_32.wav,"Maana, ni kwa ajili ya wana wa Isakari kwa kuandama jamaa zao.",6.216375,62
200630-120452_swa_5a1_elicit_33.wav,"Na mpaka wao ulifikilia Yezreeli, na Kesulothi, na Shunemu.",7.0104375,59
200630-120452_swa_5a1_elicit_34.wav,"Na Hafaraimu, na Shioni, na Anaharathi; na Rabithu, na Kishioni, na Ebesi.",9.2791875,74
200630-120452_swa_5a1_elicit_35.wav,"Na Remethi, na Enganimu, na Enhada, na Bethpasesi.",6.7155,50
200630-120452_swa_5a1_elicit_36.wav,"Na mpaka ukafikilia hata Tabori, na Shahasuma na Bethshemeshi.",7.123875,62
200630-120452_swa_5a1_elicit_37.wav,Na matokeo ya mpaka wao yalikuwa katika mto wa Yordani.,5.8306875,55
200630-120452_swa_5a1_elicit_38.wav,"Miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.",4.1971875,42
200630-120452_swa_5a1_elicit_39.wav,Huu ndio urithi wa kabila ya wana wa Isakari kwa kuandama jamaa zao.,6.44325,68
200630-120452_swa_5a1_elicit_40.wav,Miji hiyo pamoja na vijiji vyake.,3.6073125,33
200630-120452_swa_5a1_elicit_41.wav,Kisha kura ya tano ilitokea kwa ajili ya kabila ya wana wa Asheri kwa kuandama jamaa zao.,8.757375,89
200630-120452_swa_5a1_elicit_42.wav,"Na mpaka wao ulikuwa ni Helkathi, na Hali, na Beteni, na Akishafu.",7.4641875,66
200630-120452_swa_5a1_elicit_43.wav,"Na Alameleki, na Amadi, na Mishali; nao ukafikilia hata Karmeli upande wa magharibi.",9.075,84
200630-120452_swa_5a1_elicit_44.wav,Tena ulifikilia hata Shihor-libnathi.,4.582875,37
200630-120452_swa_5a1_elicit_45.wav,Kisha ukazunguka kuelekea maawio ya jua mpaka Beth-dagoni.,6.534,58
200630-120452_swa_5a1_elicit_46.wav,"Nao ukafikilia hata Zabuloni, tena mpaka bonde la Iftaeli upande wa kaskazini.",8.212875,78
200630-120452_swa_5a1_elicit_47.wav,Hata Bethemeki na Neyeli; kisha ukatokea hata Kabuli upande wa kushoto.,7.4641875,71
200630-120452_swa_5a1_elicit_48.wav,"Na Ebroni, na Rehobu, na Hamoni, na Kana, hata kufikilia Sidoni mkuu.",7.577625,69
200630-120452_swa_5a1_elicit_49.wav,"Kisha mpaka ulizunguka kuelekea Rama, na mji wa Tiro ulio na boma.",6.7381875,66
200630-120452_swa_5a1_elicit_50.wav,Kisha mpaka ulizunguka kuelekea Hosa.,4.1971875,37
200630-120452_swa_5a1_elicit_51.wav,Na matokeo yake yalikuwa baharini katika nchi ya Akzibu.,5.7399375,56
200630-120452_swa_5a1_elicit_52.wav,"Na Uma pia, na Afeka, na Rehobu; miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.",8.5078125,81
200630-120452_swa_5a1_elicit_53.wav,Huu ndio urithi wa kabila ya wana wa Asheri kwa kuandama jamaa zao.,6.7835625,67
200630-120452_swa_5a1_elicit_54.wav,Miji hii pamoja na vijiji vyake.,3.584625,32
200630-120452_swa_5a1_elicit_55.wav,Kisha kura ya sita ikatokea kwa ajili ya wana wa Naftali.,5.944125,57
200630-120452_swa_5a1_elicit_56.wav,"Maana, ni kwa ajili ya wana wa Naftali kwa kuandama jamaa zao.",6.5566875,62
200630-120452_swa_5a1_elicit_57.wav,"Na mpaka wao ulikuwa kutoka Helefu, tokea ule mwaloni ulio katika Saananimu.",8.575875,76
200630-120452_swa_5a1_elicit_58.wav,"Na Adami-nekebu, na Yabineeli, hata kufikilia Lakumu.",6.08025,53
200630-120452_swa_5a1_elicit_59.wav,Na matokeo yake yalikuwa katika mto wa Yordani.,4.8778125,47
200630-121614_swa_5a1_elicit_0.wav,Tena mpaka ulizunguka kwendelea upande wa magharibi hata Aznoth-tabori.,7.3280625,71
200630-121614_swa_5a1_elicit_1.wav,Tena kutoka hapo ukaendelea mpaka Hukoki; kisha ukafikilia hata Zabuloni upande wa kusini.,8.7346875,90
200630-121614_swa_5a1_elicit_2.wav,Tena ulifikilia hata Asheri upande wa magharibi.,4.8324375,48
200630-121614_swa_5a1_elicit_3.wav,Tena ulifikilia hata Yuda hapo katika mto wa Yordani kwa upande wa kuelekea maawio ya jua.,8.80275,90
200630-121614_swa_5a1_elicit_4.wav,"Na miji yenye boma ilikuwa ni hii, Sidimu, na Seri.",5.35425,51
200630-121614_swa_5a1_elicit_5.wav,"Na Hamathi, na Rakathi, na Kinerethi;na Adama, na Rama, na Hazori.",7.6910625,66
200630-121614_swa_5a1_elicit_6.wav,"Na Kedeshi, na Edrei, na Enhasori; na Ironi, na Migdal-eli.",8.0994375,59
200630-121614_swa_5a1_elicit_7.wav,"Na Horemu, na Bethanathi, na Bethshemeshi; miji kumi na kenda, pamoja na vijiji vyake.",9.0069375,86
200630-121614_swa_5a1_elicit_8.wav,Huu ndio urithi wa kabila ya wana wa Naftali kwa kuandama jamaa zao.,6.6928125,68
200630-121614_swa_5a1_elicit_9.wav,Miji hiyo pamoja na vijiji vyake.,3.584625,33
200630-121614_swa_5a1_elicit_10.wav,Kisha kura ya saba ilitokea kwa ajili ya kabila ya wana wa Dani kwa kuandama jamaa zao.,8.62125,87
200630-121614_swa_5a1_elicit_11.wav,"Na mpaka wa urithi wao ulikuwa ni Sora, na Eshtaoli, na Irishemeshi.",7.305375,68
200630-121614_swa_5a1_elicit_12.wav,"Na Shaalabini, na Aiyaloni, na Ithla; na Eloni, na Timna, na Ekroni.",8.7346875,68
200630-121614_swa_5a1_elicit_13.wav,"Na Elteka, na Gibethoni, na Baalathi; na Yehudi, na Bene-beraki, na Gathrimoni.",9.664875,79
200630-121614_swa_5a1_elicit_14.wav,"Na Meyarkoni, na Rakoni, pamoja na huo mpaka uliokuwa mkabala wa Yafa.",7.8271875,70
200630-121614_swa_5a1_elicit_15.wav,Kisha mpaka wa wana wa Dani ulitokea kuwapita wao.,5.5584375,50
200630-121614_swa_5a1_elicit_16.wav,Kwa kuwa hao wana wa Dani wakakwea na kupigana na Leshemu.,6.1029375,58
200630-121614_swa_5a1_elicit_17.wav,"Na kuutwaa, na kuupiga kwa makali ya upanga, na kuumiliki.",5.8760625,58
200630-121614_swa_5a1_elicit_18.wav,"Nao wakakaa humo, wakauita Dani, kwa kuliandama jina la huyo Dani mzee wao.",7.8271875,75
200630-121614_swa_5a1_elicit_19.wav,Huu ndio urithi wa kabila ya wana wa Dani kwa kuandama jamaa zao.,6.2844375,65
200630-121614_swa_5a1_elicit_20.wav,Miji hii pamoja na vijiji vyake.,3.403125,32
200630-121614_swa_5a1_elicit_21.wav,Basi wakamaliza hiyo kazi yao ya kuigawanya nchi iwe urithi kwa kuandama mipaka yake.,8.0994375,85
200630-121614_swa_5a1_elicit_22.wav,"Kisha wana wa Israeli wakampa Yoshua, mwana wa Nuni, urithi katikati yao.",7.4641875,73
200630-121614_swa_5a1_elicit_23.wav,Sawasawa na ile amri ya Bwana wakampa mji alioutaka.,5.808,52
200630-121614_swa_5a1_elicit_24.wav,"Maana, ni Timnath-sera katika nchi ya vilima ya Efraimu; naye akaujenga huo mji na kukaa mumo.",9.89175,94
200630-121614_swa_5a1_elicit_25.wav,"Hizi ndizo nchi, ambazo Eleazari kuhani, na Yoshua huyo mwana wa Nuni.",7.0785,70
200630-121614_swa_5a1_elicit_26.wav,Pamoja na hao vichwa vya nyumba za mababa ya kabila za wana wa Israeli.,6.7381875,71
200630-121614_swa_5a1_elicit_27.wav,"Walizigawanya kwa njia ya kupiga kura, ziwe urithi.",4.764375,51
200630-121614_swa_5a1_elicit_28.wav,"Huko Shilo mbele ya Bwana, hapo mlangoni mwa hema ya kukutania.",6.1029375,63
200630-121614_swa_5a1_elicit_29.wav,Basi hivyo wakamaliza kazi ya kuigawanya hiyo nchi.,5.2635,51
200630-121614_swa_5a1_elicit_30.wav,"Kisha Bwana akanena na Yoshua, na kumwambia.",4.6963125,44
200630-121614_swa_5a1_elicit_31.wav,"Nena wewe na wana wa Israeli, uwaambie, Haya, toeni hiyo miji ya makimbilio.",8.2809375,76
200630-121614_swa_5a1_elicit_32.wav,Ambayo niliwaambia habari zake kwa mkono wa Musa.,5.2635,49
200630-121614_swa_5a1_elicit_33.wav,"Ili kwamba mwenye kuua mtu, aliyemwua mtu awaye yote pasipo kukusudia.",7.7818125,70
200630-121614_swa_5a1_elicit_34.wav,"Na pasipo kujua, apate kukimbilia kuko; nayo itakuwa ni mahali pa kukimbilia kwenu.",8.1448125,83
200630-121614_swa_5a1_elicit_35.wav,Kumkimbia huyo ajilipizaye kisasi cha damu.,5.2635,43
200630-121614_swa_5a1_elicit_36.wav,Naye ataikimbilia miji hiyo mmojawapo.,4.8324375,38
200630-121614_swa_5a1_elicit_37.wav,Naye atasimama hapo penye maingilio ya lango la huo mji.,5.6491875,56
200630-121614_swa_5a1_elicit_38.wav,Kisha atanena neno lake masikioni mwa wazee wa mji; nao watamtia kwao ndani ya mji.,8.62125,83
200630-121614_swa_5a1_elicit_39.wav,"Na kumpa mahali, ili apate kukaa kati yao.",5.2635,42
200630-121614_swa_5a1_elicit_40.wav,Na kama huyo mwenye kujilipiza kisasi cha damu akimwandamia.,6.1029375,60
200630-121614_swa_5a1_elicit_41.wav,Ndipo hawatamtoa huyo mwuaji kumtia mkononi mwake huyo.,6.1483125,55
200630-121614_swa_5a1_elicit_42.wav,"Kwa sababu alimpiga mwenziwe naye hakujua, wala hakumchukia tangu hapo.",7.305375,71
200630-121614_swa_5a1_elicit_43.wav,"Naye atakaa katika mji huo, hata hapo atakaposimama mbele ya mkutano kuhukumiwa.",8.4170625,80
200630-121614_swa_5a1_elicit_44.wav,Hata kifo chake kuhani mkuu mwenye kuwapo siku hizo.,5.3769375,52
200630-121614_swa_5a1_elicit_45.wav,"Ndipo yule mwuaji atarudi, na kuuendea mji wake mwenyewe.",6.1483125,57
200630-121614_swa_5a1_elicit_46.wav,"Na nyumba yake mwenyewe, hata mji huo alioutoka hapo alipokimbia.",6.760875,65
200630-121614_swa_5a1_elicit_47.wav,Nao wakaweka Kedeshi katika Galilaya katika nchi ya vilima ya Naftali.,7.4415,70
200630-121614_swa_5a1_elicit_48.wav,Na Shekemu katika nchi ya vilima ya Efraimu.,4.582875,44
200630-121614_swa_5a1_elicit_49.wav,Na Kiriath-arba (ndio Hebroni) katika nchi ya vilima ya Yuda.,6.3751875,61
200630-121614_swa_5a1_elicit_50.wav,Tena ng'ambo ya pili ya Yordani pande za Yeriko.,4.5148125,48
200630-121614_swa_5a1_elicit_51.wav,Upande wa kuelekea mashariki wakaweka Bezeri ulioko nyikani.,6.034875,60
200630-121614_swa_5a1_elicit_52.wav,Katika nchi tambarare ya kabila ya Reubeni.,4.1518125,43
200630-121614_swa_5a1_elicit_53.wav,Na Ramothi katika Gileadi katika kabila ya Gadi.,4.945875,48
200630-121614_swa_5a1_elicit_54.wav,Na Golani katika Bashani katika kabila ya Manase.,4.8324375,49
200630-121614_swa_5a1_elicit_55.wav,Miji hiyo ndiyo miji iliyoamriwa kwa ajili ya wana wa Israeli wote.,6.44325,67
200630-121614_swa_5a1_elicit_56.wav,Na kwa ajili ya mgeni akaaye kati yao ugenini.,4.6963125,46
200630-121614_swa_5a1_elicit_57.wav,Ili kwamba mtu awaye yote atakayemwua mtu pasipo kukusudia apate kimbilia huko.,8.6439375,79
200630-121614_swa_5a1_elicit_58.wav,Asife kwa mkono wa mwenye kujilipiza kisasi cha damu.,5.082,53
200630-121614_swa_5a1_elicit_59.wav,Hata hapo atakapokuwa amekwisha simama mbele ya mkutano.,5.4676875,56
200630-122906_swa_5a1_elicit_0.wav,"Na Dimna pamoja na malisho yake, na Nahalali pamoja na malisho yake; miji minne.",7.6910625,80
200630-122906_swa_5a1_elicit_1.wav,"Tena katika kabila ya Reubeni, Bezeri pamoja na malisho yake.",5.445,61
200630-122906_swa_5a1_elicit_2.wav,"na Yahasa pamoja na malisho yake, na Kedemothi pamoja na malisho yake.",5.399625,70
200630-122906_swa_5a1_elicit_3.wav,Na Mefaathi pamoja na malisho yake; miji minne.,5.6038125,47
200630-122906_swa_5a1_elicit_4.wav,Tena katika kabila ya Gadi Ramothi katika Gileadi pamoja na malisho yake.,8.0540625,73
200630-122906_swa_5a1_elicit_5.wav,"Huo mji wa makimbilio kwa ajili ya mwuaji, na Mahanaimu pamoja na malisho yake.",5.853375,79
200630-122906_swa_5a1_elicit_6.wav,"Na Heshboni pamoja na malisho yake, na Yazeri pamoja na malisho yake; jumla yake miji minne.",6.4659375,92
200630-122906_swa_5a1_elicit_7.wav,Miji hiyo yote ilikuwa ni miji ya wana wa Merari kwa kuandama jamaa zao.,5.036625,72
200630-122906_swa_5a1_elicit_8.wav,Ni hizo jamaa za Walawi zilizosalia; na kura yao ilikuwa ni miji kumi na miwili.,7.623,80
200630-122906_swa_5a1_elicit_9.wav,Miji yote ya Walawi iliyokuwa kati ya milki ya wana wa Israeli.,8.5305,63
200630-122906_swa_5a1_elicit_10.wav,"Ilikuwa ni miji arobaini na minane, pamoja na malisho yake.",5.853375,59
200630-122906_swa_5a1_elicit_11.wav,"Miji hiyo kila mmoja ulikuwa pamoja na malisho yake, yaliyouzunguka pande zote.",8.485125,79
200630-122906_swa_5a1_elicit_12.wav,Ndivyo ilivyokuwa katika miji hiyo yote.,7.305375,40
200630-122906_swa_5a1_elicit_13.wav,"Basi Bwana aliwapa Israeli nchi hiyo yote, ambayo aliapa kwamba atawapa baba zao.",7.6003125,81
200630-122906_swa_5a1_elicit_14.wav,"Nao wakaimiliki, na kukaa mumo.",5.8306875,31
200630-122906_swa_5a1_elicit_15.wav,"Kisha Bwana akawapa raha pande zote, sawasawa na hayo yote aliyokuwa amewaapia baba zao.",7.668375,88
200630-122906_swa_5a1_elicit_16.wav,Wala katika adui zao wote hakusimama hata mtu mmoja miongoni mwao mbele zao.,7.8045,76
200630-122906_swa_5a1_elicit_17.wav,Yeye Bwana akawatia adui zao wote mikononi mwao.,7.7818125,48
200630-122906_swa_5a1_elicit_18.wav,Halikuanguka neno lo lote katika jambo lo lote lililokuwa ni jema.,8.0540625,66
200630-122906_swa_5a1_elicit_19.wav,Ambalo Bwana alikuwa amelinena katika habari ya nyumba ya Israeli; yalitimia mambo yote.,4.5601875,88
200630-122906_swa_5a1_elicit_20.wav,"Wakati huo Yoshua akawaita Wareubeni, na Wagadi, na hiyo nusu ya kabila ya Manase.",7.6456875,82
200630-122906_swa_5a1_elicit_21.wav,"Naye akawaambia, Ninyi mmeyaandama hayo yote mliyoamriwa na Musa.",7.6910625,65
200630-122906_swa_5a1_elicit_22.wav,"Mtumishi wa Bwana, nanyi mmeisikia sauti yangu katika yote niliyowaamuru mimi.",9.1430625,78
200630-122906_swa_5a1_elicit_23.wav,Hamkuwaacha hao ndugu zenu siku hizi nyingi hata hivi leo.,8.2355625,58
200630-122906_swa_5a1_elicit_24.wav,"Lakini mmeyashika mausia ya amri ya Bwana, Mungu wenu.",7.8271875,54
200630-122906_swa_5a1_elicit_25.wav,"Na sasa yeye Bwana, Mungu wenu, amewapa ndugu zenu kustarehe, kama alivyowaambia.",9.8236875,81
200630-122906_swa_5a1_elicit_26.wav,"Basi sasa rudini ninyi mwende mahemani kwenu, hata nchi ya milki yenu.",6.7381875,70
200630-122906_swa_5a1_elicit_27.wav,"Ambayo huyo Musa, mtumishi wa Bwana, aliwapa ng'ambo ya pili ya Yordani.",7.4641875,72
200630-122906_swa_5a1_elicit_28.wav,"Lakini mjibidiishe sana kuzifanya amri na sheria, ambazo Musa.",6.942375,62
200630-122906_swa_5a1_elicit_29.wav,"Mtumishi wa Bwana, aliwaamuru, kumpenda Bwana, Mungu wenu.",7.123875,58
200630-122906_swa_5a1_elicit_30.wav,"Na kwenenda katika njia zake zote, na kuzishika amri zake.",6.3751875,58
200630-122906_swa_5a1_elicit_31.wav,"Na kushikamana na yeye, na kumtumikia kwa moyo wenu wote na nafsi yenu yote.",7.8271875,76
200630-122906_swa_5a1_elicit_32.wav,"Basi Yoshua akawabarikia, na kuwapa ruhusa waende zao; nao wakaenda mahemani kwao.",6.171,82
200630-122906_swa_5a1_elicit_33.wav,Basi Musa alikuwa amewapa hiyo nusu moja ya kabila ya Manase urithi katika Bashani.,7.26,83
200630-122906_swa_5a1_elicit_34.wav,Lakini hiyo nusu ya pili Yoshua aliwapa urithi kati ya ndugu zao.,5.308875,65
200630-122906_swa_5a1_elicit_35.wav,Ng'ambo ya Yordani upande wa kuelekea magharibi.,9.664875,48
200630-122906_swa_5a1_elicit_36.wav,"Zaidi ya hayo Yoshua, hapo alipowapeleka waende zao mahemani kwao, akawabarikia.",7.4641875,80
200630-122906_swa_5a1_elicit_37.wav,"Kisha akanena nao, na kuwaambia, Rudini na mali mengi mahemani kwenu.",6.1029375,69
200630-122906_swa_5a1_elicit_38.wav,"Na ng'ombe wengi sana, na fedha, na dhahabu, na shaba, na chuma, na mavao mengi sana.",7.396125,85
200630-122906_swa_5a1_elicit_39.wav,Mzigawanye na ndugu zenu hizo nyara za adui zenu.,7.3280625,49
200630-122906_swa_5a1_elicit_40.wav,"Basi wana wa Reubeni, na wana wa Gadi, na hiyo nusu ya kabila ya Manase wakarudi.",7.9633125,81
200630-122906_swa_5a1_elicit_41.wav,"Wakatoka kwa wana wa Israeli katika Shilo, ulioko nchi ya Kanaani.",9.029625,66
200630-122906_swa_5a1_elicit_42.wav,"Ili waende nchi ya Gileadi, hiyo nchi ya milki yao, waliyokuwa wanaimiliki.",8.6439375,75
200630-122906_swa_5a1_elicit_43.wav,Sawasawa na amri ya Bwana kwa mkono wa Musa.,6.9650625,44
200630-122906_swa_5a1_elicit_44.wav,"Nao walipofika pande za Yordani, zilizo katika nchi ya Kanaani.",5.218125,63
200630-122906_swa_5a1_elicit_45.wav,"Nao wana wa Reubeni, na wana wa Gadi, na nusu ya kabila ya Manase.",8.7800625,66
200630-122906_swa_5a1_elicit_46.wav,"Wakajenga madhabahu huko karibu na Yordani, iliyoonekana kuwa ni madhabahu kubwa.",5.6038125,81
200630-122906_swa_5a1_elicit_47.wav,"Wana wa Israeli walisikia ikinenwa, Tazama, wana wa Reubeni.",7.577625,60
200630-122906_swa_5a1_elicit_48.wav,"Na wana wa Gadi, na hiyo nusu ya kabila ya Manase.",8.9615625,50
200630-122906_swa_5a1_elicit_49.wav,Wamejenga madhabahu huko upande wa mbele wa nchi ya Kanaani.,6.3298125,60
200630-122906_swa_5a1_elicit_50.wav,"Katika nchi iliyo karibu na Yordani, kwa upande huo ulio milki ya wana wa Israeli.",6.80625,82
200630-122906_swa_5a1_elicit_51.wav,"Basi, wana wa Israeli waliposikia habari hiyo.",4.99125,46
200630-122906_swa_5a1_elicit_52.wav,"Mkutano wote wa wana wa Israeli wakakutanika pamoja huko Shilo, ili waende kupigana nao.",5.762625,88
200630-122906_swa_5a1_elicit_53.wav,Kisha wana wa Israeli wakatuma wajumbe waende kwa wana wa Reubeni.,6.7381875,66
200630-122906_swa_5a1_elicit_54.wav,"Na wana wa Gadi, na hiyo nusu ya kabila ya Manase, hata nchi ya Gileadi.",4.7870625,72
200630-122906_swa_5a1_elicit_55.wav,"Nao ni hawa, Finehasi mwana wa Eleazari kuhani.",7.759125,47
200630-122906_swa_5a1_elicit_56.wav,"Na pamoja naye wakuu kumi, mkuu mmoja wa nyumba ya mababa kwa ajili ya kila kabila ya Israeli.",7.3280625,94
200630-122906_swa_5a1_elicit_57.wav,Nao kila mmoja alikuwa ni kichwa cha nyumba ya mababa katika maelfu ya Israeli.,5.1954375,79
200630-122906_swa_5a1_elicit_58.wav,"Nao wakawafikilia hao wana wa Reubeni, na wana wa Gadi, na hiyo nusu ya kabila ya Manase.",7.0558125,89
200630-122906_swa_5a1_elicit_59.wav,"Katika nchi ya Gileadi, na wakasema nao, wakinena.",2.7905625,50
200630-122906_swa_5a1_elicit_60.wav,"Mkutano wote wa Bwana wanena, Ni kosa gani hili mlilolikosa juu ya Mungu wa Israeli.",7.623,84
200630-122906_swa_5a1_elicit_61.wav,Hata mkakengeuka hivi leo na kuacha kumwandama Bwana.,6.579375,53
200702-144301_swa_5a1_elicit_0.wav,"Katika kujijengea madhabahu, na kuasi hivi leo juu ya Bwana?",5.8306875,60
200702-144301_swa_5a1_elicit_1.wav,"Je! Ule uovu wa Peori haututoshi, ambao hamjajitakasa nafsi zenu katika huo hata hivi leo.",9.1884375,90
200702-144301_swa_5a1_elicit_2.wav,Ijapokuwa ilikuja tauni juu ya mkutano wa Bwana.,5.127375,48
200702-144301_swa_5a1_elicit_3.wav,Hata ikawa hamna budi hivi leo kugeuka na kuacha kumwandama Bwana?,6.851625,66
200702-144301_swa_5a1_elicit_4.wav,"Kisha itakuwa, kwa kuwa ninyi mwamwasi Bwana hivi leo.",5.853375,54
200702-144301_swa_5a1_elicit_5.wav,Kwamba kesho yeye atakasirika na mkutano wote wa Israeli.,6.1936875,57
200702-144301_swa_5a1_elicit_6.wav,Basi kwamba hiyo nchi ya milki yenu si tohara.,5.35425,46
200702-144301_swa_5a1_elicit_7.wav,Ndipo ninyi vukeni na kuingia nchi ya milki yake Bwana.,5.808,55
200702-144301_swa_5a1_elicit_8.wav,"Ambayo maskani ya Bwana inakaa ndani yake, nanyi twaeni milki kati yetu.",7.305375,72
200702-144301_swa_5a1_elicit_9.wav,"Lakini msimwasi Bwana, wala msituasi sisi.",5.399625,42
200702-144301_swa_5a1_elicit_10.wav,"Kwa kujijengea madhabahu zaidi ya hiyo madhabahu ya Bwana, Mungu wetu.",6.670125,70
200702-144301_swa_5a1_elicit_11.wav,Je! Huyo Akani mwana wa Zera hakukosa katika vile vitu vilivyowekwa wakfu.,7.7818125,74
200702-144301_swa_5a1_elicit_12.wav,Na hasira ikauangukia mkutano wote wa Israeli?,4.99125,46
200702-144301_swa_5a1_elicit_13.wav,Kisha mtu huyo hakuangamia peke yake katika uovu wake?,5.6945625,54
200702-144301_swa_5a1_elicit_14.wav,"Ndipo hapo wana wa Reubeni, na wana wa Gadi, na hiyo nusu ya kabila ya Manase.",7.4641875,78
200702-144301_swa_5a1_elicit_15.wav,"Wakajibu, na kuwaambia hao waliokuwa ni vichwa vya maelfu ya Israeli, wakasema.",7.8271875,79
200702-144301_swa_5a1_elicit_16.wav,"Mungu, Mungu Bwana, naam, Mungu, Mungu Bwana, yeye yuajua, na Israeli naye atajua.",9.211125,82
200702-144301_swa_5a1_elicit_17.wav,"Kama ni katika uasi, au kama ni katika kosa juu ya Bwana, (usituokoe hivi leo).",7.9179375,79
200702-144301_swa_5a1_elicit_18.wav,Sisi kujijengea madhabahu ili kukengeuka na kuacha kumwandama Bwana.,7.033125,68
200702-144301_swa_5a1_elicit_19.wav,"Au kama ni kusongeza juu yake sadaka ya kuteketezwa, au sadaka ya unga.",7.35075,71
200702-144301_swa_5a1_elicit_20.wav,Au kama ni kusongeza sadaka za amani juu yake.,4.8778125,46
200702-144301_swa_5a1_elicit_21.wav,Yeye Bwana mwenyewe na alitake jambo hili.,4.26525,42
200702-144301_swa_5a1_elicit_22.wav,"Au kama sisi tumefanya jambo hili kwa hadhari sana, tena makusudi.",6.1483125,66
200702-144301_swa_5a1_elicit_23.wav,"Huku tukisema, Katika siku zijazo wana wenu yamkini wakanena na wana wetu.",7.53225,74
200702-144301_swa_5a1_elicit_24.wav,"Na kusema, Ninyi mna nini na Bwana, yeye Mungu wa Israeli?",6.2844375,58
200702-144301_swa_5a1_elicit_25.wav,Kwa kuwa yeye Bwana ameufanya huu mto wa Yordani uwe mpaka katikati ya sisi na ninyi.,8.1448125,85
200702-144301_swa_5a1_elicit_26.wav,"Enyi wana wa Reubeni, na wana wa Gadi, hamna fungu katika Bwana.",5.71725,64
200702-144301_swa_5a1_elicit_27.wav,Basi hivyo wana wenu wangewakomesha wana wetu wasimche Bwana.,6.6474375,61
200702-144301_swa_5a1_elicit_28.wav,"Kwa ajili ya hayo tulisema, Na tufanye tayari ili kujijengea madhabahu.",7.1011875,71
200702-144301_swa_5a1_elicit_29.wav,"Si kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, wala kwa sadaka yo yote.",5.71725,63
200702-144301_swa_5a1_elicit_30.wav,"Bali itakuwa ni ushahidi kati ya sisi na ninyi, tena kati ya vizazi vyetu baada yetu.",6.9196875,85
200702-144301_swa_5a1_elicit_31.wav,Ili kwamba tufanye huo utumishi wa Bwana mbele yake kwa njia ya sadaka zetu.,6.6474375,76
200702-144301_swa_5a1_elicit_32.wav,"Za kuteketezwa, na kwa dhabihu zetu, na kwa sadaka zetu za amani.",6.125625,65
200702-144301_swa_5a1_elicit_33.wav,Ili kwamba wana wenu wasiwaambie wana wetu katika zamani zijazo.,6.034875,64
200702-144301_swa_5a1_elicit_34.wav,Ninyi hamna fungu katika Bwana.,3.130875,31
200702-144301_swa_5a1_elicit_35.wav,"Kwa hiyo tulisema, Itakuwa, hapo watakapotuambia neno kama hilo.",6.579375,64
200702-144301_swa_5a1_elicit_36.wav,Au kuwaambia watu wa vizazi vyetu katika zamani zijazo neno kama hilo.,6.1029375,70
200702-144301_swa_5a1_elicit_37.wav,"Ndipo sisi tutawaambia, Angalieni huu mfano wa madhabahu ya Bwana.",6.1029375,66
200702-144301_swa_5a1_elicit_38.wav,"Walioufanya baba zetu, si kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa.",5.808,61
200702-144301_swa_5a1_elicit_39.wav,Wala kwa ajili ya dhabihu; lakini ni ushahidi kati ya sisi na ninyi.,5.89875,68
200702-144301_swa_5a1_elicit_40.wav,"Mungu na atuzuie msimwasi Bwana, na kukengeuka hivi leo na kuacha kumwandama Bwana.",8.122125,83
200702-144301_swa_5a1_elicit_41.wav,"Hata mkajenga madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, au sadaka za unga.",6.942375,78
200702-144301_swa_5a1_elicit_42.wav,"Au dhabihu, mbali na ile madhabahu ya Bwana, Mungu wetu, iliyo huko mbele ya maskani yake.",7.940625,90
200702-144301_swa_5a1_elicit_43.wav,"Basi Finehasi kuhani, na wakuu wa mkutano.",4.6509375,42
200702-144301_swa_5a1_elicit_44.wav,"Maana, ni hao waliokuwa vichwa vya maelfu ya Israeli waliokuwa pamoja naye.",7.26,75
200702-144301_swa_5a1_elicit_45.wav,Hapo walipoyasikia hayo maneno waliyoyasema hao wana wa Reubeni.,5.89875,64
200702-144301_swa_5a1_elicit_46.wav,"Na wana wa Gadi, na wana wa Manase, maneno hayo yaliwaridhia sana.",6.488625,66
200702-144301_swa_5a1_elicit_47.wav,"Naye Finehasi, mwana wa Eleazari, kuhani, akawaambia wana wa Reubeni.",7.26,69
200702-144301_swa_5a1_elicit_48.wav,"Na wana wa Gadi, na wana wa Manase, akasema.",4.80975,44
200702-144301_swa_5a1_elicit_49.wav,Siku hii ya leo twajua ya kwamba Bwana yu kati yetu.,5.2408125,52
200702-144301_swa_5a1_elicit_50.wav,Kwa sababu hamkukosa katika jambo hili mbele ya Bwana.,5.1046875,54
200702-144301_swa_5a1_elicit_51.wav,Sasa ninyi mmewaokoa wana wa Israeli na mkono wa Bwana.,5.6491875,55
200702-144301_swa_5a1_elicit_52.wav,"Kisha Finehasi, mwana wa Eleazari, kuhani, na hao wakuu.",5.581125,56
200702-144301_swa_5a1_elicit_53.wav,"Wakarudi na kuwaacha wana wa Reubeni, na wana wa Gadi.",4.945875,54
200702-144301_swa_5a1_elicit_54.wav,"Wakatoka katika nchi ya Gileadi, na kuingia nchi ya Kanaani.",5.5130625,60
200702-144301_swa_5a1_elicit_55.wav,"Wakawarudia wana wa Israeli, wakawapa habari.",4.673625,45
200702-144301_swa_5a1_elicit_56.wav,Wana wa Israeli nao wakaliridhia jambo hilo.,4.219875,44
200702-144301_swa_5a1_elicit_57.wav,Nao wana wa Israeli wakamhimidi Mungu.,4.26525,38
200702-144301_swa_5a1_elicit_58.wav,Wala hawakusema tena habari ya kuwaendea juu yao kupigana nao.,6.1483125,62
200702-144301_swa_5a1_elicit_59.wav,"Wala kuiharibu nchi waliyoikaa wana wa Reubeni, na wana wa Gadi.",6.2844375,64
200702-144301_swa_5a1_elicit_60.wav,"Basi hao wana wa Reubeni, na wana wa Gadi, wakaiita madhabahu hiyo Edi.",7.2373125,71
200702-144301_swa_5a1_elicit_61.wav,"Wakasema, Kwa kuwa ni ushahidi kati yetu ya kwamba yeye Bwana ndiye Mungu.",6.6474375,74