text
stringlengths 43
182k
| timestamp
timestamp[s] | url
stringlengths 16
3.37k
|
---|---|---|
malumbo´s junior uchumi wa tanzania leo
uchumi wa tanzania leo
mhbalozi ar ngemera akiwa na wafanyabiashara wa kijerumani waliyowekeza nchini tanzania katika sekta ya utalii kupitia kampuni yao manyara valley culture campwa mwisho kulia ni mkufunzi wa chuo kikuu cha tumaini iringa eli laitika ambaye anasoma mjini munich
mh ngemera akioneshwa picha za mradi wa kampuni hiyo ya manyara valley culture camp katika kongamano hilo www4tanzaniacom
baadhi ya watanzania waliyoudhuria kongamano hilo kutoka kushotoeli mkufunzi wa chuo kikuu cha tumaini iringamalumbo salim mdau mkuu wa munich na augsburgeric moro mdau wa nurembergaboubakary liongo wa deutsche welle na luteni ben kitego anayekula kitabu mjini munich
balozi wa tanzania nchini ujerumani mh ahmada ngemera amewahakikishia wafanyabiashara wa ujerumani wanaotaka kuwekeza tanzania kuwa mazingira ya kuwekeza nchini humo ni mazuri na ya kuvutia
alisema hayo katika kongamano la uchumi ambalo liliandaliwa na chama cha urafiki wa watanzania na wajerumani na kuudhuriwa na wafanyabiashara na wawekezaji wa kijerumani kutoka katika jimbo la munich ambalo ndiyo tajiri kabisa nchini ujerumani
balozi ngemera amesema pamoja na kuyumba kwa uchumi wa dunia lakini bado uchumi na mazingira ya tanzania ni ya kuvutia kwa wawekezaji kwa nia ya kuwekeza
aidha alisema serikali imedhamiria kwa dhati kupambana na rushwa ambayo ilianza kupigwa vita toka enzi zu mwalimu nyerere
hata hivyo alikiri kuwa kasi ya kuchukua hatua si kubwa kama ilivyo katika nchi zu ulaya akitolea mfano wa kashfa ya rushwa iliyolikumba kampuni moja kubwa la magari la hapa ujerumani ambapo serikali ilichukua hatua zu haraka
lakini balozi ngemera amesema serikali inajitahidi kuongeza kasi hiyo ya kupambana na ufisadi
pia alizungumzia suala la ardhi ambapo alisema ni suala nyeti lakini lisiwatishe wawekezaji kwani tanzania ina sera mujarab katika suala zima la ardhi
hata hivyo alisema haiwezekani muwekezaji akapewa ardhi kwa ajili ya kilimo cha mazao ya chakula lakini yeye akatumia kwa kilimo cha mazao mfano ya kutoa mafuta
akizungumzia juu ya mchango wa sekta ya wafanyabishara wadogo wadogo hususan wanawake balozi ngemera alisema wawekezaji katika lengo hilo wanakaribishwa ambao watavisaidia vikundi vya kinamama
wakati huo huo balozi huyo wa tanzania nchini ujerumani ameanza utaratibu maalum wa kuwatembelea na kukutana na watanzania wanaoishi katika majimbo ya hapa ujerumani
ujerumani ni moja kati ya nchi kubwa barani ulaya ambapo imekuwa vigumu kwa watanzania kukusanyika sehemu moja kutoka sehemu mbalimbali
watanzania kadhaa wametoa pongezi kwa hatua hiyo ya balozi ngemera ya kuwa karibu na watanzania na kusema anatekeleza kivitendo tabia ya rais jakaya kikwete ambaye anasifika kwa kuwa karibu na wananchi wa chini
© malumbo´s junior tarehe 17509 | 2017-08-20T13:41:14 | http://malumbosjr.blogspot.com/2009/05/uchumi-wa-tanzania-leo.html |
zaidi ya watoto 2000 huzaliwa na mguu kifundo kila mwaka tanzania | mashujaa fm
zaidi ya watoto 2000 huzaliwa na mguu kifundo kila mwaka tanzania
takriban watoto 2200 hadi 3000 wanazaliwa na tatizo la mguu kifundo yani nyazo zilizopinda kila mwaka nchini huku hospitali ya ccbrt ikipokea watoto na watu wazima 400 wenye tatizo hilo kila mwaka
hayo yamebainishwa leo jijini dar es salaam na daktari wa mifupa dkt zainabu illonga kutoka hospitali ya ccbrt kwenye maadhimisho ya siku ya mkuu kifundo duniani (world club foot day) na kuishauri jamii kuwapeleka watoto wenye tatizo hilo hosptali ili kupatiwa matibabu
mkurugenzi mtendaji mkuu wa ccbrt brenda msangi amesema kutokana na changamoto ya gharama hospitali imeamua kutoa huduma ya matibabu bure kwa watoto wenye miguu vifundo huku pia ikiongeza muda wa kazi kwa kipindi hiki cha mlipuko wa virusi vya corona
kwa upande wao akina mama ambao watoto wao wanapatiwa huduma ya matubabu ya mguu kifundo wamesema wanafurahishwa na huduma za hospitali hiyo huku wakiwashauri wawazi wengine wenye watoto wenye tatizo hilo kuwapeleka hospitali
kila juni 3 huwa ni siku ya mguu kifundo duniani au nyayo zilizopinda (world club foot day) ambapo kitaifa imefanyika katika hosptali ya ccbrt iliyopo msasani jijini dar es salaam | 2020-07-14T13:01:39 | http://mashujaafm.co.tz/zaidi-ya-watoto-2000-huzaliwa-na-mguu-kifundo-kila-mwaka-tanzania |
habari na matukio mobisol yazindua tv ya sola yenye uwezo wa kuendesha vifaa vingine
hii ni fursa ya kuwapatia zawadi ya maendeleo familia yako na wale uwapendao kijijini
aliongeza kuwa kampuni ya mobisol ambayo sasa imeanza kutoa huduma zake hapa jijini dar es salaam ina mitambo ya nguvu ya kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya nyumbani ya wati 80 120 na 200 mbayo inakuja pamoja na betri taa tv redio tochi na waya ya kuchaji simu hivyo kumwezesha mtu anayeishi eneo ambalo umeme haujafika kutokuwa na tofauti na mtu aishiye mjini | 2017-07-26T06:43:48 | http://www.kajunason.com/2017/07/mobisol-yazindua-tv-ya-sola-yenye-uwezo.html |
michezo mwishoni mwa wiki | michezo | dw | 29052009
finali ya kombe la dfb berlin na fa london leo
majogoo wa bleverkusen
baada ya msimu wa bundesligaligi ya ujerumani kumalizika mwishoni mwa wiki iliopita na kutawazwa wolfsburg mabingwa wapya na fc barcelona kuichezesha manchester united kindumbwendumbwe na kutwaa taji la champions leaguekombe la klabu bingwa barani ulaya leo jioni kuna finali 2 za kusisimua
wakati katika uwanja wa olimpik wa berlin ni finali ya kombe la shirikisho la dimba la ujerumani kati ya werder bremen na bayer leverkuesen mjini london ni finali ya kombe la fa kati ya chelsea na everton imetangazwa pia kura ya mapambano ya kombe la afrika la mataifa januari 1031 mwakani nchini angola itapigwa mwishoni mwa mwaka huu
tukianza na finali ya kombe la shirikisho la dimba la ujerumani jioni hii katika uwanja wa olimpik wa berlin werder bremen ina nafasi ya mwisho ya kufuta machozi na kuondoka angalao na taji moja baada ya kutofanya vyema katika bundesliga na kupokonywa kombe la uefa na shakhtar donetsk ya ukraine wiki mbili zilizopita
katika mpambano wa mwisho wa msimu wa bundesliga kati yake na mabingwa wolfsburg jumamosi iliopita bremen ilikandikwa mabao 51 mpambano wa leo utakuwa pia wa mwisho kwa jogoo lao la brazil diego ambae msimu ujao anahamia juventus nchini itali ushindi leo dhidi ya leverkusen utawafuta machozi wabremen kwa misukosuko mingi waliopata msimu huu
leverkusen imekuwa pia na misukosuko yake na kabla ya finali ya leo (jumamosi) kulizagaa uvumi kwamba wachezaji wakipanga kuasi dhidi ya kocha wao bruno labadia meneja wa bayer leverkusen rudi vollermshambulizi hatari wa zamani wa timu ya taifa na hata bremen yenyewe anakanusha hakuna njama ya uasi ikiwa kuna uasi wowote itakuwa basi dhidi ya bremen kwani leverkusen pia inalihitaji kombe hili kufuta madhambi ya msimu uliokwenda kombo
ama katika finali ya leo (jumamosi)ya kombe la fa huko uingereza kati ya chelsea na everton kama katika finali ya berlin kati ya bremen na leverkusen chelsea na everton kila moja ina sababu ya kiu kikubwa cha ushindi leo
chelsea inataka kumuaga kwa ufanisi kocha wao wa muda mdachi guus hiddink na pia kufuta machozi kwa kupigwa kumbo dakika ya mwisho nje ya finali ya champions league na fc barcelona ya spain mabingwa wapya wa ulaya waliowavua taji juzi manchester unitedchelsea walisahau pigo walilopewa na barcelona na kutamba kwa mabao 41 mbele ya arsenal lakini everton ni timu nyengine kabisa everton yataka leo kutumia nafasi hii kunawirisha msimu wa ufanisi kwao kwa kutwaa kombe
mkondo uliopita everton kuingia finali ya leo unaonesha wanaweza kuzima vishindo vyoyote kwani waliiangusha liverpool aston villa middlesbrough na hata mabingwa manchester united ingawa katika changamoto ya mikwaju ya penalti
mjini cairoimetangazwa kwamba kura ya kuamua vipi timu zilizofuzu kwa kombe lijalo la afrika la mataifa nchini angola litakalotangulia kombe la dunia afrika kusini itapigwa novemba 30 mjini luandahii ni kwa muujibu wa cafshirikisho la dimba la afrika kura hiyo itapigwa wiki chache tu kabla dimba lenyewe kufunguliwa hapo januari 10 hadi 31 atakapotawazwa bingwa mpya au wa zamani misri
misri pamoja na wenyeji wa kombe lijalo la duniabafana bafanaafrika kusini zinajinoa wakati huu kwa kombe la mashirikisho linaloanza afrika kusini wiki 2 hivi kutoka sasajuni 1428 miongoni mwa mabingwa wengine watakaoania kombe hilo ni brazil mabingwa wa ulaya spain na mabingwa wa asia iraq
muandishi ramadhan ali /rtre
kiungo http//pdwcom/p/hzyk | 2017-12-12T04:02:01 | http://www.dw.com/sw/michezo-mwishoni-mwa-wiki/a-4289800 |
mkuu wa mkoa wa singida aipongeza hospitali ya kiomboi iramba kupewa hadhi ya mbili na kuhimiza ipate nyota tatu | tanuru la fikra blognews
home uncategories mkuu wa mkoa wa singida aipongeza hospitali ya kiomboi iramba kupewa hadhi ya mbili na kuhimiza ipate nyota tatu | 2018-03-21T08:45:42 | http://www.tanurulafikra24.com/2016/11/mkuu-wa-mkoa-wa-singida-aipongeza.html |
mapitio ya wateja kwa kesi ya uzuiaji wa nguvu ya kinga ya maji ya mto kwa mfano wa iphone | iliyokadiriwa ⭐⭐⭐⭐ woopshop
kuchagua chaguondoto bluemti kijaniblack ajabunyeupe nyeupe
kwa iphone 6 6skwa iphone 6 6s pluskwa iphone 7kwa iphone 7 pluskwa iphone 8kwa iphone 8 pluskwa iphone x
kuchagua chaguokwa iphone 6 6skwa iphone 6 6s pluskwa iphone 7kwa iphone 7 pluskwa iphone 8kwa iphone 8 pluskwa iphone x wazi
waterproof magical anti gravity uchunguzi kwa simu ya mtindo wa iphone
sku 32736327249 jamii simu
sambamba iphone model iphone 7 plus iphone 6 plus iphone 6s iphone 5s iphone 8 plus iphone 6 zaidi iphone 8 iphone 6 iphone x iphone se iphone 5 iphone 7
kazi waterproof adsorption dirt sugu kupambana na kubisha
design nyembamba nyeusi nyeusi biashara nyeupe
aina uchunguzi uliowekwa
vipengele kupinga uchunguzi wa kupitisha gravity
ukubwa kwa iphone 7 / plus screen
kipengele cha 1 nguvu rahisi silicon tpu pu simu jalada nyuma
kipengele cha 2 simu ya kinga ya kizuizi kazi ya nyuma ufunuo wa capa shell
kipengele cha 3 simu ya mkono simu ya coque fundas
kazi anti gravity antiknock antiskidding antigravity
kipengele cha 4 antigravity surface adsorption silicone simu ya mkono simu uchunguzi
mfano sambamba magical anti mvuto kwa iphone6 iphone6s 47
rangi ya mtindo rangi ya rangi ya rangi ya bluu ya kijani nyeupe nyeusi
watu wapya wanawake mama wasichana wavulana mtu
4 mapitio kwa waterproof magical anti gravity uchunguzi kwa mtindo wa iphone
wateja februari 3 2018
je wewe ni nchi ya nchi ni kama wewe
r *** i desemba 21 2017
hiyo inakuja na huenda ikawa hakuna jambo linalojitokeza kwa sababu ya picha спасибо 🙂
k *** a septemba 14 2017
vizuri sana weka kila kitu mbao skrini ya tv kioo ukuta kukuja kwa haraka napenda bidhaa yangu inashauriwa sana
c *** k septemba 13 2017
inamama kwa chochote lakini kuta zimeanguka mbali na ukuta wangu
samsung ehs64 wired 35mm in ear ear na kipaza sauti
₺8615 ₺4592
mikono ya kichwa cha kichwa cha kichwa cha kichwa cha bure kwa simu za mkononi za android za android
high waist high neck neon green / orange nyekundu sleeve mini mavazi
₺17810 ₺10913
kiuno kikovu kinapotea kwa jeans za rangi ya nuru za soft kids
₺10459 ₺14781
laini sungura bowknot watoto wa wasichana kitanda cha nywele
₺13586 ₺9781
uchawi wa steam foldable unganisha chupa kikuu cha mkuta kikapu cha kupikia jikoni ₺8586 ₺6689
original xiaomi ihealth bluetooth smart mfumo wa ufuatiliaji wa damu ya damu
₺27602
upendo lace white maid uniform mavazi | 2019-12-06T19:33:44 | https://sw.woopshop.com/product/waterproof-magical-anti-gravity-case-for-iphone-model/ |
unataka kusoma chuo kikuu na hauna uwezo kiuchumi haya eabl inakusomesha jaza fomu hii | politiksi kurunzini
home habari unataka kusoma chuo kikuu na hauna uwezo kiuchumi haya eabl inakusomesha jaza fomu hii
unataka kusoma chuo kikuu na hauna uwezo kiuchumi haya eabl inakusomesha jaza fomu hii
taarifa hii imekujia hapa kwa hisani ya father kidevu | 2017-08-21T04:47:45 | https://arusha255.blogspot.com/2012/10/unataka-kusoma-chuo-kikuu-na-hauna.html |
hehe heiya tuongeemahusiano
hehe heiya
jamani wanawake siku yetu ya kufundwa ndio hiyo tarehe 7/12/2012 wiki ijayo umeshalipia nafasi yako kama bado nipigie 0717019320 sasa upewe na kikoi chako cha kufungia na kuzungushia nyonga shosti na kwa wanaotaka kulipia lakini wamebanwa makazini nipigie tutawaletea makazini shughuli itafanyika the majestic hall sinza kwa remmy hakuna viingilio vya mlangoni jamani mwisho wa mchango ni tarehe 6/12/2012 unaambiwa raha ya tunda mbegu na raha ya mwanamke nyonga unaijuwa kuitumia yako | 2017-08-17T07:55:17 | http://rosemarymizizi.blogspot.com/2012/11/hehe-heiya_26.html |
operation vijijisilaha iliyobaki | jamiiforums | the home of great thinkers
discussion in 'jukwaa la siasa' started by montroll oct 4 2011
cdm and the pipoz pawa imefanya kila linalohitajika kuleta uelewa wa ukombozi wa kwelilakini bado wanyonyaji ccm wameendelea kushinda katika sanduku la kura inawezekana wanaiba kura kwa kusaidiwa na dola lakini pia wanapata kura nyingi toka kwa watu wa vijijini ambao wamekosa fursa ya kufunguliwa mawazo yao ambayo yalitiwa gerezani na ccm kwa miaka 50
makamanda wa cdm sasa ifanyike operation vijiji kuzikomboa hizo akili na mawazo zilizofungwa na ccm
akili na mawazo hayo yaliyofungwa na ccm vijijini ndio mtaji wao wa mwisho na kweli ni mtaji kwa magamba
i suggest we hugely invest on emancipating the remote areas mind for two years non stop ccm will crumble like a cookie
ni aghali pipoz pawa ina weza kuchangia gharama
duit naw
naonnga mkono mawazo yako tena chama kiweke utaratibu wa kuwadirect vijana especially walio vyuo vikuu na waliomaliza vyuo wenye uwezo wa kuchambua mambo then wapelekwe kufanya mikutano vijijini kutokana na maeneo watokayo naamini vijana wengi tupo tayari kufanya kazi hii bila hata malipo
zaidi ya kura za watu wa vijijini ni uchakachuaji unaofanyika huko
naunga mkono hoja 100 vijana tupo wengi sannnna na tunaiweza kazi iyo tena bila ya malipo
mod changanya hii thread na ile ya 'kwa wanachadema'
hata kama mkianzisha operation kaya hamwezi kushinda kwa huu mfumo wa uchaguzi ngo na wasira kasemawengine wanajiapiza kunywa sumukutembea uchi wanajua tume hii ya uchaguzi mtakesha sana
naunga mkono hoja hiyo moja kwa moja | 2016-10-27T05:14:28 | http://www.jamiiforums.com/threads/operation-vijiji-silaha-iliyobaki.179152/ |
calisah aibua mapya mtembezi
home entertainment calisah aibua mapya
calisah aibua mapya
calisah ambaye kwa sasa ameganda kama ruba midomoni mwa watu kutokana na picha hizo alisema siwezi kukataa mkwanja kwa kuhofia watu wataongea kitendo cha kuvaa viatu na kupiga navyo picha wala siyo vibaya ingekuwa nazurura navyo mitaani hapo sawa waendelee tu kuongea mimi naingiza mtonyo na siyo viatu tu mtu yeyote atakayeweza dau langu la milioni 10 hata gauni nitavaa
previous articleorodha ya fursa 150 za kibiashara tanzania
next articlekama wewe ni mjasiriamali zingatia mambo haya matano
diamond platnumz ft morgan heritage hallelujah yafikisha views milioni moja
mtembezi september 29 2017 | 2017-12-16T12:41:37 | http://mtembezi.co.tz/2017/10/11/calisah-aibua-mapya/ |
naibu waziri wa mambo ya ndani mhe masauni na igp sirro ziarani mkoani shinyanga kikazi zanzinews
home habari matukio naibu waziri wa mambo ya ndani mhe masauni na igp sirro ziarani mkoani shinyanga kikazi
naibu waziri wa mambo ya ndani mhe masauni na igp sirro ziarani mkoani shinyanga kikazi
naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi mhandisi hamad masauni akizungumza na mkuu wa mkoa wa shinyanga zainab terack (katikati) baada ya kuwasili mkoani shinyanga kwa ziara ya kikazikushoto ni mkuu wa jeshi la polisi nchini igp simon sirro
mkuu wa mkoa wa shinyanga zainab terack akizungumza na naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi mhandisi hamad masaunimasauni amewasili mkoani shinyanga leo kwa ziara ya kikazi
naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi mhandisi hamad masauni akisalimiana na mkuu wa mkoa wa shinyanga zainab terack baada ya kuwasili mkoani shinyanga kwa ziara ya kikazi | 2020-05-27T12:33:24 | http://www.zanzinews.com/2019/07/naibu-waziri-wa-mambo-ya-ndani-mhe.html |
mkutano wa matumizi ya nuklia kufanyika mwezi ujao saint petersburg | habari za un
africa|americas|asia|europe|middle east|peace and security|taarifa maalumu|women children population | 2018-02-25T10:25:26 | https://news.un.org/sw/story/2013/05/347332-mkutano-wa-matumizi-ya-nuklia-kufanyika-mwezi-ujao-saint-petersburg |
bundesliga fixtures | amani sports news
simba yaitwanga ndanda na kuusogeza ubingwa mlangoni
wekundu wa msimbazi simba wamefanikiwa kuvuna alama zote tatu dhidi ya kikosi cha wanakuchele ndanda fc kwa kuifunga goli 20 katika mchezo wa ligi kuu tanzania bara uliofanyika uwanja wa uhuru na kukaribisha ubingwa mlangoni read more
aliyekuwa rais wa kandanda zanzibar afariki dunia
rais wa zamani wa chama cha soka visiwani zanzibar ally fereji tamimu fereji amefariki mapema leo visiwani zanzibar baada ya kuugua kwa muda mrefu enzi za uhai wake tamimu mbali na kuwa rais wa chama cha read more
berkane kuvaana na zamalek mkondo wa kwanza wa fainali
mechi ya mzunguko wa kwanza wa fainali ya kuwania taji la shirikisho barani afrika kati ya rs berkane ya morocco na zamalek ya misri inachezwa jumatatu 20052019 mechi hiyo itachezwa katika uwanja wa stade municipal read more
klabu ya soka ya tp mazembe imetawazwa mabingwa wa ligi kuu ya soka nchini dr congo ligue 1 baada ya mechi dhidi ya renaissance fc ya kinshasa mechi hii imechezwa katika uwanja wa kamalondo mjini read more
bayern munich wametawazwa mabingwa wa ujerumani kwa msimu wa saba mfululizo baada ya kuwasaga eintracht frankfurt 5 1 katika siku ya mwisho ya msimu timu hiyo ya kocha niko kovac ambao walikuwa nyuma ya read more
allegri kuondoka juventus mwishoni mwa msimu huu
miamba ya italia juventus imetangaza kuachana na kocha wao massimiliano allegri mwishoni mwa msimu wa 2018/19 kocha huyo alianza kupata misukosuko tangu atupwe nje ya mashindano ya uefa champions league na ajax hatua ya robo read more
samatta mtanzania wa kwanza kubeba taji ulaya
mshambuliaji wa timu ya tanzania taifa stars mbwana ally samatta samagoal amefanikiwa kuisaidia timu yake ya krc genk kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya ubeligiji inayofahamika kama jupiler huku yeye akiwa kinara wa wafungaji bora read more
makambo asajiliwa na horoya ya guinea yanga yakachwa
mshambuliaji wa yanga heritier makambo ametimkia guinea kujiunga na klabu ya horoya fc ambayo inashiriki ligi kuu nchini humo taarifa za makambo kusajiliwa na horoya zilisambaa kwenye mitandao ya kijamii mapema leo ambapo timu hiyo read more
simba yaitwanga ndanda na kuusogeza ubingwa mlangoni
442 pm 19 may 2019
aliyekuwa rais wa kandanda zanzibar afariki dunia
254 pm 19 may 2019
berkane kuvaana na zamalek mkondo wa kwanza wa fainali
241 pm 19 may 2019
tp mazembe mabingwa wa ligue 1 ya dr congo
217 pm 19 may 2019
bayern wabeba taji la saba la bundesliga mfululizo
708 am 19 may 2019 | 2019-05-27T09:27:26 | http://bruceamaninews.com/bundesliga-fixtures/ |
★ alexa tovuti cheo ★ smturu kimataifa variable cheo ★ tovuti cheo ★ smturu kimataifa variable cheo
about wwwsmturu more information please check here go >>
tovuti wwwsmturu jumuishi nafasi | global mtandao wa ukusanyaji zaidi>>
tovuti wwwsmturu kuhusiana nje alexa rasmi habari
tovuti wwwsmturu kila siku wastani alexa rank chati [bonyeza ili kuona] kuwasilisha kiungo | 2020-05-31T00:53:16 | http://mg.57883.net/alexa/mg/index.asp?domain=smtu.ru |
ministry of education science and technology bilioni 28 kutumika kukarabati chuo cha ualimu mpwapwa
ijumaa 19 juni 2020 1655
bilioni 28 kutumika kukarabati chuo cha ualimu mpwapwa
waziri wa elimu sayansi na teknolojia profesa joyce ndalichako amekagua maendeleo ya ujenzi na ukarabati wa miundombinu katika chuo cha ualimu mpwapwa ambao umegharimu zaidi ya shilingi bilioni 28
akizungumza na wakufunzi walimu na wanafunzi wa chuo hicho baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa miundombinu hiyo profesa ndalichako amesema serikali ya awamu ya tano imeamua kuwekeza katika uboreshaji wa miundombinu ya taasisi za elimu ili kuongeza fursa ya upatikanaji wa elimu kwa watanzania
kiongozi huyo ametaja miundombinu inayojengwa kuwa ni jengo moja la ghorofa kwa ajili ya idara ya teknolojia ya habari na mawasiliano (tehama) bweni la ghorofa moja la walimu tarajali wa kike bwalo la chakula na nyumba mbili za watumishi ambazo nyumba moja ina uwezo wa kuchukua familia tatu
serikali imeamua kwa dhati kuboresha miundombinu ya elimu ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kunakuwa na upatikanaji wa vifaa vya kufundishia na kujifunzia ndio maana inawekeza katika eneo hili sasa ni jukumu lenu kusimamia na kuhakikisha miundombinu inatunzwa ili iweze kutumika kwa muda mrefu amesema waziri ndalichako
kaimu katibu tawala said mwaliego akizungumza kwa niaba ya mkuu wa wilaya hiyo jabili shekimweri ameishukuru wizara kwa kupeleka kiasi kikubwa cha fedha kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa chuo hicho ameiomba wizara ya elimu sayansi na teknolojia kusimamia mradi huo kwa karibu ili ukamilike kwa wakati
naye mkuu wa chuo cha ualimu mpwapwa gerald richard ameishukuru wizara kwa kukipatia fedha za ukarabati chuo hicho kwani miundombinu yake ilikuwa imechakaa kutokana na kuwa cha muda mrefu amesema ujenzi wa miundombinu unaoendelea utaongeza nafasi za udahili wa wanachuo wengi zaidi | 2020-07-08T04:22:22 | http://moe.go.tz/sw/component/k2/item/2552-bilioni-2-8-kutumika-kukarabati-chuo-cha-ualimu-mpwapwa.html |
mafunzo ya usalama na afya mahali pa kazi
ratiba ya mafunzo ya usalama na afya mahali pa kazi bofya kupakua
fomu ya maombi ya mafunzo ya usalama na afya bofya kupakua
kwanini mafunzo kuhusu usalama na afya ni muhimu
mafunzo sahihi kuhusu usalama na afya ya wafanyakazi husaidia kuongeza motisha ambayo hupelekea kukua kwa tija tija ikiongezeka faida nayo huongezeka kwa upande mwingine athari na magonjwa vikipungua kampuni hulipa viwango vidogo zaidi vya bima ya afya yote haya yakitokea pande zote zinafaidika
utoaji wa mafunzo ya usalama na afya ni miongoni mwa majukumu muhimu ya osha ambayo huunda sehemu ya mamlaka yake osha inatoa mafunzo kuhusu usalama na afya kwa wafanyakazi na watu wenye jukumu la kusimamia afya na usalama mahala pa kazi osha inachukulia mafunzo kuhusu usalama na afya kama sehemu mojawapo ya programu za usalama na afya za osha zilizoandaliwa kwa ajili ya kuhakikisha usalamana afya ya wafanyakazi kwa maana hii osha inahimiza waajiri kutoa mafunzo mahsusi kwa wafanyakazi ambao kazi zao ni hatarishi kabla ya hawajaanza kufanya kazi zenye athari hasi na hutoa huduma za ugani na elimu kwa umma kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu usalama na afya mahala pa kazi lengo kuuni kuwalinda wafanyakazi dhidi ya athari hasi magonjwa na vifo vinavyotokana na kazi wanapokuwa kazini
mafunzo yanayotolewa mahala pa kazi (inhouse/on site)
kozi ambazo ni mahsusi kwa ajili ya wafanyakazi zinaweza kutolewa mahala pa kazi faida kuu ya aina hii ya mafunzo ni kwamba mafunzo yanaundwa kukidhi mahitaji ya mteja (mwajiri) na yanaweza kutolewa kwa kutumia mifano halisi ya sera na taratibu za kazi za eneo la kazi husika
mafunzo yanayotolewa mahala pa kazi linasaidia pia kupunguza ghrama kwani yanaweza kutolewa kwa watu wengi kwa wakati mmoja ukilinganisha na mafunzo ambayo mfanyakazi mmoja au kikundi kidogo cha wafanyakazi wanahudhuria nje ya mahala pa kazi hata hivyo masharti ya kutoa mafunzo kama haya ni kwamba ni lazima pawepo na washiriki angalau 30 chumba kinachofaa kwa ajili ya mafunzo na viburudisho kwa ajili ya washiriki
mafunzo yanayotolewa nje ya mahala pa kazi
tunatoa mafunzo ya aina gani kuhusu usalama na afya mahala pa kazi
programu zetu zote za mafunzo zinaratibiwa na mkurugenzi wa mafunzo utafiti na takwimu na zinajumuisha mafunzo yaliyopangwa na mafunzo mahsusi kulingana na mahitaji ya waajiri kama ilivyooneshwa hapa chini
sn course fees duration
1 national occupational safety and health course noshci 690000 15 days (3 weeks)
2 national occupational safety and health course noshcii 690000 15 days (3 weeks)
3 ohs risk assessment 500000 siku 5
4 working at height 300000 siku 4
5 safety and health representative 250000 siku 4
6 safe use of chemicals at work 250000 siku 4
7 ohs in construction industry 250000 siku 4
8 accident investigation 400000 siku 3
9 industrial first aid 250000 siku 3
10 safety in lifting appliance 250000 siku 4
11 safe boiler operation 300000 siku 4
12 general ohs awareness 120000 siku 1
kumbuka kozi zote zinaweza kuendeshwa mahali popote nchini tanzania isipokuwa kozi ya noshc i na ii ambazo zinatolewa tu katika ofisi za makao makuu ya osha zilizopo kinondoni dar es salaam
jinsi ya kuomba na kushiriki mafunzo
kalenda ya mafunzo na fomu ya maombi vinapatikana katika ofisi za osha makao mkuu zilizopo kinondoni manyanya jijini dar es salaam au kutoka katika ofisi za osha za kanda jijini arusha mwanza mtwara mbeya na dodoma kalenda ya mafunzo na fomu ya maombi vinaweza pia kupakuliwa kutoka katika tovuti ya osha wwwoshagotz [insert link to forms]
walengwa wa kozi zetu ni nani
mfanyakazi yeyote kutoka sekta yoyote
watu wenye majukumu ya kusimamia masuala ya usalama na afya mahala pa kazi
wajasiriamali wadogo na wakubwa
mtu mwenye nia ya kufanya kazi kama afisa/meneja usalama na afya
wakurugenzi wakuu na menejimenti kutoka mashirika ya umma na binafsi
faida ya mafunzo ya afya na usalama
yanawapa wafanyakazi maarifa ya kusimamia afya na usalama kwa ufanisi
yanawasaidia wafanyakazi wafanye kazi kwa usalama na kuwa huru kutokana na hatari ya kupata athari hasi/majeraha na magonjwa
yanajenga utamaduni wa usalama na afya katika maisha ya kila siku
yanatoa masharti ya kisheria kuhusu usalama na afya ya wafanyakazi
yanasaidia kuzuia au kupunguza gharama zinazotokana na ajali na mgaonjwa mahala pa kazi
yanaongeza tija na motisha ya wafanyakazi | 2020-07-12T16:45:48 | https://www.osha.go.tz/page/annual-training-schedule |
picha | enockmaregesi
posts from the picha category
kwa nini biblia imejaa mafumbo on 09/12/2017
shetani na uumbaji on 08/12/2017
csmiami on 03/12/2017
mwanasesere wa nyoka wa lisa graciano on 14/11/2017
sanduku la samsonite on 07/11/2017
csmoscow on 01/11/2017
cscopenhagen on 28/10/2017
csbissau on 24/10/2017
uwanja wa ndege wa kimataifa wa benito juárez mexico city on 22/10/2017
manukato kutoka ufaransa on 19/10/2017 | 2017-12-12T16:05:34 | https://enockmaregesi.wordpress.com/category/picha/ |
east africa archives tanzania sports
22nd july 2018 last update at 1219 pm
rais wa shirikisho la mpira wa miguu nchini tff jamal malinzi leo amefungua kozi ya walimu wakufunzi wa mpira wa miguu chini inayofanyika katika uwanja wa karume jijini dar es salaam mali | 2018-07-23T15:33:20 | https://www.tanzaniasports.com/tag/east-africa/ |
contributions by hon mwanne ismail mchemba (31 total)
mhe mwanne i mchemba mheshimiwa mwenyekiti ahsante kwa kunipa nafasi kwa siku hii ya leo nami niweze kuchangia wizara ya viwanda na biashara
mheshimiwa mwenyekiti awali ya yote nashukuru mwenyezi mungu kwa kunipa uwezo wa kuamka leo salama na kunipa nafasi kama hii ya pekee kuweza kuchangia (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti nianze na pongezi nampongeza sana mheshimiwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania kwa kuleta sera ya viwanda nchini na kuisimamia yeye mwenyewe kikamilifu nampongeza sana kwa sababu siyo hilo tu ameyafanya mheshimiwa rais wetu lakini ana mengi ameyafanya katika nchi hii kwa kutekeleza ilani ya uchaguzi ya mwaka 2015/2020 (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti nampongeza pia makamu wa rais anafanya kazi nzuri ya kumsaidia mheshimiwa rais wamejipanga nampongeza mheshimiwa waziri mkuu na timu yake wanafanya kazi nzuri (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti nianze kwa kuchangia nimeanza kwanza kwa pongezi sasa nakwenda kwenye jukumu kubwa ambalo ninalo moyoni mwangu mheshimiwa waziri naomba mwenyekiti alipokee hili na alisikilize kwa makini nataka nizungumzie habari ya kiwanda cha tabora cha nyuzi (tabotex) kiwanda hiki kimeanza muda mrefu tangu mwaka 1978 kama sikosei au 1975 baada ya kubinafsishwa kiwanda hicho kimesuasua na mpaka leo hakifanyi kazi malighafi yote imeondolewa nilishamwomba hapa ndani mheshimiwa naibu waziri twende mimi na yeye akaangalie hali halisi ilivyo kwa sababu hatuwezi kukubali kutafuta wawekezaji ambao ni wababaishaji
mheshimiwa mwenyekiti kiwanda hiki kilikuwa kinasaidia sana ajira kwa watu wa mkoa wa tabora lakini mpaka sasa hakuna ajira vijana wanahangaika lakini mwekezaji hakuna chochote alichokifanya nilitegemea basi kwamba angalau mheshimiwa waziri angeweza kuiweka mle tabotex nimeangalia ukurasa wa nane hamna kitu nimeangalia ukurasa wa 20 hamna kitu labda mimi sijui kusoma kama sijui kusoma leo mheshimiwa waziri ataniambia kwamba ameiweka wapi kiwanda cha nyuzi ambacho ni tatizo
mheshimiwa mwenyekiti kiwanda hiki historia yake ni kwamba kulikuwa na mbunge anaitwa marehemu mzee misigalo miaka ya nyuma ili kuweza kufanikisha alimwomba baba wa taifa kwamba kiwanda hiki kiwepo tabora baada ya kuonekana kwamba hakuna kiwanda chochote ambacho kinaweza kikawa kinatengeneza nyuzi kwa kanda ile ambayo wanalima pamba kwa hiyo akaitoa shilingi nami leo naitoa kwako aliitoa shilingi baba wa taifa akampa hicho kiwanda (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti kwa bahati nzuri mwaka uliofuata anaomba kura wakampa tena akatawala vipindi viwili alivyotawala vipindi viwili hakuna tena aliyevunja ile historia kwa sababu ya kile kiwanda sasa nami kwako mheshimiwa waziri shilingi hii nitaondoka nayo naenda nayo tabora mpaka wewe uje ujieleze
mheshimiwa mwenyekiti suala lingine ni ujenzi wa kiwanda cha tumbaku ujenzi wa kiwanda cha tumbaku tulitegemea pia tungekiona humu kwenye kitabu hiki hamna tumbaku inalimwa tabora asilimia 60 na tuliomba kwamba kuwepo na kiwanda cha kutengeneza kusindika tumbaku mkoa wa tabora lakini hakimo mheshimiwa waziri ana ajenda gani ana ajenda gani wakati tumbaku tunailima sisi wenyewe (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti kiwanda hiki gharama zake ni kubwa ambazo wanatoa tumbaku kupeleka morogoro wakipeleka morogoro gharama yote inakwenda kwa mkulima na wakulima wa tumbaku wanalima katika mazingira magumu hawana afya nzuri kutokana na usumbufu wa zao la tumbaku (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti mheshimiwa waziri mkuu aliweka mazingira mazuri ya suala zima la bei ya tumbaku lakini nilitegemea sasa leo waziri mhusika mwenye dhamana angeweza pia akaliongelea hili suala la kiwanda cha tumbaku kwa ajili ya mkoa wa tabora na nchi nzima kwa sababu kanda ile yote kigoma wapi wanalima tumbaku lakini hakuna kitu chochote alichoweza kuandika kwa hiyo namwomba sana mheshimiwa waziri aliangalie hili kwa upana ni jinsi gani atakavyojipanga aliweke hili jambo la kiwanda cha nyuzi aweke pia na suala zima la kiwanda cha tumbaku (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti lingine ni suala la sido sido ni mkombozi mkubwa sana watu wanadharau sido imeweza kulea wanawake imewatoa wanawake na vijana kwenye ujasiriamali sasa wamekuwa wawekezaji wakubwa lakini hakuna fedha yoyote ambayo inakwenda kwenye mikopo kwa hiyo bado nina wasiwasi tunawasaidiaje vijana na wanawake kwa kuidharau sido sido ilitakiwa ipewe fedha nyingi ili waweze kukopesha wanawake na vijana na walemavu watu wote ambao ni wajasiriamali (makofi)
mheshimiwa mwenyekiti pia vifungashio sido imewaelimisha wananchi wajasiriamali wote wamepita mafunzo ya sido na ndiyo maana wanajua maana ya vifungashio sasa hivi wanafnyakai nzuri sana
mheshimiwa mwenyekiti lingine ni maonyesho ya saba saba wajasiriamali wanateuliwa wachache sana tena kwa kupitia vikao ambavyo havihusiki na sido sido wanaleta tu mwelekeo wanatoa waraka lakini nani anayeweza kudhibiti wajasiriamali ili waende kwenye masoko ya maonyesho ya kimataifa na maonyesho ya saba saba ni lazima sido iingize mkono wake
mheshimiwa mwenyekiti kwa hiyo ili sido iweze kufanya kazi nzuri mimi siafiki kutokuwapa pesa sido sido hawapati fedha zozote kwa hiyo hata mimi ningeweza kuishauri serikali kama kuna fedha nyingine zozote ambazo wanaona ni rahisi kuwafikia walengwa wananchi ambao ni wa chini lazima ipitie sido tangu imeanza sido haina mgogoro wowote wa kazi kubwa ambayo inafanya
mheshimiwa mwenyekiti lingine ukiisoma kwenye taarifa ya sido urejeshaji wa mikopo ni tofauti na asilimia 10 ambayo inatolewa na manispaa au halmashauri wao wameweza kukusanya marejesho asilimia 915 hata ukitaka kusoma lile jedwali lake liko ukurasa namba 16 ni watu ambao wanaweza wakasaidia nchi hii kuondokana na figisu figisu ya mikopo midogo midogo kwa sababu mikopo yao ni ya riba nafuu kwa hiyo nilikuwa nataka nizingatie hayo ambayo ni ya muhimu sana
mheshimiwa mwenyekiti la mwisho mimi sikutaka kuchangia mengi nakuomba sana mheshimiwa waziri sitaki kuichafua serikali yangu lakini utakapokuja hapa unipe majibu ya mambo mawili la kwanza kiwanda cha nyuzi kwa nini wanaondoa vifaa wanapeleka manonga vingi wamepeleka manonga kwa hiyo nataka majibu hayo kwa sababu sasa hivi asilimia 100 ya wakulima wa pamba wanatoka igunga kwa hiyo bila hilo sitaki kukosana nimesharudia mara tatu mara nne nitakosana na wewe kwa ajili ya kiwanda cha tabotex nitakosana na wewe bila kupata majibu sitaki kujua kama unatoka tabora au unatoka wapi mimi sitambui (makofi)
mhe mwanne i mchemba mimi najua wewe ni waziri kwa hiyo siitambui yeye ni waziri lakini sitaki kujua huko nyuma kama anatoka tabora mimi na wewe humu ndani ama kesho patakuwa hapatoshi nipate majibu mawili ya kiwanda cha nyuzi na kiwanda cha tumbaku lini kitaanza mchakato hayo ndiyo ya kwangu ambayo nataka wewe mheshimiwa waziri sasa nakuomba namaddress yeye kwa sababu haijalishi kama anatoka wapi (makofi/kicheko)
mheshimiwa mwenyekiti kwa hiyo baada ya kusema hayo naunga mkono hoja asilimia mia kwa mia ahsante sana (makofi)
mhe mwanne i mchemba mheshimiwa naibu spika nimpongeze mheshimiwa ummy mwalimu waziri wa wizara hii mheshimiwa dkt faustine ndugulile naibu waziri katibu mkuu na watendaji wote kwa hotuba nzuri yenye uelewa pia kwa kazi nzuri wanayofanya kwa wananchi
mheshimiwa naibu spika nishukuru sana kwa ongezeko la madawa na vifaa tiba ushauri kwa kuwa hospitali ya rufaa kitete ina majengo ambayo hayajakamilika niombe serikali ikamilishe ili yaweze kutumika hasa chuo cha uuguzi nishauri pia katika majengo yanayojengwa sasa ni vema yakazingatia ujenzi na jengo la mama ngojea ili wanawake wengi waweze kupumzika wanaposubiri kujifungua ishirikiane na tawala za mikoa na serikali za mitaa
mheshimiwa naibu spika naomba wizara kutenga sehemu maalum katika kila kituo cha afya kwa ajili ya kutunzia watoto njiti
mheshimiwa naibu spika magonjwa niombe elimu iendelee kutolewa kwa ajili ya ugonjwa wa dengue ini ili wananchi wengi waweze kujua tiba yake tahadhari pia kwa nini ugonjwa huu wa dengue haupo kwenye bima za afya kwani wananchi wengi wanasumbuka
mheshimiwa naibu spika vile vile naomba serikali ipeleke mashine za kupimia sukari katika vituo vya afya na zahanati ili kuokoa maisha ya wananchi
mheshimiwa naibu spika benki ya wanawake kwa kuwa benki hii tangu ianze haijatoa gawio lolote mpaka sasa na mimi nikiwa ni mhanga wa kutoa hisa (hisa milioni mbili) nini hatima yangu kwa kuwa fedha yangu imekaa muda mrefu je naruhusiwa kuuza hisa zangu ili niipate fedha yangu
mheshimiwa naibu spika pia benki ya wanawake lini itafika mkoa wa tabora ili wanawake waweze kukopa niombe serikali iweke dirisha la ukopaji kwenye benki ya tpb
mheshimiwa naibu spika usafi wa mazingira kwa kuwa maeneo mengi hususan hospitali ya rufaa kitete kuna vifaa chakavu kama vile vitanda meza na magari je hakuna utaratibu wa kuuza au kuviondoa kwenye eneo la hospitali na kupeleka eneo lingine kwa kuwa vinawekwa eneo la nje na kusababisha mazalia ya mbu niombe wizara itembelee hospitali yangu na kuona hali halisi (kitete tabora)
mheshimiwa naibu spika sheria ya ndoa ya mwaka 1971 niishauri serikali kuleta haraka sheria ya mabadiliko ya sheria ndoa ili wanawake na watoto wapewe haki zao ukatili wa kijinsia unaongezeka hapa nchini kunyimwa haki wajane na kudhulumiwa mali zao
mhe mwanne i mchemba mheshimiwa naibu spika ahsante kwa kunipa nafasi kwanza ni mjumbe wa kamati hii lakini pia ni makamu mwenyekiti wa kamati hii nichukue nafasi hii kwanza kabisa kuwapongeza mheshimiwa waziri george mkuchika naibu waziri dkt mwanjelwa na mheshimiwa katibu mkuu na watendaji wote wa wizara hii
mheshimiwa naibu spika kipekee nimpongeze mheshimiwa kairuki kwanini nasema hivyo kwa sababu wakati tunaanza mchakato huu yeye alikuwa waziri mchakato huu ulianza kwenye kamati yetu baada ya kutembelea sehemu zote ambazo wakala alikuwa anasimamia dkt jabir amefanya kazi nzuri sana baada ya kuzunguka sasa baadaye kwa sababu ofisi haihami na documents hazihami walipofika mheshimiwa mkuchika pamoja na mheshimiwa dkt mwanjelwa wakafuata yale na kukamilisha yale mahitaji ya kamati kwa hiyo niipongeze sana wizara kwa kukubali mapendekezo yote ya kamati tangu mwanzo na hatimaye leo muswada ule umeletwa mbele ya bunge lako tukufu (makofi)
mheshimiwa naibu spika kwa hiyo baada ya pongezi hizo nimeona yafuatayo lazima niyaseme wakati tumeanza akiwa wakala mtandao upande wa tehama tulipata shida sana kwa sababu mambo mengine walikuwa hawana mamlaka tena kwa hiyo walikuwa wanafanya mambo sivyo ndivyo lakini sasa wakipata mamlaka kamili nina imani tutakwenda mbali na mtandao hautachezewa tena (makofi)
mheshimiwa naibu spika pia hii sheria ikipitishwa leo humu ndani niwashawishi wabunge wenzangu tuikubali kwa sababu sisi tumepata uelewa kwa niaba ya bunge na tumehakikisha kwamba yale ambayo yanastahili kurekebishwa tuliyapeleka kwenye wizara na matokeo yake kamati imekubali mambo yote lakini nitoe angalizo baada ya kupatikana na kutungwa kwa sheria hii sasa niwaombe mamlaka waliyopewa sasa wasimamie mambo mengi sana wasimamie kwenye mtandao hususan wa simu
mheshimiwa naibu spika sasa hivi utapeli ni mwingi wanatumia mtandao kwa sababu kulikuwa hakuna sheria wanatapeli hususan vijijini kwa hiyo wanafanya mambo ambayo hayapo hususan kwenye haya mambo ya kampuni ya tigo voda airtel na halotel nina ndugu yangu ambaye alitapeliwa nimetuma pesa dakika hiyo hiyo akaulizwa wewe ni fulani akajibu ndiyo umepokea shilingi fulani akasema ndiyo wakamwambia hiyo hela imekosewa inatakiwa irudishwe kwa hiyo tuangalie na mchezo ambao uko ndani ya mitandao kwenye sehemu husika watu wamelia hususan vijijini hawajui chochote kwa hiyo niombe inapoanza kazi sasa na meno haya tuliyowapa kama mamlaka ichukue hatu kwa vyombo hivyo na hasa makampuni ambayo yanazembea na kuendeleza utapeli (makofi)
mheshimiwa naibu spika lingine niombe kwa kuwa tunawapa meno leo usajili wa simu usimamiwe ukamilike kwa sababu uharibifu huu unatokea kwa sababu chip nyingi zinauzwa mitaani ukitaka laini unanunua mtaani kwa hiyo sasa hivi kwa udhibiti na meno haya mimi nina imani kazi kubwa ataifanya ambayo itatuletea heshima na serikali mtandao sasa itakuwa inafanya kazi
mheshimiwa naibu spika suala lingine ambalo ningeliomba wizara ni kwamba isimamie taasisi zote ambazo ziko chini ya serikali kuhakikisha zinaingia kwenye mfumo huo kwa ajili ya kuboresha mapato zamani walikuwa wanasuasua kwa sababu hawakuwa na meno sasa kwa sababu wana meno basi tuhakikishe kila fedha ya serikali ipite kwenye mtandao huu kusiwe na pesa ambazo zinatoka nje ya mfumo huu
mheshimiwa naibu spika pia katika kanuni tuhakikishe inaweka adhabu kali kwa wale ambao watakiuka sheria ambayo leo tunaipitisha kwa hiyo wale watu wapate adhabu kali na sheria isimamie sawasawa
mheshimiwa naibu spika lakini serikali mtandao itatusaidia pia zamani mafaili yalikuwa yanapotea kumbukumbu na nyaraka zote zilikuwa zinapotea lakini kwa hili hata wastaafu hawatapata shida kwa sababu itakuwa zimeingia kwenye data kiasi ambacho kazi yake itakuwa ni rahisi kwa serikali pia hata mtu anapostaafu anapata haki yake sawa
mheshimiwa naibu spika pia niombe sheria hii isaidie kudhibiti udukuzi ambao upo sasa hivi kwenye mitandao kwa sababu mamlaka ukishapewa sasa hukaimu wala siyo wakala kwa hiyo utafanya kazi ambayo ni ya uhakika kiasi ambacho itatusaidia kwa mfano sasa hivi usajili wa ajira usajili wa wanafunzi imekuwa rahisi hata kijijini sisi tulipata uelewa huo hata kijijini watu wamesajili kwenda chuo kikuu kupata ajira na kwenda jkt kwa hiyo sheria hii ikisimamiwa vizuri na mamlaka waliopewa nina imani sasa tutasonga mbele na tutakwenda sawasawa hatujachelewa mambo mengi yamechelewa lakini ni kwa sababu walikuwa wakala lakini sasa kuna mamlaka kazi kubwa itafanyika kiasi ambacho serikali itakuwa imetendea haki wananchi wote (makofi)
mheshimiwa naibu spika baada ya kusema hayo niipongeze sana serikali kwa kukubali kuuleta muswada huu nimpongeze ag pia kwa kukubali yale masahihisho ambayo tumeyapeleka sisi wabunge lakini ameyafanyia kazi na yamepita (makofi)
mheshimiwa naibu spika baada ya kusema hayo naunga mkono hoja asilimia 100 ahsanteni sana (makofi) | 2020-01-29T18:48:43 | https://www.bunge.go.tz/polis/members/158/contributions |
diwani wa wadi ya magomeni akusudia kutowa huduma ya kupima joto la mwili wananchi wa wadi yake zanzinews
home jamii matukio diwani wa wadi ya magomeni akusudia kutowa huduma ya kupima joto la mwili wananchi wa wadi yake
diwani wa wadi ya magomeni akusudia kutowa huduma ya kupima joto la mwili wananchi wa wadi yake
natakdir suweid
diwani wa wadi ya magomeni ali haji haji amesema anakusudia kuweka utaratibu kupima joto la mwili wananchi wake mara kwa mara katika kipindi hiki cha janga la covid 19 ili wajuwe afya zao
amesema iwapo wananchi watatumia kipimo hicho wataweza kujuwa joto la mwili na kujikinga na virusi vya corona
ameyasema hayo huko kiwanja cha mpira kwa bintihamran wakati alipokuwa akitoa taarifa kwa vyombo vya habari mara baada ya kumaliza zoezi la kupima joto kwa viongozi wa wadi hiyo
amesema kipimo hicho kitaondosha usumbufu wa wananchi kukifuata masafa ya mbali na kutumia gharama
kwa upande wake katibu mwenezi wa wadi ya magomeni habiba khamis ali amesema baadhi ya wananchi wa wadi hiyo wanaishi katika maisha magumu na yakubahatisha hivyo wanahitaji kupimwa joto la mwili ili kupata uhakika wa kujuwa afya zao | 2020-05-25T15:07:19 | http://www.zanzinews.com/2020/05/diwani-wa-wadi-ya-magomeni-akusudia.html |
michuzi blog nitashirikiana na klabu za mpira kwa maendeleo ya tff madega ' if(imglength>=1) { imgtag = '
mgombea nafasi ya urais wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania (tff)iman omary madega akizungumza na waandishi wa habari jijini dar es salaam leo wakati wa kunadi sera zake kati kampeni za kuwania nafasi hiyo ambayo uchaguzi wake unatarajiwa kufanyika agosti 15 2017 mjini dodoma
mgombea nafasi ya urais wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania (tff)iman omary madega akiendelea kuzungumza na waandishi wa habari jijini dar es salaam leo | 2017-12-17T00:37:54 | https://issamichuzi.blogspot.com/2017/08/nitashirikiana-na-klabu-za-mpira-kwa.html |
aunt ezekiel siku ya kwanza kufanya mapenzi na moze iyobo tulikuwa tunaangalia tv (+video)
aunt ezekiel siku ya kwanza kufanya mapenzi na moze iyobo tulikuwa tunaangalia tv
aunt ezekiel kama nina mimba hairudi ndani itatoka nje | 2018-02-18T08:29:53 | http://richard-mwaikenda.blogspot.com/2016/12/aunt-ezekiel-siku-ya-kwanza-kufanya.html |
december 2014 tuwaambie
posts home select month march 2018 (17) february 2018 (7) january 2018 (1) december 2017 (3) november 2017 (204) october 2017 (56) september 2017 (5) august 2017 (2) may 2017 (1) march 2017 (6) february 2017 (4) january 2017 (1) november 2016 (5) september 2016 (1) august 2016 (1) may 2016 (2) april 2016 (3) march 2016 (2) february 2016 (5) january 2016 (9) december 2015 (5) september 2015 (1) july 2015 (2) june 2015 (4) may 2015 (4) april 2015 (3) march 2015 (9) february 2015 (2) january 2015 (6) december 2014 (13) november 2014 (6) october 2014 (11) september 2014 (2) august 2014 (4) july 2014 (7) june 2014 (17) may 2014 (26) april 2014 (1)
tuwaambie select category advertisements (252) alerts (252) dini (252) entertainment (252) feeds (420) news (253) pesa_mtandao (21) uncategorized (16) views (252)
tuwaambie select month march 2018 (17) february 2018 (7) january 2018 (1) december 2017 (3) november 2017 (204) october 2017 (56) september 2017 (5) august 2017 (2) may 2017 (1) march 2017 (6) february 2017 (4) january 2017 (1) november 2016 (5) september 2016 (1) august 2016 (1) may 2016 (2) april 2016 (3) march 2016 (2) february 2016 (5) january 2016 (9) december 2015 (5) september 2015 (1) july 2015 (2) june 2015 (4) may 2015 (4) april 2015 (3) march 2015 (9) february 2015 (2) january 2015 (6) december 2014 (13) november 2014 (6) october 2014 (11) september 2014 (2) august 2014 (4) july 2014 (7) june 2014 (17) may 2014 (26) april 2014 (1)
feeds select category advertisements (252) alerts (252) dini (252) entertainment (252) feeds (420) news (253) pesa_mtandao (21) uncategorized (16) views (252)
dakika za mwisho advertisements continue reading dakika za mwisho
toa hoja yako continue reading dakika za mwisho
mungu ni mwema kumekucha
basi nawe uwe mwingi wa shukrani na uchaji ukimtanguliza mungu kwa kila jambo continue reading mungu ni mwema kumekucha
kwa heri 2014 karibu 2015
na tumshuru kwa kutufikisha tarehe hii ni wiki ya tathmini ya kufanikiwa au kutofanikio kwa yale tuliyojipangia kwa mwaka 2014 continue reading kwa heri 2014 karibu 2015
uchafu mtandaoni
[more than too muchfb] haingii akilini kuona na kusoma mada za mipako na vijembe picha za minada ya ngono matusi continue reading uchafu mtandaoni
zoezi la uchaguzi linaendelea vizuri
zoezi la uchaguzi katika kituo cha viwandani shule ya msingikitongoji cha wiligwamabu kijijini ibadakuli shinyanga(m) linaendelea vizuri na watu wamejitokeza continue reading zoezi la uchaguzi linaendelea vizuri
utaratibu huu wa upigaji kura una kasoro
kama ilivyo kawaida wengi wa wapiga kura hupendelea kuwahi vituoni ili wapige kura mapema ili waweze kwenda katika shughuli zao continue reading utaratibu huu wa upigaji kura una kasoro
usiku wa uchaguzi
usiku huu ni usiku wa uchaguzi kila kona ni ajenda za uchaguzi tu kwenye kahawa uchaguzi tu kwenye vijiwe vya continue reading usiku wa uchaguzi
hiyo ndiyo pombe
ukisikia pombe chezea pengine unaweza kutoka kwako ukiwa unangaa na haiba ya hali ya juu lakini baada ya muda unakuwa continue reading hiyo ndiyo pombe
kikasha cha maisha
kikasha cha maisha kimebeba wadudu wa kila aina wanaoliwa na wasioliwa pambana kikamilifu continue reading kikasha cha maisha
huko nako presha tu
wiki hii imekuwa ni wiki ya presha kupandashuka kwa wote akinamimi na naniii damudamu ni wiki yenye wikendi ya presha continue reading huko nako presha tu
nsolo s stephen continue reading nsolo s stephen
jielewe uelewe kueleweka
kufanya mambo bila kuelewa jambo hilo lina maslahi gani kwa nani lini na kwa nini kutakugharimu ni muhimu utambue unataka continue reading jielewe uelewe kueleweka | 2018-03-17T20:08:26 | https://nsolo14stif.wordpress.com/2014/12/ |
the superstars tz pata habari kuhusu msiba wa moses kolola ambao upo temeke katika kanisa la eagt
pata habari kuhusu msiba wa moses kolola ambao upo temeke katika kanisa la eagt
kwa wale ambao bado hawajajua taratibu za msiba wa askofu mkuu wa makanisa eagt moses kolola aliyefariki jana saa tano katika hosptali ya africa madical investment(ami)jijini daresalam ambapo mtumishi huyu wa mungu alianza kuugua na kupelekwa katika hoptali ya rufaa ya bugando huko jijini mwanza na hali ilipokuwa mbaya ndipo walipomuhamishia na kumpeleka katika hosptali ya apolo huko nchini india na baadae kurudi akiwa katika hali nzuri
ila baadae agost 16 hali ya askofu moses kolola ilibadilika tena na kuwaq mbaya na hapo ndipo walipompeleka katika hosptali ya africa madical ivastment(ami) ya jijini daresalam hadi mauti ilipomkuta
mwili wa askofu huyo utaagwa katika eagt viwanja vya temeke siku ya jumamosi na baadae utasafirishwa kuelekea mwanza kwa mazishitaarifa zaidi tutazidi kuwaletea ila kwa sasa waombolezaji wote mnatakiwa kufika temeke katika kanisa la eagt
bado waandishi wa thesuperstarstz wapo eneo hilo na muda si mrefu watatuletea kila litakalojiri huko endelea kuwa nasisi | 2017-01-22T01:52:44 | http://thesuperstarstz.blogspot.com/2013/08/pata-habari-kuhusu-msiba-wa-moses.html |
yanga kilio kombe la shirikisho afrika na tp mazembe mwendo kasi seetheafricanlink
home / michezo / yanga kilio kombe la shirikisho afrika na tp mazembe mwendo kasi
yanga kilio kombe la shirikisho afrika na tp mazembe mwendo kasi
mabingwa wa ligi kuu ya vodacom na wawakilishi pekee katika ukanda wa afrika mashariki klabu ya yanga imeanza vibaya katika hatua ya makundi ya kombe la shirikisho barani afrika baada ya kupokea kichapo cha bao moja bila majibu toka kwa wenyeji timu ya mo bejaia
mchezo ulianza kwa kasi huku wenyeji wakilisakama lango la wageni kama nyuki mnamo dakika ya 18 wenyeji walipata bao kwa shuti kali na baada ya kuingia kwa bao hilo yanga waliliandama lango la mo bejaia mara kwa mara umakini kutoka kwa washambuliaji waliokuwa wanaongozwa na ngoma na tambwe walishindwa kutumia vizuri nafasi hizo
yanga walipata pigo baada ya beki wao kuumia osca joshua na nafasi yake ilichukuliwa na haji mwinyi hadi mapumziko mo bejaia walikuwa wanaongoza bao 10
kipindi cha pili kilianza na mnamo dakika ya 8 mpira ulisimama kutokana na mashabiki kuwasha maguruneti na kumulika tochi kwa mlinda mlango wa yanga na dakika ya 89 haji mwinyi alioneshwa kadi nyekundu hadi dk 90 mo bejaia wameibuka na ushindi wa 10
na matokeo mengine katika kundi hilo tp mazembe wakiwa nyumbani wameutumia vyema uwanja wao kwa kuwafunga madeama toka ghana kwa mabao 31
yanga watalazimika kuzikata kilomita 6120 kurejea kwao tanzania kabla ya kujipanga kukutana na kisiki kingine tp mazembe ya drc katika uwanja wa taifa jijini dar es salaam siku ya jumanne au jumatano kati ya 28/29 | 2018-06-20T13:17:23 | http://www.seetheafrica.com/2016/06/yanga-kilio-kombe-la-shirikisho-afrika.html |
kiwanda cha vigae kujengwa mkuranga bbc swahili
kiwanda cha vigae kujengwa mkuranga
http//wwwbbccom/swahili/habari39148505
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli ameweka jiwe la msingi la kiwanda cha kutengeneza vigae (tiles) cha kampuni ya goodwill tanzania ceramic limited kilichopo katika wilaya ya mkuranga mkoani pwani
kiwanda hicho kikubwa afrika mashariki na kati ambacho ujenzi wake umegharimu dola za marekani milioni 50 kwa awamu ya kwanza kitakuwa na uwezo wa kuzalisha mita za mraba 80000 za vigae kwa siku kitazalisha ajira za moja kwa moja 1000 na ajira zisizo za moja kwa moja 2000akizungumza kabla ya kuweka jiwe la msingi la kiwanda hicho katibu mkuu wa wizara ya viwanda biashara na uwekezaji dkt adelhelm meru amesema pamoja na kiwanda hicho tangu serikali ya awamu ya tano iingie madarakani jumla ya viwanda 2169 vinavyojumuisha viwanda vidogo vya kati na vikubwa vimesajiliwa na kituo cha uwekezaji tanzania (tic) na vipo katika hatua mbalimbali za kukamilika
naye balozi wa china nchini tanzania dkt lu youqing amempongeza mhe rais magufuli kwa kutilia mkazo juhudi za kukuza uchumi zilizowezesha tanzania kuwa miongoni mwa nchi zenye uchumi unaokuwa kwa kasi kubwa barani afrika na amebainisha kuwa china itaendelea kushirikiana na tanzania kuendeleza uwekezaji nchini tanzania ikiwemo kujenga viwandakwa mujibu wa takwimu za tic mpaka mwisho wa juni 2016 uwekezaji wa moja kwa moja kutoka china umefikia dola za marekani bilioni 66 na umezalisha ajira za moja kwa moja kwa watanzania 150000 na zisizo za moja kwa moja 450000 na kiwanda hiki cha goodwill tanzania ceramic limited kimejengwa na wawekezaji kutoka china vipo viwanda vingine vingi vinajengwa mbunge wa mkuranga amesema kuwa kuna viwanda zaidi ya 50 vya wachina vinavyojengwa mkuranga na kusema kwamba amefurahi kuona karibu kila sekta watanzania wanafurahia ushirikiano wa tanzania na china amesema balozi dkt lu youqingakizungumza baada ya kutembelea kiwanda hicho mhe rais magufuli ameishukuru menejimenti ya kiwanda hicho kwa uwekezaji huo na ameelezea kufurahishwa kwake na kutumika kwa teknolojia ya kuyeyusha mchanga wa kutengenezea vigaekufuatia kujionea mwenyewe teknolojia hiyo dkt magufuli amepiga marufuku usafirishaji wa mchanga wa madini nje ya nchi na ametaka mchanga wote ufanyiwe uyeyushaji hapa hapa nchininchi hii tumechezewa vya kutosha sasa nyinyi hapa mnayeyusha mchanga kwa kuuchemsha hadi nyuzi joto 1000 wakati wengine wanasafirisha mchanga nje ya nchi wakati uchemshaji wake hauhitaji kufika hata nyuzi joto 1000 naiagiza wizara ya viwanda biashara na uwekezaji na wizara ya nishati na madini kuwa kuanzia sasa ni marufuku kusafirisha mchanga nje ya nchi amesisitiza mhe rais magufulibaada ya kuweka jiwe la msingi la kiwanda cha kampuni ya goodwill tanzania ceramic limited rais magufuli ameendelea na ziara yake kwa kuzungumza na wananchi wa ikwiriri na kupokea kero zao ambapo ameigiza mamlaka ya maji katika mji huo kuhakikisha mradi wa maji uliojengwa tangu mwaka 2015 kwa gharama ya shilingi bilioni 5 unaanza kutoa maji kabla ya mwisho wa mwezi huu na pia amepiga marufuku utozaji wa ushuru kwa wafanyabiashara wadogowadogo wa mazaorais magufuli pia amepokea kero za wananchi wa somanga nangurukuru na mchinga moja na huko kote amewataka wananchi kufanya kazi kwa bidii ikiwemo kuzalisha mazao ya chakula cha kutosha huku akiweka bayana kuwa serikali haitatoa chakula cha msaada kwa watakaopatwa na njaa ilihali wanaweza kuzalisha chakula katika maeneo yaonajua mmezoea kusikia maneno mazuri mazuri kuwa hakuna atakayekufa kwa njaa sasa mimi nasema usipofanya kazi usipolima mazao na kupata chakula wakati mvua inanyesha serikali haitatoa chakula cha bure kwa wenye njaa ni lazima tufanye kazi sasa hivi mvua zinanyesha limeni mazao ya chakula amesisitiza rais magufuliaidhadkt magufuli amewaagiza viongozi wa mkoa wa lindi kushughulikia migogoro ya wakulima na wafugaji iliyoanza kuibuka mkoani humo ameahidi kutoa shilingi milioni 20 kusaidia ujenzi wa zahanati ya somanga amewaagiza viongozi wa halmashauri ya wilaya ya kilwa kujenga kituo cha mabasi cha nangurukuru na pia amemuagiza mganga mkuu wa mkoa wa lindi kwa kushirikiana na mbunge wa jimbo la mchinga mhe hamidu bobali kuhakikisha anapeleka daktari katika kijiji cha mchinga moja ili kutatua kero ya wananchi kukosa huduma ya matibabu | 2017-05-25T06:10:39 | http://www.bbc.com/swahili/habari-39148505 |
majonzi nchini kenya kufuatia mauaji ya alshabaab lekule blog
home kimataifa news majonzi nchini kenya kufuatia mauaji ya alshabaab
majonzi nchini kenya kufuatia mauaji ya alshabaab
rais uhuru kenyatta akihutubia taifa baada ya mkasa wa mauaji dhidi ya wanajeshi wa nchi hiyo kusini magharibi mwa somalia
miili ya wanajeshi wa jeshi la ulinzi la kenya (kdf) waliouwawa nchini somalia imepokelewa kwa heshima zote za kijeshi nchini kenya huku operesheni kubwa ya kuwakomboa wenzao walionusurika ikiendelea
waziri wa ulinzi wa kenya raychelle omamo ndiye aliyeongoza ujumbe wa serikali katika kuzipokea maiti za wanajeshi hao zilipowasili kwenye uwanja wa ndege jijini nairobi huku pia kukifanyika utaratibu maalum wa kutoa heshima za kijeshi
akizungumza kwa huzuni kubwa omamo aliwaomba wakenya waendelee kuwa na subira wakati shughuli za kuwakomboa wanajeshi wengine zikiendelea alisema pia juhudi za kuipata miili zaidi ya wanajeshi waliouwawa zinaendelea ili nayo irejeshwe nyumbani kwa mazishi rasmi
''huu ni wakati wa majonzi kwa jeshi la kenya na kwa taifa letu kwa ujumla kwa mara nyingine tungependa kutoa shukurani zetu kwa wakenya wanaotuunga mkono kwa upendo wao katika kipindi hiki kigumu kwa wanajeshi wetu na familia zao kama nilivyowaeleza awali shughuli ya kuwatafuta na operesheni ya uokozi zinaendelea na tunatarajia kuwapokea wanajeshi wetu zaidi kadri siku zinavyokwenda''
hata hivyo waziri huyo wa ulinzi hakutoa idadi kamili ya wanajeshi wa kdf waliouwawa ingawa ameweka wazi kwamba wanategemea maiti zaidi kambi ya jeshi la umoja wa afrika (amisom) kusini magharibi mwa somalia ilishambuliwa na wapiganaji wa alshabaab mapema ijumaa likiwa ni tukio la hivi karibuni kabisa kwa amisom kushambuliwa ndani ya somalia
alshabaab yadai kuuwa wanajeshi 100
licha ya serikali ya kenya kutosema idadi ya wanajeshi wake waliouwawa kujeruhiwa au kutoweka siku ya jumapili kundi hilo la alshabaab lilitoa taarifa likisema zaidi ya wanajeshi 100 wa kenya waliuwawa na wengine kushikiliwa mateka
katika taarifa yake rais uhuru kenyatta wa kenya alisema kundi hilo halitopata muda wa kupumua huku akiapa kwamba nchi yake italipiza kisasi ingawa haijafahamika hadi wakati huu ikiwa wanajeshi wa kdf walioko somalia wameifikia kambi hiyo inayoshikiliwa na wanamgambo wa alshabaab
kadhalika alshabab limetoa kanda mbili za sauti zilizorekodiwa likidai wanajeshi kadhaa wanashikiliwa mateka na tovuti zao ndani ya somalia zikitaja wanajeshi 12 kuwa ndio wanaoshikiliwa
waziri mkuu wa somalia omar abdirashid sharmake amelaani mashambulizi hayo akisema ni kitendo cha kinyama huku pia akituma salamu za rambirambi kwa familia za wanajeshi waliouwawa
umoja wa ulaya ambao ni mfadhili mkubwa wa kikosi cha amisom umelaani pia mashambulizi hayo ukisema ni jaribio jingine la kuuhujumu mchakato wa kisiasa kuelekea somalia thabiti yenye usalama
majonzi nchini kenya kufuatia mauaji ya alshabaab reviewed by sostenes lekule on wednesday january 20 2016 rating 5 | 2018-01-18T07:28:51 | https://sosteneslekule.blogspot.com/2016/01/majonzi-nchini-kenya-kufuatia-mauaji-ya.html |
video serikali inafanya jitihada lakini haina majibu sahihi jumaa aweso millardayocom
video serikali inafanya jitihada lakini haina majibu sahihi jumaa aweso
kutokea bungeni dodoma mkutano wa saba umeendelea tena ambapo katika kipindi cha maswali na majibu moja ya wabunge walisikika ni pamoja na mbunge wa pangani jumaa aweso aliyehoji mkakati wa serikali kuboresha zao la mnazi kulingana na uhitaji wake duniani majibu yakatolewa na naibu waziri wa kilimo mifugo na uvuvi william ole nasha
related itemsbungenidodomahabari daily
← previous story video mwongozo uliotolewa bungeni baada ya mauaji ya askari 8
next story → video utani wa spika ndugai kuhusu team iliyofungwa 40 | 2020-02-25T16:34:06 | https://millardayo.com/awexxso/ |
050du'aa za nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم) kujikinga kushindwa hila kutokuwa na uvivu uoga ubahili kutokudhoofika adhabu za kaburi fitnah za uhai na mauti | alhidaayacom
ukurasa wa kwanza /du'aa za nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم) /050du'aa za nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم) kujikinga kushindwa hila kutokuwa na uvivu uoga ubahili kutokudhoofika adhabu za kaburi fitnah za uhai na mauti
050du'aa za nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم) kujikinga kushindwa hila kutokuwa na uvivu uoga ubahili kutokudhoofika adhabu za kaburi fitnah za uhai na mauti
kujikinga kutokana na kushindwa hila kutokuwa na uvivu uoga
ubahili kutokudhoofika kinga ya adhabu za kaburi na fitnah za uhai na mauti
050ee allaah hakika mimi najikinga kwako kutokana na kushindwa hila na uvivu
اللَّهُمَّ إِنِّي أَعُوذُ بِكَ مِنْ الْعَجْزِ وَالْكَسَلِ وَالْجُبْنِ وَالْبُخْلِ وَالْهَرَمِ وَأَعُوذُ بِكَ مِنْ عَذَابِ الْقَبْرِ وَأَعُوذُ بِكَ مِنْ فِتْنَةِ الْمَحْيَا وَالْمَمَاتِ
allaahumma inniy auwdhu bika minalajzi walkasali waljubni walbukhli walharami wa auwdhu bika min adhaabilqabri wamin fitnatilmahyaa walmamaati
ee allaah hakika mimi najikinga kwako kutokana na kushindwa hila na kutokuwa na uvivu na uoga na ubahili na kutokudhoofika [kutokana na uzee] na najikinga kwako adhabu ya kaburi na najikinga kwako fitnah za uhai na mauti
[albukhaariy muslim]
‹ 049du'aa za nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم) kuomba kinga ya kila shari kulipiwa madeni na kinga ya ufakiri up 051du'aa za nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم) kinga ya kushindwa hila kuomba taqwa ya nafsikinga ya elimu isiyonufaisha moyo usionyeyekea nafsi › | 2020-06-04T14:53:31 | http://www.alhidaaya.com/sw/node/8322 |
nunua 28yrs unisex katuni ya panya katuni laiti ya kiuno ⭐⭐⭐⭐ usafirishaji wa bure na ushuru | woopshop ®
28yrs unisex cartoon mouse elastic kiuno jeans suruali
mtoto wa marekani kuchagua chaguo2t3t4t5t6t7t wazi
28yrs unisex katuni ya panya ya kiuno laini
sku 32539565853 jamii super deals wasichana wavulana
brand name hadithi za watoto
item aina jeans
sinema novelty
osha mwanga
model idadi 6622
10 mapitio kwa 28yrs unisex cartoon mouse elastic kiuno jeans suruali
wateja juni 16 2017
saizi 7 juu ya ukuaji wa 120 urefu wa kitako hadi kwenye vijembe na kwa kuongeza sisi sio ngozi tunaonekana kama jeans na sio mpenzi na mkali sana
e ******* b juni 15 2017
jeans nzuri sana zilikuja haraka na zawadi ndogo nzuri sana
mimi *** a juni 4 2017
suruali nzuri ya ukubwa wa jeans m lakini papa aliketi kama inavyopaswa (tunayo kwenye diapers)
*** v huenda 12 2017
jeans ni nzuri kunyoosha kunyoosha nzuri usafirishaji kwenda kwa wiki za 2 za moscow zinahusiana na maelezo juu ya ukuaji wa watoto 105 cm ilichukua 120 cm urefu mzuri saizi pia lakini tuko thabiti kuna kamba ndogo kwenye kiuno lakini sio muhimu kuridhika na ununuzi applique nzuri isipokuwa mfuko wa nyuma kuna blur
s ******* a t huenda 7 2017
jeans ni ya ajabu imefurahishwa sana na agizo na kusoma maoni lakini bado haikutarajia kwa pesa hiyo ubora ni laini vizuri mfano mzuri razmer m juu ya mtoto miaka mitatu (urefu 9394 cm konda) angalia vizuri kuna sehemu ndogo katika viuno na urefu lakini haonekani kwa hivyo inaweza kuwa mwaka huu kuhara na ijayo yatatosha na alikuwa kamili unahitaji kuagiza ukubwa sio malomeryat v belarusi ilikuja siku za 18 koroche wote super spasibo picha kidogo ya kupotosha rangi
y *** a t huenda 6 2017
asante ubora ni bora kuvaa sasa kwa ukuaji
m *** m mimi huenda 4 2017
nilifunga ndoa kufunguliwa malumbano sijui ni pesa au sio
a ****** y aprili 25 2017
niliamuru 28марта iliyotumwa aprili 7 ilikuja aprili 25 haraka nyota haitajitenga ukuaji wa mtoto ulichukua 114 t pembezoni mahali fulani 5 cm jezi za otlichnye asante duka
d ***** y m januari 16 2017
ubora mzuri umevunjika huko belarusi kuhusu wiki za 3 picha za kuchekesha na mickey bidhaa nzuri yenye thamani ya bei
** b desemba 25 2016
suruali nzuri ilimchukua mtoto katika umri wa miaka 4 na kiwango kidogo sana chini napenda kwa uhuru zaidi asante
kifahari knitted side split midi bodycon mavazi
long beach blouse sexy bikini funika up
vifuniko vya majira ya baridi ya majira ya nje vipande vya ufungashaji wa mbolea
mwelekeo wa mguu wa mguu wa mwelekeo unaonyesha mechi ya majira ya usiku na kamba
sleeve long sleeve slim fit denans jeans mens shirt
kawaida ya unyex high canvas breathable flat sneakers | 2020-08-15T01:22:41 | https://sw.woopshop.com/product/2-8yrs-unisex-cartoon-mouse-elastic-waist-jeans-trousers/ |
je kweli habari njema imetoka kwa mungu | habari njema
kibaline
kichamorro
kilovari
kimakasae
kimambae (ermera)
kirumanyo
kiwarao
kiyukpa
lugha ya ishara kiserbia
lugha ya ishara ya albania
lugha ya ishara ya austria
lugha ya ishara ya guatemala
lugha ya ishara ya honduras
lugha ya ishara ya kijerumani cha uswizi
lugha ya ishara ya korea
lugha ya ishara ya latvia
lugha ya ishara ya madagascar
lugha ya ishara ya panama
lugha ya ishara ya salvador
lugha ya ishara ya sweden
1 ni nani aliyeitunga biblia
habari njema ya kwamba watu wataishi milele duniani imeandikwa katika biblia (zaburi 3729) biblia ina vitabu vidogo 66 mungu alitumia wanaume waaminifu 40 hivi kuiandika biblia vitabu vitano vya kwanza viliandikwa na musa miaka 3500 hivi iliyopita kitabu cha mwisho kiliandikwa na mtume yohana zaidi ya miaka 1900 iliyopita waandikaji wa biblia waliandika mawazo ya nani mungu aliwasiliana na waandikaji wa biblia kwa kutumia roho yake takatifu (2 samweli 232) waliandika mawazo ya mungu si yao wenyewe kwa hivyo yehova ndiye mtungaji wa bibliasoma 2 timotheo 316 2 petro 120 21
2 tunawezaje kuwa na hakika kwamba yale yaliyoandikwa katika biblia ni ya kweli
tunajua kwamba biblia ilitoka kwa mungu kwa sababu inatabiri kwa usahihi kabisa mambo ya wakati ujao hakuna mwanadamu anayeweza kufanya hivyo (yoshua 2314) ni mungu mweza yote pekee anayeweza kutabiri kwa usahihi wakati ujao wa mwanadamusoma isaya 429 4610
bila shaka tungetarajia kitabu kutoka kwa mungu kiwe cha pekee na hivyo ndivyo biblia ilivyo mabilioni ya biblia yamegawanywa katika mamia ya lugha ijapokuwa iliandikwa zamani biblia inapatana na sayansi pia waandikaji wake 40 hawapingani * zaidi ya hilo biblia inadhihirisha waziwazi upendo wa mungu na pia ina nguvu za kubadili maisha ya watu mambo hayo ya hakika yanawathibitishia mamilioni ya watu kuwa biblia ni neno la mungusoma 1 wathesalonike 213
3 biblia ina ujumbe gani
biblia hukazia habari njema ya kwamba mungu ana kusudi lenye upendo kuelekea wanadamu maandiko yanafafanua jinsi pendeleo la mwanadamu la kuishi katika dunia paradiso lilivyopotezwa na jinsi paradiso itakavyorudishwa hatimayesoma ufunuo 214 5
pia neno la mungu lina sheria kanuni na mashauri zaidi ya hayo biblia inafunua utu wa mungu inaposimulia jinsi alivyoshughulika na wanadamu hivyo biblia inaweza kukusaidia kumjua mungu inaeleza jinsi unavyoweza kuwa rafiki yakesoma zaburi 197 11 yakobo 223 48
4 unaweza kuielewa biblia jinsi gani
broshua hii itakusaidia kuielewa biblia kwa kutumia njia ileile ambayo yesu alitumia alirejelea maandiko na kufafanua maana ya maandikosoma luka 2427 45
habari njema kutoka kwa mungu ni yenye kusisimua sana hata hivyo watu fulani hawapendezwi nayo na wengine hata wanachukizwa nayo usivunjike moyo tumaini lako la kufurahia uzima wa milele linategemea kumjua mungusoma yohana 173
^ fu 3 ona broshua kitabu kwa ajili ya watu wote | 2017-07-26T09:30:24 | https://www.jw.org/sw/machapisho/vitabu/habari-njema-kutoka-kwa-mungu/habari-njema-katika-biblia-kutoka-kwa-mungu/ |
kigogo coastal union ajiuzulu afunguka ataja sababu saleh jembe
» kigogo coastal union ajiuzulu afunguka ataja sababu
kigogo coastal union ajiuzulu afunguka ataja sababu
wakati hali ya mambo ikiwa haijakaa vizuri ndani ya klabu ya coastal union ya tanga ambayo ilishuka daraja msimu uliopita kutoka ligi kuu bara hadi ligi daraja la kwanza kaimu katibu mkuu wa coastal union salim bawaziri amejiuzulu nafasi hiyo akidai ni baada ya kuona muda wa kufanya hivyo umefika
akizungumza na championi jumatatu bawaziri alisema ameamua kufanya hivyo baada ya kuona mambo ndani ya kuona mambo ndani ya timu hiyo yanakwenda vizuri na timu ipo chini ya uongozi makini kwa sasa kuliko hapo awali
kikosi cha coastal cha mwaka jana kama ningeamua kuchukua maamuzi haya hapo nyuma wakati viongozi wa timu hata hawajulikani ningekuwa sijafanya vizuri na nafsi yangu ingesononeka kwa sababu naipenda coastal alisema bawaziribawaziri amesema ameshamwandikia barua mwenyekiti wa klabu hiyo ibrahim twaha lakini hajapata jibu lolote kutoka kwake kwa kuwa hivi sasa yupo kwenye ibada ya hijja jijini makka oman hakuna kiongozi yeyote wa coastal aliyejitokeza kuzungumzia suala hilo | 2017-05-22T19:20:24 | https://salehjembe.blogspot.com/2016/09/kigogo-coastal-union-ajiuzulu-afunguka.html |
wafanyakazi waongoza kwa magonjwa ya akili | east africa television
wafanyakazi waongoza kwa magonjwa ya akili
jumatano 10th oct 2018
siku ya afya ya akili duniani huadhimishwa tarehe 10oktoba ya kila mwaka ambapo kauli mbiu ya shirika la afya duniani (who) mwaka huu ni vijana na afya ya akili katika ulimwengu wa mabadiliko kwa mujibu wa who zaidi ya watu milioni 35 duniani wanaishi na magonjwa ya akili yanayotajwa
submitted by martha on jumatano 10th oct 2018
kusababishwa na matumizi ya madawa ya kulevya unyanyapaa na umasikini uliopitiliza
katika kuangalia suala la ugonjwa wa akili leo tunaangazia jinsi gani wafanyakazi wanavyoathiriwa na matatizo ya afya ya akili katika mazingira yao ya kazi
ambapo wwweatvtv imemtafuta mtaalamu na mwana saikolojia wa afya ya magonjwa ya akili kutoka chuo kikuu cha dar es salaam bi neema mwankina ambaye amesema kuwa maeneo mengi ya kazi waajiriwa hukumbwa na ugonjwa huo kutokana na mawazo pamoja na mrundikano wa kazi nyingi pasipo kupata muda wa kupumzisha akili
hali kama hii inawatokea watu wengi sana maeneo ya kazini lakini wengi wao wameshindwa kujigundua kama wana tatizo la afya ya akili utakuta kila siku bosi anakuita anakuambia hufanyi vizuri lakini utakuta wewe unajiona unafanya kazi kwa ufanisiunaamua kujitathimini na kufanya kazi kwa bidii lakini bado unaambiwa perfomance (utendaji wa kazi) yako ni mbovu hapo ndo unakumbwa na msongo wa mawazo hali inayopelekea ugonjwa wa akili amesema bi mwankina
aidha bi mwankina amesema waafrika wengi wana dhana potofu ya kuhusisha maswala ya kazi na ushirkina bila kujua hali hiyo mara nyingi huchangiwa na suala la ugonjwa wa akili
maeneo mengi sana sio ya kazini peke yake hata kwenye biashara utakuta watu wanafanya kazi wanakosa wateja hakuna wanunuzi na hawaendelei kibiashara hasa pale akiona mtu wake wa karibu anafanikiwa kila kukicha sasa hali hiyo ndio inapelekea mtu kujihisi kwamba fulani ameniroga bila kujua kwamba unamatatizo ameongeza
ili kutokumbwa na msongo wa mawazo unaopelekea kupata ugonjwa wa akili maeneo ya kazi bi mwankina amasema ni lazima kwa wafanyakazi kujitengea muda wa kuchunguza hali zao kujitathimini kiafya na kuwataka kulipa kipaumbele suala la afya ya akili kwani imekuwa ni tatizo kubwa linaloweza kupelekea kifo endapo halitotatuliwa mapema | 2019-05-26T08:03:50 | https://www.eatv.tv/news/life-style/wafanyakazi-waongoza-kwa-magonjwa-ya-akili |
kupunguza ujumbe au kuchunguza ziara za kikwete | jamiiforums | the home of great thinkers
discussion in 'jukwaa la siasa' started by mpayukaji feb 29 2012
tahariri ya gazeti hili ya tarehe 22 februari si ya kupuuza suala ililolenga na kuliongelea ni muhimu sana kwa mustakabali wa uchumi wa tanzania na watu wake kwa ufupi ni kwamba tahariri tajwa ilibeba kichwa cha msafara wa rais nje upunguzwe
mhariri alimuonea aibu rais jakaya kikwete kwa kutaka msafara wake upunguzwe kimsingi msafara wa rais kikwete si wa kupunguzwa bali kuchunguzwa na kuwekewa masharti kama rais hana nidhamu ya matumizi wa chini yake wataipata wapi maana pesa anayofuja na marafiki zake huko nje si zake bali za mlipa kodi maskini wa nchi hii
hapa ndipo mzizi wa umaskini wa nchi yetu lazima waliomwajiri (walipa kodi) wajue aina ya watu anaoandamana nao na kwanini
kwa nchi yetu ilivyooza tusipozuia mchezo huu wa matumizi ya hovyo yasiyoangalia hali halisi ya kiuchumi tutashtukia tukiwa tunalipia misafara sawa na ile ya akina mobutu seseseko iliyojazana marafiki waramba viatu na wanafamilia ya mwizi huyu wa zamani wa drc
niliwahi kuhoji ni kwanini msafara wa rais siku hizi umekuwa hata siri ni juzi tu nilijua kuwa aliandamana na watu 40 mara nyingi idadi ya anaoandamana nao inakuwa siri mbona wakati wa mwalimu julius nyerere licha ya kufanya ziara chache ujumbe aliokuwa akiandamana nao ulikuwa ukitangazwa
rais kikwete amelalamikiwa mara nyingi ila ameziba masikio amefikia kuitwa majina ya ajabu ajabu kama mtalii vasco da gama na mengine mengi kutokana na mapenzi yake ya kusafiri nje hata wakati akihitajika kutoa maelezo na uongozi nchini nani mara hii kasahau alivyokwenda kwenye mkutano wa uchumi wa davos nchini uswizi wakati wa mgomo wa madaktari uliosababisha vifo vya watu wengi
kwanini rais hataki kujua na kukubali kuwa ziara zake nje ni chanzo kimojawapo cha umaskini wa taifa letu na mfadhaiko wa uchumi je ni kwanini rais anajali sana safari za nje badala ya watanzania wenye dhiki nyingi za kutengenezwa na utawala mbovu uliokumbatia ufisadi na matanuzi je rais anafanya hivi kwa faida ya nani
kwa wanaokumbuka shutuma zilizompata waziri mkuu wa zamani fredrick sumaye alipotumia zaidi ya shilingi 500000000 kwenye ziara yake ya marekani wajaribu kufikiri je rais anatumia kiasi gani kwa ziara moja ughaibuni iwapo waziri mkuu zama zile wakati mfumko wa bei na gharama za maisha vilikuwa chini anatumia kiasi gani kwa sasa
kwa mujibu wa taarifa za siri za kiuchunguzi kufikia tarehe 9/9/2011 rais aliposafiri kwenda kenya kwa ziara ya kikazi alikamilisha ya 316 tangu aingie madarakani mwaka 2005
hii maana yake ni kwamba tangu rais kikwete aingie madarakani mwaka 2005 amekwisha kusafiri nje zaidi ya mara 300 hii ukigawanya kwa miaka sita ambayo amekuwa madarakani ni kwamba kila mwaka amekuwa akisafiri mara 50 sawa na karibia mara mbili kwa mwezi au tuseme kila baada ya siku 20 je rais kama huyu anayekaa nje ya ofisi na nchi zaidi ya ofisini anafanya kazi lini
mbona marais kama ian khama wa botswana nchi yenye uchumi mzuri afrika hawasafiri kila siku mbona hapa jirani yetu rais mwai kibaki hatumsikii akiruka kila uchao kuna nini kwenye biashara hii ya ziara za ughaibuni
kwanini kikwete hataki kuona na kuukubali ukweli je hajui kuwa baada ya kuondoka madarakani hiki chaweza kuwa kikwazo kwake
inashangaza kuona taifa lenye bajeti tegemezi kwa wafadhili kwa kiasi cha 40 kuwa na rais anayesafiri sana kuliko hata wafadhili wake
ukifuatilia ziara za rais barack obama nje au waziri mkuu wa uingereza na canada nje utakuta hazifikii hata hamsini kwa mfano tangu obama aingie madarakani ni kwa utajiri upi kikwete anatanua hivi
kufikia tarehe 19/11/ 2009 rais obama alikuwa amefanya ziara 24 nje ya nchi tangu aingie madarakani na hili lilipigiwa kelele na wamarekani kwa miaka minne maana yake ni kwamba kila mwaka amefanya ziara nane kwa mwaka wakati kikwete akifanya mara zaidi ya kumi na mbili ya ziara za obama ziara za obama si siri zina hadi wikipedia yake ili anayetaka kujua aweze kujionea huu ndiyo uchumi na uwazi na ukweli na si matanuzi na maangamizi ya fedha za umma
kufikia tarehe 23/10/2010 rais mwingine anayeitwa mtalii na watu wake zuma alikuwa ameishafanya ziara 40 chini ya miaka miwili tangu kuingia madarakani hata hivyo baada ya kupigiwa kelele na wananchi wake zuma amepunguza ziara zake nje tofauti na kikwete anayeendelea kuongeza ziara zake
kwa wanaojua tabia ya kikwete hawatashangaa kutokujifunza kwake hatabadilika maana hata alipoingia madarakani aliahidi kupunguza ukubwa wa serikali hasa baraza la mawaziri alifanya nini baadaye licha ya kuunda baraza kubwa la mawaziri kuliko la mtangulizi wake aliongeza idadi ya wilaya na mikoa wakati uchumi ukiendelea kuporomoka kutokana na usimamizi mbaya na ufisadi
anachofanya kikwete sawa na mwenzake wa uganda ni kutumia pesa nyingi kuliko hata wizara nyeti
mwaka 2011 kulikuwa na kituko ambapo ikulu ya uganda iliomba jumla ya sh za uganda 5055000000 kwa ajili ya safari za rais kwa miezi saba tu huku wizara ya maji na mazingira ikitengewa sh bilioni 244 kwa mwaka 2010 na bilioni 3228 mwaka 2011 kwa ajili mishahara ya miaka miwili
wakati ikulu ikitaka bilioni hizo 5055 kwa ajili ya matanuzi ya museveni nje ikulu hiyo hiyo iliomba pia ushs bilioni 3497 kwa ajili ya matengenezo ya magari ya rais huku mafuta pekee yakigharimu ushs 120 000000
wachunguzi wa mambo wanasemea kuwa museveni alitumia jumla ya ushs bilioni 13386 ambazo ni zaidi ya mara nne ya bajeti ya maji na mazingira je kwa watawala waroho na wabinafsi kama hawa afrika inaweza kusogea mbele je hawa si chanzo kikuu cha umaskini wa watu wetu
je rais kama museveni au kikwete wanatumia pesa kiasi gani katika utawala wao wote trillions of shillings of course kuna haja ya kuchunguza bajeti inayotengwa kwa ajili ya matumizi ya kikwete
ziara za jk ni kero tupu kibaya zaidi anaogozana na marafiki zake ni matumizi mabaya ya pesa za umma na ufujaji wa kodi za walala hoi na masikini wa nchi hii
baada ya ziara za japan singapore na ethiopia kuna tetesi kuwa mwezi huu wa sita tu rais kikwete mhe dkt mohammed gharib bilal mhe mizengo kayanza peter pinda mh anne tibaijuka watafanya ziara nchi uingereza kila mmoja kwa muda tofauti | 2017-07-21T04:49:13 | https://www.jamiiforums.com/threads/kupunguza-ujumbe-au-kuchunguza-ziara-za-kikwete.228849/ |
wapi john dilinga matlou | jamiiforums | the home of great thinkers
wapi john dilinga matlou
discussion in 'celebrities forum' started by not enough jul 30 2011
jamani hivi nani anajua alipo huyu dj maarufu john dilinga alikuwa dj mzuri sana na mtangazaji wa radio one early 2000
jamani hamna anaejua
binafsi ni shabiki wake long timekwa sasa amekuwa mtu mzima mkuuanafanya shughuli zake binafsi ila muziki upo kwenye damu akipata nafasi hata kidogo tu anashusha burudani ya nguvu
pamoja na umri kwenda kidogo lakini bado yuko vizuri sana kiuwezo wa kutangaza na kupiga muziki ila inasemekana haimlipi kivile na anafanya kwa kupenda tu muziki na ndio ameamua kuzama kwenye issue zingine
john mkimbizi anapiga business zake kuna wakati alikuwa pale times fm lakini ghafla akabwaga mzigo
ni moja kati ya madj wakali sana bongo wakati fulani alikuwa na akina dj rico na kundi lao la the powerfull four
nakumbuka nimecheza disco lake pale ukumbi wa shimonimorogoro hotel
mimi nimeruka kwanja lake sana tu pale bilicanus miaka ya tisini mwishoni na vipindi vyake vingi hasa kipindi bora cha r&b na hiphop kuwahi tokea tz cha the cruz pale east africa radio
mkatabaka wake times fm uliishaanafanya mambo yake kwa sasaila soon ataendelea na shughuli za u dj ktk kumbi za burudani
ni dj mkali pekee aliyetoa albam collection iliyojaa scrtch za ujazokali za jd unakumbuka
huyu jamaa ni entertainer acha mchezojd wa redioni sio wa clubanaipenda kazi yake kutoka damuni na ana displine ya kazi haswapamoja na kazi ya u dj hatumii kilevi nafikiri imemsaidia kudumu kwenye kiwango chake
big ups jd kuna wakati pia alikuwa anakwenda kupiga pale triple a arusha he was trying to promote the club
mnakumbuka mtaa wa mangoma pale radio one enzi zilee dj jd na fast eddy
dah umenikumbusha huyu jamaa alitaka kusababisha maafa mzumbe university mwaka 2002 kwa mautundu yake kwa wale wanaokumbuka ilikuwa ni welcome 1st year
aliwahi kuitwa kutoa burudani kwa wanajeshi kambi moja ilikuwa balaa tupu kwa maafisa wa jeshi mpaka wakataka disko lisizimwe
huyu jamaa arudi redioni bana labda tutaanza tena kusikiliza radio hasa entertainment programshawa watoto wa siku hizi sijui b kumi na ngapi wanaboa tunafuu ml chriss kule choice fm nasikiliza kidogo
msimsahau dj majey aka majizohata yeye alikuwa nomasijui yuko wapi
huyu jamaa nilikuwa namkubali sana ea radioone of those guys by the time nilidhani ni mwamerika the way anashusha lugha duhh
rayz of diamond member
dj jd nakumbuka mara ya mwisho nilimuona mwanza mwishoni mwa mwaka jana alialikwa kupiga show stone club mwanza hotel
jamaa anaujua mziki na anapenda watu wajue nini anakijua
huyu jamaa anaujua mziki
namkubali sana
enzi zile wasanii walikuwa wanapanga foleni pale ipp kupeleka cd zao kwakewalikuwa hawataki kuziacha pale tu ili apige nyimbo zaowengine inasemekana hadi walikuwa wanavizia nje ya geti akitoka wampe cd the cruz ea radio was hot
huwa nasikitika sana baadhi ya madj maarufu sana wa zamani wanapiga muziki kwenye mabaa ya mitaani tena kwa ujira mdogo sana na wakionekana wamechoka kabisammoja yuko palee fairway tegetanafikiri mnamfahamu | 2018-01-18T20:38:11 | https://www.jamiiforums.com/threads/wapi-john-dilinga-matlou.159629/ |
mtoto wa kitaa august 2010
baada ya chama cha mapinduzi na chadema kuzindua kampeni zao jijini dar es salaam sasa na cuf nao wawazindua rasmi
prof lipumba akisalimiana na mh hamad rashid mmoja wa wanachama na viongozi waandamizi wa cuf
sehemu ya umati wa wana cuf waliohudhuria mkutanoni hapo
posted by salum suleiman lyeme at 1152 pm 0 comments
jeshi la wananchi latoa tahadhari kwa wakazi wa dsm na pwani
jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania (jwtz) limewataka wakazi wa pwani na dar es salaam kutokuwa na hofu yoyote kufuatia zoezi la majaribio ya ulizaji wa vingora likalofanyika tarehe 31 agosti 2010
taarifa iliyotolewa na kurugenzi ya habari na uhusiano makao makuu ya jwtz leo jijini dar es salaam imeeleza kuwa vingora hivyo ambavyo hulizwa wakati wa hatari vitafanyiwa majaribio kwa siku mbili mfululizo nyakati za asubuhi pia ikiwa ishara ya sherehe za jwtz kutimiza miaka 46 tangu lilipoanzishwa zinazoendelea katika kamandi ya wanamaji kigamboni
taarifa hiyo imeeleza kuwa majaribio hayo ya siku mbili yatatafanyika tarehe 31 agosti 2010 saa 12 asubuhi katika kambi ya jeshi lugalo na kufuatiwa na majaribio mengine yatakayofanyika tarehe 1 septemba 2010 saa 12 asubuhi makao makuu ya jeshi upanga
aidha jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania linawafahamisha wananchi kutokuwa na hofu yoyote ya mlio wa vingora hivyo wakati wa majaribio kufuatia kuwa salama na kulizwa kwa malengo maalum
posted by salum suleiman lyeme at 740 am 0 comments
tamasha la watoto yatima kufanyika leaders iddi pili
mkurugenzi wa pset osman kazi akizungumzia bonanza ambalo amaenadaa kwa mara ya kwanza kwa ajili ya watoto yatima siku ya idd pili katika viwanja vya leaders club kinondoni jijini dar es salaam watoto wanaoishi katika mazingira magumu wataandaliwa michezo na burudani mbalimbali ikiwa ni pamoja na chakula na vinywajikushoto kwake ni bi mwanaisha magambo wa new life orphanage kulia ni mwakilishi wa royal palm seraphin lusala
kazi ameomba wadau wenye moyo mwema na walio na haja ya kuchangia watoto hao wajitolee kwa vitu mbalimbali vinavyoweza kufanikisha siku hiyo ikiwa ni pamoja na uandaaji ambako vinahitajika vyakula vinywaji vitamu vifaa vya michezo na hata fedha ili kufanikisha
kikubwa ni watu kujitokeza na kujumuika na watoto hao pamoja na familia zao katika siku ya tukio ili kuifanya iwe ya mafanikio zaidi hotel movenpick royal palm imejitolea ukumbi wa mikutano na vinywaji kwa jili ya maandalizi
posted by salum suleiman lyeme at 757 am 0 comments
wasiosajiliwa marufuku kufanya shughuli za sanaa nchini
ushiriki wa wasanii wasiosajiliwa kwenye tunzo na matukio ya sanaa nchini
baada ya basata kusimamia na kuratibu uanzishwaji wa mashirikisho manne ya sanaa nchini ambayo ni shirikisho la sanaa jongevu (filamu) shirikisho la muziki tanzania shirikisho la sanaa za maonyesho na shirikisho la sanaa za ufundi kwa lengo la kuvipa nguvu vyama vya wasanii na kuvipa umoja kitaifabaraza linapeleka nguvu kwenye urasimishaji wa sekta ya sanaa ikiwa ni pamoja na wadau wote wanaojihusisha na sekta hiyo hususan wasanii
kwa mujibu wa sheria na 23 ya bunge ya mwaka 1984 baraza la sanaa la taifa (basata) limepewa jukumu la kutambua na kusajili wadau wa sanaa kumbi zote za burudani tanzania bara na wasanii wote ikiwa ni pamoja na kutoa vibali vya kufanya shughuli za sanaa
lengo ni kuzifanya shughuli za sanaa kufanyika katika mazingira rasmi na ya kufuata sheria za nchi pia kuwatambua wasanii wote nchini kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi yetuikumbukwe kwamba kufanya shughuli za sanaa bila kusajiliwa na kupewa kibali na basata ni kuvunja sheria za nchi na hivyo kustahili adhabu
faida za kurasimisha sekta ya sanaa hususan kwa wasanii
1 kuendesha shughuli za sanaa kwa mujibu wa sheria za nchi ili kuepuka usumbufu
2 kutambulika kwa shughuli ya msanii binafsi kikundi chama nk hivyo kufanya kazi kihalali
3 basata kama shahidi wa jamhuri hutoa utambulisho/uthibitisho kwa msanii kikundi au chama halali mahali popote panapohitajika kwa mfano wakati wa kufungua akaunti benki kupata visa pasi ya kusafiria mikopo kwenye asasi za fedha msaada au ushahidi mahakamani
4 ikihitajika kuweka ulinzi wa kisheria wa kazi za sanaakwa mfano wa hakimiliki na hakishiriki
5 kuingilia kati pale makubaliano/mikataba ya msanii kikundi chama nk inapokiukwa na kuripotiwa katika baraza
6 kushauri na kutoa mafunzo ya sanaa
7 kutafutiwa masoko na/au kuunganishwa na masoko wasanii na fursa mbalimbali zinapojitokeza
basata linawaagiza waandaaji wa matukio ya sanaa nchini (tunzo za sanaa/matamasha/maonyesho) kuhakikisha wanafanya kazi na wasanii waliosajiliwa tu na inapotokea kufanya vinginevyo basi muandaaji wa tukio husika na msanii atawajibika moja kwa moja
basata linatoa hadi tarehe 31 oktoba 2010 kwa wasanii na wadau wote nchini kujisajili vinginevyo hatua za kisheria zitachukuliwa ikiwa ni pamoja na kuwazuia wasanii pia wadau wasiosajiliwa kushiriki tunzo/matamasha/matukio ya sanaa
posted by salum suleiman lyeme at 749 am 0 comments
bismillahir rahmanir rrahim
amesema allah sw mfano wa wale wanaotoa mali zao katika njia ya allah ni kama mfano wa punje moja iliyotoa mashuke saba ikawa katika kila shuke pana punje mia na allah humzidishia amtakaye (zaidi kuliko hivi) na allah ni mwenye wasaa mkubwa (na) mwenye kujua suratil baqarah (2261)
uongozi wa masjid munawar jang'ombe kwa maharuki zanzibar unawatangazia waislamu wote bara na visiwani kuchangia katika upanuzi wa msikiti kwa kuwasilisha michango yao moja kwa moja msikitini au kupitia benki ya watu wa zanzibar a/c 0212 0602 8457
kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana na uongozi kwa namba 0777 450 140/238 927
miss tz 2009 miriam gerald asheherekea siku yake ya kuzaliwa na waathirika wa virusi vya ukimwi
vodacom miss tanzania 2009 miriam gerald akimkabidhi msaada wa vyakula na fedha katibu mkuu wa kituo cha watu wanaoishi na virusi vya ukimwi cha tumaini kilichopo arusha richard laizer ikiwa ni maadhimisho yake ya siku ya kuzaliwa aliyofanyika jana kwa niaba ya watoto wanaosoma katika kituo hicho ni mtoto sweetmercy emmanuel aliyepokea kwa niaba ya wenzake
posted by salum suleiman lyeme at 710 am 0 comments
cheki video mpya ya fa na ay ft hardmad namba 1
posted by salum suleiman lyeme at 235 am 0 comments
washiriki wa vodacom miss tanzania wakiwa monduli mkoani manyara
paulina lowasa dada wa mbunge wa monduli na waziri mkuu wa zamani edward lowasa akiwapa mkono wa kuwatakia heri warembo wa vodacom miss tanzania alipokutana nao wilayani monduli mkoni arusha jana na kuwapa zawadi ya vikoi vya kimaasai warembo wote 30 warembo hao wanatembelea kanda ya kaskazini kuangalia vivutio vya utalii nchini
baadhi ya warembo wa vodacom miss tanzania wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa shule ya sekondari wasichana maasai iliyopo monduli mkoani arusha wakati wa rembo hao walipotembelea shule hiyo jana wakiwa katika ziara yao ya kutembelea vivutio vya utalii na kuhamasisha utalii wa ndani nchini
mkurugenzi wa lino interanational agency waandaaji wa vodacom miss tanzania 2010 hashim lundenga akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari ya wasicahana maasai ya mkoani arusha jana wakati warembo wa vodacom miss tanzania walipoitembelea shule hiyo na kuzungumza na wanafunzi
baadhi ya warembo wa vodacom miss tanzania 2010 wakimkabidhi chandarua mria charles mmoja wa wagonjwa katika hospitali ya mto wa mbu mkoani manyara jana wakati warembo hao walipombatana na balozi wa kampeni ya malaria haikubaliki mwasiti almas (watatu kulia) warembo wa miss tanzania wapo kanda ya kaskazini kutembelea vivutio vya utalii na kuhamasisha utalii wa ndani nchini
mshiriki wa shindano la vodacom miss tanzania 2010akigawa chandarua kwa mmoja wa wakazi wa mto wa mbu mkoani manyara jana katika utekelezaji wa kapeni ya malaria warembo hao wapo kanda ya kaskazini kutembelea vivutuio vya utalii na kuhamasisha utalii wa ndani nchini
francis cheka kucheza filamu ya historia ya maisha yake
bingwa wa masumbwi tanzania francis cheka anatalajia kuonekana duniani kote kupitia filamu maalum itakayohusu historia ya maisha yake tokea utoto mpaka mafanikio katika mchezo huo hapa nchini
akiongea na waandishi wa habara jijini dar es salaam mtayalishaji wa filamu hiyo hapa nchini kupitia kampuni ya real peoples enterprises (rpe) amon ntevi alisema kampuni yake ipo katika hatua ya mwisho kupiga picha maeneo mbalimbali ikiwa ni sambamba na kuingiza matukio aliyofanya ndani nje ya tanzania kwenye masumbwi
filamu hii itakua ya pekee na ya kwanza kutengenezwa kwa hapa nchini ambapo itaonyesha uhalisia wa bondia cheka tokea alipokua kijana mdogo na maisha aliyopitia hadi mafanikio katika mchezoo wa ngumi hapa nchini alisema amon
pia alisema kuwa watanzania na washabiki wake duniani kote watapata kumjua kwa undani kupitia filamu hiyo itakayojaa simulizi na vitendo kutoka kwa cheka mwenyewe
wengi wanamuona cheka kama bondia lakini hawajamjua kwa undani zaidi hivyo kupitia filamu hiyo wataweza kumjua kwa undani ni pamoja na kuingiza matukio ambayo washabiki hawakuwai kuyaona
kampuni ya rpe inayojishuhurisha na matangazo uchapishaji na utengenezaji wa video documentary mbalimbali kwa filamu hiyo itakuwa ni ya kipekee hapa nchini na watu watafurahia
aidha alisema kuwa filamu hiyo inatalajiwa kuzinduliwa katika uwanja wa jamhuri morogoro siku ya idd pili ambapo cheka atakua na pambano kali dhidi ya bondia wa uganda sebyala med
posted by salum suleiman lyeme at 207 am 0 comments
hongera kaka kwa kutimiza miaka kadhaa na leo ikwa ndio siku na tarehe yako ya kuzaliwa
wtu wako na wadau wote wa burudani wanakutakia happy b'day na pia wanakutakia maisha marefu yenye mafanikio ili uendelee kuwapa burudani
posted by salum suleiman lyeme at 143 am 0 comments
angalia picha za show ya benjamin wa mambo jambo nchi finland na ethiopia
hapa benja alikuwa akisikilizia nyuma ya steji kabla hajapanda jukwaani
hapa bana kazi ikaanza akiwa na madansa wake ambao ni kutoka kundi la sanaa za asili la sanaa sana
mpango mzima uliendelea mpaka hapo akawa anawauliza wapiga vyombo vipi tuendelee au mmechoka
hii ni nyingine tena chini ethiopia
hapa anasema na mashabiki
hapa mshkaji anakamua kinoma
chki mchizi alivyokuwa na mzuka
mwenyekiti wa benki ya kcb tanzania dk edmund mndolwa akimkabidhi zawadi ya begi mwanaidi ibrahim ambaye alikuwa mmoja wa washindi wa michuano ya wazi ya gofu iliyodhaminiwa na benki hiyo katika hafla iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya gymkhana nyuma ni kepteni wa mchezo huo joseph tango (mpiga picha wetu)
mwenyekiti wa benki ya kcb tanzania dk edmund mndolwa (katikati) akimkabidhi zainab ibrahim zawadi fimbo ya mchezo wa gofu baada ya kuwa mshindi wa michuano ya wazi ya mchezo huo kwa upande wa wanawake iliyodhaminiwa na benki katika hafla iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya gymkhana anayeshuhudia ni mwenyekiti wa chama cha mpira wa gofu nchini (tgu) dioniz malinzi (mpiga picha wetu)
mwenyekiti wa benki ya kcb tanzania dk edmund mndolwa akihutubia wakati wa hafla ya kukabidhi zawadi za washindi wa mashindano ya wazi ya gofu yaliyodhaminiwa na benki hiyo
vikombe na baadhi zawadi za washindi wa mchezo wa gofu
mchezaji wa gofu ambaye pia ni mwanachama wa dar es salaam club tayana william akijiandaa kupiga mpira wakati wa mashindano ya wazi ya mchezo huo yaliyodhaminiwa na benki ya kcb na kufanyika katika viwanja vya gymkhana
christina manyenye mkuu wa masoko na uhusiano wa jamii kcb kulia pamoja na wafanyakazi wenzie
posted by salum suleiman lyeme at 1145 pm 0 comments
hapa wasanii wakiwa kwenye gari wakielekea huko kijijini
sasa ndio wamefika kijijini na kuanza kutafuta wahusika
baada ya kila kitu wasanii wakaamua kupata picha ya pamoja na baadha ya wanakijiji
tamko la serikali ya mkoa wa pwani kwamba wakazi wa jiji la dar es salaam waliouziwa mashamba katika kijiji cha manzenga kata ya visegese wilayani mkuranga wametapeliwa limewatoa machozi baadhi ya mastaa ambao ni miongoni mwa waathirika risasi jumamosi linashuka nayo
mpango mzima wa ishu hiyo tangu mwanzo uko hivi wengi wa mastaa baada ya kupata taarifa hizo waliangua vilio huku wengine wakishindwa kujua la kufanya
awali ilitolewa taarifa na uongozi wa shirikisho la wasanii tanzania (shiwata) juu ya kuwepo kwa mpango wa kuanzisha kijiji ambacho wataishi mastaa katika huku ikielezwa kuwa walengwa ni wasanii waandishi wa habari wachezaji na wengineo
taarifa hiyo alieleza kwamba kwa mtu ambaye angehitaji kuwa sehemu ya mpango huo alitakiwa kufika katika ofisi za shirikisho hilo akiwa na picha mbili za pasipoti shilingi 25000 kwa ajili ya ada ya kujiunga na shirikisho 500 ya kitambulisho na 10000 kwa ajili ya gharama ya kupatiwa eneo
aidha baada ya wanachama hao kutoa kiasi hicho cha shilingi 35500 ilidaiwa kuwa baadaye walitakiwa tena kutoa shilingi 6000 ufafanuzi ukiwa ni kwamba shilingi 4000 kwa ajili ya gharama ya kupimiwa kiwanja na shilingi 2000 nauli ya kwenda eneo la tukio
tulipokamilisha taratibu zote na kupewa risiti za malipo tulichukuliwa tukapiga vishoka kwenye magari na kuelekea visegese tulipofika huko tukaoneshwa maeneo yetu na kurejea dar tukiwa na matumaini ya kwamba tumepata alisema mmoja wa wasanii aliyeomba hifadhi ya jina lake
hata hivyo baada ya zoezi la awamu hiyo lililofanyika miezi kadhaa iliyopita hivi karibuni tangazo hilo tena lilitolewa kwa watu mbalimbali wakiweno mastaa ambapo taratibu zilikuwa kama za mwanzo tofauti ikiwa kiasi cha pesa walichotakiwa kutoa kwani wao walitakiwa kutoa shilingi 53500
ikaelezwa kuwa baada ya kukamilika kwa taratibu zote jumamosi iliyopita kundi la watu wakiwa katika magari kibao walianza safari kuelekea eneo la visegese tayari kwa kugaiwa viwanja hivyo
miongoni mwa wasanii waliokuwa katika msafara huo ni pamoja na besta prosper laurence marima marlaw estelina peter sanga linah rashidi makwilo chid benz stara thomas nasib abdul diamond mwasiti almasi ali salehe kiba ali kiba ambwene yesaya ay hamis mwinjuma mwanafa jacqueline wolper khadija shabani keisha hafsa kazinja na wengineo
pia ilidaiwa kuwa walikuwepo pia watangazaji maarufu wa vituo mbalimbali vya televisheni na radio kama vile abdallah mwaipaya milard ayo na godwin gondwe (itv) salma msangi (channel 10) anold kayanda adam mchomvu dina marious gea habib (clouds) khadja shaibu dida (times) na wengineo
hata hivyo baada ya mastaa hao pamoja na watu wengine kukabidhiwa maeneo yao na kapakia ndinga kurejea dar siku nne baadaye uongozi wa wilaya ya mkuranga ulitoa tamko lililowafanya mastaa hao kupigwa na butwaa
mkuu wa wilaya hiyo henry clemence alisema kuwa wote waliogaiwa viwanja katika eneo hilo wametapeliwa kwani mwenyekiti wa kijiji hicho aliliruhusu shiwata kumiliki maeneo hayo kinyume na taratibu
alisema kuwa alishangaa mwishoni mwa wiki iliyopita kuona watu wapatao 1000 kutoka dar wakifika katika kijiji hicho wakiwa na magari mengi wakidai wameletwa na taasisi hiyo kukabidhiwa mashamba ambayo wametawafutiwa bila ya tarafa kata na halmashauri ya wilaya hiyo kujua
hata hivyo kiongozi huyo alisema kuwa watu waliouziwa maeneo hayo hawaruhusiwi kufanya chochote kwakuwa viwanja hivyo vina matatizo ya mipaka kati ya kijiji hicho na cha jirani kiitwacho msorwa
mwenyekiti wa shiwata kasim twalib ticha alithibitisha kuwepo kwa mpango huo na kudai kuwa hakuna mazingira ya kutapeliwa kwa watu waliuziwa maeneo katika kijiji hicho bali kuna matatizo yaliyojitokeza na kwamba wanajaribu kuyashughulikia
kkuanzia kushoto ni mwana fa projuza hammy b kutoka bhits na ay
wanamuziki mwana fa na ay watawarusha mashabiki wao wa nchini kenya leo katika tamasaha la kicc jijini nairobi nina imani kuwa watu wangu wa pande za nairobi wamefurahia uwepo wa hawa vijana maana kazi zao kila mmoja anazijua
posted by salum suleiman lyeme at 145 am 0 comments
ninafuraha kubwa xana kuwafahamisha kuwa tanzania tumepiga hatua katika mambo ya utandawazi habari njema zilizopo kwa asasa hizi kwamba tovuti maalumu na rasmi ya mhe jakaya m kikwete na dr m gharib bilal sasa inapatikana kwenye mitandao
http//wwwkikwete2010cotz/
ukitembelea tovuti hii maalumu ya mgombea uraisi na mgombea mwenza kwa tiketi ya ccm mwaka 2010 utapata habari mbalimbali kama vile
wasifu wa wagombea mhe jakaya m kikwete na dr mohammed gharib bilal
• mafanikio katika sekta mbalimbali
• sera na malengo 2010 2015
• ratiba za kampeni
• hotuba maalumu
• matoleo ya habari
• video na picha
• mitandao ya facebooktwitter na youtube
tukishirikiana tutafika mbali zaidi
posted by salum suleiman lyeme at 133 am 0 comments
walimbwende wa vodacom miss tanzania kuanza ziara leo
mkurugenzi wa miss tanzania bw hashimu lundenga akimtambulisha mlezi wa kambi mbi ya vodacom miss tanzania
mlezi akionge na warembo pamoja na waandishi wa habari mara baada ya kutambulishwa na kukaribishwa wanaofuatia katika picha ni hashim lundenga mkurugenzi miss tanzania bosco majaliwa katibu mkuu miss tanzania na charles bekon mkurugenzi wa giraffe ocean view hotel
warembo wakisikiliza kile wanachoambiwa na mlezi wao huku wakipgwa picha mbili tatu na waandishi pamoja na wapiga pcha
kaka mkubwa john bukuku kutoka blog ya fullshangwe akipata msosi baada ya kazi nzito ya kuwapiga picha walimbwende
warembo wakipata chakula cha mchana kwa pamoja
warembo wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kutoka kwenye utambulisho wa mlezi wao
walimbwende wanawania taji la vodacom miss tanzanialeo wamesafiri ka ajili ya kuanza ziara mikoa ya kaskazini ambapo wataweka kambi mjini moshi na hatimaye arusha na baadae tanga
hayo yalisemwa na meneja mawasiliano wa vodacom bi nector pendaeli foya jana katika pale hoteli ya girafe ambapo ndipo kambi ya miss tanzania ilipo mamiss wetu wataondoka kesho kwenda moshi na arusha ambapo warembo watafanya shughuli za kijamii na huko watakaa kwa muda wa wiki moja alisema nector foye
pia mkurugenzi wa miss tanzania bw hashimu lundenga alitumia muda huo kumtambulisha kwa warembo na waandishi wa habari ndg emanuel olemaiko kama ndio atakae kuwa mlezi wa kambi ya vodacom miss tanzania
akiongea mara baada ya kukaribishwa na kutambulishwa ndg ole naiko aliwaasa walimbwende hao wapendane na waishi kwa kushikiana wakiwa kambini nahata pale anapotangazw mshindi basi wasio shinda wasikasirike kwa maana katika mashindano ni lazima apatikane mshindi pia olemaiko aliishauri kamati ya miss tanzania kuendeleza shughuli za kijamii kupitia mshindi wa miss tanzania
ole naiko amesema anafurahishwa sana na mkataba uliosainiwa na pande mbili zote kamati ya miss tanzania na warembo washiriki wa shindano hilo na ameongeza kuwa warembo hao watangaze vyema utalii wa tanzania kwani mrembo wa vodacom miss tanzania ndiyo kioo cha tanzania katika fani hiyo na kielelezo cha nchi kwa hiyo ni vyema wakawa na tabia njema
posted by salum suleiman lyeme at 1153 pm 0 comments
juma kasim nature
nature amewataka wanamuziki na wasanii wote nchini tanzania kujali dhamana yao katika jamii
nature amesema wasanii na wanamuziki nchini wanayo nafasi kubwa ya kuibadili jamii na kuifanya iwe na maadili mema na kuendeleza utamaduni wake
iwapo wasanii na wanamuziki hapa nchini watakumbuka wajibu wao na kuitekeleza kazi yao jamii itanufaikaalisema nature
ninawakumbusha wasanii na wanamuziki wenzangu hapa nchini kuachana na mazoea tuchape kazi kwa mujibu wa kazi yetu ya kuielimisha jamii yetu ya kitanzania
mmoja wa wasanii wa kundi la tmk wanaume halisi maarufu kwa jina baba levo amesema wasanii na wanamuziki wengi wamejisahau kuwa hao ndio kioo cha jamii
kutokana na wasanii na wanamuziki kutembea sehemu mbalimbali wanaweza kuwa kiunganishi kizuri cha maendeleo kwa jamii iwapo hawatakuwa na roho za uchoyo
posted by salum suleiman lyeme at 1108 pm 0 comments
hapa warembo wakiwasili mjenggoni hoteli ya giraffe jijini dar es salaam
mkurugenzi mtendaji wa hoteli ya girraf charles bekoni (kushoto) akiwakaribisha walimbwende kambini hotelini hapo kulia ni afisa udhamini wa vodacom ibrahim kaude
baadhi ya washiriki wakiwa katika ukumbi wa mikutono katika hoteli ya giraf kwa ajili ya utambulisho na kukaribishwa kambini hapo
walimbwende wote kwenye picha ya pamoja
kampuni ya simu za mkononi ya vodacom tanzania imesema kuwa mwaka huu itatumia takribani shilingi bilioni 1/ ili kufanikisha udhamini wa shindano la miss vodacom tanzania kuanzia ngazi ya awali hadi siku ya fainali
akizungumza wakati wa ufunguzi wa kambi ya warembo wa miss vodacom tanzania iliyoanza juzi jijini dar es salaam afisa udhamini wa vodacom ibrahim kaude alisema fedha hizo zitatumika kwa kazi mbalimbali ikiwemo usafiri wa warembo ndani na nje mavazi siku ya fainali na gharama zingine
aidha kaude aliwataka warembo hao kuzingatia maelekezo ya walimu na masharti ya kambi hiyo ili kulifanya shindano la kumtafuta mlimbwende wa mwaka huu kuwa lenye msisimuko kama yalivyo matarajio ya vodacom tanzania
hongereni kwa kufikia katika hatua hii najua safari imekuwa ndefu tangu ngazi ya vitongoji hadi leo katika kambi ya miss vodacom tanzania msikate tamaa kwani mwisho wa siku mmoja kati yenu ndiye atakayeibuka kuwa mlimbwende atakayeliwakilisha taifa kwenye medani za kimataifa alisema kaude
kwa upande wake mkurugenzi mtendaji wa hoteli ya giraffe charles bekoni alisema wamejiandaa kuwapa huduma bora washiriki hao ili waweze kukamilisha matarajio yao ya kuwa warembo wa kimataifa
katika kipindi chote mtakachokuwepo hapa naamini mtafurahia huduma zetu na mtaondoka mkiwa na historia nzuri juu ya hoteli yetu na yote mliyoyapata alisema bekoni
naye matroni wa walimbwende hao gladys shao alisema kwa jinsi alivyowaona washiriki inaashiria kwamba shindano la mwaka huu halitabiriki na hivyo kuleta ushindani mkubwa miongoni mwa warembo
kwa mwaka jana tetesi zilienea kuwa miss vodacom tanzania anayemaliza muda wake miriam gerald angeweza kuwa mshindi na kweli ilitokea lakini kutokana na kufanana kwa vigezo na warembo wenye sifa kwa washiriki wa shindano la 2010/11 ni wazi upinzani utakuwa mkali alisema shao
warembo 31 walioanza kambi inayofanyika kwenye hoteli ya giraffe ni esther dennis gloria kaale kutoka kanda ya chuo kikuu cha dar es salaam (udsm) shadia mohamed (mbeya) furaha david (ruvuma) mary kagali (iringa) kanda ya nyanda za juu kusini
wengine ni bahati chando salma nwakalukwa (dar city center) na consolata lukosi (tabata) kanda ya ilala frola florence mary adam (morogoro) angelina ndege (lindi) kanda ya mashariki alice lushiku irene hezron (dar indian ocean) na amisuu malik (sinza) wanaoiwakilisha kinondoni pia wamo genevieve emmanuel anna daudi na britney urassa (changombe) kutoka temeke
washiriki kutoka kanda ya kaskazini ni glory mwanga (arusha) prinsca mkonyi (kilimanjaro) na jally murei ambapo kutoka kanda ya chuo kikuu huria (out) ni gloria mosha na christine justine
kutoka elimu ya juu ni flora martin pendo sam (ifm) rachel sindbad (udom) fatma ibrahim (mara) buduri ibrahim margareth godson (shinyanga) wa kanda ya ziwa na willemi etami wande masegese (dodoma) na pili issa wanaoiwakilisha kanda ya kati
posted by salum suleiman lyeme at 243 am 0 comments | 2017-10-20T05:00:05 | http://mtotowakitaa.blogspot.com/2010/08/ |
kwa nini nijilinde baada ya jaribio la kujitoa uhai | familia kuzuia kujiua
kwa nini nijilinde baada ya jaribio la kujitoa uhai
kwa bahati mbaya watu wengi hawana ufahamu kuhusiana na kujitoa uhai na wanasita kuzungumzia swala hilo wengine wanaweza kutojali au kutoa maneno ya kuumiza kimakusudi kama dadako alijiua sababu alikuwa na kichaa katika nchi nyingi kuna unyanyapaa unaohusishwa na kujitoa uhai ni muhimu kujilinda
kuwa mwangalifu nani unayemwambia kuhusu kujitoa uhai bila shaka uko na watu wa familia na marafiki unaowaamini na unaweza kuwaeleza wazi kuhusu kujitoa uhai lakini ikiwa watu watajua kupitia uvumi kisha wakuulize kuhusu mpendwa wako ikiwa hutaki kuzungumzia swala hilo unaweza kusema sitaki kuzungumzia swala hilo au sema jambo linalofuanana na hilo kuwafanya wasikuulize usimruhusu mtu yeyote yule anayekulazimisha kuzungumzia jambo ambalo hauhisi sawa kulizungumzia
jipe muda wa kupona kaa mbali na mtu yeyote yule au jambo linaloweza kukuletea shida kaa mbali na watu au sehemu zinazokusumbua ikiwa mtu atasema jambo lolote litakalokukera kaa mbali na yeye haraka iwezekanavyo
baadaye mshtuko ukipungua na ukijihisi vyema unaweza kukabiliana na watu wajinga wale hawana hisia na swala la kujitoa uhai usifanye hivyo hadi pale utahisi kuwa uko na nguvu za kiakili na kihisia na umejikuza kukabiliana na dhiki | 2019-04-19T12:18:47 | http://www.uridu.com/sw/question/02-09-19.html |
jinsi intaneti inavyofanya kazi kwenye ndege | fikrapevu
jinsi intaneti inavyofanya kazi kwenye ndege
intaneti iko kila mahali inapatikana ofisini kwenye maduka makubwa hata vituo vya mabasi utaipata huduma hiyo sio tena anasa lakini kiuhalisia ni fahari na haki ya kuzaliwa hasa kwa wakazi wa mijini
intaneti inamuwezesha mtumiaji wa simu au kompyuta kuangalia video kusikiliza na kusuma taarifa akiwa popote na wakati wowote lakini umewahi kujiuliza huduma ya intaneti (wifi) kwenye ndege inapatakanaje na inafanyaje kazi
kimsingi ndege zinatumia intaneti (wireless internet ) ambayo hutolewa na watoa huduma za intaneti (isp) huduma hiyo huunganishwa na ndege iliyopo angani na mnara wa simu uliopo ardhini ambao una mawasiliano ya moja kwa moja ya intaneti
mnara wa simu unawasiliana na kifaa cha ndege kupitia mawimbi ya radio gridi za minara ambazo ziko maeneo mbalimbali hukakikisha ndege iliyopo angani inaunganishwa wakati wote bila kuathiri upatikanaji wa huduma hiyo wakati ikisafiri kutoka eneo moja hadi nyingine
minara ya simu inatuma mawimbi ya redio kwenye ndege kuwezesha intaneti
wataalamu wa teknolojia ya mawasiliano ya anga wanaeleza kuwa huduma ya intaneti inafanya kazi kama simu za mkononi ambazo zinategemea minara iliyosimikwa katika maeneo mbalimbali ili kuwezesha mawasiliano na intaneti kwa haraka na rahisi
huduma ya intaneti kwenye ndege hutolewa na kampuni kubwa kama gogo inc ambayo inamiliki minara ya simu katika maeneo mbali mbali duniani
changamoto ya huduma hiyo ni kwamba hupatikana zaidi kwa ndege zinazoruka ndani ya nchi moja ikiwa ndege itapita eneo ambalo halina minara hiyo kama juu ya bahari intaneti itakata
kwasababu minara haiwezi kuwekwa kila mahali ndege inapopita intaneti nayo hutoweka na huimarika zaidi sehemu yenye minara lakini wakati mwingine hali ya hewa inaweza kuathiri mawasiliano ya ndege na minara
ku na kaband
mapungufu ya huduma za intaneti yanayotolewa na minara yanaweza kutatuliwa kwa msaada wa setilaiti ambayo huzungukazunguka kwenye uso wa dunia setilaiti hizo huwasiliana na ndege kupitia kipande cha mawimbi yajulikanayo kama kuband
setilaiti inatenda kazi kwa kioo akisi ambacho kinaakisi ishara kutoka kwenye mnara wa simu hadi kwenye ndege kinachofanyika ni kwamba antena hufungwa juu ya ndege ikiwa imefunikwa na kisahani kidogo ili kudaka mawimbi kutoka kwenye setilaiti na kuyaelekeza kwenye kifaa kinachowezesha intaneti ndani ya ndege
picha na gogo inc
teknolojia hiyo ya setilaiti inaweza kutoa intaneti yenye kasi ya mbps 30 hadi 40 lakini kwasababu setilaiti huudumia ndege zaidi ya moja kwa wakati mmoja kasi inaweza kupungua lakini pia maeneo yenye bahari yanaathiri upatikanaji wa intaneti japokuwa kasi inabaki ileile wakati ukiperuzi facebook na youtube
kama utahitaji laivu video italazimika kuhamia kwenye mawimbi ya kaband teknolojia ya kaband inakupa intaneti yenye nguvu ndani ya ndege inatumia setilaiti ya ya viasat1 ambayo kasi yake ni kubwa kwa mbps 70 hadi 80 sawa na kasi ambayo mtu anafurahia akiwa anatumia intaneti ya nyumbani au ofisini
hata hivyo huduma hii ni ghali inapatikana tu kwa wenye uwezo wa kuinunua hupatikana zaidi kwenye ndege kubwa kama jetblue virgin america na emirates
kwanini siyo kila ndege inatoa huduma ya wifi
sababu mojawapo tayari tumeiongelea hapo juu kwamba huduma hiyo ni ghali ndege nyingi hazina huduma ya kuband kwasababu antenna inayowekwa juu ya ndege inatatiza au yumbisha mwelekeo
wataalamu wa anga wanaeleza kuwa kisahani kinachoshikilia antenna ni kinene na kizito kwa maana hiyo injini ya ndege inatumia mafuta mengi kuhimili uzito wa ziada wamiliki wa ndege watatumia pesa nyingi kuwafurahisha wateja wao watapandisha bei ya tiketi ili kufidia gharama za intaneti
bahati nzuri wahandisi wanaendelea na mchakato wa kutengeneza antenna nyembamba nyepesi na yenye gharama ndogo inayoweza kutumia mafuta kidogo
ikiwa watafanikiwa watasaidia kuokoa mafuta na fedha nyingi zinazotumika kutoa huduma hiyo
naamini hata kasi ya intaneti itaboreshwa ili wasafiri wa ndege wafurahie ukuaji wa teknolojia kwa kutazama na kuperuzi kwa uhuru mambo wayatakayo wakati wakiwa angani
mahakama kuu yazuia utekelezaji wa kanuni za maudhui mtandaoni
utabiri wa hali hewa na maisha halisi ya mwanadamu
ukosefu wa taarifa sahihi za viwango na aina ya samaki wakwamisha ujenzi wa viwanda nchini
tanzania itaanza kufaidika na rasilimali za bahari baada ya kuanza kutekeleza programu ya udhibiti na matumizi endelevu wa rasilimali samaki (eafnansen) kudhibiti mabadiliko ya tabia na uchafuzi wa mazingira yanavyoathiri uzalishaji wa mazingira ya bahari na afya
programu ya eafnansen inayofadhiliwa na norway na kutekelezwa na shirika la chakula na kilimo la umoja wa mataifa (fao) kwa kushirikiana na taasisi ya utafiti wa mambo ya bahari ya norway (imr) itasaidia kutunza mazingira na mifumo ya ikolojia kwa upande mmoja na kutatua mahitaji ya binadamu ya chakula na faida za kiuchumi
programu hiyo imekuja siku chache baada ya meli ya kisasa ya utafiti wa samaki na mazingira baharini yenye jina la dkt fridtjof nansen kukamilisha uchunguzi wake wa rasilimali na mazingira bahari katika maji ya bahari ya hindi nchini tanzania
meli hiyo imebaini kuwa tanzania ina uhaba wa taarifa sahihi za viwango na aina ya samaki hali inayokwamisha ujenzi wa viwanda vya kusindika samaki nchini
chini ya mpango wa programu ya eafnansen meli hiyo inaendesha utafiti wake wa rasilimali bahari na mazingira baharini katika ukanda wa kusini mashariki mwa afrika na bahari ya hindi nchi thelathini za kiafrika ikiwemo tanzania zitapata msaada wa kitaalamu na kisayansi wa namna ya kudhibiti rasilimali zao za samaki na viumbe bahari wengine kwa kutumia na kutekeleza mpango endelevu wa utunzaji wa mazingira
akizungumza katika hafla fupi ya kilele cha utafiti huo iliyofanyika ndani ya meli iliyotia nanga katika bandari ya dar es salaam katibu mkuu kiongozi balozi john kijazi amesema mpango huo umekuja kwa wakati muafaka kwani utachochea kasi ya uanzishwaji wa viwanda hapa nchini hususani katika sekta ya uvuvi
hii ni hatua kubwa sana kwa tanzania ambayo itafaidika na huduma za utafiti wa kisasa wa meli hii kupitia ushirikiano wa wadau hapa nikizungumzia fao na serikali ya norway kuweza kujua kwa uhakika aina na kiwango cha samaki na rasilimali bahari nyingine tulizonazo katika maji yetu amesema balozi kijazi
amesema taarifa kuhusu rasilimali bahari yetu ni muhimu sana katika kufanya maamuzi na kupata fursa za ndani na kimataifa za uwekezaji katika sekta ya uvuvi na kutilia maanani mambo muhimu ya utunzaji wa mazingira
kwa kutumia taarifa sahihi tunaweza kuwavutia wawekezaji kuja na kujenga viwanda vya kusindika samaki na vingine vinavyohusiana na sekta hii ya uvuvi na hivyo kuongeza kasi kwenye mpango wetu wa kujenga tanzania ya viwanda amesema balozi kijazi
kwa upande wakewaziri wa mifugo na uvuvi luhaga joelson mpina amesema mpango huo utaongeza ajira na matumizi ya teknolojia ya kisasa katika sekta ya uvuvi hii itatuwezesha kupata wawekezaji katika eneo hili ambao watajenga viwanda vya kuchakata na kusindika mazao ya samaki ambapo mbali ya kutoa fursa za ajira kwa watu wetu hususani vijana katika mnyororo wa thamani lakini pia utakuza mapato ya serikali
wadau wa mazingira wanasema ikiwa mpango huo utatekelezwa kikamilifu unaweza kusaidia kupunguza athari za mabadiliko ya hali ya hewa ambayo yameathiri uhai wa bahari na rasilimali zilizopo
mbali ya taarifa ambazo zitawezesha udhibiti bora wa rasilimali kwa matumizi endelevu utafiti huu utapekelea uelewa mzuri wa athari za mabadiliko ya tabia nchi na athari nyingine za nje kama vile uchafuzi wa mazingira na mifumo ya uhai baharini amesema mwakilishi wa fao nchini tanzania fred kafeero
programu ya udhibiti na matumizi endelevu wa rasilimali samaki (eaf) imekuwa ni moja ya marejeo makuu za fao katika kusaidia nchi katika juhudi zao za kudhibiti na kutekeleza kanuni za maendeleo endelevu
kwa mujibu wa fao programu ya eaf ni njia ya kutekeleza kanuni sahihi za uvuvi kwa kutoa mwongozo wa namna ya kufikia malengo ya sera ya kiuchumi kijamii na ikolojia kupitia malengo viashiria na njia za tathimini eaf inanuia kuweka uwiano kati ya mambo mawili muhimu utunzaji wa mazingira na mifumo ya ikolojia kwa upande mmoja na kuweza kutatua mahitaji ya binadamu ya chakula na faida za kiuchumi upande mwingine
uvuvi haramu bado ni changamoto
utafiti uliotolewa hivi karibuni na taasisi ya overseas development ya nchini uingereza unaeleza tatizo la uvuvi haramu kwenye bahari kuu ikiwemo bahari ya hindi kwamba unachochewa zaidi na ukosefu wa miundombinu ya mawasiliano ushirikiano na teknolojia ya kutunza takwimu za meli za uvuvi kwenye bahari kuu ikiwemo bahari ya hindi ambayo inaunganisha mataifa mbalimbali duniani
tatizo ni kubwa kwa nchi za afrika ambazo hazina teknolojia ya kisasa na taasisi imara za kusimamia uvuvi ambapo kila mwaka nchi za afrika magharibi zinapoteza dola bilioni 2 za kimarekani huku nchi zinazotumia bahari ya afrika mashariki (kenya tanzania mauritius the comoros mozambique and the seychelles ) zinapoteza zaidi dola milioni 200 kila mwaka
licha ya kila nchi kuwa na taratibu zake katika kupambana na uvuvi haramu hazijafanikiwa kumaliza tatizo hilo na changamoto inayojitokeza kwenye ukusanyaji wa takwimu na matumizi ya vifaa vya kusimamia mwenendo wa meli katika eneo la bahari kuu
utafiti huo unaeleza kuwa ili kufuatilia eneo na safari meli zinapaswa kuwa na kifaa cha mawasiliano kijulikanacho vessel management systems (vms) hata hivyo meli nyingi hazina kifaa hiki hasa katika nchi zinazoendelea ambako teknolojia hiyo haipatikani au wasimamizi wa meli huzima ili kuepuka kufuatiliwa na mamlaka husika
licha ya kifaa cha vms kuwa na uwezo wa kutambua eneo umbali na mwelekeo wa meli lakini hakiwezi kutambua meli zinazoharibu mazalia ya samaki na viumbe wengine wa baharini
hatimaye waziri wa viwanda biashara na uwekezaji charles mwijage amewasilisha bajeti ya sh14333 bilioni ikiwa ni ongezeko la sh211 bilioni ikilinganishwa na bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka 2017/18 yenye vipaumbele 13 huku sakata la kupanda bei ya sukari na mafuta ya kula likiendelea kuteka mijadala ya wizara hiyo
akiwasilisha bajeti hiyo bungeni jijini dodoma mwijage alisema kati ya fedha hizo sh bilioni 433 ni za matumizi ya kawaida na sh bilioni 100 ni za matumizi ya maendeleo
bajeti hiyo ambayo ilikuwa inasubiriwa kwa hamu imeainisha vipaumbele 13 vya wizara hiyo kwa kushirikiana na taasisi zake ni kutunisha mtaji wa mfuko wa taifa wa maendeleo ya wajasiriamali (nedf) kuendeleza miradi ya kielelezo ya mchuchuma na liganga kwa kulipia fidia mradi wa magadi soda engaruka na kiwanda cha matairi arusha
vipaombele vingine ni uendelezaji wa eneo la viwanda la tamco kibaha mradi wa kuunganisha matrekta ya ursus uendelezaji wa mitaa na maeneo ya viwanda vya shirika la viwanda vidogo vidogo (sido) kuendeleza kanda kuu za uchumi (ruvuma tanga kigoma na manyoni)
pia kuendeleza mradi wa bagamoyo sez & bmsez kituo cha ughavi kurasini na eneo la viwanda la kigamboni kuendeleza utafiti kwa ajili ya tirdo (shirika la utafiti na maendeleo ya viwanda tanzania) camartec (kituo cha zana za kilimo na teknolojia vijijini) na temdo (shirika la uhandisi na usanifu wa mitambo) dodoma leather and dodoma sez na ujenzi wa maeneo maalumu ya viwanda alisema mwijage
pamoja na vipaumbele hivyo wizara itaweka msukumo wa pekee katika kuhamasisha ujenzi wa sekta binafsi ya kitanzania iliyo imara ili iweze kushiriki na kuchangia ipasavyo katika ujenzi wa uchumi wa viwanda
viwanda vilivyopo nchini
wizara ya viwanda biashara na uwekezaji imelieleza bunge kuwa kwa mujibu wa ofisi ya taifa ya takwimu (nbs) hadi machi mwaka huu tanzania ilikuwa na viwanda 53876 vikiwemo vikubwa 251 sawa na asilimia 046
waziri wa wizara hiyo charles mwijage amesema hadi wakati huo kulikuwa na viwanda vya kati 173 vidogo 6957 na vidogo sana 46495
amesema tangu serikali ya awamu ya tano ilipoingia madarakani hadi machi mwaka huu vimejengwa viwanda vipya 3306
dhana ya kiwanda
waziri wa viwanda biashara na uwekezaji charles mwijage amewaeleza wabunge wa bunge la tanzania na wananchi maana ya neno kiwanda kutokana na kuwepo na mkanganyiko wa dhana halisi ya kiwanda
kwa mujibu wa mwijage kiwanda ni eneo ambalo malighafi huchakatwa kwa muktadha wa uongezaji thamani amesema shughuli yoyote ndogo au kubwa ya kuongeza thamani kwenye malighafi kwa lengo la kutoa bidhaa ni shughuli ya kiwanda
amesema kwa vigezo vya kimataifa makundi ya viwanda huzingatia ajira mtaji na mapato lakini kwa tanzania vigezo vinavyozingatiwa ni kiwango cha mtaji na ajira zinazotokana na shughuli husika za kuongeza thamani
kiwanda ni eneo ambalo malighafi huchakatwa kwa muktadha wa uongezaji thamani
michango ya wabunge
waziri kivuli wa viwanda biashara na uwekezaji anthony komu amesema sera ya viwanda imeipa kisogo miradi ya liganga na mchuchuma jambo linaloilazimu serikali kuagiza chuma nje ya nchi kwa ajili ya ujenzi wa reli na malighafi za viwanda vya nondo nchini
akichangia mjadala wa bajeti ya viwanda biashara na uwekezaji komu amesema licha ya miradi hiyo kuanza kuzungumziwa miaka kadhaa iliyopita serikali imeendelea kupiga danadana kuitekeleza
komu ambaye pia ni mbunge wa moshi vijijini (chadema) amesema mwenendo huo unadhihirisha kuwa uwekezaji unaofanywa kwenye sekta ya viwanda hauwezi kuonesha dalili njema iwapo hakutakuwapo na maji ya kutosha
sasa miradi ya gesi asili haijatumika vya kutosha lakini cha ajabu serikali imekimbilia kuwekeza kwenye stigglers gorge na kuanzisha vita na mataifa mengine duniani ambayo ni sawa na kuhamisha goli hapakuwa na ulazima huo hasa ikizingatiwa miradi mikubwa iliyoanzishwa haijatumika ipasavyo wala kutengamaa amesema
kwa upande wake mbunge wa kigoma mjini zitto kabwe amesema wizara ya viwanda inapaswa kuongozwa kidiplomasia na si kama tawala za mikoa na serikali za mitaa (tamisemi) akiwa na maana kuwa waziri wa wizara hiyo anatakiwa kupewa safari za nje ya nchi kutafuta masoko ya bidhaa za viwanda vya ndani
huwezi kuongoza wizara hii kama unaongoza tamisemi ni diplomasia alisema zitto
kutokana na kauli hiyo spika wa bunge job ndugai amekiri kuguswa na mchango huo na kusisitiza kuwa ni kweli mawaziri inabidi wasafiri ili kuimarisha mahusiano na nchi za nje katika kukuza uchumi wa viwanda
waziri wa biashara hawezi kukaa na sisi hapa lazima ende tumuombee popote pale kwenye mamlaka lazima asafiri maana bidhaa zetu tutauza kongwa kuna soko huko
waziri wa utalii lazima asafiri apige mawingu huko na wengine huko ndiyo ukweli jamani sisi wabunge lazima tuwasemee amesisitiza ndugai
ni zile zinazowataka wamiliki wa blogu na runinga za mtandaoni kupata leseni toka serikalini
wanaharakati wasema zinakiuka haki za msingi za binadamu
mahakama kuu kanda ya mtwara imetoa zuio la muda linalozuia matumizi ya kanuni za maudhui ya mtandaoni ampaka kesi ya msingi iliyofunguliwa na watetezi wa haki za binadamu itakaposikilizwa
kimsingi kanuni hizo zilipaswa kuanza kutumika mei 5 mwaka huu baadaya ya mamlaka ya mawasiliano tanzania (tcra) ambayo ilitoa wiki mbili kwa wamiliki wa blogu majukwaa redio na runinga za mtandaoni kuwasilisha maombi katika mamlaka hiyo ili kupata leseni ya kuendesha shughuli zao mtandaoni
hii inatokea kiwa imebaki siku moja kwa tarehe ya mwisho na iliyowekwa na tcra kuwasilisha mambi ya leseni mahakama kuu imetoa zuio hilo baada ya taasisi sita kuwasilisha mahakamani maombi ya kuzuia matumizi ya kanuni hizo april 30 mwaka huu
taasisi zilizowasilisha maombi hayo mahakamani ni kituo cha sheria na haki za binadamu (lhrc) mtandao wa watetezi wa haki za binadamu tanzania (thrd) baraza la habari tanzania (mct) jamii media chama cha wanawake wanahabari tanzania (tamwa) na jukwaa la wahariri tanzania (tef)
katika kesi ya msingi ya mapitio ya kanuni hizo taasisi tajwa zimewashitaki waziri wa habari utamaduni na michezo mamlaka ya mawasiliano tanzania (tcra) na mwanasheria mkuu wa serikali
katika maombi ya msingi taasisi hizo zinaiomba mahakama kuu kufanya mapitio ya kanuni hizo kwa kigezo kwamba waziri ametumia nguvu ya kisheria nje ya mamlaka yake ( ultra vires) pia kanuni hizo zinakiuka haki ya usawa katika matumizi ya mitandao ya kijamii bila kuwekewa vikwazo vinavyoathiri kundi fulani la watu
maombi hayo pia yamejikita kupitia kanuni hizo kwasababu zinapingana na haki ya kujieleza ( freedom of exepression) haki ya kusikilizwa( rights to be heard) na haki ya usiri ( privacy rights) ambazo zote kwa pamoja zinawahusu moja kwa moja watumiaji wa mitandao ya kijamii
baada ya zuio hilo la mahakama kuu kanda ya matwara imepanga kusikiliza tena kesi ya msingi mei 10 2018
kanuni za maudhui ya mtandaoni
kanuni za maudhui ya mtandaoni (online content regulations) zilipitishwa na serikali februari mwaka huu ili kufanya kazi sambamba na sheria ya makosa ya mtandao ya mwaka 2015 ambayo imekuwa ikilalamikiwa kwa kuminya uhuru wa kujieleza na kutoa maoni
kwa mujibu wa kanuni hizo ili mtu akubalike kutoa huduma ya blogu jukwaa redio na runinga za mtandaoni muombaji atalazimika kujaza fomu inayoelezea gharama tarajiwa za uwekezaji idadi ya wakurugenzi na wafanyakazi na wana hisa wa jukwaa/blogu husika pia kila mwana hisa anapaswa kuainisha mtaji aliochangia kwenye huduma husika tarehe ya kuanza kufanya kazi na mipango ya baadaye ya ukuaji wa blogu
pia wamiliki wanapaswa kulipa kiasi kisichopungua milioni 2 ili apate leseni jambo ambalo limepingwa na wadau wa habari nchini wakidai ada hiyo ni kubwa na inalenga kuzuia upatikanaji wa habari kwa wananchi kwasababu wamiliki wengi hawana hicho kiasi
licha ya mamlaka husika kutoa kibali au leseni ya kuendesha blogu pia ina nguvu kisheria kunyanganya kibali/leseni ikiwa blogu itachapisha maudhui yanayodhaniwa kusababisha au kuhatarisha amani kuchochea machafuko au uhalifu au yanatishia usalama wa taifa au afya na usalama wa umma
watumiaji wa simu janja nao watakasa taarifa
waliopewa mamlaka ya kusimamia maudhui ya mtandaoni ambao ni mamlaka ya mawasiliano tanzania (tcra) watakuwa na uwezo pia wa kuwalazimisha wamiliki wa blogu au tovuti kuondoa maudhui yanayodhaniwa kuwa hayafai ndani ya saa 12 na kama hawajatimiza maagizo hayo wanaweza kulipa fidia isiyopungua milioni tano au kifungo kisichopungua mwaka mmoja jela
tangu zilipopendekezwa mwaka jana wanaharakati na watetezi wa haki za binadamu ikiwemo mwanzilishi wa jamiiforums maxence melo walijitokeza na kuhoji baadhi ya vipengele ambavyo vilionekana kukiuka faragha za watu kuminya uhuru wa wananchi kujieleza na kutoa maoni
kanuni hizo zitaithiri jamiiforums kwasababu watumiaji wake watatakiwa kutumia majina halisi na siyo ilivyo sasa ambapo mtu ana uamuzi wa kutumia jina lolote jamiiforums ilifanya hivyo ili kulinda faragha za watumiaji wake na kuongeza uhuru kujieleza
haya yote yanatokea tanzania ambako juhudi mbalimbali za kuinua teknolojia ya mawasiliano na habari zinaendelea ili kushindana na nchi jirani za afrika mashariki kama kenya
masharti ya usajili na ada yanaonekana kuwa mzigo mkubwa kwa waanzilishi wa blogu na runinga za mtandaoni hatimaye itakamwamisha mchakato wa kuinua uhuru wa habari nchini alisema angela quintal mkurugenzi wa kamati ya afrika ya kuwalinda wanahabari | 2020-04-09T14:06:31 | http://fikrapevu.com/jinsi-intaneti-inavyofanya-kazi-kwenye-ndege/ |
related images tumewasha washkajizangu powerbreakfast
1561k images of watapatatabusana
hekaheka ya leo ya msuto wa ajabualiyeenda kusutwa akaanza kuchana nguo yake ili abaki mtupu follow me now @ramardramar follow me now @ramardramar mambo ni motooo 🔥🔥🔥🔥 #taambianiniwatu #ramardramar #bongomovie #diamondplatnumz #simba #washkajizangu #watapatatabusana #mungu #kigoma #hiiniyetusote #tumewasha #wasafitv #wasafi #alikiba #kitengefashion #chombokwahewa #millardayoupdates #tanzania #huunimwakawako #kondegang #harmonize #hainakufeli
msanii mbwa anandoto za kufika mbali sana kama kuna mwenye sapport tafadhari amsaidie 🤣 follow @saimon_simba @saimon_simba #washkajizangu #watapatatabusana #mungu #arusha #hiiniyetusote #tumewasha #wasafitv #wasafi #alikiba #kitengefashion #chombokwahewa #millardayoupdates #tanzaniaweddings #africaweddings #tanzania #tetema #huunimwakawako #diamondplatnumz #simba #platnumzgallery #wcb4life #washkajizangu #watapatatabusana #mungu #arusha #hiiniyetusote #tumewasha #wasafitv #wasafi #alikiba #kitengefashion #chombokwahewa #millardayoupdates #tanzaniaweddings #africaweddings #tanzania #tetema #huunimwakawako#diamondplatnumz #simba #platnumzgallery #wcb4life #washkajizangu #watapatatabusana #mungu #arusha #hiiniyetusote #tumewasha #wasafitv #wasafi #alikiba #kitengefashion #chombokwahewa
onja utamu huu kwa mawakala wetu wa @ubuyumtamuwashilawadu walothibitushwa na @shilawadu ndani na nje ya nchi uweze kumungunya 😋😋😋😋😋🔥🔥🔥🔥🔥 karatu ni pick point mini super market karatu deus sokoni mini super market kahama moody classic @moodynas mama esther shop himo moshi odo min super market sinza mori poa supermarkets zote dodoma triple d yummy point barabara ya 6 karib na agha khan kondoa 0621 230530 moshi 069 284 1164 china @bob_jidy mtoni kwa azizally aljazeera super market arusha ni sanawari min super market mbezi mwisho ni jm min super market stand kahama ni royal super market tabata shule ni migrate min super market sinza madukani ni identity super market tabata kimanga isanya ndugu shop kimanja njia panda kuweka oda bei ya jumla piga 0714738086 unaletewa ulipo kwa jumla 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 mambo ni mengi muda ni mchache jamanimambo yanazidi kuwa mambo #shilawadu #shilawaduxtra #watapatatabusana #hatushindwi #wambeawakimataifa #shilawaduwambeawakimataifa #umbeaunalipa #sisisiowatuwamchezomchezo cc @shilawaduxtra @shilawadu @ubuyumtamuwashilawadu
leo nimewa miss jamani mpo poa💁 @officialnandynation #nairobikenya#igkenya#iamnairobian #publicity254 #madeinkenya#igersnairobi #nairobian #fashionkenya#254fashion #kenyaphotography #wasafi #tetema #mwanza #tetemachallenge #tumewasha#chombokwahewa #watapatatabusana#kenyanmemes #ourcolordays#tembeakenya #vscokenya #canonkenya #nakuru#vscokenya #harmonize#diamondplatnumz #rayvanny #tumewasha#inama #in a made
#shilingi in my bio fanya kumfollow my brother hapo chin 👇👇👇👇👇👇👇👇 fσℓℓσω @mbosso_platnumz fσℓℓσω @mbosso_platnumz fσℓℓσω @mbosso_platnumz fσℓℓσω @mbosso_platnumz fσℓℓσω @mbosso_platnumz fσℓℓσω @mbosso_platnumz fσℓℓσω @mbosso_platnumz fσℓℓσω @mbosso_platnumz #africasweetheartweddings #mungu #ijumaakareem #kitengefashion #eastafricaweddings #weddaily #weddingnigeria #fashionkenya #kwangwaru #myweddingnigeria #wcb_tweets #kenyanmemes #arusha #weddingnaija #watapatatabusana #kenyafashion #jollof #baad2017 #afrobeats #chombokwahewa #tanzaniaweddings #powerbreakfast #mwanza #washkajizangu #bbnaijadoublewahala #nairobifashion #diamond_tweets #kigoma #tumewasha
weka comment yako👇👇👇
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa dkt john pombe magufuli akiongoza kikao cha baraza la mawaziri kilichofanyika ikulu jijini dar es salaam septemba 23 2019 #bongomovie #diamondplatnumz #simba #washkajizangu #watapatatabusana #mungu #kigoma #hiiniyetusote #tumewasha #wasafitv #wasafi #alikiba #kitengefashion #chombokwahewa #millardayoupdates #tanzania #ʜᴜᴜɴɪᴍᴡᴀᴋᴀᴡᴀᴋᴏ
a caption for her 🤔💙 #boytraore224 #bbnaija #blackexcellence #thisisaccra #shattabundle #abujabusiness #drizzy #beatboxing #guinee #galsen221 #ghanaweddingvendors #yaounde #lagosmakeupartists #zylofonmusic #ninaivy #madeinnigeria🇳🇬 #chefchi #ghfashion #eastafricaweddings #successmindset #thatpart💯 #abidjanbynight #watapatatabusana #senegal🇸🇳 #welove2laughtv #brodashaggi #gainwithpaula #dmxchallenge #afrodance #lionking
🐺 #arusha #weddingnaija #watapatatabusana #kenyafashion #jollof #baad2017 #afrobeats #chombokwahewa #tanzaniaweddings #powerbreakfast #mwanza #washkajizangu #bbnaijadoublewahala #nairobifashion #diamond_tweets #kigoma #tumewasha #simbasctanzania #simba #soccer #chibudangote #zalithebosslady #eastafricaweddings #kenyafashion #kenyaweddings #kinseywolanski #mbeya #mwanza
najivunia vingi kutoka kwako mdogo wangu endelea kutunza heshima na kua bora siku zote na kuzidi kufanya makubwa much respect much lovehappy birthday my young brother @sirleem7d @sirleem7d @sirleem7d @sirleem7d picture by @sirleem7d @sirleem7d #bongomovie #diamondplatnumz #simba #wcb4life #washkajizangu #watapatatabusana #mungu #arusha #hiiniyetusote #tumewasha #wasafitv #wasafi #alikiba #chombokwahewa #millardayoupdates #tanzania #tetema #huunimwakawako #millardayosports
hawezi mjaji mtu kwa mwonekano wake na ukamtolea kasoro huenda kuna vitu ukaviona kwa mwonekano ila kiuhalisia hayuko hivo kondeboy ni #jeshi👽 lisilotabilika go go go vote💪 follow my gee @harmonize_one @harmoninze_one @chopa_the_bestboy @harmonize_tz 🔥 @jabulant_ @jose_wamipango __________________________________________ my number +255 682 113 325 #kondegang4everybody #kondeboy #kondegang #kondegangnews 👍 #africasweetheartweddings #mungu #ijumaakareem #kitengefashion #eastafricaweddings #weddaily #weddingnigeria #fashionkenya #kwangwaru #myweddingnigeria #wcb_tweets #kenyanmemes #arusha #weddingnaija #watapatatabusana #ic_nature #kenyafashion #jollof #baad2017 #afrobeats #chombokwahewa #tanzaniaweddings #powerbreakfast #mwanza #washkajizangu #africasweetheartweddings #mungu #ijumaakareem #kitengefashion #eastafricaweddings #weddaily #weddingnigeria #fashionkenya #kwangwaru #myweddingnigeria #wcb_tweets #kenyanmemes #arusha #weddingnaija #watapatatabusana #ic_nature #kenyafashion #jollof #baad2017 #afrobeats #chombokwahewa #tanzaniaweddings #powerbreakfast #mwanza #washkajizangu
utamu huu haujawahi kumuacha mtu salamaaaaa😋😋😋😋😋😋 fursa fursaaaa ndio hii km unahitaji kuongeza kipato chako sasa changamkia fursa ya kuuza ama kuwa wakala wa @ubuyumtamuwashilawadu popote pale ulipo ili uweze kuongeza kipato chako kuweka oda call or whtaap 0714738086 nw unaletewa ulipo bila garama za usafiri kuongezeka ( free delivery only in tanzania) mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 mambo ni mengi muda ni mchache jamanimambo yanazidi kuwa mambo #shilawadu #shilawaduxtra #watapatatabusana #hatushindwi #wambeawakimataifa #shilawaduwambeawakimataifa #umbeaunalipa #sisisiowatuwamchezomchezo cc @shilawaduxtra @ubuyumtamuwashilawadu @shilawadu
picha queen wa bongoflava @mauasama ndani ya studio za efm radio kama unampenda comment tujuane❤❤❤❤
upendo wa kweli for more updates please follow @serviours_media @serviours_group_tz #watapatatabusana #mungu #isheketue #wcb4life #washkajizangu #wemasepetu #wasafitv #watapatatabusana #chombokwahewa #idrissultan #chibudangote #theonedp #alikiba #wcb #wcbwasafi #wcb4life #wcb_tweets #wcb_for_life #wcb_reporter #diamondplatnumz #wemasepetu #zarithebosslady #roronation #eastafricaweddings #eastafricaradio #wasafi #wasafimedia #wasafifestival #wasafifestival2018 #wasafitv #wasafifm #wasafi #wasafimedia #wasafifestival #wasafifestival2018 #wcb #wcbwasafi #wcb4life #wcb_tweets #diamondplatnumz #diamondplatnumz_trends #zarithebosslady #wemasepetu #nyegezi #roronation #eastafricaweddings #eastafricanweddings #alikiba #chibudangote
kwani veep mbn kicheko kama chote sauti inatosha cc @zamaradiitv
cc @zamaradiitv ebitoke amesema moyo wake ulikuwa serious kabisa kwenye mahaba ya benpol isipokuwa benpol yeye hakuwa serious na penzi lao ambalo mwishowe lilivunda hata hivyo kisura huyo amesema kwasasa anafurahia penzi lake na mlela kwa kila hali akisema licha ya penzi lakini pia wanafanya kazi pamoja
📷picha ya sikumh joseph mbilinyi #jongwe akiwa na familia yake baada ya kumaliza michakato mizima ya harusi
beautiful couple mua @makeupartistryby__debby photographed @edyclassicphotography deco @grandtouchevents #weddingnigeria #myweddingnigeria #washkajizangu #mwanza #powerbreakfast #chombokwahewa #kenyafashion #watapatatabusana #weddingnaija #fashionkenya #weddaily #eastafricaweddings #kitengefashion #africasweetheartweddings #kenyanmemes #arusha #baad #tanzaniaweddings #afrobeats #jollof #weddingnigeriandigest #weddingnigeria_africa #weddingnigeriadigest #weddingnigerianpictures #weddingnigerians #weddingnigeriagallery #weddingnigeriaplus #weddingnigeriapictures #weddingnigeriandiguest @nigerianwedding @weddingniger @bellanigeria @bellanaijaweddings
picha ya sikujeungependa hawa wote wakutane kwenye movie ya pamoja na movie hiyo iende kwa jina gani ni star gani kutoka kiwanda cha #bongomovie umemtambua kwa haraka hapo
kwa kweli huyu ndo simba😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🏃🏃
dawa ya mwanamke jeuri😂😂😂😂
baharia choro vp tenaaa 😁😁😁 unajifanya mteemi kumbee boya2 me simooo😁@chorohunter @anodi_master #bongomovie #diamondplatnumz #simba #wcb4life #washkajizangu #watapatatabusana #mungu #arusha #hiiniyetusote #tumewasha #wasafitv #wasafi #alikiba #chombokwahewa #millardayoupdates #tanzania #tetema #huunimwakawako #millardayosports | 2019-09-23T15:15:15 | https://zamaye.com/tag/watapatatabusana |
bizaleli ya yesu oyo esengeli komekola | bomoi ya yesu
mityáká na esika ya basusu
lokola yesu azalaki moto ya kokoka azalaki konyokwama te mpe komitungisa te lokola bato mosusu azalaki nde koyokela bato mawa mingi azalaki kosalela bango makambo koleka oyo basengeli na yango motema mawa ezalaki kotinda ye asalisa bango makambo oyo asalaki elobelami na mokapo 32 37 57 99
sololáká na bato
ezala bilenge to mikóló bazalaki kobanga te kosolola na yesu mpo azalaki kotyola bato te mpe azalaki komona te ete aleki bango lokola yesu azalaki kotyela bato likebi bazalaki kosepela kozala elongo na ye mpo na koyeba yango talá mokapo 25 27 95
bondeláká mingi
mbala mingi yesu azalaki kobondela tata na ye ezala ntango azali ye moko to na bato mosusu oyo bazalaki kosambela yehova azalaki kobondela na mabaku mingi kaka na ntango ya kolya te abondelaki mpo na kopesa tata na ye matɔndi mpo na kosanzola ye mpe koluka litambwisi na ye liboso ya kozwa bikateli ya minene talá bandakisa yango na mokapo 24 34 91 122 123
kolukaka kaka bolamu na yo moko te
ntango mosusu na esika yesu apema to amisepelisa mwa moke azalaki nde kosalisa bato azalaki koluka bolamu na ye moko te na likambo oyo mpe atikelá biso ndakisa oyo tosengeli kolanda mpo na koyekola makambo yango talá mokapo 19 41 52
yesu asukaki kaka te na koteya ntina ya kolimbisa kasi amonisaki yango na ndenge azalaki kolimbisa bayekoli na ye mpe bato mosusu manyolá na bandakisa oyo ezali na mokapo 26 40 64 85 131
zalá na molende
biblia esakolaki ete bayuda mingi bakondimela masiya te mpe banguna na ye bakoboma ye na yango yesu akokaki kolɛmbisa mabɔkɔ mpo asalisa bato te kasi na esika ya kosala bongo atombolaki losambo ya solo na molende mpenza atikelá bayekoli na ye ndakisa ya malamu oyo basengeli kolanda ntango bato bazali koboya koyoka nsango malamu to kotɛmɛla bango talá mokapo 16 72 103
yesu alekaki bato ya kozanga kokoka na boyebi mpe na bwanya lokola azalaki moto ya kokoka azalaki na makasi mingi mpe na mayele koleka bato nyonso kasi azalaki kosalela basusu na komikitisa mpenza okozwa mateya na makambo yango na mokapo 10 62 66 94 116
zalá motema molai
ntango bantoma ya yesu mpe bato mosusu bazalaki kolanda ndakisa na ye te to kosalela te makambo oyo ateyi bango yesu azalaki ntango nyonso komonisela bango motema molai azongelaki makambo oyo basengelaki na yango na motema molai mpenza mpo bákoka kobongisa boyokani na bango na yehova mpo na kozwa mateya na motema molai ya yesu talá mokapo 74 98 118 135 | 2017-12-12T22:41:01 | https://www.jw.org/ln/mikanda/babuku/yesu/mekola-bizaleli-ya-yesu/ |
tanga raha sehemu ya ishirini na nne ( 24 ) | habari24
home » hadithi riwaya » tanga raha sehemu ya ishirini na nne ( 24 )
tanga raha sehemu ya ishirini na nne ( 24 )
written by bigie on thursday march 8 2018 | 25700 pm
wazo la haraka likanijia kichwani kwangu na nikalitekeleza kwa haraka ambalo nikaanguka chini na kunza kurusha rusha miguu kama mtu aliyepandwa na mapepo huku nikitoa makelele ya kunguruma na mikono yangu mara kwa mara nikiipeleka kwenye zipu yangu na kuifunga na kumfanya yudia kusimama mlanoni kwa woga akimsubiria mama yake kuingia ndani ya chumba cha kusomeamama mchungaji akaingi na baada ya kuniona nipo kwenye hali niliyo nayo ambayo kwangu ninaigiza ili kuua soo la kufumaniwa na mtoto wa mchumaji
kalete biblia yangu ipo sebleni ya juu
yudia akatoka ndani ya chumba huku akinisogelea na kuniwekea mkono kichwa ni na akaanza kuniombea kimya kimya wala sikujua kama anaombanikajikuta nikianza kutulia taratibu huku macho yangu yakiwa yametua kifuani mwa mama mchungaji kwani ukubwa wa maziwa yake yenye rangi nzuri ya kuvutia yakanifanya mawazo yangu kuanza kufikiria vitu vya ajabua ajabuyudia akafungua mlango na kuja hadi sehemu tuliyopo
hiyo biblia ipo wapi
sijaiona
nimeiweka kwenye meza ya computer fanta haraka hali ya mwenzanu inakuwa mbaya
sasa mama si umuamshe baba
baba yako yupo kwenye maombi binafsi hembu fanya haraka kailete biblia hembu fanya haraka
yudia akaondoka na kumuacha mama yake akiendelea kukemea mapepo ambayo sikuwa nayo japo nimekubwa na vituko visvyo kuwa na kichwa wala miguu ila ninajielewa mimi mwenyewenikaona nisimpotezee m mama wa watu muda nikasimama na kukaa kitako na kujifanya mapepo yamenitoka
unajisikiaje eddy
ohhhh thaks loard(ohhhh asante bwana)
mama mchungaji alizungumza huku akijifunga tenge lake vizuri na mimi nikanyanyuka na kukaa kwenye kiti
tukuletee kitu cha kula
haoana ninajisikia vizuri tuu
mama nimeiona
yudia alizungumza huku akiingia ndani ya chumba tulichopo na akajikuta akiwa ameishika biblia huku akitushangaa kwa maana alihisi atanikuta nikiwa ninarusha rusha miguu kama mara ya kwanza
ameshapona
ndio amesha pona lete hiyo biblia nimpe mistari ya kusoma ili akajisome chumbani kweke
yudia akampa mama yake biblia na akaanza kunisomea mistaria ambayo nitwakenda kusoma chumbani kwangunikaikariri na nikaagana nao na kuondoka ndani ya chumba na moja kwa moja nikaingia katika chumba ambacho joseph alinionyeshanikapanda kitandani huku nikijichekea kimoyo moyo kwa kitendo nilicho kifanya
hii ya leo kali kumbe na mimi ninaweza kuigiza inanibidi niingie bongo movie
nilikisemea kimoyo moyo huku nikilirudia tendo nililokuwa nimelifanya na kujikuta nikicheka kwa sauti ya chininikasimama na kuvua nguo zangu na kuingia bafuni na kufungulia maji ya bomba la mvua na kuanza kuoga huku nikipiga mluzi usio eleweka ni wa nyimbo ganinikastuka baada ya kuusikia mlango wa kuingilia chumbani kwangu ukifumguliwa kutonana na mapovu niliyokuwa nayo usoni nikanawa uso wangu haraka haraka kwa kutumia maji masafi na kujifunga taulo na kuchungulia na kuukuta mlango ukiwa umefungwa kama nilivyo ufunga
mmm labda sijausikia vizuri itakuwa ni hii miluzi yangu ya kijinga
niliijifariji na kutudi tena bafuni na safari hii nikaoga haraka haraka na kutoka na kupanda kitandani na nikakumbuka mistari aliyo ambiwa na mama mchungaji na uzuri zaidi biblia ipo sehemu ya wazi ambayo nikaichukua na kuifungua na kujikuta nikistuka baada ya kuto kuikuta na anadihi hata mojanikairudisha mezani huku mapigo ya moyo yakianza kuniienda mbio huku nikianza kupata na wasiwasi
isije kuwa olvia amekuja huku kwa mchungaji
nilijiuliza maswali ambayo hayana majibu ya uhakikanikachukua shuka nikajifunika gubigubi kuanzia miguuni hadi kichwani kwa lengo la kutokuona kitu cha aina yoyote kitakacho endelea ndani ya chumba nilichopousingizi ulianza kunichukua taratibu na gafla chumba nilicho lala kikaanza kutwaliwa na makelele ya watu wakilia huku wengine wakichekanikanyanyuka huku nikiwa nimeyaziba masikio yangu nisiendelee kuyasikia makelel yanayoendeleanikaanza kupiga hatua za kwenda mlangoni ila nikastukia nikamuona mdogo wangu ambeye alifariki tukiwa wadogo akisimama mlangoni huku macho yeke yakiwa yanatokwa na damu huku mikono yeke akiwa ameinyooshea kwangu
kaka eddy njoo njooo huku nilipo
gafla kwenye kona ya kushoto akatokea mama yangu huku akiwa ameshika panga mkononi mwake akionekana akiwa ametokea shamba akaanza kunitazama kwa macho ya huruma huku machozi yakimwagika taratibu huku kichwa cheke akikitingisha kwa ishara ya kunisikitikia
eddy mwanangu nakuomba uondoke ndani ya hii nyumba si pazuri tafadhali mwanangu tafadhali mwanangu
sauti nzito ya baba nikaisikia ikitokea nyuma yangu na kujikuta nikigeuka kwa haraka na kumkuta baba mwili wake ukiwa ni mweusi kupita maelezo huku macho yake yakiwa yametoka kwa nje huku yakiwa yamejaa uweupe mkubwa kiasi kwamba nikazidi kuogopa
eddy ondoka ndani ya hii nyumba tafadhali mwangu ondokaaa
makelele yakazidi kunichanganya na taratibu wakaanza kunisogelea huku wakiniweka katikati na kutaka kunikumbatia na gafla nikajikuta nikiwasukuma na kustuka nikiwa nimekaa kitandani huku jasho jingi likiwa linanimwaika na kumkuta yudia akiwa anamalizia kuvua nuo zake na kubaki kama alivyo zaliwa na sikuja hata ndani kwangu ameingia muda ganiakapanda kitandani kwangu na kunifunua shuka nililo jifunga
wee
yudia akanilaza kitandani na kunikalia kiunoni huku akinitazama kwa macho malegevu huku na mikono yangu akichanua na nikawa kama ninasulubiwa
eddy emenifanya nishindwe kulala kwa ajilia yako
ila wewe kumbuka kuwa wewe ni mwanafunzi
kwani mwanafunzi ndio hapewi rahanataka unipe japo kidogo kabla ya baba na mama hawajafanya yao
hawajafanya yao yapi
tupotezee hilo
sikuwa na ujanja kwa jinsi yudia alivyo niweka nikajikuta nikitulia na kumuacha yudia kufanya yake taribu akaanza kuichua koki yangu hadi ikawa tayari kwa mapambano nikashangaa kuona koki yangu ikizama yote kwa yudia ambaye kwa muonekano ni msichana mdogo kwa umri japo umbo lake ni kubwa kiasi kwama linamvuto wakumshawishi mwanaume wa aina yoyote kumtamaniyudia akaendelea kujipa raha ila kwa upande wangu sikuwa na amani kabisa na akilini mwangu nikaanza kufikiria maneno niliyotokwa kuambiwa muda mcahche uliopita katika ndoto na kwajinsi tunavyo fanya hili tukio nikawa ninahisi kama mchungaji anatushuhudia uchafu wetuhadi tunamaliza kupeana raha yudia akaonekana kuridhika na akajizala kitandani huku akihema na jasho likimwagika
eddy nikuambie kitu
unajua kama baba na mama sio wachungaji kama watu wanavyo wadhaniaila hii ni siri ninakuomba usimwambie mtu yoyote
nikajikuta mapigo ya moyo yakianza kuniende mbio kiasi kwamba nikajikuta nikinyanyuka kitandani na kukaa huku nikimtazama yudia kwa macho makali kiasi huku nikiwa siamini manen anayo niambia
ikifika saa nane na nusu usiku nitakuonyesa ibada wanazo zifanya baba na mama na baadhi a watu kwenye kanisa lao
unajua hadi sasa hivi sijakuelewa vizuri unamaanisha nini
ngoja ukajishuhudie na macho yako ndio utaelewa ninamaanisha nini kwani sasa hivi ni saa nane kasoro utaona tu kila kitu
tukakaa hadi mida ya saa nane usiku yudia akaninongoneza na kuniambia huu ndio wakati maalamu wa wazazi wake kwenda kwenye sala zao ambazo sikujua ni sala za aina gani wanazo zifanya waotukatoka ndani ya chumba huku tukinyata na yudia akiwa amevaa gauni lake la kulalia na tukafika sebleni na taa zote tukakuta zimezimwa na yudia akaniomba tuingie ndani ya chumba cha kusomea nikataka kumuuliza swali ila nikasita na kujikuta nikiingia ndani ya chumba hicho na yudia akasimama kwenye moja ya ukuta wenye vitabu na kuusukuma na ikafunguka njia ya mlango mwembamba amabao unaruhusu mtu kuingia
yudia akaniambia na sote tukaingia ndani ya ya chuma hicho ambacho kinagiza totoro ila kwa mbali kuna taa za vibatari zinazo waka kwa kwa mwana makali na yudia akaniomba nisipige kelele ya aina yoyote kwani watu wapo kwenye ibada na ikitokea nitafanya kitu kama hicho utakuwa ndio mwisho wa maisha yetukatika chumba tulicho ingia kuna mabenchi kama ya kanisani ambayo kwa mbele yake kuna madhabahu ambayo wamesimama watu wachache walio valia mavazi meusi na mekundu ambayo yamewafunika vichwa vyao huku moshi mchache ukiwa umetawala kwenye madhabahu hiyotukajifichwa kwenye moja ya benchi na kuendelea kuwashuhudia watu wapatao theladhini wakiimba nyimbo amabazo sikuzielewa ni nyimbo za aina gani kwani hata tune yake si kama nilizo wahi kuzisikia
pale baba na mama yako ndio wapi hao
baba ni yule aliyeshika lile jitabu kubwa na mama yule akiyeshika msalaba wenye nyoka mbele
nikaendelea kutazama kwa umakini na kuanza kujiuliza kama dini yenyewe wanayo ifanya huyu mchungaji na baadhi ya waumini wake ipo hivi je nguvu za kuwaombea watu na wakatokwa na mapepo wameziotoa wapi
wanatumia lunga gani kuzungumza pale
kile ni kirusi kilicho changanyikana na kireno
wewe unakifahamu
ndio naelewa wanacho kizungumzakaka pale baba anasema kwamba hali ya waumini inazidi kuongezeka kanisani na anatoa pongezi kwa kanzi nzuri waliyo ifanya katika kuongeza wafuasi wa kanisa lao ambalo ni jipya kwa hapa tanga
tukaendelea kutazama mambo wanayo yafanya na baada ya muda nikamuona mchunaji akinyoosha mkono wake kwenye kioo kikubwa na gafla ikatokea picha yangu kipindi nikiwa nipo sebleni kwa mchungaji ninakula na nikaanza kujikuta nikitetemeka kiasi kwamba nikataka kunyanyuka na kuondoka ila yudia akanizuia nisiondoke
wanasema kuwa wewe ni miongoni mwa watu wenye nyota zenye nguvu duniani na wanahitaji waichukue ili waweze kuongeza kasi kubwa ya ukuaji wa makanisa yao
maneno ya yudia yakazidi kunichanganya kiasi kwamba nikatamani ardhi ipasuke na niingie na inimeze
na wanasema adhimio hilo watalifanya kesho saa sita kamili mchana watakapo kuja nyumbani kwako kukuombeana wanataka damu yako ndio itakuwa ufunguo mkubwa wa nguvu zao ambazo wanazo hitaji kuzipata kutoka kwako
galfa hali ya hewa ikaanza kubadilika mbela ya madhabahu na upepo mkali ukatawala na radi vikaanza kutawalia kila pande ya madhabahu ila watu walio kuwepo wakabaki wakiwa wamesimama huku mikono yao wameinyoosha mbele kana kwamba wanapokea kitu kutoka juumwanga mkali ukatoka kwenye sehemu ya madhabahu yao na gafla wakatokea watu wawili walio valia nguo nyeupa na mmo akiwa ni mwanaume na mwingine akiwa ni olvia hitler na kunifanaya mwili mzima kunyongonyea na kuishiwa nguvu kabisa | 2018-05-25T12:52:52 | https://www.habari24.com/2018/03/tanga-raha-sehemu-ya-ishirini-na-nne-24.html |
yanga sc yaendeleza ubabe mechi za kujipima nguvu moro yaichapa 20 friends rangers bin zubeiry sports online yanga sc yaendeleza ubabe mechi za kujipima nguvu moro yaichapa 20 friends rangers bin zubeiry sports online
mwanzo > yanga > yanga sc yaendeleza ubabe mechi za kujipima nguvu moro yaichapa 20 friends rangers
yanga sc yaendeleza ubabe mechi za kujipima nguvu moro yaichapa 20 friends rangers
yanga sc leo imeendeleza wimbi la ushindi katika mechi zake za kujipima nguvu kwenye kambi yake morogoro kujiandaa na msimu mpya baada kuichapa friends rangers ya daraja la kwanza mabao 20 uwanja wa chuo cha biblia bigwa
mabao ya yanga sc katika mchezo wa leo yamefungwa na mshambuliaji wake mpya kutoka namibia sadney urikhob dakika ya 38 na nahodha mpya kiungo papy kabamba tshishimbi raia wa jamhuri ya kidemokrasia ya kongo (drc) dakika ya 64
yanga sc itateremka tena dimbani jumapili wiki hii kumenyana na kariobangi sharks ya kenya uwanja wa taifa mjini dar es salaam katika kilele cha wiki ya mwananchi
mechi nne zilizotangulia yanga imeshinda 101 dhidi ya dhidi ya tanzanite 70 dhidi ya atn 20 dhidi ya moro kids na 10 dhidi ya mawenzi market
item reviewed yanga sc yaendeleza ubabe mechi za kujipima nguvu moro yaichapa 20 friends rangers rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry | 2020-01-26T09:40:54 | http://www.binzubeiry.co.tz/2019/07/yanga-sc-yaendeleza-ubabe-mechi-za_30.html |
mzozo waibuka mazishi ya robert mugabefamilia yagoma kuzikwa makaburi ya mashujaa | malunde 1 blog
home » habari matukio » mzozo waibuka mazishi ya robert mugabefamilia yagoma kuzikwa makaburi ya mashujaa
mzozo waibuka mazishi ya robert mugabefamilia yagoma kuzikwa makaburi ya mashujaa
familia ya kiongozi wa zamani wa zimbabwe robert mugabe imekataa shujaa huyo wa vita vya ukombozi kuzikwa katika makaburi ya kitaifa ya mashujaa na badala yake wanataka azikwe katika makaburi ya familia kama alivyousia wakati wa uhai wake
mwili wa rais wa zamani wa zimbabwe robert mugabe unatarajiwa kuwasili jumatano nchini zimbabwe na serikali imethibitishwa kuwa mazishi yake yatafanyika katika siku mbili za wikendi ijayo
mpwa wa mugabe anasema alikuwa akiwa mtu mwenye machungu kutokana na usaliti aliofanyiwa na watu wake wa karibu
mpwa wake leo mugabe amekanusha kuwa kuwa kulikuwa na suala la kutoelewana na serikali lakini akakiri kuwa mjomba wake alikufa akiwa mtu mwenye hasira sana baada ya kung'olewa madarakani mwaka 2017 na jeshi pamoja na makamu wake wa zamani
alikuwa mwenye machungu unaweza kufikiria watu ambao uliwaamini watu ambao walikuwa wakikulindawakikushughulikia usalama wako unakugeuka alikuwa mwenye masikitiko makubwa na iliweka doa kwenye utawala wake alisema
wengi miongoni mwa mashujaa wa taifa la zimbabwe wale ambao walishirikiana katika mapambano dhidi ya utawala wa wazungu walio wachache wamezikwa katika eneo la makaburi ya mashujaa
father fidelis mukonori ambaye alikuwa na jukumu muhimu katika mazungukati ya waliopanga mapinduzi ya mwaka 2017 na bwana mugabe anasema kuwa anatamani angekuwa memuomba rafiki yake angekuwa amemuombea rafiki yake miaka 40 kama kweli alihisi kuwa maesalitiwa
ninajihisi mzito sana ndani yangu kwasababu unaweza kumpata baba mmoja tu wa taifa kama mtoto unaweza kuwa na wazazi tu ameondoka
kasisi wa kikatoliki anasema kuwa bwana mugabe ni roho ya watu 70 000 waliokufa wakati wa vita vya ukombozi wa zimbabwe
lakini kasisi huyo anamatumaini juu ya namna kiongozi huyo aliyewaongoza wazimbabwe kupata uhuru alivyohisi kabla ya kifo chake alikuwa tayari kuondoka alikuwa na utashi wa kuondoka alikuwa ana matumaini ya kuondoka
wakuu wa mataifa wanaalikwa katika sherehe za umma za kutoa heshima kwa bwana mugabe lakini si kwa ajili ya mazishi halisi | 2020-01-29T04:32:06 | https://www.malunde.com/2019/09/mugabe_9.html |
taswira ya flyover ya tazara baada ya magari kuruhusiwa kupita habari na matukio
home habari habari za kijamii taswira ya flyover ya tazara baada ya magari kuruhusiwa kupita
kajunason at september 19 2018 habari habari za kijamii
muonekano wa njia ya juu (flyover) katika makutano ya barabara za nyerere na mandela eneo la tazara jijini dar es salaam baada ya magari kuruhusiwa kupita juu yake kufunguliwa kwa flyover hio kumepunguza adha ya foleni kwa kiwango kikubwa kiasi ya kwamba safari kutoka katikati ya jiji hadi uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere hivi sasa huchukua si zaidi ya nusu saa badala ya masaa mawili au matatu ya awali picha na muhidin issa michuzi | 2019-06-16T17:28:23 | https://www.kajunason.com/2018/09/taswira-ya-flyover-ya-tazara-baada-ya.html |
kamati ya un kutetea haki za msingi za wapalestina yakutana na balozi mahiga | mtaa kwa mtaa blog
waziri wa mambo ya nje ushirikiano wa afrika mashariki kikanda na kimataifa balozi augustino maiga (katikati) akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya mazungumzo na kamati maalumu ya umoja wa mataifa (un) iliyoundwa kutetea haki za msingi za raia wa wapalestina alipokutana nayo jijini dar es salaam kulia ni balozi wa palestina katika umoja wa mataifa (un) na mjumbe wa kamati ya un kutetea haki za msingi za wapalestina dk riyad mansour | 2017-12-12T21:50:51 | http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2017/12/kamati-ya-un-kutetea-haki-za-msingi-za.html |
mashabiki wa klabu ya manchester united tawi la lodwar wametumia siku ya wapendanao dunia kuwasaidia wangojwa northrift radio
mashabiki wa klabu ya manchester united tawi la lodwar wametumia siku ya wapendanao dunia kuwasaidia wangojwa
huku ulimwengu ikiadhimisha siku ya valentines day hii leo mamia ya mashabiki wa timu ya manchester united tawi la lodwar wamesherekea siku hii kwa njia ya kipekee kwani wamehamua kutumia siku ya wapendanao kuwatembelea wagonjwa katika hospitali ya rufaa ya lodwar na kuwapa msaada
kupitia ukurasa wake wa twitter tim timmoh ambaye ni mmoja wa viongozi wa mashabiki wa klabu ya manchester katika kaunti ya turkana amesema kampeini hiyo walilolipa jina la red with a purpose lililenga kuwatembelea wagonjwa na kutoa zawadi ya damu kwa watu wenye uhitaji wa bidhaa hiyo adimu
akizungumza kwa niaba ya hospitali ya rufaa ya lodwar mshirikishi wa kitengo cha damu katika hospitali hiyo samuel kapengi ameshabiki hatua ya wafuasi ya timu ya manchester united tawi la lodwar kushirikiana nao kwenye shughuli ya kuchanga damu ikizingatiwa kuwa kuna idadi kubwa ya watu wenye uhitaji wa damu katika kaunti yaturkana
hata hivyo ametoa wito kwa wahisani wengine kujitolea na kushirikiana nao kwenye shughuli ya utoaji damu ili kukithi idadi kubwa ya watu wanaohitaji damu katika hospitali ya rufaa ya lodwar kwani imebainika akina mama na watoto ndio wanahitaji bidhaa hiyo adimu kwa wingi | 2020-02-27T18:07:18 | https://northriftradio.co.ke/mashabiki-wa-klabu-ya-manchester-united-tawi-la-lodwar-kutumia-siku-ya-wapendanao-dunia-kuwasaidia-wangojwa/ |
bongo voice rachel amuumiza wastara amuachia davina hausigeli
rachel amuumiza wastara amuachia davina hausigeli
kifo cha msanii wa filamu rachel haule kimewaumiza wengi lakini baadhi yao ni wasanii wenzake halima yahaya davina aliyeachiwa hausigeli wa marehemu katika mazingira ya ajabu huku wastara juma akiumizwa na viatu na pochi alivyopewa na rachel kabla hajafariki dunia
msaniii wa bongo movie halima yahaya davina akiwa na simanzi kubwa
akizungumza na ijumaa juzi davina alisema alihangaika sana kumtafutia rachel hausigeli ili atakapojifungua asipate shida lakini siku moja kabla ya kifo alipompigia simu akitaka ampelekee mtu wake simu haikupokelewa hadi alipopata taarifa za kifo
aliniambia nimtafutie msichana nikafanya hivyo wakati najipanga kumpelekea nyumbani kwake nasikie eti kafariki naumia sana alisema davina
naye wastara alisema nilikutana naye wiki chache zilizopita nikaipenda pochi yake akaniambia atanipa siku iliyofuata akaniletea na viatu leo naambiwa hatunaye mbona hivi vitu vitanitesa sana | 2016-12-08T11:55:09 | https://bongovoice.blogspot.com/2014/05/rachel-amuumiza-wastara-amuachia-davina.html |
dc musoma dr anney awataka wananchi wa bugwema kuutunza na kuulinda mradi wa umwagiliaji bugwema
mkuu wa wilaya ya musoma mh dr *vicent anney * amewataka wananchi wa kata ya bugwema kuulinda na kuutunza mradi wa umwagiliaji wa bugwema kipindi utakapoanza
mkuu wa wilaya ya musoma dk anney aliyasema maneno hayo wakati wa kikao kati yake na wananchi wanaoishi katika vijiji vinne vilivyopo katika kata ya bugwema
katika ziara hiyo mkuu wa wilaya ya musoma muheshimiwa dr vicent anney aliambatana na maafisa ardhi na wathamini kutoka halmashauri ya wilaya ya musoma katibu tarafa wa nyanja katibu wa mbunge wa jimbo la musoma vijijini na diwani wa kata hiyo
akizungumza wakati wa kikao hiko mh abbey alisema mradi huo utasimamiwa na serikali kupitia benki ya uekezaji tanzania (tib)
serikali imeamua kuleta mradi wa umwagiliaji katika kata ya bugwema mradi huu utakakaoukuwa wa awamu mbili utaendeshwa na benki ya uwekezaji ya tanzania (tib) na watatoa mbegu pembejeo vifaa na miundo mbinu ya umwagiliaji na mazao yatakayolimwa ni mpunga mahindi na vitunguu na pamba alisema dc dr anney
mwananchi utapewa vitu hivyo utalima na utakachovuna asilimia kadhaa (itakayokuwa kwenye makubaliano) itaenda serikalini ili kufidia gharama za mradi huo na asilimia kadhaa utauza baada ya muda utakaotolewa kwa ajili ya kufidia mradi huo kuisha shamba litakuwa mali ya wananchi mkisimamiwa na halmashauri ya wilaya ya musoma alisema dc dk anney
mradi huu utaendeshwa kwa mtindo wa bot (build operate transfer) ikiwa na maana ya serikali itajenga itaweka miundo mbinu ya uendeshaji na mwisho baada ya muda wa makubaliano kuisha wana rasimisha mradi huo kwa wananchi alisema dc dk anney
mwisho dc dk anney aliwataka wananchi hao kuhakikisha wakazi wa kata hiyo wanakuwa wa kwanza kunufaika na mradi na kuutunza kwa hali na mali
wilaya ya musoma | 2018-10-18T06:22:27 | http://www.musomadc.go.tz/new/dc-musoma-dr-anney-awataka-wananchi-wa-bugwema-kuutunza-na-kuulinda-mradi-wa-umwagiliaji-bugwema |
dotto @1dottosamwel instagram profile mulpix
pantalone shopping outfit outfitoftheday liza soberano lizasoberano justthewayyouare 치약 빨간치약 ã â â ã â â sea ã ⠺Ⲡreebok revenge plus alim home 이혜빈 body issue fitness بعضیا به با یعنی bコン b型コンビ keiji estou aos vida felicidade в одежде осень keju instafood foodporn makanenak 16th happy party manusia yang menjadi muslim اعتذر في منكم الله 氷のう かき氷 氷 天然氷 34s forgiato challenger 동물과섹스
1dottosamwel instagram photos and videos
1dottosamwel dotto @1dottosamwel mentions
followers 19715
asante mungu kwa ushindi wa leo this is simba hongera sana timu yetu ya @simbasctanzania kwa ushindi wa leo asante mungu #simbanguvumoja asante mungu kwa ushindi wa leo
hongera sana timu yetu ya @simbasctanzania kwa ushindi wa leo asante mungu
#simbanguvumoja
mungu angetaka kukufanyia kila kitu asingekupa miguu ya kutembea asingekupa mikono wala macho ya kuona na masikio ya kusikia asingekupa akili ya kufikiria na wala asingekupa nguvu za kufanyia kazi asingekufanyia kila kitu na wewe kukaa tu ana uwezo huo na angeweza kufanya hivyo lakini mungu angetaka kukufanyia kila kitu asingekupa miguu ya kutembea asingekupa mikono wala macho ya kuona na masikio ya kusikia asingekupa akili ya kufikiria na wala asingekupa nguvu za kufanyia kazi asingekufanyia kila kitu na wewe kukaa tu ana uwezo huo na angeweza kufanya hivyo lakini hakufanya
lengo kuu la mungu kukupa hivyo ulivyonavyo ni kwasababu yeye huanzia pale miguu yako inapoishia kutembea huanzia pale mikono yako inaposhindwa kushika pale macho yako yasipoweza kuona pale ambapo masikio hayawezi kusikia na kubwa zaidi pale ambapo akili yako inapoishia kufikiria ndipo nguvu zake huhitajika
acha kukaa tu na kusubiri mungu atende kuishi kwenye maombi ukiomba baraka zake huku ukiwa hufanyi chochote kama unamjua mungu vizuri basi ungejua tayari kua tayari ameishakupa baraka
unazoziomba amekupa baraka ya mikono itumie kashakupa baraka ya miguu kashakupa baraka ya macho masikio akili na nguvu ya kufanyia kazi ni baraka nyingine ipi tena unaanza kuomba kama hiyo aliyokupa sasa umeshindwa kuitumia
unadhani ni wangapi ambao wanaomba kuwa kama ulivyo sasa na mungu bado hajaamua kuwabariki hebu jiulize hutumii mikono yako kufanyia kazi miguu yako kufanyakazi unaomba mungu akuletee chakula nyumbani vipi yule ambaye hana mikono au miguu una afya njema umekaaa tu nyumbani unalalamika vipi waliopo mahospitalini wao wanahitaji kumuomba mungu kuwapa afya kwanza kabla ya kumuomba baraka nyingine wewe tayari unayo baraka ya afya lakini bado unalalamika
mshukuru mungu kwa baraka alizokupa zitumie vizuri na muombe akuongoze katika kuzitumia acha kusema kila kitu unamwachia yeye wakati tayari kashakubariki tumia baraka alizokupa kwa kadri ya uwezo wako na elekeza sala zako katika kumuomba yeye kuanzia hapo ulipoishia pale ambapo huna uwezo napo mshukuru kwa kutumia alivyokujali kuwa mtu bora zaidi na si kwa kulalamika kila siku kuwa huna bahati
wakati kuzaliwa jinsi ulivyo ni bahati kubwa
marafiki zangu wote wa page yangu ya instagram nawaomba mmfollow dada yangu @janemanoti @janemanoti @janemanoti nawapenda sana marafiki zangu wote marafiki zangu wote wa page yangu ya instagram nawaomba mmfollow dada yangu @janemanoti
@janemanoti
nawapenda sana marafiki zangu wote
heri ya mwaka mpya kwa kila mmoja wenu kama siku ya kwanza ya mwaka umeianza vibaya usisikitike hii ni siku tu kama siku nyingine na haina maana yoyote katika kubeba yatayojiri kwenye mwaka mzima hivyo relax kuwa happy na maisha yaendelee happy new year heri ya mwaka mpya kwa kila mmoja wenu kama siku ya kwanza ya mwaka umeianza vibaya usisikitike hii ni siku tu kama siku nyingine na haina maana yoyote katika kubeba yatayojiri kwenye mwaka mzima hivyo relax kuwa happy na maisha yaendelee
asante sana mheshimiwa kwa kutuwakilisha vyema mungu akulinde na akubariki sana mheshimiwa @bonnahkaluwa shikamoo madamu mheshimiwa @bonnahkaluwa @bonnahkaluwa @bonnahkaluwa @bonnahkaluwa #munguibarikitanzania asante sana mheshimiwa kwa kutuwakilisha vyema mungu akulinde na akubariki sana mheshimiwa @bonnahkaluwa shikamoo madamu mheshimiwa @bonnahkaluwa
#munguibarikitanzania
kuwa makini sana na mtu anaeomba kurudiana na wewe yawezekana huko alikoenda amekosa mtu wa kumpenda hivyo anarudi kujishikiza kwa muda tuu akimpata ataondoka tena kuwa makini sana na mtu anaeomba kurudiana na wewe yawezekana huko alikoenda amekosa mtu
wa kumpenda hivyo anarudi
kujishikiza kwa muda tuu akimpata ataondoka tena
asante mungu asante mungu
hakika nalala na machungu kocha amunike hakika umenilaza mapema sana kocha kiukweli uwe unaangalia wachezaji wa kuanza kwa mechi na sio unaweka watu kwa kuwajaribisha hii mechi ya leo imeniuma sana acha nilale nawatakia usiku mwema watanzania wote pamoja na wewe kocha amunike hakika nalala na machungu kocha amunike hakika umenilaza mapema sana
kocha kiukweli uwe unaangalia wachezaji wa kuanza kwa mechi na sio unaweka watu kwa kuwajaribisha hii mechi ya leo imeniuma sana acha nilale nawatakia usiku mwema watanzania wote pamoja na wewe kocha amunike japokuwa umenilaza mapema
nawatakia kila la kheri ndugu zangu katika mchezo wa leo mungu ibariki @taifastars_ @taifastars_ mungu ibariki tanzania #point 3 #mhimu nawatakia kila la kheri ndugu zangu katika mchezo wa leo
@taifastars_
#point 3 #mhimu
hivyo watu wote watatambua ya kuwa ninyi mmekuwa wanafunzi wangu mkiwa na upendo ninyi kwa ninyi nakupenda sana madam mhe @bonnahkaluwa hivyo watu wote watatambua ya kuwa ninyi mmekuwa wanafunzi wangu mkiwa na upendo ninyi kwa ninyi
nakupenda sana madam mhe @bonnahkaluwa
ombeni nanyi mtapewa tafuteni nanyi mtaona bisheni nanyi mtafunguliwa kwa maana kila aombaye hupokea naye atafutaye huona naye abishaye atafunguliwa au kuna mtu yupi kwenu ambaye mwanaye akiomba mkate atampa jiwe au akiomba samaki atampa nyoka basi ikiwa ninyi ombeni nanyi mtapewa tafuteni nanyi mtaona bisheni nanyi mtafunguliwa kwa maana kila aombaye hupokea naye atafutaye huona naye abishaye atafunguliwa
au kuna mtu yupi kwenu ambaye mwanaye akiomba mkate atampa jiwe
au akiomba samaki atampa nyoka
basi ikiwa ninyi milo waovu mnajua kuwapa watoto wenu vipawa vyema je
si zaidi sana baba yenu aliye mbinguni atawapa mema wao wamwombao
basi yoyote myatakayo mtendewe na watunanyi watendeeni vivyo hivyomaana hiyo ndio torati na manabii matayo7 712
kwa pamba kali na za ukweli follow @winnerf95_ @winnerf95_ @winnerf95_ @winnerf95_ @winnerf95_ @winnerf95_ @winnerf95_ na kwa mikoba mizuri na yenye ubora wake mcheki @winnerf95_ kwa pamba kali na za ukweli
follow @winnerf95_
@winnerf95_
na kwa mikoba mizuri na yenye ubora wake mcheki @winnerf95_
kwa maana jinsi mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanawe pekeeili kila mtu amwaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele maana mungu hakumtuma mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu bali ulimwengu uokolewe katika yeye yohana31617 kwa maana jinsi mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanawe pekeeili kila mtu amwaminiye asipotee
bali awe na uzima wa milele
maana mungu hakumtuma mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu bali ulimwengu uokolewe katika yeye yohana31617
mheshimiwa mwakaliishi wa wananchi wa segerea katika bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania kupitia chama cha mapinduzi mheshimiwa @bonnahkaluwa @bonnahkaluwa @bonnahkaluwa mungu ibariki africa mungu ibariki tanzania mungu wabariki viongozi wetu mheshimiwa mwakaliishi wa wananchi wa segerea katika bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania kupitia chama cha mapinduzi mheshimiwa @bonnahkaluwa
mungu wabariki viongozi wetu
#pumzika kwa amani patrick rip #pumzika kwa amani
mungu ni mwaminifu endelea kumwamini #nawatakiaweekendnjema mungu ni mwaminifu
endelea kumwamini
#nawatakiaweekendnjema
usijaribu kutembea usiku kwenye miiba uliyoiona mchana #nawatakiasikunjema usijaribu kutembea usiku kwenye miiba uliyoiona mchana
#nawatakiasikunjema
furaha yako ni wewe mwenyewe na ni sehemu ya maisha yako pia kuwa na imani furaha yako ni wewe mwenyewe
na ni sehemu ya maisha yako pia kuwa na imani
team kiba #teamsamata 4 #teamkiba 2 team kiba
#teamsamata 4 #teamkiba 2
kuna vitu viwili hutakiwi kuvilazimisha katika maisha navyo ni /upendo /mapenzi na marafiki wa kweli 208k ni upendo wenu ndugu jamaa na marafiki mmenipenda toka moyoni nawapenda pia na mungu azidi kuwabariki kwa kila jambo #nawapendawote kuna vitu viwili hutakiwi kuvilazimisha katika maisha navyo ni /upendo /mapenzi na marafiki wa kweli 208k ni upendo wenu ndugu jamaa na marafiki mmenipenda
toka moyoni
nawapenda pia na mungu
azidi kuwabariki kwa kila jambo
#nawapendawote
ipo hivi mwanamke hata akikuzidi elimu kipato au chochote kile sio sababu ya kukudharau wanaume tumepewa siraha directly kutoka kwa mungu tangu siku ile ambapo nucleus ya sperm ilipoungana na nucleus ya ovum through fertilization na kuunda male zygote silaha tuliyopewa ni kutawala ipo hivi mwanamke hata akikuzidi elimu kipato au chochote kile sio sababu ya kukudharau wanaume tumepewa siraha directly kutoka kwa mungu tangu siku ile ambapo nucleus ya sperm ilipoungana na nucleus ya ovum through fertilization na kuunda male zygote silaha tuliyopewa ni kutawala biblia inasema wazi pale ambapo mungu anampa adhabu eva alimwambia hivi tamaa yako itakuwa kwa mumeo naye atakutawala
hata mtume paulo ktk nyaraka zake alisema mwanaume ampende mke wake kama kristo anavyolipenda kanisa alafu akasema kwa wanawake mwanamke mtii mumeo kama unavyomtii kristo unaweza ona mwenyewe utofauti wa kupenda na kutii kutii ni kuwa chini ya mamlaka inavyokupa amri
sasa wanaume wengi siku hizi wanakosa hayo mamlaka ya kutawala na sababu kubwa ni kutokujiamini tu wewe ni mwanaume wewe ni kichwa acha kupelekwapelekwa ipo hivi unatakiwa kutoa maamuzi ambayo mke wako anatakiwa either afuate au aondoke sio unabadilibadili maamuzi eti kisa mkeo amenuna itageuka yeye ndo atakutawala wewe
ukisema familia yangu inaenda this way ni this way kweli kama hataki aende zake kuliko kumpa mtoto wa kike akutawale tawale baadae unakuja na thread ndefu kulalamika acha kuwapawapa nafasi ya maamuzi hawa viumbe vitakusumbua sana
na kikubwa nikuwa maamuzi yako yawe yenye weledi lazima atakuheshimu na ukisema kitu huyooo ananyoosha kufuata sio unabishana bishana na mkeo kama we ni mke mwenzake hata wao wanapenda wanaume wenye mamlaka ndani ya nyumba usiige ulaya wale wamefundishwa hivyo tangu utotoni lakini hawa wa kwetu ukiwapa nafasi kidogo tu ya kukutawala you are finished hakuna ndoa yenye demokrasia ikadumu
hawa viumbe ukiwapa nafasi moja ya kukuendesha watataka na nyingine na nyingine na nyingine zaidi mwisho utakuwa we mwanamke alafu yeye mwanaume aka unakuwa mume bwege
tunaishukuru sana sportpesa wadhamini wetu wakuu kampuni ya @tzsportpesa leo imetukabidhi zawadi ya tsh milioni mia moja kama zawadi ya kutupongeza kwa kuchukua ubingwa na kutimiza masharti ya kimkataba kati ya klabu ya simba pamoja na sportpesa tunaishukuru sana
wadhamini wetu wakuu kampuni ya @tzsportpesa leo imetukabidhi zawadi ya tsh milioni mia moja kama zawadi ya kutupongeza kwa kuchukua ubingwa na kutimiza masharti ya kimkataba kati ya klabu ya simba pamoja na sportpesa
asante mungu #simbayetu #mwakawetu asante mungu
#simbayetu #mwakawetu
asante mungu kwa simba sports club kuwa mabingwa wa vpl 2017/2018 #simbayetumwakawetu asante mungu kwa simba sports club kuwa mabingwa wa vpl 2017/2018
#simbayetumwakawetu
kwa heshima na taadhima naomba nichukue nafasi hii kukutakia heri ya kuzaliwamungu akutangulie kwenye kila jambo na akufanikishie kila hitaji la moyo wako happy birthday to you my best @mishibebeofficial @mishibebeofficial @mishibebeofficial @mishibebeofficial mungu kwa heshima na taadhima naomba nichukue nafasi hii kukutakia heri ya kuzaliwamungu akutangulie kwenye kila jambo na akufanikishie kila hitaji la moyo wako
happy birthday to you my best @mishibebeofficial
@mishibebeofficial
mungu akupe maisha marefu pamoja na mafanikio makubwa
wewe mwenyewe unajua ni jinsi gani ninavyokupenda best yangu
kwenye kila jambo unalofanya mtangulize mungu mbele iwe ni shule kazi biashara mahusiano na mengineyo ukimpa mungu nafasi hutafeli hutaanguka mafanikio huja haraka pale unapomshirikisha mungu mambo yako hongera sana king @officialalikiba @officialalikiba @officialalikiba kwenye kila jambo unalofanya mtangulize mungu mbele iwe ni shule kazi biashara mahusiano na mengineyo ukimpa mungu nafasi hutafeli hutaanguka mafanikio huja haraka pale unapomshirikisha mungu mambo yako
hongera sana king @officialalikiba
mungu akutangulie kwenye ndoa yako king kiba
katika maisha ya mwanadamu kitu cha muhimu ni upendo upatapo mtu anayekupenda na kukuthamini na kukuelewa maisha yako huwa yanabadilika hata mwonekano wa nje wa mtu huwa unabadilika jambo la msingi katika maisha ya mwanadamu ni uaminifu haswa kwenye maswala ya mahusiano mahusiano katika maisha ya mwanadamu kitu cha muhimu ni upendo upatapo mtu anayekupenda na kukuthamini na kukuelewa maisha yako huwa yanabadilika hata mwonekano wa nje wa mtu huwa unabadilika
jambo la msingi katika maisha ya mwanadamu ni uaminifu haswa kwenye maswala ya mahusiano mahusiano yanapokuwa na upendo ila bila uaminifu ni kazi sana kudumu uaminifu ndio nguzo moja wapo kuu inayobeba mapenzi baina ya watu wawili ambao wanapendana
uaminifu si swala tu la kuwa na mpenzi moja bali uaminifu inahusisha kuwa wawazi juu ya jambo fulani linahusiana na maisha yenu wote wawili wengi hufikiri uaminifu ni swala kuwa na mpenzi moja la hasha sio kweli uaminifu ni kitendo cha uwezo wa kuuliza kitu pale uonapo jambo haliko sahihi na unashindwa kuelewa
kukosana kwa uaminifu kunaleta kugombana kutokuaminiana na pia mwisho huleta kuvunjika kwa mahusiano ambayo hugharimu muda mwingi sana wa mtu mpaka hapo atakapokuja kukaa sawa na kurudi katika maisha yake ya kawaida na mara nyingine humfanya mtu kuwa mwoga sana katika kuanzisha mahusiano mapya na mpenzi mwingine
usipende kusikia jambo ila penda kuwa mwonaji wa jambo zaidi na kuwa msikilizaji wa jambo zaidi kuliko kusikia au kuambiwa juu ya mpenzi wako
mapenzi ni uaminifu
mtu ana uwezo wa kukufanyia kusudi kwa kuhisi anakuumiza wewe bila kujua anaekuja kuathirika kiukweli ni mwingine anaehisi anamjali dunia ina siri nyingi sio kila unaemchoma ataumia yeye kitakachomuumiza ni kumchoma kwako tu lakini athari za maumivu yake anazibeba mwingine ambae mtu ana uwezo wa kukufanyia kusudi kwa kuhisi anakuumiza wewe bila kujua anaekuja kuathirika kiukweli ni mwingine anaehisi anamjali dunia ina siri nyingi sio kila unaemchoma ataumia yeye kitakachomuumiza ni kumchoma kwako tu lakini athari za maumivu yake anazibeba mwingine ambae unahisi yuko strong ambae unahisi hatetereshwi na uliemchoma ambae unahisi hakihitaji ulichokichoma
anaemia ni huyo usiemuhisi na athari yake itarudi kwako tu hata kama sio moja kwa moja
tengeneza misingi ya kuhakikisha heshima yako inabebwa na wewe na si wengine ili hata wakiondoka heshima yako ibaki kwako maana utumwa huja pale unapogundua huna ulichonacho /huna nguvu katika wewe kuwa wewe tengeneza misingi ya kuhakikisha heshima yako inabebwa na wewe na si wengine ili hata wakiondoka heshima yako ibaki kwako
maana utumwa huja pale unapogundua huna ulichonacho /huna nguvu katika wewe kuwa wewe
(1) ngono haimfanyi mwanaume asikuache hata ukukuruke vipi jikwatue kiasi gani kama hajaona quality za kuwa mke atakuacha tu (2)mwanaume anaekupata kwa vile alitumia pesa zake kwako hatakaa na wewe milele wanaume halisi hawawezi wakatoka na wanawake feki wanaopenda pesa ukibahatika (1) ngono haimfanyi mwanaume asikuache hata ukukuruke vipi jikwatue kiasi gani kama hajaona quality za kuwa mke atakuacha tu (2)mwanaume anaekupata kwa vile alitumia pesa zake kwako hatakaa na wewe milele wanaume halisi hawawezi wakatoka na wanawake feki wanaopenda pesa ukibahatika sana atakufanya daraja la pili yaani mchepuko (3) uzuri wa mwanamke unaweza ukampelekea akaolewa ila tabia yake ndio itakayoamua ni kwa muda gani atadumu katika ndoa uzuri huvutia wanaume ila tabia hufanya wanaume wadumu na wewe (4)pesa kiukweli ina faida sana ni muhimu kwa mtu yoyote kuwa nayo ila pesa peke yake haiwezi kuleta ukweli wa maana halisi ya furaha ya maisha (5)kuwa mzuri bila tabia njema hakuwezi kukupa mume bora sana sana utapata boyfriends na wanaume za watu (6)tendo la ngono linaleta faraja ila haliwezi kuleta upendo tendo la ndoa ni zao la mapenzi mapenzi sio zao la tendo la ndoa (7) tendo la ndoa inaweza kufanya mwanaume alale na wewe usiku kucha na asubuhi akaondoka zake ila upendo hufanya mwanaume aishi na wewe daima (8)kuna mambo mengine pesa haiwezi nunua kama tabia na heshima kama ulikubali kuolewa nae kisa pesa zake usidhani kupitia pesa ataweza kubadilika (9)uvaaji wako siku zote ndio utakaoamua ni nini wanaume wazungumze na wewe ni ukweli fulani hivi ambao ni mchungu ila sio mbaya waweza shushia na juice ya bariiiiiiiiii
mpododo mpododo
yanga bana 😁😁😁😁😁😁😁😁 yanga bana
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 ✋ | 2020-01-29T09:28:39 | https://mulpix.com/1dottosamwel |
getty images victoria bee picha
cannabidiol (anafahamika zaidi kama cbd) imeongezeka mara mbili katika mwaka uliopita inadai ya kuwa na uwezo kwa misaada kwa kutoa kila kitu kutokana na maumivu na unyogovu na wasiwasi lakini madai hayo ya kweli mh inaonekana karibu
nini cbd mafuta
ni kupalilia lakini si unajua cannabidiol wa cbd ni dondoo za mimea ya mmea wa hampa ni ina kiasi kidogo tu ya thc (dutu kisaikolojia kwamba kupalilia ni kinyume cha sheria) hii ina maana hutapata high lakini pia kwamba hawana kukwepa vitalu kukutana katika opel vauxhall corsa na madirisha giza ya kumnunua
ahadi gani cbd
masomo ya awali zinaonyesha kwamba cbd ni faida (kina pumzi) usingizi ini ugonjwa wa bowel obsessive compulsive matatizo osteoporosis ptss kiharusi ugonjwa wa moyo huzuni kisukari katika arthritis faida kuahidi uongo katika wasiwasi kudhibiti wakati kutokana kubeba hali ya afya ya kisasa ya akili
je ni
utafiti mmoja the karibu moja katika kumi watumiaji kwamba maumivu yao sugu kuvimba na angst walikuwa kabisa kupona na cbd anasema jon liebling ya muungano wagonjwa alliance na ingawa madai kwamba wanaweza kutibiwa magonjwa ushahidi zaidi zinahitaji hakuna sababu ya matibabu si frolic na utafiti wa upatikanaji wa samaki juu
mafuta jacob hooy cbd 5 10ml
ni wapi ninaweza kupata hiyo kutoka
kama unakumbuka kuchukua it ni wakati mzuri sasa bidhaa kubwa kama vile uholanzi & barrett na afya span kuihifadhi of bieden hun eigen assortiment aan wat geruststellend is kwa sababu unaweza mapumziko uhakika kwamba wao kuambatana na miongozo eu kali kuhusu usafi kipimo na uchafu huo unaweza kuwa alisema kwa huru online wauzaji hivyo kukaa mbali na mafuta yao nyoka
jacob hooy cbd 60 vidonge 600 mg
nini lazima i kuepuka
si pia msisimko touch hisia za mwili katika cbd dozi ni mviringo kuchukua kidogo mno na wewe utakuwa kuhisi chochote sana na wewe hatari madhara kama kuhara si nia ya baridi ni mtu utafiti katika dozi bado ni hazy dus bouw langzaam op om uw eigen goudlokjezone te vinden
njia mbadala ya cbd oil
kama unataka mtihani dozi ya jambo kubwa kujaribu dawa hizi
wanaosumbuliwa wakombozi mara nyingi vitamin a antioxidant ambayo imeonekana kusaidia kudhibiti dalili za dhiki
1000 mg kwa siku (zaidi ya latte yoyote ile) lakini curcumin ina nguvu kupambana na uchochezi
holland & barrett hai manjano nguvu ya juu na pilipili nyeusi 90 vidonge 600 mg
kama moja ya matofali ya ujenzi wa cartilage kano na kano inayorekebisha viungo creaking
holland & barrett magnesiamu alikutana zinc 100 vidonge | 2020-07-03T11:05:26 | http://www.cbdolievoordelen.nl/sw/CBD-mafuta-ukweli-afya-hatari-na-njia-mbadala-kwa-ajili-ya-watu-uk/ |
kalonzo akerwa na muungano asambaratisha ndoa changa kitui online
home news kalonzo akerwa na muungano asambaratisha ndoa changa
kalonzo akerwa na muungano asambaratisha ndoa changa
wiper leader kalonzo musyoka (left) makueni governor kivutha kibwana (centre) sen mutula kilonzo junior (right) and others during masongaleni ward byelections campaign photo/standard
kutokana na ongezeko la ugomvi kati ya kinara wa chama cha wiper dkt stephen kalonzo musyoka na gavana wa makueni prof kivutha kibwana na ambao kwa muda umekua ukishuhudiwa hata mbele ya makutano ya umma hali hii sasa imemlazimu musyoka kuchukua hatua ya kuvunja uhusiano wa kisiasa uliotiwa sahihi na wawili hao kabla ya uchaguzi mkuu uliopita
kwa muda wawili hao wamekuwa wakikabiliana vikali kwa kurushiana semi za maneno licha ya kuwa kibwana ndiye gavana aliyechaguliwa kwa tiketi ya wiper katika majimbo matatu ya ukambani ambapo inakisiwa kwamba kibwana ananuia kumyeyusha musyoka jogoo wa ukambani asiweze kutimiza ndoto yake kuliongoza taifa 2022
hayo yalifichuka baada ya kalonzo kumwandikia barua msajili wa vyama vya kisiasa nchini huku akimweleza wazi kwamba hakuna mkataba baina ya vyama hivyo viwili hivyo basi kila chama kiko huru kivyake licha ya kuwa wote ni wazawa wa eneo moja la ukambani
pindi tu baada ya kuchaguliwa kwa kipindi chake cha pili kibwana alionekana kuchukua mkondo tofauti wa kisiasa huku akishtumiwa kukaidi maagizo ya wiper kwa mara moja sauti yake ilinaswa na kusambazwa kupitia vyombo vya habari huku akimtaka makamu huyo wa zamani kustaafu katika siasa na kuiunga mkono ndoto yake kuingia ikulu 2022 hatua ambayo inahofiwa kutomfurahisha kamwe kiongozi wa wiper pamoja na wafuasi wake
previous article56 years of independence yet there is nothing to smile about mp mulyungi
next articlegovernor mutuas matressbank is in danger
the 6th national annual devolution conference kicksoff today | 2020-03-28T16:48:39 | https://www.kituionline.com/2019/06/02/kalonzo-akerwa-na-muungano-asambaratisha-ndoa-changa/15/ |
homez deco kreative homez november 2012
wallpapers ziko za kila rangi karibuni mnona nina furaha kwamba sasa mnaweza kuzipata ofisini kwetu na kubandikiwa ukutani bila ku chajiwa zaidi
niliulizwa na mdau kua hizi wallapaper nazipata wapi
jibu ni kua ninaletewa kutoka south africa na usa
wallpaper za jikoni na bafuni sinaila zikifika nitawajulisha humu humu
more pillows & pillow casesavailable @ homez deco
mito na foronya ni nyingi kukidhi mahitaji yenukaribuni nyote
mbolea za gardenna mrs jossyanne george from usa
hizo pictures ni baadhi ya maeneo ambayo tumefanya kazi za gardening kama mnavyoona mbolea ni muhimu sana udongo unaostahili maji yawe ya kumwagilia yawe ya mvua ni muhimu hapo tulikuwa tunaweka mbolea kwenye miti maua sehemu mbalimbali za gardens si kwamba ukiishapanda miti basi umemaliza kuna kuongeza mbolea majani plunings kuna vitu vingi sana vinavyoitajika ktk kuboresha gardenszikaonekana nzuri na za kuvutia huku new york tunatumia mbolea aina ya mulch na hizi mulch kuna za ina tofauti kuna red mulch kuna black mulch kama mnavyoona hapo kwenye picha
kwetu sisi black mulch ni nzuri ina ubora zaidi na mimea yawe maua iwe miti bushes vinastawi sana jambo lingine wapendwa ni vifaa ktk hii kazi ya landscaping vifaa vya kufanyia kazi ni muhimu sana vinarahisisha kazi unaokoa muda na nguvu maana mfano mzuri ni dar watu wa gardens wanachukuwa mrefu kumaliza kazi kwa kuwa wengi wao hawana vifaa ya proper gardening tools ila ninawapongeza sana wanafanya kazi kupendezesha jiji
majumbani sehemu za bihashara nawaomba watanzania wenzangu tuyapende mazingira yetu tunayoishi pandeni miti maua unakuta mtu amejenga nyumba nzuri tu ila mazingira ya nje ya nyumba ni yakusikitisha iweje ugaramikie jumba la garama ushindwe garden nzuri baadhi ya watu wanasubiri mvua zinyeshe wafungulie septic tanks mtaanimalundo ya takataka mbele za nyumba zenu uchafu kila kona hii ni hatari sana vyanzo vya maambukizi yamagonjwa chloea kipindupindu huu wote ni uchafu uchafu jitaidini wapendwa kuwa wasafi kuyasafisha mazingira mnayoishiusafi ni muhimu sana ktk afya zetu majumbani kwenye mikusanyiko ya watu kwenye migahawa shm za kazi haya yote ynaanzia ngazi ya familia mpaka taifa jitaidi wapendwa nasisitiza usafi kiujumla wa mazingira mnayoishi ziwe nyumba za kupanga au yakwako binafsi usafi ni wajibu na muhimu sana yalinde yatunze mazingira yaliyokuzunguka daima mungu awabariki na kuwalinda posted by
wapendwa wa blog ya garden & landscapings natumaini hamjambo na familia zenu nilikuwa kimya sana
ni kwa sababu nilifiwa na baba yangu mzazi mzee josiah mwesiga nilikuwa tanzania kwa muda mrefu nachukua furusa hii kuwashukuru wote waliotufariji ndugu marafiki na jamaa na jeshi la polisi viongozi wa serikali na viongozi wa dini nawashukuru sana
kwa niaba ya familia mzeejj m wesiga
anonymousnovember 26 2012 839 pm
hinaitwa angela ninapenda blog yako coz huwa ninapata ideas nyingi nzuri kwa kuboresha nyumba yanguninaomba unisaidie namna ya kujiunga gnld au kama unaweza niunganisha na mtu ambaye atanisaidia kujiunga naoningependa kuwa nanunua bidhaa kwa ajili ya nyumbani kwangu hasa sabuni ya kufulianitashukuru sana kwa msaada wakostay blessed
jibu naomba tuwasiliane kwa namba hii 0713 920565 nikupe maelekezo maana hukuweka contact yako niweze kukuelewesha
na kwa kujiunga unakua unanunua kwa bei nafuukaribu
wallpapers ni karatasi za urembo ambazo hubandikwa ukutani waweza bandika ukuta mmoja ule wa tv kwa sebuleni na chumbani ule ukuta ambao hauna madirisha
wallpapers inatakakiwa kubandikwa kwa uanvalifu mkubwa maana inabidi ukuta uwe ni mzuri na msafi yaani usiwe na mchanga mchanga
homez deco tunakuja kukubandikia sisi wenyewe ukinunua
kwa hesabu za haraka haraka wallpapers zinaweza kuingia kwenye ukuta mmoja kuanzia mbili mpaka tatu inategemea na ukubwa wa ukuta wakohivyo utakapochagua tunapima ama utapima urefu na upana ili kujua tunapata square meter ngapi ndio tupate idadi zinaingia ngapi
kumbuka muda ni mchache kuelekea sikukuu
karibuni
hili ndilo kabati languo la mninga muonekano wake wa njemteja alihitaji kabati litakaloweza kuhifadhi nguo za watoto wa kike wa wili na kama atatokea mgeni basi nae anaweza akaweka nguo zake hapona wote waweze kuweka viatu
kabati muonekano wa ndanikama unavyoona kushoto na kulia kuna fanana nikiwa na maana ya kwamba kuna sehemu ya ku hang nguo kuna sehemu ya ku kuweka nguo zilizokunjwa na kuna droo mbili kila upande na katikati ndio sehemu ambapo mgeni akija basi ana uwezo wa kuweka nguo hapo bila kusumbua wenginena chini ndio sehemu ya kuweka viatu
kama kawaida nikiwa nimepozi mbele ya kazi yangu baada ya kuikagua na kuridhika nayo
mbao nzuri kwa makabati ni mninga mkongo kwa wale wanaojiwezana kuna mbao zingine ambazo ni mpodo etcmbao ni gharama hasa kwa kipindi hiki ambacho miti haikatwi katwi ovyo
mninga ama mkongo ni imara na hupendeza sana
waweza pia kutengeneza kabati la nguo la mdf ni haya makabati ya ready madeambayo tunayaona madukaniila sio imara kwakweli na hayataki shida kama kuhama hama etc
karibuni sana kwa mahitaji ya makabati ya nguo ya jikoni etc
homez deco tutakuja kupima nyumbani kwako ama sehemu utakayotaka tukuwekeemaana hatupokei vipimo vya mtejana kukupa bei kulingana na design na mbao uliyoichagua
hizi ndio rangi za dulux ukiangalia kwanza kabisa ndoo zilizotumika kuhifadhia rangi hizi ni nzuri na zinavutiana kwa upande wa matumizi rangi hizi hubana matumizi sana kwa utumiaji wake yaani sehemu ya kutumia ndoo 3 wewe utatumia ndoo 2kwa mfano hicho kindoo kidogo ni lit 5 kinatosha kabisa kupaka chumba kimoja sasa fikiria ndoo ya lit 20
rangi hizi mzionazo hapo juu zinatosha kwenye nyumba ya vyumba 3 vya kulala jiko dinning sebule na nje ukuta wa nyumba nzima
kwa upande wa bei ni mpaka nijue ni rangi gani utahitaji kwani kadri inavyozidi kubadilika ama zile rangi tofauti tofauti kama pink green blue etcbei ni tofauti
tayari tumeshaanza kupokea orders za rangi za dulux na wadau/wateja wetu wanazifurahia na kuzipenda kwani mkombozi wa kubana matumizi amewasili tanzaniana rangi hizi hudumu ukutani kwa muda wa miaka 810bila kupauka ama kubadilika rangi yake
karibuni mtoe orderwasiliana nasi kwa simu namba 0713 920565 ama email sylvianamoyo@yahoocom
kuna mdau alinitumia swali kua kama anataka kubadilisha sofa kitambaa inawezekana
jibu ni kua kwanza niione hiyo sofa na pia inategemea na uchakavu wake maana kuna zingine zimechakaa mpaka zile mbao za ndai zimevunji sasa kwa sofa ya aina hiyo hua nina shauri ununue inginemaana ukarabati wake utakua ni mkubwa tena karibu sawa na kua sofa mpya
naomba ndugu wadau muwe mnanitumia picha ya sofa zenu ili niweze kuziona kabla ya kutoa jibunitumie email sylvianamoyo@yahoocom
karibuni sana
pillows & pillow cases available at homez deco(all these products designed and made by homez deco)
mito na foronya za watoto zinapatikana pia
animal print foronya pia zinapatikanahii ndio size ya mito ya sofa ya mapambo
mito ndio hiii kila size utapataya kulalia ya makochi etc
mzigo wa xmass ndio huo unaaanza tuna mito na foronya za kila ainahizo ni baadhi tuuu
bei ya mito kwa size hii ni bila foronya zake
1 55 by 38 = tshs 18000/mito ya kwenye sofa/makochi kitandani
2 45 by 45 = tshs 15000/mito ya kwenye sofa/makochi kitandani
3 40 by 40 = tshs 15000/mito ya kwenye sofa/makochi kitandani
4 45 by 30 = tshs 12000/ mito ya kwenye sofa/makochi kitandani
5 88 by 88 = tshs 45000/ mito ya chini sakafuni
bei ya foronya za mito kwa size
55 by 38 = tshs 13000/
2 45 by 45 = tshs 12000/
3 40 by 40 = tshs 12000/
4 45 by 30 = tshs 10000/
5 88 by 88 = tshs 15000/
kwa sababu muda ni mdogo mno mpaka sikukuuhomez deco tunayo furaha kukuarifu kua tutafanya deliveryna utalipia 10000/ kokote ulikoutapata mzigo wako ukiwa salamakwa upande wa malipo tunapokea tigo pesa mpesa kwa namba ifuatayo 0713 920565muda ni mchache mno karibuni sana
interview na radio capital 1014 fm mada ilikua kuepuka makorokoro ama vitu vingi visivyohitajika majumbani mwetu
ninapenda kuchukua fursa hii ya kuwashukuru sana capital radio kwa kuweza kunipa nafasi mara kwa mara kufanya nao majihojiano ya kuelimish
meza za tv za chuma kila 1 ni 220000weka oda yako sasa0713920565 tu follow pia instagram @homezdeco mahitaji ya grills za milango na madirisha | 2017-05-29T16:58:27 | http://homezdeco.blogspot.com/2012/11/ |
matukio vita ya rushwa si nguvu ya soda majaliwa wazalendo 25 blog
home » habari » kitaifa » lifestyles » matukio » matukio vita ya rushwa si nguvu ya soda majaliwa
matukio vita ya rushwa si nguvu ya soda majaliwa
alisema serikali imeamua kupigia debe dhana ya utumishi wenye uadilifu kwa sababu huo ni utamaduni mpya ni kipindi kigumu kidogo cha mabadiliko lakini tumesimamia mabadiliko haya na ndiyo maana watumishi wote tumewasisitizia kuwa suala la uaminifu uadilifu na uwajibikaji ni muhimu alisema na kuongeza
akizungumzia kuhusu ubadhirifu wa fedha za umma waziri mkuu alionya kwamba serikali imelipa kipaumbele suala la uaminifu na uadilifu kwenye fedha za serikali na kwamba haitakuwa tayari kuona fedha hizo zikifujwa
hivi sasa serikali imetenga fedha nyingi kwa ajili ya miradi ya maendeleo na fedha hizo zitaenda vijijini tunataka zikafanye kazi iliyokusudiwa na wale wadokozi wajue kuwa wamekalia kaa la moto alisema huku akishangiliwa
alisema watumishi wa umma wana wajibu wa kusimamia kazi zilizopangwa na kuhakikisha miradi iliyolengwa inakamilika kama fedha zimeletwa kujenga zahanati simamia zahanati ijengwe na ni lazima zahanati hiyo ionekane alisema
alisema bajeti ya mwaka huu imeongezeka kutoka sh trilioni 21 hadi trilioni 29 lengo kuu likiwa ni kuleta maendeleo kwa wananchi ndiyo maana tumepandisha bajeti ya maendeleo kutoka asilimia 27 hadi asilimia 40 ole wake atakayepokea fedha hizi halafu zisifanye kazi yake ukiipoteza wewe utafute njia ya kwenda alisema huku akishangiliwa
akifafanua zaidi waziri mkuu alisema vita inayoendeshwa imelenga kuifanya tanzania ibadilike na itoke kwenye uchumi wa chini na kuingia uchumi wa kati swali la msingi ni je tunafikaje hapo jibu ni kupitia uzalishaji wa bidhaa viwandani alisema
nyote ni mashahidi wa jinsi ambavyo shilingi yetu imekuwa ikishuka thamani kulinganisha na dola ya marekani tulitoka sh 1600/ tukapanda hadi sh 1900/ na sasa tumefikia sh 2180/ hii ni kwa sababu tunaagiza zaidi bidhaa kutoka nje ya nchi badala ya kuzalisha hatuwezi kuendelea hivi na ndiyo maana tumeamua kuwa nchi ya viwanda leteni mitaji nyumbani muwekeze alisisitiza
akijibu swali kuhusu serikali kutafuta njia ya kutoa mikopo kwa watanzania waishio nje ya nchi waziri mkuu alisema mkopo ni mkataba kati ya taasisi ya kifedha na mkopaji kwa hiyo serikali haiwezi kubeba dhamana hiyo benki wanataka ijue taarifa zako mkopaji wanataka wajua dhamana zako ni zipi wajiridhishe na shughuli unazofanya je panakopesheka hapo alihoji
hata hivyo aliwaeleza kwamba wakitaka kuwekeza nyumbani wanaweza kupata mikopo kutoka benki ya maendeleo ya kilimo (tadb) benki ya rasilmali (tib corporate na tib development) hizi benki ni za wakulima na wajasiriamali na zina masharti yake kwa hiyo ni lazima wakakague eneo lako au mahali unapofanyia biashara au wakague leseni yako na ukweli wa maombi uliyopelekea sasa ukiwa zambia watawezaje kukukopesha kwa hiyo ukitaka fedha uwe nyumbani alisema
akijibu swali ni vipi serikali itawasaidia wanadiaspora kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu wakiwa nje ya nchi waziri mkuu alisema serikali haijawahi kujaribu jambo hilo licha ya kuwa ilikwishapokea mapendekezo kadhaa kutoka nchi mbalimbali lakini kwa vile wameliuliza yeye analibeba na kwenda kulifanyia kazi
tagged with habari kitaifa lifestyles matukio | 2017-08-20T17:20:42 | https://wazalendo25.blogspot.com/2016/05/matukio-vita-ya-rushwa-si-nguvu-ya-soda.html |
kuna njia tofauti za kuanza au kuongeza mtaji kwa mfugaji wa kuku kama vile kununua kuku wakubwa vifaranga kutoka kwa wafugaji wengine au kuzalisha vifaranga wako wewe mwenyewe
kwa wafugaji wengi ambao wana lengo la kufuga kuku wengi wa umri mmoja na kupata mayai mengi au aweze kuuza kuku wengi kwa wakati mmoja wenye umri unaolingana inabidi uwe na vifaranga wengi wa umri mmoja
ushauri kutoka kwa mfugaji wakulima tubadilike na kuanza kufuga kibiashara kwa kua soko la mazao ya kuku wakieny | 2018-07-21T22:54:15 | http://rumaafrica.blogspot.com/2017/03/njia-rahisi-za-upatikanaji-wa-vifaranga.html |
hoseya 6 | bibiliya kuri interineti | bibiliya y'ubuhinduzi bw'isi nshya
6 nimuze tugarukire yehova+ yaradutanyaguje+ ariko azadukiza+ yaradukubise ariko azadupfuka+ 2 azaduhembura nyuma yiminsi ibiri+ ku munsi wa gatatu aduhagurutse maze tube bazima imbere ye+ 3 tuzamenya yehova kandi tuzakomeza kugira umwete wo kumumenya+ nta kabuza azatunguka+ nkumuseke utambitse+ azatugeraho ameze nkimvura nyinshi+ ameze nkimvura yitumba inetesha ubutaka+ 4 efurayimu we nzakugira nte nawe yuda nzakugira nte+ ko ineza yanyu yuje urukundo imeze nkibicu bya mu gitondo ikaba imeze nkikime kiyoyoka hakiri kare 5 ni yo mpamvu nzabakubita nkoresheje abahanuzi+ nkabicisha amagambo ava mu kanwa kanjye+ urubanza muzacirwa ruzagaragara nkuko umucyo umurika+ 6 kuko icyo nishimira ari ineza yuje urukundo+ atari ibitambo+ kandi kumenya imana ni byo nishimira kuruta ibitambo bikongorwa numuriro+ 7 ariko bishe isezerano+ nkabantu buntu aho ni ho bandiganyirije+ 8 gileyadi+ ni umugi winkozi zibibi kandi wuzuyemo ibikorwa byo kumena amaraso+ 9 abatambyi bishyize hamwe biremamo udutsiko twabanyazi+ bameze nkabacira abantu igico+ bicira abantu ku nzira hafi yi shekemu+ kuko nta kindi bakora uretse ibikorwa byubugome+ 10 nabonye ibintu byagahomamunwa mu nzu ya isirayeli+ aho ni ho efurayimu asambanira+ isirayeli yarihumanyije+ 11 icyakora wowe yuda ubikiwe ibihe byisarura igihe nzakoranya abo mu bwoko bwanjye bajyanywe ari imbohe nkabagarura+ | 2017-10-22T08:55:59 | https://www.jw.org/rw/ibyasohotse/bibiliya/bi12/ibitabo/hoseya/6/ |
rais dkt magufuli akiangalia kiatu kinachotengenezwa na kiwanda cha magereza cha karanga habari na matukio
home magufuli rais dkt magufuli akiangalia kiatu kinachotengenezwa na kiwanda cha magereza cha karanga
kajunason at december 10 2017 magufuli
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akiangalia ubora wa kiatu cha mrakibu msaidizi wa magereza melkior komba katika ikulu ya chamwino mkoani dodoma viatu hivyo vimetengenezwa na kiwanda cha jeshi la magereza karanga kilichopo moshi mkoani kilimanjaro picha na ikulu | 2019-01-23T10:25:28 | http://www.kajunason.com/2017/12/rais-dkt-magufuli-akiangalia-kiatu.html |
timu ya kwanza ya mbwana samatta yapanda ligi kuu bin zubeiry sports online
timu ya kwanza ya mbwana samatta yapanda ligi kuu
na mwandishi wetu dar es salaan
timu ya kwanza mbwana ally samatta kuchezea katika ligi kuu ya vodacom tanzania bara african lyon imepanda tena katika ligi hiyo
lyon imepanda kutoka kundi a ikizipiku kmc ashanti united na friends rangers zote za dar es salaam lyon imemaliza na pointi 27 baada ya mechi zote 14 ikifuatiwa na kmc pointi 25 ashanti united 24 na rangers 23 sawa na kilivya united shirikisho la soka tanzania (tff) limeipongeza lyon fc ambayo zamani ilikuwa inajulikana kama mbagala market kwa kufanikiwa kurejea ligi kuu
african lyon ndiyo timu iliyomtoa mbwana samatta
african lyon imeungana na timu ya ruvu shooting fc ya mlandizi mkoa wa pwani iliyokua timu ya kwanza kupanda ligi kuu wiki iliyopita kutoka kundi b wakati kundi c tff bado haijaamua licha ya matokeo ya mwishoni mwa wiki geita gold kufungana kwa pointi na wastani wa bao ya kufunga na kufungwa (gd) na polisi tabora
baada ya kufanya vizuri akiwa na african lyon samatta alisajiliwa simba sc mwaka 2010 na mwaka 2011 akahamia tp mazembe ya drc iliyomuuza krc genk ya ubelgiji januari monday february 15 2016
item reviewed timu ya kwanza ya mbwana samatta yapanda ligi kuu
simba yamnyatia kiungo rasta wa madini fc
mwenyekiti wa kamati ya usajili ya simba zacharia hans poppe (kushoto) akizungumza na kiungo wa madini fc ya arusha jana uwanja wa sheik
na mahmoud zubeiry dar es salaam yanga sc haina matumaini ya kuwapata washambuliaji wake tegemeo amissi tambwe na donald ngoma kwa ajili
yanga yapelekwa algeria kuwania makundi kombe la shirikisho
na mwandishi wetu dar es salaam yanga sc itamenyana na mouloudia club d'alger maarufu kama mc alger ya algeria katika mchujo wa kuwa
yanga yaangukia kombe la shirikisho zanaco yasonga mbele ligi ya mabingwa
na jeff leah lusaka yanga sc imengukia kombe la shirikisho afrika baada ya kutolewa katika hatua ya 32 bora ya ligi ya mabingwa kufuatia
blagnon arejea na mabao simba sc awafunga 10 mererani stars na mwandishi wetu dar es salaam simba sc imeendeleza wimbi la ushindi baada ya jioni ya leo kuifunga 10 mererani stars katika mchezo wa
mpinzani mpya wa yanga afrika kujulikana kesho cairo
na mwandishi wetu dar es salaam mpinzani wa yanga katika mchujo wa kuwania hatua ya makundi ya kombe la shirikisho afrika anatarajiwa kuj
simba sc kumenyana na mererani stars leo
na clement shari arusha vinara wa ligi kuu ya vodacom tanzania bara simba sc leo wanatarajiwa kuwa na mchezo wa kirafiki na mererani st
hafla ya uzinduzi wa mradi wa usambazaji umeme vijijini awamu ya tatu (rea iii) katika mkoa wa iringa
* mwenyekiti wa bodi ya nishati vijijini dkt gideon kaunda akizungumza na wananchi wakati wa hafla ya uzinduzi wa mradi wa usambazaji umeme vijijini awam
rooney kurejea everton tetesi zote za usajili ulaya zimewekwa hapa
nahodha wa manchester united wayne rooney anatarajiwa kujiunga na timu yake ya zamani ya everton kufuatia klabu yake kuridhia kupunguza ada ya uhamisho ili
makamu wa rais mama samia akutana na mkurugenzi mkuu wa standard chartered kanda ya afrika na mashariki ya kati
*makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan leo amekutana na kufanya mazungumzo na mkurugenzi mkuu wa standard chartered ka
majeruhi ya paul pogba yampa nafasi nyota wa ac monaco timu ya taifa ufaransa
kocha wa timu ya taifa ufaransa didier deschamps amemuongeza katika kikosi chake nyota wa as monaco tiemoue bakayoko kwa ajili ya mechi ya kufuzu michua
man united yamtengea kinda wa monaco euro milioni 95
klabu ya manchester united ya uingereza imeripotiwa kutenga kitika cha fedha cha euro milioni 95 ambazo ni sawa na bilioni 229 za kitanzania kwa ajili ya k
mwenyekiti wa ccm rais dkt john pombe magufuli akimkaribisha mjumbe wa kamati kuu na katibu mkuu wa chama cha kikomunisti cha china (cpc) mhe guo jinlo
which strike was your favourite welbeck's walcott's or alexis' have your say in our online poll
international build up uganda cranes xi vs kenya harambee stars
international friendly match thursday 23rd march 2017 kenya vs uganda kenyatta stadium machakos live on 1021 fufa fm hassan wasswa mawanda will capt
seven types of nfl offseason which one is your favorite team having
every nfl team enters the offseason with plans those plans may be brilliant foolish patient premature meticulous or misguided ideally there is on
man city star gabriel jesus poses at nyc's times square
gabriel jesus is loving his trip to new york judging by his instagram account and the manchester city striker's latest update shows he's truly embracing be
rugby league & swimming among seven to share £271m
sport england awards a further £271m for seven governing bodies of sport including rugby league and swimming
tinsel longest tv series airs 2000th episode
notice undefined index layout_id in /var/www/vhosts/sunnews/wpcontent/themes/fastnews/library/frontphp on line 1663 tinsel an acclaimed longest run
asenfi bekele handed two year contract as new ethiopian national team coach
by timotios baye mengistu ethiopian national football team finally handed asenfi bekele a two year contract as new coach bekele was announced new head c
sergio romero explains how he ended up with no20 and talks us through his goalkeeping kit preferences
gemeinsam mit regionalpartner orientivity veranstalteten die beiden bvbtrainer julia farr und michal ziolo vom 13 bis 17 märz in singapur ein schwarzgel | 2017-03-23T12:26:09 | http://www.binzubeiry.co.tz/2016/02/timu-ya-kwanza-ya-mbwana-samatta.html |
tra yafafanua deni la trilioni 424 inazoidai acacia | raha za walimwengu
home » »unlabelled » tra yafafanua deni la trilioni 424 inazoidai acacia
tra yafafanua deni la trilioni 424 inazoidai acacia
mamlaka ya mapato tanzania (tra) imesema kuwa deni la tsh 424 trilioni inayoidai migodi ya bulyanhulu gold mine (bgml) na pangea minerals (pml) inayoendeshwa na acacia limekokotolewa na wataalamu wa kodi waliobobea waliokuwa miongoni mwa wajumbe wa kamati mbili za kuchunguza makinikia zilizoteuliwa na rais magufuliakizungumza kwenye mahojiano maalumu na gazeti la mtanzania jana mkurugenzi wa utumishi na utawala wa tra gerald mwanilwa alisema deni la acacia halikuja kibahati mbaya lilikokotolewa na wataalamu wabobezi wa masuala ya kodi tangu (bgml na pml) walipoanza kukwepa kodi hadi tulipobaini jambo ambalo limesababisha deni kuonekana kubwa afisa huyo alisema kwamba wote wanaodhani tra imezikomoa kampuni hizo kwa kuzipa deni hilo wanakosea kwa sababu deni hilo limetokana na malimbikizo ya ukwepaji koditaarifa iliyotolewa kwenye tovuti ya acacia baada ya kupata madai hayo ya tra ilionyesha kuwa deni hilo la usd 190 bilioni bgml wanadaiwa usd 154 bilioni na pml wakidaiwa usd 36 bilioni
katika usd 190 bilioni usd 40 bilioni ni malimbikizo ya kodi na usd 150 bilioni zikiwa ni riba na faini kutokana na kukiuka sheria | 2017-11-24T18:25:37 | http://www.rahatupu.us/2017/09/tra-yafafanua-deni-la-trilioni-424.html |
amonia | december 2019
kuu amonia
kabichi mboga ni nzuri sana na yenye kitamu yanafaa kwa matumizi yote katika fomu safi na kama sehemu ya sahani mbalimbali karibu kila mboga ya mboga ya mboga ya aina moja au nyingine kabichi bluu savoy kohlrabi au kawaida na wapendwa na kabichi nyingi nyeupe lakini si kila mtu anajua kwamba kupata kabichi nyembamba na nzuri nyuma yake katika kuanguka unahitaji uangalifu na uangalie mara kwa mara
alokaziya jinsi ya kutunza nyumbani
ladha ya pekee na harufu ya mungu inatupa dessono antonovka
sisi kuchagua sufuria kwa gloxinia kwa usahihi ukubwa gani lazima iwe je kuna sifa yoyote katika mimea ya kupanda na kumwagilia
mbolea ya nitrojeni ni vitu visivyo na kikaboni na kikaboni vyenye nitrojeni na vinatumiwa kwenye udongo ili kuboresha mavuno nitrogeni ni kipengele kikuu cha maisha ya mimea inathiri ukuaji na kimetaboliki ya mazao huwajaa vipengele muhimu na lishe hii ni dutu yenye nguvu sana ambayo inaweza kuimarisha hali ya phytosanitary ya udongo na kutoa athari kinyume ikiwa inakabiliwa na kutumiwa vibaya kusoma zaidi
kikaza cha ajabu kwa kupoteza uzito mapishi ya mchanganyiko wa mafuta ya kefir tangawizi mdalasini na pilipili nyekundu
https//lezgkaru swlezgkaru © amonia 2019 | 2019-12-14T00:41:16 | https://sw.lezgka.ru/ammonia/ |
aibuhuyu ndio polisi wa kike aliyepiga picha za utupu na kuziweka mtandaoni mdodosaji
picha ya utupu aliyopiga anisa
kamanda wa polisi kanda maalum ya dar es salaam kamishina suleiman kovapicha ya afande huyo imeenea mitandaoni na kwenye baadhi ya simu za mikononi za watu kitendo kulicholifanya jeshi hilo kufanya uchunguzi na kubaini kuwa ni yake
taarifa zaidi zinadai kwamba kwa sasa anisa anaishi uraiani kama raia wa kawaida | 2017-03-30T10:41:31 | http://www.mdodosaji.com/2013/06/aibuhuyu-ndio-polisi-wa-kike-aliyepiga.html |
msaada tafadhali laptop doesn't boot past the bios screen | jamiiforums | the home of great thinkers
msaada tafadhali laptop doesn't boot past the bios screen
discussion in 'tech gadgets & science forum' started by it guru jan 31 2012
laptop ni lgwhen i power it on inaboot mpaka kwenye bios screen it shows up zile option press f2 to run setup na press f11 for bbs popup after that the whole computer is kama vile ipo locked upinafreeze hapo hapo kwenye hiyo screen haiendelei tena no blinking lights no beepswhen i press f2for setup inaandika tu entering setup then inatulia hivyo hivyo haiendelei kitu it just freezes but nikipress caps lock num lock zinafanya kazi na taa zake zinawaka sijatoa wala kubadilisha any device(i mean ram hard disk etc) laptop haijaanguka wala kupata mtikisiko wowote os iliyopo kwa sasa ni windows 7 ultimate 32 bits i have pretty good knowledge about computer but kwa hapa ilipofikia siwez kufanya kituhata kuweka upya os nashindwa maana imefreeze kwenye bios screen nimejaribu kuchomoa battery ya laptop kwa muda but kurudisha tatizo bado lipo nimeiacha kwenye bios screen siku nzima hoping itaboot but imeganda tu hapa if you need any more information out of melet me know msaada kwenye tuta wakuu
ukiingia bios setup hdd unaiona kuna uwezekano mkubwa kuwa hdd sio nzima itoe kwenye laptop then washa computerikiwaka na kukuambia haioni hdd utakuwa umepata kitukama itafreeze hivyo hivyo ni issue ya processor ila memory pia zinaweza kusababisha tatizo hilo
umemaliza kwa kuwa ana knowledge na ni blue hacker anatakiwa acheki bios yake ina detetc device gani abla ya kuwaka kwa anavyosem anaonekana hdd ni kaputi
teh teh teh kaka umenimalizasikuwa nimeona kuwa mshikaji ni hacker wamekuhack mzeeteh teh teh mla vya wenzake(jokin)
hard disk inakuwa detected na zile process zote za kwenye bios screen zinamaliza halafu inafreeze haiendelei tena mkuu inaweza processor imefanyaje imekufa au
hehe wakuu jina tu lisiwatishe shukrani kwa ushirikiano wenu
blue hacker hiyo ni brand gani na model gani ya mashine sihani processor ya mashine zinaweza kufa kirahisi
laptop ni lg mkuuya zamani kidogo
kama hdd iko njema basi inawezekana cmos battery ndio imekufa au inapoteza kumbukumbu so jaribu kucheza na seeting za bios na kuona time inayotambua
otheriwse kusema lg haisaidi sana mana lg zipo nyingi taja model tutandae google
amekwambia hawez even kuingi kwenye bios kama tatizo lingekuwa ni hard disk angeweza kuingia kwenye bios
tatizo haliwezi kuwa cmos battery cu z hata kama cmos battery ingekufa bado angeweza kuingia kwenye bios tatizo hapo linaweza likawa kwenye processor au motherboard
ok mkuu kwa hiyo ukitaka kuingia kwenye bios set up ya lg unafanyaje na tatizo likiwa kweye poceccsor angesikia beeps hata kabla ya bios
inategemea na tatizo lenyewe na aina ya computer some of them unaweza usisikie hizo beeps
wakuu nimejaribu ushauri wenu wote but tatizo bado likawepo nikatoa hard disk na kuweka hard disk nyingine laptop ikawanaona hard disk ilikuwa imekufaimenibidi nibadilishe tu hard disk ahsanteni sana kwa ushirikiano wenupamoja sana wakuu | 2018-01-16T10:21:20 | https://www.jamiiforums.com/threads/msaada-tafadhali-laptop-doesnt-boot-past-the-bios-screen.218199/ |
ulaji usiofaa unaongeza magonjwa yasiyoambukizamajaliwa issa michuzi | presstz your number 1 source of aggregated online content
ulaji usiofaa unaongeza magonjwa yasiyoambukizamajaliwa
waziri mkuu kassim majaliwa amesemalishe duni pamoja na ulaji usiofaa na mitindo ya maisha vinachangia kwa kiasi kikubwa katika ongezeko la magonjwa yasiyo ya kuambukiza hususan kwa vijana na watu wazima ambao ndiyo nguvu kazi kwa taifa
ni jambo lisilopingika kuwa hatua za kukabiliana na magonjwa ya kusendeka (mfano matatizo ya moyo saratani kisukari na shinikizo kubwa la damu) zinachangia kwa kiasi kikubwa katika kupunguza kasi ya maendeleo yetu kwani gharama za matibabu yake ni kubwa mno si kwa kaya zinazoathirika tu bali kwa taifa zima
waziri mkuu ametoa kauli hiyo leo (jumanne septemba 11 2018) wakati akifungua mkutano wa tano wa wadau wa masuala ya lishe uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kambarage hazina jijini dodoma
a continue reading > | 2019-04-25T20:30:34 | http://presstz.net/ulaji-usiofaa-unaongeza-magonjwa-yasiyoambukiza-majaliwa-41186655 |
wananchi wa kijiji wamkataa mwenyekiti wa ccm aliyepita bila kupingwa waeleza hujuma zilizofanyika swahili cloud
wananchi wa kijiji wamkataa mwenyekiti wa ccm aliyepita bila kupingwa waeleza hujuma zilizofanyika
ikiwa ni juma moja limepita tangu kufanyika uchaguzi wa serikali za mitaa nchini ambapo chama cha mapinduzi (ccm) kilipata ushindi wa kishindo baada ya kushinda kwa asilimia 999 mambo mapya yameanza kuibuka kuhusu uchaguzi huo
huko mkoani mwanza wananchi wa kijiji cha ngombe wilayani misungwi wamemkataa mwenyekiti aliyepita bila kupingwa wa ccm zakayo magondo kwa maelezo kuwa kiongozi huyo hawafai huku wakimtuhumu kwa vitendo vya rushwa na uchonganishi
akizungumza katika mahojiano na azam tv mmoja wa wakazi wa kijiji hicho amesema awali katika kura za maoni ndani ya chama mgombea huyo aliyepita bila kupingwa siye aliyeshinda kwenye kura za maoni kwani yeye alipata kura 100 na kitu huku mwenzake akipata kura 300 lakini cha ajabu akaletwa huyo aliyeshindwa
wananchi hao wamesema kuwa zakayo amekuwa mwenyekiti kwa miaka 15 na hakuna chochote alichofanya ndani ya kijiji hicho hivyo hawamtaki tena
wakiendelea kutoa maoni yao kuhusu kiongozi huyo wananchi wamesema huwa hawasomewi taarifa za mapato na matumizi ya kijiji huku suala la ulinzi na usalama ndani ya kijiji hicho nalo likizidi kuzorota kwa sababu watu wanangangania madarakani bila kuchaguliwa na wananchi
akizungumza katika kikao hicho mbunge wa misungwi charles kitwanga aliwataka wananchi hao kuwa na utulivu huku akieleza kuwa kwa vile kiongozi huyo alipitishwa kwa kufuata taratibu hivyo hata kuondolewa kwake kunapaswa kufuata taratibu amesema lazima kwanza kiti hicho kibaki wazi ili mkurugenzi wa uchaguzi aweze kuitisha tena uchaguzi
tags habarisiasa
zifahamu timu za soka kongwe zaidi nchini
kesi ya vigogo chadema wakili wa serikali acharuka
waziri mkuu awasimamisha kazi watumishi wanane ulangaaagiza wafikishwe mahakamani kujibu tuhuma za ubadhilifu wa sh bilioni tatu | 2019-12-10T11:00:46 | https://www.swahilicloud.com/2019/12/02/wananchi-wa-kijiji-wamkataa-mwenyekiti-wa-ccm-aliyepita-bila-kupingwa-waeleza-hujuma-zilizofanyika/ |
leo ni siku ya demokrasia | jamiiforums | the home of great thinkers
leo ni siku ya demokrasia
discussion in 'jukwaa la siasa' started by pasco sep 15 2009
leo ni siku ya kimataifa ya demokrasia maadhimisho yanafanyika hapa kwenye viwanja vya mnazi mmoja maadhimisho haya yameandaliwa na kituo cha demokrasia tanzania tcd maadhimisho yameanza kwa maandamano swali ni kwenye nchi zenye demokrasia ya kweli jee tanzania nasi tumo humo
tunajivutata watu wa political science wanasema bado tuna infant democracy kwamba bado transion yetu ni poorhatuna political acceptance and tolerance
mgeni rasmi ni mwenyekiti wa tcd pius msekwa vyama vyote vya siasa vimealiwa udp imewakilishwa na mwenyekiti wake taifa mzee john memosa cheyo chadema yupo victor kimesera ccm cuf tlp ppt na dp pia vimewakilishwa vyama vingine kikiwemo nccr mhh
hivi hii siku ilianza kuadhimishwa lini maana chadema wanasema imeanza kuadhimishwa baada ya wao kutoa list of shame september 15 2007 na wao leo walipaswa kuadhimisha miaka miwili ya list of shame lakini wamelalaaaaaaaaaa wameshindwa kutumia nafasi hii kujibeba
hivi sasa msekwa anahutubia awali mzee kimesera katika salaam za chadema alikumbushia list of shame na kusisitiza political tolarance iliyopo ni ya uwongo na unafiki
swali ni kwenye nchi zenye demokrasia ya kweli jee tanzania nasi tumo humoclick to expand
tupo kwa kuwa kwetu sisi demokrasia ni kuchagua na kuchaguliwa na ile uchaguliwe lazima uwe na chama cha siasa
sisi tunaiga tu demokrasia tazama kule pemba mambo yalivyo nani anaweza kupaza sauti yake na kuona kuwa mambo kama yale hayatokei hapa tanzania mbona watu wananyiwa demokrasia yao kule leo ni siku ya kukemea mambo yote yanatokea kule pemba
mzee cheyo alisisitiza nchi moja vyama tofauti vyenye sera tofauti kwa lengo moja la kushika dola akasema tutabanana hapa hapa mpaka kieleweke cuf wamemaka sana kuhusu vurugu ya undikishaji pemba na kuuliza ni demokrasia gani ya vifaru na kutupiana mabomu ya machozi
msekwa amezungumzia historia ya vyama vingi nchini na kusisitiza ni serikali ya ccm enzi za mzee rukhsa aliporuhusu mfumo wa vyama hivyo hivyo ccm inataka upinzani wa kweli ushamirimsekwa ameukejeli upinzani uliopo bungeni na kusema ni upinza legelege ambao hauna uwezo wa kuendesha serikali kivulialifafanua lengo la serikali kivuli kwenye bunge la vyama vingi ni pale inapotokea hoja za serikali zimeshindwa bungeni waziri mkuu anajiuzulu na serikali kivuli ndio inatwaa madaraka ya kuongoza serikali akauliza kwa serikali kivuli ilipo bungeni kutokana na uchache wao hata uwezo wa kuunda serikali kivuli hawanapia alizungumzia siasa za zanzibar na kukiri ni mgogoro tangu uchaguzu mkuu wa 1995 zanzibar ilikuwa mgogoro ule wa 2000 pia ni mgogoro wa 2005 ni mgogoro tena na ujao wa 2010 dalili za wazi zimeshaanza kujitokeza hali inayoashiria zanzibar haina political tolarance ya mfumo wa vyama vingimsekwa alimalizia kwa kutoa changamoto vyamo vyote viwahamasishe wagombea wanawake na kuwapitisha kwa wingi kwenye uchaguzi wa 2010baada ya hotuba ya msekwa ndio ukawa mwisho wa maadhimisho ambapo mc ni mtangazaji eshe muhidin aliyesema na yeye atagombea ubunge mwaka 2010 japo hakusema kupitia chama gani
democrasia what a joke wizi mtupu
kweli wanaadhimisha democrasiamanake kule pemba washaanza democrasia yao ya kuwanyima haki yao raia wa kule na kuwatesa kwa democrasia hii nitakubali | 2016-10-24T08:54:17 | http://www.jamiiforums.com/threads/leo-ni-siku-ya-demokrasia.38702/ |
leo ndio nimejua bamia kwa kiingereza inaitwa ladies finger dina marios blog
leo ndio nimejua bamia kwa kiingereza inaitwa ladies finger
by dinamariesblog | february 5 2013
nilijua inaitwa okra lakini kumbe marekani ndio wanaita hivyo ila kwa kiingereza ladies finger
kwa nini ziliitwa ladies fingerinasemekana ni kwasababu ya umbo lake lilivyo kama vidole vywa mwanamke
bamia hukatwa na kupikwa kwa mapishi tofauti tofauti
ukaipika kwa urefu kwa maana ya kukata kikonyo na ncha yakekisha kuiunga na nazi
hizi zimewekwa tayari kwa kuokwazimepasuliwa katikati halafu kwa ndani ukawekwa mchanganyiko wa vitunguu majijeeracorienderpilipili ya ungachumvimafuta ya kulatangawizi na nazi vikachanganywa na kutiwa humohii ni recipe ya kihindi ndio huwa wantengeneza hivi
huu sio mlenda bali zimekatwa ndogo ndogo zikaungwa vizuri kama zinavyoonekananjaa inaanza kuniuma sasa maana ninavyopenda bamia
mlenda pale unahusikaukichanganya na majani ya maboganyanya chungu saafi unapika ladies finger zako
india wanakula sana bamiahii ni salad ambayo imetengenezwa baada ya kuziosha vizuri ladies finger zakounakata kikonyo unaziweka kwenye sufuria na maji kidogo halafu unazichemsha kwa dk 3 hvi ila zibaki kijani kama zilivyounakatakata nyanya vidogo vidogovitunguupilipiliunatia chumvilimao kama unavyotengeneza kachumbaribaada ya hapo unakata bamia kama zinavyoonekana unatia hiyo salad yako tayari kuliwa
faida ya kula ladies finger bamia
1inasemekana ni chakula kizuri kwa watu wenye msongo wa mawazowanaojisikia weak nk
2ni chakula kizuri kwa wanaotaka kupunguza mwili
3mbegu za bamia zina protine nyingi na mafuta
4inasaidia mmengenyo wa chakula na kupata choo vizuri
5zina vitamin a na c
6madini ya potassiumcalcium na magnesium
kula bamia zako wala usizichukulie poa kisa zinatelezaziko bomba kiafya
related itemsmapishimimi na wewe
← previous story happy birthday to my dear friend gerald hando
next story → wale mnaopenda kuparty kwenye ufukwesoma hii
umenitamanishaje dina hilo bamia kwa samaki wakavu ukaunga na nazi weeee ni balaa hata mlenda pia kwa ugali uko poa saaaana asante kwa kunijulisha bamia kwa kiingeredha hata mimi nilikuwa sijui kidhungu chake
ndiyo dina waingereza wanaita ladies finger
bamia bwana huwa ni tam mnooukila na ugali mmh chakula kinakuwa kitamujee
huo mlenda unavutia sana upate sembe yako nyeupe alafu sasa usonge na ugaliwako laini basi ukifika mdomoni unateleza tuuu hadiraha
wawooo kumbe ndo zinaitwa nazipenda even uchanganye na nyama dagaa ni poa tu kwa ugali
hii kitu na dada yake mlenda vimenishinda kabisa
bamia zinasaidia pia huongeza ute katikati ya maungio ya mifupa pia zina madini mengi sana ya zinc ambayo yanasaidia uongezekaji wa damu
kwa mama mjamzito bamia ukipika kama mlenda inasaidia kuleta uterezi kwenye njia ya uzazi wakati wa kijifungua mama mjamzito hakikisha kuanzia umri wa mimba miezi saba hakikisha mlenda inakuwa chakula chako kikubwa nakuhakikishia siku ya kujifungua mtoto atateleza kama vile mlenda unavyoteleza mdomoni mimi nimezaa nanina watoto wawili kwa watoto wangu wote nimeona faida ya mlenda hata manesi walikuwa wanashangaa jinsi nilivyokuwa najifungua kwa urahisi so jaribu leo uone maajabu ya mlenda kwa mjamzito
hata watu wa ulcers inasaidia sana bamia
da jamani wadau mmenitamanisha sana yani bamia ukiweka na nyanya chungu ukaange na dagaa zako ugali unashuka tu au upike mlenda halafu kuwe na nyama roast na pili pili mbuzi na ugali laini mwee utakula huku umewasha feni hadi spidi ya mwisho then ushushie na serengeti bariiidi asante mdau kwa elimu ya kula mlenda miezi saba kabla ya kujifungu
dada yangu umejuaje maana mi hazipiti siku mbili lazima nile bamia na hii ni kwa sababu sisi kwetu tabora unyamwezini tunakula sana hii kitu na nyanya chungu so am addicted
asante kwa kuelimisha jamii kuhusu jina la bamia ila masahihisho kidogo sio ladies finger bali ni lady's finger
okra ni jina pia la bamia kwa kiingereza
na mm napenda sanaimenivutiaila mm huchemsha tu na kuweka chumvi kidogo na kula hivyohivyo bila hata ugalivilevile napenda juice ya bamiaunazisaga vizuri zikiwa mbichi kisha unakunywa bila kuweka chochotemim nimeshazoea na ninaona kawaida kabisakaribun wote tuufurahie mlo huu jaman
hilo swala alilosema mama glory ni kwel kabisa mama mmjamzito ni muhim ale bamia ili kurahisisha wakat wa kujifungua
mdau juice ya bamia mi napata tabu naona ngumu kumeza
daaa kumbe inamambo mengi hivimimi c mpenzi kiivyo lakini kwahizi faida ntajitahidi sasa isipite week
yaan me nalipenda zaidi likipikwa na nazi tena nipike mwenyewe thanx kwa faida
dina tuwekee na aina nyingine ya mboga za matunda kama biringanya mi nazipenda ila kuzipika bado sijazijulia vizuri
dah minalipenda week mara tatu lazima nile kumbe zinafaida hivyo sasa ntaongeza rate
thx dina mie jina(ladies finger) nilifundishwa na mwanangu tena alikuwa nursery wakati huoso najifunza vitu vingi kutoka kwa wanangu through shule zao hizi za kidhuungu wanatusaidia kwa kweli coz sio kila kitu mtu unajua
duh nimepata faida nyingi za bamia barikiwa sana dina na wote mliotupatia faida hususani aliyetuambia kwamba inamrahisishia mama mjamzito mtoto kutoka haraka niliwahi kusikia kwamba mwanamke akila bamia na nyanya chungu maji maji ya uke yanaongezeka mwanaume akimwingilia inakuwa kama bwawa ni kweli wadau
mdau mi najua nyanya chungu ndiyo zinasaidia kuchochea glands zinazotoa ute wa kulainisha uke hasa kwa wale wenye uke mkavu zinasaidia sana
ahsante dada kwa kutujuza
ni nzuri sana hasa kwa wale wenye vidonda vya tumbo unazichemsha tu bila kutia chumvi wala mafuta then unakunywa ule mchuzi wake hutasikia kabisa maumivu ya tumbo kwa wale wenye vidonda
victoria buzare
ukizikatakata kwa ufupi kama wa inchi 2 hivi au 3 ukaziunga na viungo alafu ukaweka nazi au karanga kwa mbali alafua upate ugali wa dona na kamuogo kiasi auachi kula | 2018-01-17T06:53:59 | http://www.dinamarios.co.tz/2013/02/leo-ndio-nimejua-bamia-kwa-kiingereza/ |
kingotanzania habari picha na matangazo waraka wa chadema utata mtupu
utata mkubwa umeibuka kuhusu waraka halisi wa 'mkakati wa mabadiliko 2013' uliosababisha zitto kabwe kuvuliwa wadhifa wake wa naibu katibu mkuu wa chadema na kikao cha kamati kuu ya chama hicho kilichofanyika novemba 20 22 mwaka huu
kuna njama zinazofanywa na baadhi ya viongozi wa chadema ili kuubadili waraka halisi wa 'mkakati wa mabadiliko 2013' kwa lengo la kupoteza maana yake huku akisisitiza kuwa waraka halisi hauna tatizo lolote
waraka utakaotumika katika mashtaka yao siyo huo sisi tutautumia ule ambao uliwasilishwa katika kamati kuu ambao una mambo makubwa na mengi zaidi kuliko huo unaochapishwa sehemu mbalimbali ikibidi tutautoa huo waraka halisi alisema
hata hivyo jana mwigamba alisema waraka halisi ni ule ambao upo katika kompyuta mpakato (laptop) aliyonyang'anywa na wanachama wa chadema oktoba 25 mwaka huu katika mkutano mjini arusha
waraka uliosambazwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari na mitandao ya kijamii ni sahihi neno kwa neno kama nilivyousoma katika magazeti ya jana (juzi) pamoja na nakala iliyopo katika mtandao wa kijamii wa jamii forums
aliongeza ili kuthibitisha kwamba waraka ule ndiyo wenyewe nawatumieni 'soft copy' kutoka kwenye kompyuta yangu kwani waraka huo uliibwa kutoka katika kompyuta hiyo ambayo nilirudishiwa baada ya wao kuikagua na kukuta waraka huo halisi
mwigamba alisema waraka wake unatofautiana kwa kiasi kikubwa na ule ambao chadema kinasema kuwa ndiyo halisi lissu na wenzake wana mpango wa kuuchakachua waraka huu lakini wamekwama
wakati wa uchaguzi si ajabu kuwepo kwa wanachama wanaounga mkono wagombea tofauti nimekuwa karibu na mwenyekiti wa chadema freeman mbowe kwa miaka mingi najua hata yeye ana mikakati na wanaoshiriki mkakati wake ni lissu na mbunge wa arusha mjini godbless lema alisema
baada ya kugundua madhara ya kusambaza ovyo waraka huo sasa wameamua kuukana waraka wangu ni sahihi na unaeleza ukweli binafsi nimefanya kazi ofisi ya makao makuu ya chama kama mhasibu mkuu ningeweza kuanika mengi lakini sijafanya hivyo kwa masilahi ya chama alisema na kuongeza
tunatambua kwamba viongozi wetu wanamchukia zitto na tangu siku nyingi walipanga kumfukuza nawashauri watafute sababu nzuri za kumfukuza uongozi na hata uanachama zitto hahusiki na mkakati huu pamoja na kwamba alikuwa ndiye mhusika mkuu alikuwa hajui lolote
hata ule waraka uliongezwa maneno baada ya baadhi ya wanachama kumpora mwigamba 'laptop' yake alipokuwa mkoani arusha katika kikao cha chadema alisema bila kutaka kufafanua ulibadilishwa vipi licha ya kuwataja kwa majina waliohusika kuubadili wakiwamo wabunge wawili wa chama hicho na viongozi wa ngazi za juu
nimekuwa kiongozi wa kata wilaya mkoa hadi taifa nimetumia muda wangu mwingi na hata kuhatarisha maisha yangu kwa ajili ya chama hiki siwezi kuondoka kutokana na tofauti za kimitazamo na viongozi wangu alisema | 2017-09-21T04:57:33 | http://kingotanzania.blogspot.com/2013/11/waraka-wa-chadema-utata-mtupu.html |
kinazungumzwa katika
poland (385 milioni) pia kuna wanzungumzaji katika australia kanada uingereza marekani ufaransa ujerumani belarus lithuania ukraine argentina brazil israel na nchi nyingine kibao
waongeaji
zaidi ya milioni 50 | 2014-11-28T11:03:05 | http://sw.wikipedia.org/wiki/Kipoland |
china abclu jihong
baada ya kumaliza masomo yake katika chuo cha muziki cha xian mwaka 1982 bw lu jihong alikuwa mwalimu wa muziki katika shule ya ualimu ya lanzhou alihamishwa katika kikundi cha nyimbo na ngoma cha gansu mwaka 1985 na alijiunga na kikundi cha nyimbo na ngoma cha jeshi la baharini mwaka 1989
bw lu jihong alipata nafasi ya kwanza mara tatu katika mashindano ya uimbaji ya mkoa wa gansu na alitapa nafasi ya pili katika mashindano ya uimbaji wa jadi ya waimbaji vijana ya china mwaka 1995 alipata tuzo ya dhahabu ya serikali katika mashidano ya nyimbo mpya ya utangazaji
katika miaka ya karibuni licha ya kupata tuzo nyingi bw lu jihong aliimba nyimbo kwa ajili ya filamu zikiwemo majemedari wa ukoo wa yang na kurejea sichuan uimbaji wake umejaa hisia na uhamasa unaonesha ilivyo mtindo wa uimbaji wa makabila mbalimbali alikuwa mhusika katika opera ya marijani nyekundu na kushiriki tamasha la uimbaji la televisheni ya taifa na mikoa
mwaka 2001 katika mashindano ya muziki wa mtv ya televisheni wimbo wa china kusonga mbele alioimba pamoja na wenzake wengine wawili kwa pamoja ulipata tuzo ya dhahabu
bw lu jihong akiwakilisha china na jeshi alitembelea ujerumani urusi philippines thailand na marekani na kupendwa na watu wa huko
[burudani za muziki]: wananchi waishi kwa usalama na utulivu | 2020-01-20T21:39:24 | http://swahili.cri.cn/chinaabc/chapter24/chapter240304.htm |
makamu wa rais awataka wakazi wa kizimkazi kuwa na bima ya afya | lukaza blog
makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akikata utepe kuashiria ufunguzi wa jingo la mkombozi sacco
http//wwwjosephatlukazacom/2017/08/makamuwaraisawatakawakaziwahtml
makamu wa rais ameyasema hayo wakati wa sherehe ya siku ya wakizimkazi ambapo siku hiyo wakazi hao hukutana na kupeana taarifa za maendeleo na kupanga mipango ya baadae kasha kula chakula cha asili pamoja na michezo ya asili
mhe samia aliwaeleza wananchi hao kuwa hakutokuwa na mjomba atakayekuja kuwaletea maendeleo na alihimiza kwa kusema maendeleo ya kizimkazi yataletwa na wakizimkazi wenyewe
katika sherehe hizo makamu wa rais alifungua jengo la ofisi ya saccos ya mkombozi lililopo kizimkazi dimbani na kukagua maendeleo ya ukumbi wa skuli ya sekondari kizimkazi
mchezo wa kuvuta kusokota kamba kukuna nazi na mbio za ngalawa zilionekana kuvutia watu wengi
kitaifa 8616721148605099124 | 2017-09-26T07:17:36 | http://www.josephatlukaza.com/2017/08/makamu-wa-rais-awataka-wakazi-wa.html |
mubale mwa bicol brazilian sign language bulgarian chinese (cantonese) chinese (simplified) chinese (traditional) chinese cantonese (simplified) colombian sign language czech danish ewe haitian creole hiligaynon hungarian igbo italian korean lithuanian malagasy mizo moore myanmar ossetian persian polish romanian russian sign language sichewa sikuwa silozi sipeli siputukisi sishona siswahili siswana slovak slovenian tsonga turkish ukrainian urdu
mubuso wa asirya o mata ka ku fitisisa se u shandauzi kale muleneñi wa samaria yona pita ya mubuso wa isilaele wa masika a lishumi mubuso wa asirya hape se u bembile majuda ka nako ye telele mupolofita nahumi wa mujuda u polofita za ninive muleneñi o mutuna wa asirya buka ya bibele ya nahumi ne i felizwe pili silimo sa 632 bce si si ka fita kale mi mwateñi ku polofitilwe za ninive
mubuso wa asirya ha se u wile mubuso wa mababilona u ba ona mubuso o mata ka ku fitisisa mi fokuñwi u busiwa ki malena ba makalade buka ya habakuki ili yeo mwendi ne i felizwe ku ñolwa ka 628 bce i polofita za nako yeo jehova a ka fitisa katulo ya hae ka ku itusisa mababilona ni ze ka ezahala ku bona
mupolofita zefania wa mujuda na kalisize ku polofita pili nahumi ni habakuki ba si ka kalisa kale ku eza cwalo na polofitile kuli juda ne i ka sinyiwa ni ku yahiwa sinca lilimo ze fitelela 40 pili jerusalema i si ka shandaulwa kale ka 607 bce buka ya bibele ya zefania hape i polofita ze ka ezahala kwa linaha ze ñwi
bumai ki bwa munzi wa mali
(nahumi 11319)
jehova mulimu ki yena ya polofitile fahalimu a ninive mi ha halifi kapili ki yo mutuna ka mata a hae ku si na taba kuli jehova ki sisabelo se si tiile ka nako ya ziyezi ku ba ba mu sepile ninive i ka sinyiwanahumi 11 3 7
[muña] bupilo [u ka] zusa [kamba ku kutisa sinca] bulena bwa jakobo kono maasirya ba nyandisize batu ba mulimu sina tau ye tafuna lico jehova u ka cisa makoloi a [ninive] a fetule musi fela lilumo li ka feza bana [ba hae] ba litau (nahumi 22 12 13) bumai ki bwa munzi wa mali yona ninive batu kaufela ba ba ka utwa ze tahezi [ninive] ba ka kandelela mi ba ka tabanahumi 31 19
19ku bulaelelwa kwa ninive ku ka tusa cwañi majuda seo si ka talusa kuli majuda ha ba sa na ku nyandiswa ki maasirya hape ñalelwa ha i na ku ba swala habeli nahumi u bonisa inge kuli ninive i wile kale u li a mu bone fa malundu mautu a ya tisa litaba ze nde ya to shaela kozo wena juda u eze mikiti ya haonahumi 115
26ki likwalo za nuka lifi ze ne tibuluzwi likwalo ze taluswa fa ki ku tibuha kwa mamota a ninive bakeñisa mezi a nuka ya tigris batu ba mwa ninive ne ba si ka saba se siñwi munzi wo ha ne u tilo tasezwa ki mababilona ni mamede ka 632 bce ne ba ikutwa ku silelezwa kabakala kuli munzi wa bona ne u na ni mamota a matelele kono nuka ya tigris ya bayula bakeñisa pula ye ne nela hahulu caaziba wa litaba za kale ya bizwa diodorus u talusa kuli mezi na tibisize kalulo ye ñwi ya muleneñi ni ku wisa mamota kacwalo likwalo za nuka ne li tibuluzwi sina mo ne ku polofitezwi mi ninive ne i wile kapilipili sina fela mo bu celanga kapili bucwañi bo bu omile ñonahumi 1810
34ninive ne i swana cwañi sina lihule ninive ne i sepisize linaha ze ñwi kuli ne i ka itama bulikani ni zona ni ku li tusa kono ne i nyandisa fela linaha zeo ka mutala maasirya ne ba tusize mulena akazi wa juda ha na lwaniswa ki mpi ya syria ni isilaele kono hamulaho wa nako mulena wa asirya ha taha ku [akazi] a mu ziyeza2 makolonika 2820
126 jehova na otile lila za hae ze ne hanile ku sebeleza fela yena ili ku bonisa kuli u bata kuli balapeli ba hae ba lapele fela yena a nosiexoda 205
110 bupolofita bwa jehova ne bu talelelizwe ku si na taba kuli ninive ne li muleneñi wa mamota a matelele wa litawala ba ba lwanisa batanga ba jehova kacenu ha ba na ku banduka katulo ya mulimuliproverbia 222 daniele 244
ya lukile u ka pila
(habakuki 11319)
kauhanyo ya pili ni ya bubeli ya buka ya habakuki ki puhisano ye mwahala habakuki ni jehova mulimu mupolofita habakuki u bilaezwa hahulu ki ze sweli ku ezahala mwa juda mi u buza mulimu kuli u ni bonisezañi ze maswe mi u ni talimisezañi za ku nyandisa jehova u mu alaba u li ni biza makalade sona sicaba se si buhali se si kanyanyu mupolofita u komoka kuli mulimu u lelile ku ota juda ka ku itusisa ba ba maswe (habakuki 13 6 13) habakuki u sepiswa kuli ba ba lukile ba ka zwelapili ku pila kono lila li ka otiwa hape habakuki u bonisa lika ze ketalizoho ze ka wela makalade zona lila za haehabakuki 24
habakuki u lapela kuli a boniswe sishemo ka mukwa wa lipina za malilo mi u talusa kuli jehova na bonisize mata a hae a matuna kwa liwate le li fubelu mwa lihalaupa ni kwa jeriko habakuki hape u polofita za buhali bwa jehova armagedoni ha i ka taha u feza tapelo ya hae ka manzwi a li mata a ka ki yena mulena [muña] bupilo u fa mautu a ka ku swana sina a lipala u ni zamaisa mwa mabaka a ka a lumbilehabakuki 31 19
15 6ki kabakalañi majuda ha ne ba sa libeleli kuli makalade ne ba ka taseza jerusalema ka nako ya kalisa ku polofita habakuki juda ne i busiwa ki egepita (2 malena 2329 30 34) nihaike mubuso wa mababilona ne se u ba o mata ne ba si ka tula kale faro neko (jeremia 462) hape tempele ya jehova ne i li mwa jerusalema mi lusika lwa davida ne lu busize ka nako ye telele ku si na mifilifili kacwalo majuda ba mwa miteñi yeo ne ba sa libeleli kuli mulimu na ka itusisa makalade kwa ku sinya jerusalema kono ku si na taba kuli ne ba si ka kolwa manzwi a habakuki bupolofita bwa hae bwa ku sinyiwa kwa jerusalema ki mababilona ne bu talelelizwe luli ka 607 bcehabakuki 23
25mutu ya taluswa fa u swaniseza mañi mi ki kabakalañi ha [si na] buiketo mababilona ba ne ba tuzi macaba a mañata ka mpi ya bona ye mata ki bona ba ba taluswa fa sina mutu babilona na eza inge ya kozwi veine bakeñisa litulo za hae kono na si ke a kona ku ikubukanyeza macaba kaufela bakeñisa kuli jehova na ka mu yundisa ka mamede ni maperesia mutu yo kacenu u swanisezwa ki likopano za lipolitiki ni yena u ikuhumusa hahulu mi u tabela hahulu ku busa kono ha na ku kona ku ikubukanyeza macaba kaufela ki mubuso wa mulimu fela o ka kona ku swalisanisa batumateu 69 10
114 11221 habakuki na buzize lipuzo ze ne mu bilaeza luli mi jehova na mu alabile mulimu wa niti wa alabanga litapelo za batanga ba hae ba ba sepahala
21 sina habakuki lu swanela ku zwelapili ku tona ni ku tiya kwa moya mi lu swanela ku eza licinceho haiba lu fiwa kelezo
23 316 ha lu nze lu libelela lizazi la jehova lu swanela ku zwelapili ku tona kwa moya
24 lu tokwa ku zwelapili ku itiisa kuli lu kone ku punyuha fa lizazi la jehova la katulomaheberu 103638
26 7 9 12 15 19 ba ba ikubukanyeza lika ze si za bona ba ba lata mifilifili ba ba eza buhule ni ba ba lapela milimu ba ka telwa ki kozi lu swanela ku ambuka lika ze cwalo
211 haiba lu palelwa ku nyaza bumaswe bwa lifasi le licwe li ka huwa lu swanela ku zwelapili ku kutaza mubuso ka bundume
36 ha ku na nto ye ka palelwisa jehova ku fitisa katulo ya hae nihaiba mibuso ya butu ye bonahala ku tiya inge malundu
313 lu sepisizwe kuli hasi batu kaufela ba ba ka sinyiwa fa armagedoni jehova u ka sileleza batanga ba hae ba ba sepahala
31719 nihaike kuli lu kana lwa talimana ni butata armagedoni ha i ka taha kamba pili i si ka fita kale lu na ni buikolwiso bwa kuli jehova u ka lu fa mata ha lu nze lu zwelapili ku mu sebeleza ka tabo
lizazi la jehova li sutelezi
(zefania 11320)
bulapeli bwa baale bu atile mwa juda jehova u bulela ka mupolofita wa hae zefania kuli ni ka namululela lizoho la ka fahalimu a juda ni fa batu kamukana ba ba yahile mwa jerusalema zefania u lemusa kuli lizazi la [muña] bupilo li sutelezi (zefania 14 7 14) ba ba eza tato ya mulimu ki bona fela ba ba ka silelezwa fa lizazi leozefania 23
bumai ki bwa munzi wa banyandisi ona jerusalema [muña] bupilo u li a mu ni libelele he ku fitela lizazi le ni ka nanuha ku to hapa kakuli ni lelile ku puta macaba ni ba sululele buhali bwa ka kono mulimu u sepisa kuli ni ka mi bubanisa ni ku mi kuteka ka libizo le lituna mwahala macaba kamukana a lifasi ha ni se ni kutisa ba ba hapilwe ba mina mu nze mu iponelazefania 31 8 20
39milomo [kamba puo] ye kenile ye taluswa fa ki nto mañi mi puo yeo i bulelwa cwañi puo ye taluswa fa ki niti ye mwa linzwi la mulimu yona bibele i kopanyeleza lituto kaufela ze mwa bibele lu i bulela ka ku lumela niti ku luta batu ba bañwi niti ni ku pila ka tato ya mulimu
18 batu ba bañwi mwa miteñi ya zefania ne ba bata ku tabelwa ki macaba a mañwi ka ku apala liapalo za ku sili balapeli ba jehova kacenu ha ba swaneli ku eza butoto bo bu swana ka ku likanyisa lifasi
112 35 16 jehova na zwezipili ku luma bapolofita kuli ba yo lemusa batu ba hae za likatulo za hae na ezize cwalo ku si na taba kuli majuda ba bañata ne ba swana sina lisifa le li shekezi mwa silubelo sa veine kakuli ne se ba cinezi mwa lika ze maswe mi ne ba sa isezi pilu kwa lushango lizazi la jehova le lituna ha li nze li sutelela ha lu swaneli ku tuhelela mazoho a luna ku fokola bakeñisa kuli batu ha ba lu isi pilu ha lu nze lu kutaza taba ya mubuso
23 ki jehova fela ya kona ku lu sileleza fa lizazi la buhali bwa hae kuli lu shemubiwe lu tokwa ku bata jehova ka ku ituta linzwi la hae yona bibele ka tokomelo ku kupa ketelelo ya hae ka tapelo ni ku sutelela ku yena lu swanela ku bata ze lukile ka ku ba ni mizamao ye minde mi lu swanela ku bata buikokobezo ka ku ba batu ba ba ishuwa ni ba ba utwa
2415 315 jehova ha ka tisa katulo ya hae krestendomu ni macaba kaufela a nyandisize batu ba mulimu ba ka kena mwa kozi ye ne tezi jerusalema wa ikale ni macaba a na i potolohile (sinulo 1614 16 1848) lu swanela ku zwelapili ku kutaza likatulo za mulimu ka bundume
38 9 ha lu nze lu libelela lizazi la jehova lu swanela ku itukiseza ku puluswa ka ku ituta puo ye kenile ni ku biza libizo la mulimu ka ku ineela ku yena hape lu swanela ku sebeleza jehova ka pilu i li ñwi ni batu ba hae ni ku mu fa sitabelo sa milumbekomaheberu 1315
li akufa ka lubilo
walisamu na opezi kuli ku sa na ni nakonyana ye nyinyani mi ya maswe ha sa na ku ba teñi e u ka bata sibaka sa hae kono si se si ka ba siyo (samu 3710) ze ne polofitilwe ka za ninive ni za babilona mwa buka ya nahumi ni za juda mwa buka ya habakuki li lu tusa ku ba ni buikolwiso bwa kuli manzwi a walisamu a ka talelezwa luli kono lu swanela ku libelela ka nako ye kuma kai
zefania 114 i bulela kuli lizazi la [muña] bupilo le lituna li sutelezi e li sutelezi mane li akufa ka lubilo buka ya zefania hape i bonisa ze lu swanela ku eza kuli lu silelezwe ka nako yeo ni ze lu tokwa ku eza cwale ha lu nze lu itukiseza puluso ka niti luli linzwi la mulimu ki le li pila mi li na ni matamaheberu 412
bupolofita bwa nahumi ne bu talelelizwe ku si na taba ni mamota a matelele a ninive | 2020-01-21T12:37:13 | https://www.jw.org/loz/sifalana/limagazini/w20071115/Ze-Zwile-Mubano-mwa-Libuka-za-Nahumi-Habakuki-ni-Zefania/ |
28 | may | 2017 | artists news in tanzania
staa wa bongo movie irene uwoya amepata dili la kuwa balozi wa kampuni ya simu ya itel napenda ni mshukuru sana mungu wangu kwa kunipendanatoa shukrani zangu za dhati kwa viongoz wangu wa itel kwa kuniamini na kunichagua kuwa balozi wao itel ni simu nzuri sana tena kwa wale wapenda self kama mim hiii ndio []
rais magufuli amwondoa igp mangu simon sir
dar es salaam rais john magufuli amemteua kamanda wa polisi wa kanda maalum ya dar es salaam simon sirro kuwa inspekta jenerali wa polisi (igp) taarifa iliyotolewa na ikumu muda mfupi uliopita inasema aliyekuwa igp ernest mangu atapangiwa kazi nyingine taarifa iliyotolewa na katibu mkuu kiongozi balozi john kijazi inaeleza kuwa sirro ataapishwa kesho jumatatu []
namuona harmorapa akizidi kupepea (maoni)
bado ni underground lakini anajulikana wengi tumemjua kwa sababu tu anafanana sana na msanii mwingine wa bongo fleva chipukizi anayeelekea kukua harmonize harmonize yeye ni msanii anayefanya poa akiwa na lebo ya wcb chini ya nasibu abdul diamond ambaye uwezo wake na mafanikio yake kwenye muziki huo ni mkubwa na mfano wa wasanii wa bongo []
mwigizaji jacqueline wolper amefunguka na kuwataka watu maarufu kujiheshimu na kuvaa nguo kulingana na mazingira kwani kuvaa nguo ambazo hazina staha inaweza kupeleka kukosa kazi au hata heshima yao kushuka wolper alisema hayo kupitia kipindi cha enewz na kudai japo hawakatazwi kuvaa nguo nusu uchi lakini si jambo jema na kusema mtu unapovaa nguo za [] | 2018-10-17T21:08:07 | http://www.bongomovies.com/2017/05/28/ |
vurugu makambako | jamiiforums | the home of great thinkers
vurugu makambako
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by mangandula apr 9 2012
wafanyabiashara wa maduka yanayozunguka soko kuu makambako leo wameandamana na kuziba barabara zote kuu za songea mbeya na iringa tatizo ni walinzi waliowaweka wao wenyewe kwa ajili ya kulinda maduka usiku kukutwa na funguo bandia pia kuwafuma wakiwa ndani ya maduka yao usiku wa saa 8 hii ilitokana na mlinzi mwenzao kuwajulisha wenye mali vulugu zimeanza baada ya polisi kuwaachia watuhumiwa jioni hii na kumkamata m/kiti wa soko na kumsweka ndani hapo ndipo peoples power ilipoanza polisi wamelazimika kuita ffu kutoka iringa na njombe hivi ninavyo andika post hii mabomu ya machozi yanapigwa hovyo na watu wanakimbia hovyo chanzo cha habari wananchi makambako
evaluation ya somo inaonyesha somo limeeleweka bado kidogo tu
pamoja tutafika kila mmoja kwa nafasi yake
nongwa yipye
walinzi wawaweke wenyewe waandamane kwa serikali
huu upuuzi wa maandamano ulioanzishwa na hawa jamaa bila elimu ya kutosha unaleta shida sana
huu upuuzi wa maandamano ulioanzishwa na hawa jamaa bila elimu ya kutosha unaleta shida sanaclick to expand
soma vizuri myopia
hivi polisi hawana jinsi nyingine ya kutuliza mambo zaidi ya kutumia nguvu kupita kiasi mbona hapa dhana ya polisi jamii inaonekana kuyeyuka nina question elimu na uwezo wa polisi kushughulikia matatizo ya raia kwani matukio ya polisi kuwaachia wahalifu yanazidi kupamba moto licha ya backlash wanazopata kutoka kwa wananchi wanaoathirika
wewe joka la kibisa
read between the line wameanza kuandamana baada ya police kuwaachia hao walinzi bila kulidhishwa kuachiliwa kwao may be hao policcm ndo walikuwa wanawatumia hao walinzi
yawezekana polisi hufaidika na vitu vinavyoibwa ndiyo maana wameamua kuwachilia huru
wanyalukolo tulieni tu mlikubali kupokea rushwa mkamchagua yule jamaa aliyeishia darasa la pili kuwa mbunge na sasa hamna mtetezi tofautisheni kati ya kuchagua mbunge na kuchagua mfadhili lema fika hadi makambako kuelimisha enzi mwakipande yuko hai hao walinzi wasingethubutu kuingia dukani kuiba kila duka lilikuwa na self defense
unaonekana hujaelewa wanaandamana kwa sababu watuhumiwa wameachiwa halafu viongozi wao wametiwa ndani
iinaonyesha
hivi mabomu hayanaga exipiry date
kumbe wewe ni mzenji ngoja tuupige muungano chini tuanze kuwafakamia hayo masaburi yenu
hayo ndo matokeo ya kuwalipa walinzi mishahara midogo hata hivyo jah people yupo atawasaidia
kiongozi soma kwa makini watu wamewekwa ndani lakini kama kawaida polisi wanawaachia halafu kesho utawasikia mwema na chagonja wakiongea kihusu polisi jamii na utii wa sheria bila kushurutishwa
imenibidi niongee na rafiki yangu ambaye ni mfanyabiashara hapo nijue kulikoni huu mchezo wa walinzi kuiba usiku baada ya wenye mali kuondoka ulikuwa unafanyika kwa muda mrefu ila baadhi ya walinzi hawakuufurahia na hivyo kutoshiriki walichofanya ni kuwataarifu viongozi wa soko nini huendelea usiku na kuwaahidi kuwa punde wakiwabip usiku basi wajue kazi imeanza viongozi wa soko wakapata missed call na kwenda sokoni wakawakuta baadhi ya walinzi wakiwa na master keys wamefungua duka na wanaiba bidhaa viongozi wa soko wakawashushia kipigo kizito walinzi wezi na kuwaita polisi polisi walichofanya walipofika eneo la tukio waliwachukua wale walinzi pamoja na viongozi wa soko walipofika kituoni wakawaweka ndani viongozi wa soko na wale walinzi wakapelekwa hospitali ambako wamelzwa mpaka sasa hali zao zikiwa mbaya wafanyabiashara wengine wamekasirishwa na kitendo cha polisi kuwaweka ndani viongozi wao ndipo akapelekea kufungwa kwa barabara kushinikiza viongozi wao kuachiwa na hatimaye polisi ikatii kutokana na vurugu hizo kwa sasa viongozi wametolewa na walinzi bado wapo hospitali wakiwa mahututi na pingu mkononi
askari wa tanzania ni janga lingine la taifakila siku ya mungu ni mabomu ya machozikwa bahati mbaya mimi si mwanajeshi wala si polisi ila kwa umri wangu naamini hayo mabomu wanayotumia yananunuliwa kwa fedha nyingi za kitanzaniajehakuna njia nyingine ya kutuliza gasia kama maandamanosidhani kama watanzania wamefikia kiwango cha kutulizwa kwa kutumia mabomuni hatari kwa serikali kuwapa mafunzo ya kijeshi wananchi ambao hawana mpango wa kujifunza mafunzo hayoipo siku mabomu yatazoeleka tu na hapo ndipo mambo ya cossovo yatakapoanza nchini
swala la muhimu kwa nchi yetu ni kuwa na maadilinajua hapo makambako mabomu yamepigwa na mwisho baadhi ya wananchi watakamatwa kwa kuwekwa ndani ya ulinzi wa polisi hapo ndipo biashara ya rushwa itakapoanzakwa njombe sasa ni fashion kuwaweka watu ndani kwa madai ya maandamano na kisha wanatolewa kwa fedha nyingihakika rushwa ni aibu ya taifatuwe wakweli nchi yetu inachungulia shimo la mautirip ccmnguvu ya umma makambako inatisha | 2017-07-27T07:20:48 | https://www.jamiiforums.com/threads/vurugu-makambako.247970/ |
kamati elekezi ya taifa ya ulinzi wa wanawake na watoto yakutana dodoma owm
home kitaifa taarifambalimbali kamati elekezi ya taifa ya ulinzi wa wanawake na watoto yakutana dodoma
kamati elekezi ya taifa ya ulinzi wa wanawake na watoto yakutana dodoma
✔ habari pmo 9/02/2019 033500 pm
katibu mkuu ofisi ya waziri mkuu (sera uratibu na uwekezaji) bidorothy mwaluko pamoja na katibu mkuu wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto dkt john jingu wakipitia muhtasari wa kikao kilichopita wakati kikao cha kamati elekezi ya taifa ya ulinzi wa wanawake na watoto kilichofanyika mkoani morogoro
naibu katibu mkuu wizara ya katiba na sheria bw amon mpanju akichangia hoja kuhusu sheria mbalimbali zinazowalinda watoto dhidi ya ukatili wakati wa kikao hicho
katibu mkuu ofisi ya waziri mkuu (sera uratibu na uwekezaji) bidorothy mwaluko akizungumza jambo wakati wa ufunguzi wa kikao cha kamati elekezi ya taifa ya ulinzi wa wanawake na watoto kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa magadu jwtz mkoani morogoro kushoto ni katibu mkuu wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto dkt john jingu
sehemu ya wajumbe wa kikao cha kamati elekezi ya taifa ya ulinzi wa wanawake na watoto wakifuatilia hoja za mwenyekiti wa kikao hicho ambaye ni katibu mkuu ofisi ya waziri mkuu (sera uratibu na uwekezaji) bidorothy mwaluko (hayupo pichani)
sehemu ya wajumbe wa sekretariati wakifuatilia hoja na michango ya wajumbe wakati wa kikao hicho
sehemu ya wajumbe wa kikao cha kamati elekezi ya taifa ya ulinzi wa wanawake na watoto wakifuatilia hoja za mwenyekiti wa kikao hicho ambaye ni katibu mkuu ofisi ya waziri mkuu (sera uratibu na uwekezaji) bidorothy mwaluko (hayupo pichani)
mkurugenzi wa idara ya sera na mipango kutoka wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto bw atupele mwambene akiwasilisha taarifa ya mpango kazi wa taifa wa kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto wakati wa kikao hicho
muwakilishi kutoka mtandao wa jinsia tanzania (tgnp) bi zainabu akieleza namna wanavyotatua masuala ya ukatili dhidi ya wanawake na watoto kupitia teknolojia ya mitandao wakati wa kikao hicho
katibu mkuu ofisi ya waziri mkuu (sera uratibu na uwekezaji) bidorothy mwaluko (wa tatu kutoka kushoto) pamoja na katibu mkuu ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma dkt laurean ndumbaro (katikati) katibu mkuu wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto dkt john jingu (wa pili kutoka kushoto) na naibu katibu mkuu wizara ya katiba na sheria bwamon mpanju (wa tatu kutoka kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa kamati elekezi ya taifa ya ulinzi wa wanawake na watoto mara baada ya kumaliza kikao hicho
katibu mkuu ofisi ya waziri mkuu (sera uratibu na uwekezaji) bidorothy mwaluko akiteta jambo na katibu mkuu ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma dkt laurean ndumbaro mara baada ya kufunga kikao hicho
kamati elekezi ya taifa ya ulinzi wa wanawake na watoto yakutana dodoma habari pmo 20190902t153500+0300 50 stars based on 35 reviews katibu mkuu ofisi ya waziri mkuu (sera uratibu na uwekezaji) bidorothy mwaluko pamoja na katibu mkuu wizara ya afya maendeleo ya jamii | 2019-09-16T06:19:43 | https://wazirimkuu.blogspot.com/2019/09/kamati-elekezi-ya-taifa-ya-ulinzi-wa.html |
usalama blog waziri kitwanga ala kiapo cha kuwa mwenyekiti wa tume ya utumishi ya jeshi la polisi na magereza
jaji kiongozi wa mahakama kuu nchini shabani lila (katikati) akimsindikiza waziri wa mambo ya ndani ya nchi charles kitwanga (kulia) mara baada ya kumaliza kumuapisha kuwa mwenyekiti wa tume ya utumishi ya jeshi la polisi na magereza katika tukio lililofanyika mahakama kuu jijini dar es salaam leo tume hiyo inashughulikia masuala ya kiutumishi kwa askari polisi na magereza kushoto ni msajili wa mahakama kuu ilvin mugeta
posted by wizara ya mambo ya ndani ya nchi at 1138 am | 2017-08-23T00:33:55 | http://usalamawetu.blogspot.com/2015/12/waziri-kitwanga-ala-kiapo-cha-kuwa.html |
watu 7 wanaodhaniwa kuwa majambazi wauawa dar es salaam | mpekuzi
jeshi la polisi kanda maalum ya dar es salaam limefanikiwa kuwaua majambazi saba na kufanikiwa kukamata silaha ndogo bastola aina ya bereta ikiwa na risasi tatu ndani ya kasha (magazine) na silaha za jadi
mnamo tarehe 25052020 majira ya saa sita na dakika kumi usiku huko maeneo ya mwenge coca cola majambazi saba wakiwa kwenye gari namba t 956 bya toyota noah rangi ya fedha (silver) wakielekea kufanya uhalifu katika ghala la gs group limited linalohifadhi vifaa vya pikipiki kabla hawajafanikiwa kufanya uhalifu huo
jeshi la polisi kanda maalum dsm kupitia kikosi kazi chake cha kupambana na ujambazi lilipata taarifa kutoka kwa msiri na kufika mara moja eneo la mwenge cocacola na kulibaini gari hilo ambapo kikosi kazi hicho kilipojaribu kulifuata gari hilo la majambazi liliongeza mwendo na kuchepuka barabara ya vumbi na ghafla majambazi hao walianza kulishambulia gari la polisi kwa risasi na ndipo askari wakajibu mapigo na kufanikiwa kupiga tairi gari la majambazi hao majambazi hao wakashuka na kuanza kukimbia huku wakirusha risasi ovyo lakini askari polisi kwa umahiri wa hali ya juu walifanikiwa kuwajeruhi majambazi wote saba na kufanikiwa kuwakamata wote
aidha katika upekuzi wa awali ndani ya gari la majambazi hao kuilikutwa na mitungi miwili ya gesi na mipira yake mapanga matatu kamba za katani (kudu) na baada ya kumpekua jambazi mmoja alikutwa na silaha ndogo bastola aina ya bereta ikiwa na risasi tatu ndani ya kasha (magazine)
majambazi wote saba walikimbizwa hospitali ya taifa muhimbili na walipofikishwa hospitalini hapo daktari alithibitisha kuwa wameshafariki dunia na miili yao imehifadhiwa hospitalini hapo kwa uchunguzi zaidi
tathimini ya hali ya usalama katika kuisherekea sikukuu ya eid elfitri jiji dar es salaam
jeshi la polisi kanda maalum ya dar es salaam kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama limefanikiwa kuimarisha usalama kipindi chote cha kusherekea sikukuu ya eidelfitri jijini dsm na kwamba hakuna tukio lolote la uhalifu lililoripotiwa au ajali mbaya ya barabarani iliyoripotiwa
sikukuu hiyo ya eidelfitri iliyosherekewa tarehe 24052020 na kuendelea tarehe 25052020
jeshi la polisi kanda maalum dsm limejipanga kikamilifu kuhakikisha inasherekewa kwa amani na utulivu maeneo yote ya jiji la dar es salaam na linawataka wananchi kuendelee kufuata sheria za nchi ili kumalizia kusherekea sikukuu hii kwa amani na utulivu
kanda maalum ya dar es salaam
sacplazaro mambosasa | 2020-07-06T17:31:23 | http://www.mpekuzihuru.com/2020/05/watu-7-wanaodhaniwa-kuwa-majambazi.html |
watumishi wanaouza fomu za nida waonywa channel ten
watumishi wanaouza fomu
mkuu wa wilaya ya mkuranga mkoani pwani bw filberto sanga amewataka watendaji wa kata vijiji na wataalam wengine kujieupusha na tabia ya kuchukua fedha kwa wananchi ili wawapatie fomu za kitambulisho cha taifa nida na yeyote atakayekutwa akifanya hivyo serikali haitosita kuchukua hatua kali za kisheria ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hizo
akizungumza katika mkutano wa hadhara uliolenga kusikiliza kero za wananchi bw sanga amesema tabia ya wasimamizi wa nida kwa ngazi ya kata na vijijji kuwauzia fomu wananchi hakikubaliki kutokana na huduma hiyo kutolewa bure hivyo yeyote atakayebainika serikali haitosita kuchukua hatua kali za kinidhamu
katika hatua nyingine bw sanga amewataka wananchi wa mwandege kujitokeza kushiriki katika zoezi la urasimishaji ardhi pindi zoezi hilo litakapoanza huku akiwataka wale wote watakaotakiwa kupisha ujenzi wa miradi ya maendeleo kuwa na moyo wa uzalendo ili kurahisisha upatikanaji wa huduma za kijamii | 2020-05-30T17:44:27 | http://www.channelten.co.tz/2020/01/13/nida-2/ |
june | 2020 | jamhuri ya muungano wa tanzania
rais magufuli atoa siku 3o kwa viongozi wa wizara ya ujenzi uchukuzi na mawasiliano
news june 30 2020 3 comments
muonekano wa ndani wa handaki ambalo jana jumatatu (juni 29 2020) rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john magufuli ameweka jiwe la msingi la ujenzi wake na mahandaki mengine madogo ambayo yatakamilisha urefu wa kilometa 27 katika ujenzi wa reli ya kisasa (sgr) kutoka morogoro hadi makutupora mkoani dodoma
na mwandishi wetu maelezo
akizungumza katika hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa barabara hiyo leo (jumatatu juni 29 2020) rais magufuli alisema hajaridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi huo inayofanywa kasi ya mkandarasi huyo kutokana ujenzi wa barabara hiyo kuchukua muda mrefu kukamilika read more
jpm kiboko uchumi wa maendeleo wa mtwara corridor umewezekana
wilaya ya mtwara ndiyo lango linalofungua maendeleo wa uchumi wa kusini mwa tanzania kwa kuunganisha mikoa ya lindi mtwara na ruvuma ikiwa ni pamoja na nchi jirani za malawi msumbiji na zambia zitakazowezeshwa kwa sehemu kubwa kusafirisha mizigo yao kwa urahisi kupitia bandari ya mtwara
wilaya hiyo imejipambanua kutokana na uwepo wa gesi ya asili ugunduzi wa mafuta kwenye ukanda wa bahari uwepo wa lango kuu la bandari ya mtwara na barabara za kiuchumi ikiwemo ya mtwaramasasi songea itakayosafirisha madini ya chuma na makaa wa mawe kutoka liganga mchuchuma ngaka na kiwira pamoja na mazao ya kimkakati kama korosho na ufuta ambapo shughuli zote hizo zitakuwa chanzo na chachu ya kuimarisha maendeleo ya uchumi wa kusini
hayo amesema mkuu wa wilaya ya mtwara dastun kyobya alipofanya mahojiano na idara ya habari maelezo ofisini kwake hivi karibuni ambapo ameonyesha ni kwa jinsi gani wilaya ya mtwara yenye tarafa nane kata 56 vitongoji 744 vijiji 197 na mitaa 120 ndani ya halmashauri tatu za mtwara mikindani nanyamba na mtwara vijijini zinazoboresha uchumi wa lango la kanda ya kusini kwa namna moja au nyingine kuboreshwa kwa bandari miundombinu ya barabara umeme wa gesi ujenzi wa hospitali ya rufaa ya kanda kumeimarisha fursa kwa wilaya hiyo kuwa lango kuu la kuendeleza maendeleo ya uchumi wa mtwara corridor kupitia miradi ya export processing zone (epz) na special economic zone (sez)
rc makonda kinondoni ni mfano wa kuigwa kwa utekelezaji wa miradi ya maendeleo
halmashauri za mkoa wa dar es salaam zimetakiwa kuiga mfano wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa kutumia vyanzo vya mapato ya ndani serikali kuu pamoja na wadau kama ilivyotekelezwa katika manispaa ya kinondoni
kauli hiyo imetolewa leo na mkuu wa mkoa wa dar es salaam paul makonda wakati akihitimisha ziara yake ya siku mbili kwa jimbo la kinondoni na kawe yenye lengo la kukabidhi miradi kwa kamati ya siasa ya mkoa
naibu waziri wa madini stanslaus nyongo akizungumza na wafanyabiashara wa madini (hawapo pichani) kwenye mkutano uliofanyika katika soko la madini la tunduru mkoani ruvuma wenye lengo la kusikiliza na kutatua changamoto tarehe 29 juni 2020
tanzana na ufaransa zasaini mkataba wenye thamani ya bilioni 592
katibu mkuu wizara ya fedha na mipango bw doto james na balozi wa ufaransa nchini tanzania mhe frederic clavier wakisaini moja ya mikataba ya mkopo nafuu wa shilingi bilioni 59257 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya nishati ya umeme unaounganisha tanzania na zambia mradi wa umemevijijini (rea) katika mikoa ya tanzania bara na mradi wa maji safi na usafi wa mazingira katika miji inayozunguka ziwa victoria jijini mwanza anayeshuhudia katikati ni mwakilishi mkazi wa shirika la maendeleo la ufaransa (adf) bi stephanie essombe jijini dar es salaam
serikali ya tanzania na shirika la maendeleo la ufaransa (afd) zimetiliana saini mikataba mitatu ya mikopo yenye masharti nafuu yenye jumla ya tsh bilioni 592 kwa ajili ya miradi ya usambazaji wa umeme vijijini mradi wa umeme wa kuunganisha tanzania na zambia pamoja na kukamilisha mradi wa maji safi na maji taka katika miji inayozunguka ziwa victoria
news june 30 2020 1 comment
news june 29 2020 0 comment
alilitaka shirika la umeme tanzania (tanesco) kuwapelekea umeme wananchi hao ndani ya siku saba read more
wakaguzi wa kemikali watakiwa kuboresha utendaji
mkemia mkuu wa serikali dkt fidelice mafumiko (kulia) akiongea na wakaguzi wa kemikali (hawapo pichani) wakati akifunga mkutano wa mwaka wa wakaguzi hao ulioandaliwa na mamlaka ya maabara ya mkemia mkuu wa serikali na kukamilika tarehe 28 juni 2020 katika ukumbi wa nssf ilala dar es salaam
mkemia mkuu wa serikali dkt fidelice mafumiko amewataka wakaguzi wa kemikali kwenda kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia maagizo ya bodi ya wakurugenzi kuhusiana na changamoto za ujazaji wa fomu za maombi ya usajili wa wadau wa kemikali
news june 28 2020 0 comment
wilaya ya kisarawe sasa inapata maji lita milioni 6 ukiwa ni mradi wenye dhamani ya bilioni 106 fedha za ndani za dawasco read more | 2020-07-07T15:29:53 | http://blog.maelezo.go.tz/2020/06/ |
makatibu wakuu wa vyama vya ukombozi kusini mwa afrika wakutana nchini zimbabwemakatibu wakuu wa vyama vya ukombozi kusini mwa afrika wakutana nchini zimbabwe habari na matukio
home unlabelled makatibu wakuu wa vyama vya ukombozi kusini mwa afrika wakutana nchini zimbabwemakatibu wakuu wa vyama vya ukombozi kusini mwa afrika wakutana nchini zimbabwe | 2018-08-20T17:01:02 | http://www.kajunason.com/2016/05/makatibu-wakuu-wa-vyama-vya-ukombozi.html |
mambobado makala za kijamii
kuanzia sasa kutakuwa na makala zinazohusu jamii kama mada kuhusu wajasiliamali wanaoishi kwenye mazingira magumu elimu siasa na afya ya jamii unakaribishwa kutoa maoni yako
wajue washukiwa wakuu sita wa ghasia baada ya uchaguzi kenya kwa mara ya kwanza washukiwa wakuu sita wa ghasia za baada ya uchaguzi mkuu nchini kenya wanafika mbele ya mahakama ya uhalifu wa kivita icc iliyoko mjini the hague uholanzi siku ya alhamisi na ijumaa wote wameshakanusha mashtaka hayo washukiwa hawa ni kina nani uhuru kenyatta uhuru kenyattani mtoto wa rais wa kwanza wa kenya mzee jomo kenyatta
william ruto william rutoalisimamishwa wadhifa wa waziri wa elimu ya juu ili uchunguzi ufanyike kuhusu madai ya kuhusika na rushwa katika masuala ya ardhi kwa sasa yeye bado ni mmoja wa manaibu viongozi wa chama cha orange democratic party kinachoongozwa na raila odinga
francis muthaura francis muthaura
bwana muthaura ni mkuu wa utumishi wa umma na katibu wa baraza la mawaziri nchini kenya alizaliwa mwaka 1946 katika wilaya ya meru mkoani mashariki
hussein ali hussein ali
bw ali alikuwa mkuu wa jeshi la polisi nchini kenya wakati wa ghasia na sasa ni mkuu wa shirika la posta ali ni kutoka jamii ya wasomali na alizaliwa mwaka 1956 katika mji wa eldoret mkoani rift valley
henry kosgey henry kosgei
bw kosgey alikuwa waziri wa viwanda lakini naye pia alilazimika kujiuzulu ili kuruhusu uchunguzi kufanyika kuhusu madai dhidi yake ya kutumia vibaya madaraka alizaliwa mwaka 1947 na amekuwa katika siasa kwa muda wa miaka mingi
joshua arap sang joshua arap sang
sang ni mtangazaji na mwandishi wa habari katika redio ya jamii iitwayo kass fm kass fm hutangaza kwa lugha ya kalenjin ana kipindi chake maalum cha asubuhi
watoro wanaokimbia sheria afrika josephine hazeleyjaji wa mahakama nchini serbia ametoa uamuzi kwamba kamanda wa majeshi ya waserb wa bosinia ratko mladic kwa afya yake anaweza kufikishwa katika mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ya the hague
bosco ntagandawengi kati ya wanaotafutwa ni wale inaodaiwa walihusika na mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini rwanda kwa mfano mahakama ya jinai ya kimataifa kuhusu rwanda ictr ina orodha ya watu tisa
joseph konyalikuwa ni mfuasi wa kundi la waasi wa rwanda rpf chini ya rais wa sasa paul kagame na anashutumiwa kuhusika na vitendo kadha vya jinai ikiwemo mauaji ya kimbari justus majyambere sasa anatumikia jeshi la taifa nchini rwanda | 2015-08-03T08:34:50 | http://mambobadohm.blogspot.com/p/makala-za-kijamii.html |
lwakatare kwenda arusha kumalizia kampein ili kumuumbua mwigulu jamiiforums
lwakatare kwenda arusha kumalizia kampein ili kumuumbua mwigulu
thread starter sokoinei
baada ya kuachiwa kwa dhamana na mahakama mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa cdm wilfred lwakatare baada ya kukaa mahabusu kwa takriban miezi 2 chama cha chadema ni vema kumpa mh lwakatare nafasi ya kusimama jukwaani haswa wakati huu wa uchaguzi mdogo wa madiwani
nafasi pekee ambayo ingependeza lwakatare azungumzie juu ya tuhuma alizobambikizwa na polisi wakishirikiana na usalama wa ccm ni kwa jiji la arusha ambako uchaguzi wa madiwani unafanyika ktk kata 4 huku mtaalamu wa video ya lwakatare mwigulu akiwa yupo arusha akizunguka ktk majukwaa na mlemavu wa akili musa alieathirika kisaikolojia baada ya kumwagiwa tindikali
ikumbukwe kwamba mwigulu alikiri jana kuhusika na mpango wa kumrekodi lwakatare ktk video ijulikanayo kama lwakatare na ugaidi sterring akiwa mwigulu
ni muda muafaka sasa wa lwakatare kuelezea umma wa watanzani juu ya kilichojiri kabla na baada ya video hiyo
kuendelea kunyamaza kwa kisingizio kuwa kesi ipo mahakamani huku yeye steering mwigulu akiendelea kudai kuwa hata kama mahakama itamfutia kesi lwakatare lakini anao bado ushahidi wa kuhusika kwa lwakatare ktk matukio ya ugaidi na kama ni ushahidi yupo tayari kuutoa hata mbinguni
hima hima cdm muda wa kumuumbua huyu mzinzi ni sasa ktk siku hizi ambazo yupo arusha akiendelea na propaganda
likes paradiso
si kila wakati ucheze rhumba unalopigiwa kama wewe ni mpenzi wa regge usikubali kulazimishwa kuchezeshwa mayenu
mpuuzi mmoja kama mwigulu nchemba hawezi kutuamisha watanzania kwenye agenda ya mabadiliko na katiba mpya ndio maana hata dr slaa yupo ujerumani kwa majukumu mengine chadema ni zaidi ya taasisi ya kukimbizana na vichaa kama chemba la mavi
wazo zuri liyaleta heshima na ujasiri uliopungua kwa lwakatale
nakubaliana na mawazo yako moja kwa moja hata hivyo nilishapendekeza wazo hilo
mimi nisingeshauri kamanda lwakatare kujiunga na timu ya kampeni arusha ni muda muafaka kwake kutulia na kujipumzisha ili kujiletea ahueni kisaikolojia
chadema isiwe kama magamba kwamba wao wanampandisha jukwaani muathirika wa tindikali walizo mmwagia wenyewe na chadema wanampandisha jukwaani muathirika wa shutuma za kuchongwa na mwigulu
nawaamini chadema kwamba watatoka na utekelezaji unique wa kampeni za uchaguzi zinazo endelea
likes matola and bullet
hii italeta msisimko sana na molali ya watu na pia kufuta uteja kabisa wa mwigulu mchemba kwa kila atakayemsikiliza kama lwakatare ataenda arusha mfano mzuri ni picha hii ambayo alipata mapokezi makubwa chato mara baada ya kupita ktk misukosuko ya kisiasa
chademajpg
34424 14573 280
saaaafi sanahuyo chemba la choo atajuta kuija cdmmapambano yanaendelea
tumelisemea sana hilona mpk wengine tupo tayr kujitolea kidogo tulichonacho ili pia awe na personal dr wakuangalia afya yake huko huko arushajapo kuwa chama kina taratibu zake na wala hatuweza kuforce kifanyike kitakacho tufurahisha sisi nakuichukiza cc ya cdmkufikia jioni nadhani tutakuwa na jipya kuhusu hii habari kwani in cdm we trust
mbona kasha malizwa chemba limebaki linaongea na migomba na nyasi badala ya wananchama wa ccm wanamwogoba mussa alivyombambikwa tindikali usoni na kuuzwa kama kauzi kwenye majukwaa hana lolote mwigulu zaidi ya ushetanina nina hakika anapandikiza uchawi hata kwa watoto wake pole mke wa mwigulu
naunga mkono hoja sio mbaya akiungana na makamanda wengine huko arusha
30677 13095 280
kwani kumbe hali ya hewa huko arusha ni mbaya sana baada ya kwenda mwiguru hadi inabidi chadema wapeleke mtu alietoka lupango ili wagain sympathy
naunga mkono hoja kamanda aje arusha amfukuze mwigulu
well said ni jambo jemaila tatizo ni afya yake
ni kete ya turufu sana kwa cdm hasa ukizingatia mwigulu anatembea na mmwagiwa tindikali hii inaleta picha mbaya si kwamba cdm tulitenda kweli bali si uungwana ingawa kwa muelewa anajifunza kitu kuwa ccm wameidhiwa sera na maneno matamu sasa wanatumia mtu kama chambo
mkuu habari nilizo zipata hivi punde ni kwamba chemba la mavi aka savimbi alitimua mbio kutoka arusha na kutokomea kusikojulikana baada ya kushindwa kuhimili mikiki mikiki ya zomea zomea kila anapo katiza
hiyo ndo arusha tuipendayo
kamanda yupo fit ama hujamuona leo anatabasamu tu afya haina mgogoro kwa mwanasiasa nguli kama huyo
mwigulu maeharisha kuna harufu mbaya ila shetani lazima aaibishwe kwa ukweli maana hapa arusha anadanganya watu na video yake ya lwakatare ya kubambika
nyie vipi kupata dhamana ndiyo kushinda kesi ile kesi imemkalia vibayamwache akae na mke wake kwanza ajiliwaze
kweli kabisa kamanda yupo gado siyo mbaya akienda kuongeza nguvu maana chemba limefuka vyakutosha | 2019-03-26T02:30:24 | https://www.jamiiforums.com/threads/lwakatare-kwenda-arusha-kumalizia-kampein-ili-kumuumbua-mwigulu.466680/ |
miaka 15 ya mwisho ya eugene maganga | gazeti la mwanahalisi
miaka 15 ya mwisho ya eugene maganga
na ezekiel kamwaga imechapwa 06 october 2010
wakati eugene maganga na wenzake wakipanga maasi dhidi ya serikali ya mwalimu nyerere mwaka 1982 nilikuwa na umri wa miaka miwili hivi
kwa hiyo mimi sikujua lolote kuhusu tukio hilo wakati huo nilianza kusikia tukio hilo kupitia mazungumzo ya baba yangu na majirani au rafiki zake sebuleni kwetu eneo la polisi ufundi dar es salaam katika miaka ya 1990
miaka michache baadaye nilipata bahati ya kuonana na kufanya kazi na maganga aliyefariki dunia hivi karibuni kwa ugonjwa wa kisukari katika hospitali ya amana ilala
nilionana naye kwa mara ya kwanza aprili mwaka 2002 nilipoitwa kwenye usaili katika iliyokuwa kampuni ya habari corporation pamoja nami walikuwepo watu wengine zaidi ya 90 akiwamo maganga
katika mazungumzo tuliyofanya kabla na baada ya kuitwa kwenye chumba cha usaili maganga alikuwa akinisisimua kwa masimulizi yake kuhusu tukio hilo la mwaka 1982
mchana nikaanza kusikia njaa lakini kwa vile sikutaka kukosa hadithi zake nilimwomba niende naye kula ili niendelee kufaidi akakubali
mimi ndiyo kwanza nilikuwa nimemaliza masomo ya kidato cha sita na sikuwa na kazi yoyote kwa bahati nzuri baba yangu marehemu peter kamwaga (mungu amrehemu) alikuwa amenipa fedha za matumizi siku hiyo
nikatoa ofa kwa maganga na kwa mwenzetu mwingine deogratias rutahindurwa ile ndiyo ofa niliyoifaidi
baadaye nilikuja kugundua kwamba maganga alikwenda kwenye usaili ule kwa mguu na alidai hakuwa amekula chochote na hakutaraji kula chochote baada ya mlo ule wa mchana tuliokula pamoja
kijana leo umeniokoa kweli nilikuwa sijanywa maji wala chai hadi sasa nakushukuru sana na mungu akubariki hayo yalikuwa maneno yake kwangu na kufahamiana kwetu kukaanzia siku hiyo
kwa bahati mbaya kwake hakufanikiwa kuajiriwa na kampuni hiyo lakini alipewa ajira ya muda kuandika kwa kina tukio hilo kwenye gazeti la rai
sisi wawili tuliajiriwa mimi kama mwandishi na ruta kama mhariri wa michezo wa the african maganga alisema kwa utani kwamba hakutaraji kupata kazi hiyo nani anataka kuajiri mhaini alihoji
tangu alipoachiwa kutoka katika gereza la butimba mkoani mwanza mwaka 1995 kwa msamaha wa rais ali hassan mwinyi maganga alidai aliishi maisha magumu
alidai jamii wakiwamo ndugu jamaa na marafiki zake hawakuweza kumsamehe kwa kosa lake la kutaka kupindua serikali ya mwalimu nyerere hili ndilo kovu alilokwenda nalo kaburini
ezekiel mimi nafahamu watu waliofanya makosa huwa wanasamehewa mimi nilifanya kosa miaka mingi iliyopita lakini pamoja na kutumikia kifungo watu bado hawajanisamehe
ndani kabisa ya moyo wangu ninaamini sikukosea kwa kutaka kumpindua nyerere watanzania walikuwa wanaishi maisha mabaya sana wakati huo tatizo nililonalo ni kwamba sijasamehewa tangu wakati huo aliniambia
hakuwahi kupata kazi na alidai baadhi ya rafiki zake wa zamani walifikia hatua ya kumkimbia waziwazi wakati alipoonyesha amewaona na akitaka kuwasogelea alidai kuwa baadhi ya ndugu walimpiga marufuku asikanyage katika nyumba zao
hadi wakati tumepanga mstari kuomba kazi maganga alidai hakuweza kufanikiwa kupata mke na sababu kubwa zilikuwa mbili kwanza alama ya uhaini lakini pili ni ukosefu wa kipato
hata kama mwanamke atanikubali atakula nini kwa wiki moja naweza kula mara tano hadi sita wakati kwa kawaida mtanzania anakula walau milo 21 (mara tatu kwa siku) sasa nikiwa na mke si itakuwa balaa alieleza huku akicheka
kitu kilichonivutia kuhusu maganga ni ule uelewa wake wa mambo mbalimbali ya dunia hii kwa vile alisoma vizuri katika miaka ile ya 1970 na kuweza kuishi nchini uingereza wakati wa mafunzo ya kijeshi huyu hakuwa mwanajeshi wa kawaida ambao wengi tumezoea kuwaona mitaani
siku za uhai wake maganga amekuwa akilaumu tabia ya watanzania kupenda kulalamika tu bila ya kuwa na maamuzi yatakayofanya watoke hapo walipo
yeye alikuwa anajiona miongoni mwa watanzania walioamua kufanya jambo tofauti na wengi wao kwamba wakati wananchi wengi walikuwa wakilaumu tu hali ngumu ya uchumi iliyokuwa ikiikabili tanzania miaka ile wao walikuja na suluhisho kubadili serikali
inawezekana wengi hawakubaliani na kile tulichotaka kukifanya lakini walau tulifanya maamuzi mtu anaweza kufanya uamuzi mbaya au mzuri lakini ni afadhali huyo kuliko anayelalamika tu kila siku bila ya kufanya lolote hapa ndipo ninapotaka tubadilike alisema
mwaka 2004 aliamua kujitosa kwenye siasa akajiunga na chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) hii ilitokana na hofu kuwa asingeweza kukubalika ndani ya chama cha mapinduzi (ccm)
hivi nani ndani ya ccm angetaka kumpokea mtu aliyepanga kumuua mwalimu nyerere na kupindua serikali yake ndiyo maana nikaamua kwenda chadema hata hivyo naamini watanzania bado wanaishi katika maisha magumu kuliko inavyotakiwa na upinzani unaweza kuleta mabadiliko alifafanua juu ya sababu za kujiunga na chadema
mwaka 2005 aliwania ubunge kupitia chadema katika jimbo la tabora mjini ambako hata hivyo alishindwa na aliyekuwa mgombea wa ccm siraju kaboyonga
akiwa chadema alikuwa ofisa katika kurugenzi ulinzi na usalama nafasi aliyoipoteza alipohamia ccm
jumatano januari 10 mwaka 2007 maganga alitangaza kuhama chadema na kuhamia ccm akidai kwamba hakuridhishwa na namna vyama vya upinzani vilivyokuwa vikiendeshwa
kile nilichokitarajia sicho nilichokutana nacho katika upinzani hakuna mfumo mzuri wala utaratibu kwa mwenendo huu hatuwezi kufika kokote alilalamika
pengine maganga alikuwa akitafuta fursa ya kupendwa na wale aliodhani hawakuwa wakimpenda pengine alikuwa akitaka kutubu makosa yake na pengine alidhani kwamba akihamia ccm mambo yake yatakuwa safi haikuwa hivyo
hatua hiyo haikubadilisha maisha yake kwa namna yoyote hali yake ya maisha iliendelea kuwa ileile hadi mauti yanamkuta
maganga ambaye alikuwa na umri wa miaka 26 mwaka 1982 alishirikiana na wenzake wanane kutaka kuipindua serikali ya mwalimu julius nyerere walikamatwa wakafunguliwa kesi ya uhaini
mwaka 1985 maganga na wenzake saba suleiman kamando zakaria hans pope vitalis mapunda mbogolo kajaji badru hatibu gandhi (hatty macghee) na christopher kadego walihukumiwa kufungwa maisha jela pius lugangila alitoroka
maganga alikuwa na cheo cha kepteni ndani ya jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania (tpdf) wakati mwenzake
mohamed tamimu waliyeshirikiana naye katika hatua za awali za maandalizi ya mapinduzi hayo aliuawa na vyombo vya dola siku chache kabla ya siku ambayo walikuwa wamepanga kufanya mapinduzi hayo
maganga ameacha watoto wawili
pigo mwanahalisi
chenge makamba pinda mkapa slaa lowassa chadema sitta ccm rostam richmond kikwete dowans uchaguzi cuf
kupishana kauli dalili ya ombwe serikalini (2) | 2018-07-16T08:51:29 | http://mwanahalisi.co.tz/miaka_15_ya_mwisho_ya_eugene_maganga |
joto urais fifa prince ali ampinga platini dar24
joto urais fifa prince ali ampinga platini
4 years ago comments off on joto urais fifa prince ali ampinga platini
aliyekuwa mgombea nafasi ya urais wa shirikisho la soka duniani fifa prince ali bin al hussein amempinga rais wa shirikisho la soka barani ulaya uefa michel platini kwa kusema hafai kusimama katika kinyanganyiro cha kujaza nafasi ya sepp blatter kwenye uchaguzi wa mwezi februari mwakani
ali bin al hussein ambaye ni mtoto wa mfalme wa jordan ametoa angalizo hilo baada ya saa 24 kupita baada ya platini kutangaza nia ya kuwania kiti cha uraisi wa fifa akipata baraka kutoka kwa wajumbe wa kamati ya utendaji ya uefa mwishoni mwa juma lililopita
al hussein amesema platini hana sifa zilizo thabiti za kuiongoza fifa ambayo kwa sasa imetapakaa uchafu wa rushwa hivyo amewataka wadau wa soka duniani kutambua kwamba kuna ulazima kwa baadhi ya viongozi kujipima kabla ya kutangaza nia ya kuwania nafasi kubwa katika taasisi za kidunia
hata hivyo al hussein hakueleza kwa nini anadhani platini hatoshi katika nafasi hiyo kwa vigezo vya kuzuia rushwa zaidi ya kusisitiza kuwa kuna ulazima kwa baadhi ya watu kujichunguza kwanza kutokana na vitendo vinavyoendelea miongoni mwa watu wanaowazunguuka
katika hatua nyingine al hussein bado hajatangaza kama atawania nafasi ya urais kwa mara nyingine tena ama la hali ambayo inahisiwa huenda ikawa ni hofu kwake baada ya kuona platini ametangaza nia ya kukitaka kiti cha urais wa fifa
herve renard amvuta tena sunzu ufaransa
xavi amuomba jambo muhimu guardiola
tagsali hussein aeleza mapungufu ya platini fifa 2015 platini atangaza nia prince ali agombea urahisi fifa
michezo 2 hours ago comments off on ronaldo ashtakiwa kwa ushangiliaji usiofaa
habari/michezo 15 hours ago comments off on afariki dunia baada ya simba kuishinda as vita simba sc yatuma salamu za pole | 2019-03-19T06:17:50 | http://dar24.com/joto-urais-fifa-prince-ali-ampinga-platini/ |
moja kwa moja steel pipe packing and kuweka pamoja machine china wan run da high tech
hf welded tube kinu
tube kinu kuu sehemu
bana roll & leveler
kutengeneza sehemu
kulehemu sehemu
sizing sehemu
kukataoff sehemu
runout mfumo unloading
safari mashine kukataoff
vifaa vya ukaguzi
online eddy kugundua
ultrasonic kutambua
motokuzamisha galvanizing line
mazingira vya ulinzi
moja kwa moja uchoraji mistari
chamfering mashine
threading mashine
zinki dawa mashine
api ffxφ73mm high frequency svetsade bomba mill line
moto dipped galvanizing line kwa steel bomba
hs 400 direct uanzishaji square na rectangluar tube mill
ssaw steel pipe and tube mill line kwa kipenyo betw
h beam mill line kwa urefu 500 kwa 800mm hbeam prod
packing moja kwa moja na kuweka pamoja machine kwa pipe mill mashine hii ni kituo cha mwisho kwenye bomba chuma kinu line ni kutumika kwa ajili ya stacking kukusanya na kufunga mabomba ya chuma basi mfuko atatuma katika hifadhi hatua zote kama vile hesabu piling safu stacking ni kumaliza moja kwa moja kuweka pamoja strip bandage kwenye bomba na kulehemu strip bandeji ni kufanyika moja kwa moja ya moja kwa moja wote kufunga nusu moja kwa moja na kuweka pamoja mashine na kamili ya moja kwa moja kufunga mashine wanaweza aba
moja kwa moja ufungashaji na bundling machine kwa pipe mill
mashine hii ni kituo cha mwisho kwenye bomba chuma kinu line ni kutumika kwa ajili ya stacking kukusanya na kufunga mabomba ya chuma basi mfuko atatuma katika hifadhi hatua zote kama vile hesabu piling safu stacking ni kumaliza moja kwa moja kuweka pamoja strip bandage kwenye bomba na kulehemu strip bandeji ni kufanyika moja kwa moja ya moja kwa moja
wote kufunga nusu moja kwa moja na kuweka pamoja mashine na kamili ya moja kwa moja kufunga mashine wanaweza punguka bomba kushangaza kelele pia kupunguza jeraha uso unasababishwa na kushangaza
karibu katika kupata ubora wa moja kwa moja chuma bomba kufunga na kuweka pamoja mashine kutoka kwetu sisi ni moja ya kuongoza wazalishaji china na wauzaji wa mashine mbalimbali viwanda karibu kwenye angalia orodha ya bei na nukuu na sisi
awali kuruka moto saw kwa steel pipe and tube
next erw moja kwa moja gongo round pipe mill line
moja kwa moja bundling mashine mtengenezaji china moja kwa moja chuma bomba kufunga na kuweka pamoja mashine
moja kwa moja kufunga vifaa kwa ajili ya chuma bomba
moja kwa moja bomba / tube bundling / anafunga line
moja kwa moja stacking line
moja kwa moja chuma bomba ufungaji mashine
moja kwa moja anafunga mashine
moja kwa moja ufungaji mashine tube
china mashine mabomba bundling
china chuma bomba moja kwa moja kufunga mashine
moja kwa moja kamili chuma bomba kufunga mashine
mabomba ufungaji mashine
semi moja kwa moja chuma bomba kufunga mashine
nusu moja kwa moja mashine ya mabomba ya ufungaji
nusu moja kwa moja mashine tube ufungaji
steel bomba stacking line
steel bomba stacking / ufungaji mashine
chuma bomba stacking line
tube ufungaji mashine
steel bomba kuweka pamoja machine
steel bomba automatic packing system
kiwanda bei nafuu moto steel pipe / tube wrapping mach
automatic pipe ufungashaji / kuweka pamoja machine
nusuautomatic packing and kuweka pamoja machine kwa
wrd's daily export mwisho inakabiliwa na bevel | 2020-01-17T16:39:27 | http://www.wrdtubemill.com/sw/automatic-steel-pipe-packing-and-bundling-machine.html |
dk zahi hawass intriky katika background ya misri ya misri suenee ulimwengu
dk zahi hawass intriky nyuma ya misri
zahi hawass hakika ni wahusika wa utata zaidi katika archeolojia ya dunia na hususan egyptology inahusishwa na kashfa nyingi na hatua za censeor katika uvumbuzi wa archaeological hasa katika misri mfululizo wa makala zifuatazo zinajaribu kufunua kifuniko cha upumbavu ambacho hawass binafsi au kwa njia ya wengine amefanya kuandaa umma kwa habari zaidi ya uptodate kwamba yeye hana kila mara nia nzuri ya kujua wanadamu ni zaidi ya dhahiri hata hivyo kila mtu anapaswa kujihukumu mwenyewe maelezo ni kufuatilia zaidi kuliko kutosha
8 9342x
2 8666x | 2019-08-23T04:48:01 | https://sw.suenee.cz/serial/dr-zahi-hawass-intriky-v-pozadi-egyptologie/ |
somo namna ya kufanya vitu vikubwa vitokee katika maisha yako gospel kitaa™
home / kanisa / magomeni baptist / mwalimu dickson kabigumila / namna ya kufanya vitu vikubwa vitokee katika maisha yako / semina ya mabinti
/ somo namna ya kufanya vitu vikubwa vitokee katika maisha yako
semina ya mabinti na wamama mahali magomeni baptist
kuna hatua ndogo sana kati yako na mafanikio yako *hajiri hakujua kama pembeni yake kulikuwa na maji maana tayari alishakata tamaa juu ya mtoto wake ishmaeli (mwanzo 211619)
**wakristo wengi ni sense lead na sio spirit lead a matured christian ni yule anayefanya vitu tofauti na anavyojisikia
***mwl's declaration
kila kilichochelewesha majina yetu kukua kimeshindwa kwa jina la yesu
~mungu anataka tuestablish vitu ambavyo vitakuwa sample ya mbinguni tukiwa hapa duniani
~tunabarikiwa ili kuwa baraka kwa wengine maisha yetu yaguse na watu wengine wengimf kenneth copeland na tb joshua *pesa haibadilishi tabia ya mtu bali hudhihirisha tabia ya mtu
hata yesu alikuwa katika hatua baby jesus aliyezaliwa katika holi la ng'ombe matured hadi miaka 30 spirit filled jesus (miaka 30 hadi 33) the risen and glorified jesus tunayemuabudu milele
kilichomfanya mungu apumzike siku ya saba sio kwamba alikua amemaliza uumbaji bali kwa kuwa alikuwa ametengeneza mwanadamu aliyekuwa na uwezo wa kufanya vitu vitokee
amua vema upate mema | 2016-12-08T11:51:44 | http://www.gospelkitaa.co.tz/2015/06/somo-namna-ya-kufanya-vitu-vikubwa.html |
the way you see the problem is the problem natimiza ombi la prof matondo
natimiza ombi la prof matondo
hapa ndipo nilipokuwa natumika 20012003 still looove it there sijui nikirudi watanipokea
kwenye toleo langu la desemba 19 2009 kumueleza mzee jerome danford kassembe (irejee hapa) kakangu prof matondo alisema na (hapa nanukuu)mzee wa changamoto una clips zo zote ukiwa mbele ya maikrofoni kama unazo tuwekee hapa bloguni tukusikie ulivyokuwa ukiunguruma
nami nilimuahidi kujitahidi kuweka audios zangu za vipindi (ambazo ziko kwenye tapes na katika ubora wa chini) kwenye mfumo utakaoniwezesha kumuwekea hapa naye asikilize acheke na labda aone tofauti ya kipindi kile na sasa
basi nimefanikisha na japo si katika ubora ambao ninapenda kupost hapa lakini naamini zitaweka taswira ya nini tulikuwa tukifanya nyakati hizo
sikia mchemko wa wingi wa neno chuma kwenye dk ya 14
pia katika kukatakata matangazo na nyimbo nimekuja gundua kuwa neno msikilizaji limesikika saana kumbuka kilikuwa kipindi kamili nami nimekata na sikuweza kugundua hilo mapema
mubeeee afadhali prof matondo aliomba hii na leo umeitimiza ahadi saaasa mi mbona nakudip sana niko hapa shell ya oilcom hujibu bwana nilitaka kuchangia maoni kuna jamaa alikuwa anavuta sigara ndani ya daladala akashushiwa kipondo cha karne nhe he kipindi kilikuwa murua sana hicho kazi nzuri mube
hahahahaaaaaaaaaaaaaa da subi
nimeshangaa katika yooote hujasikia nilivyochemka (ama umekuwa mstaarabu ukamezea)
nawakumbuka saaana ally kashushu na amina singo
naikumbuka times fm na bado naipenda saana
na sasa hivi ushanifundisha samsings nyingi za kuboresha ufikiri na ubunifu kwa hiyo sina shaka siku nitakayorejea nyuma ya maiki nitakuwa a little bit wiser kuliko hiyo aug 23 2003
asante mara ya tena kwa kuendelea kutembelea changamotoni
mbona sioni ulipochemsha mzee wa changamoto duuh wewe ni moto wa kuotea mbali hongera sana kaka
musee wa changamoto upo juu yaani duh hapo kwenye hiyo upweke itabidi uniandikia maana mimi nakushanya vitu kama hivyo na mubelwa wala hujachemsha kwa nini subi akufiche unapomwona mtu anafanya kosa usisite kumueleza na naamini ungeambiwa kazi nzuri sana mubelwa
heri mimi sijasemamkuu upo juu
poa sanabonge la kumbukumbu
konda naomba msaada kwenye sheli ya bp kilikuwa kipindi kuzuri na kilikuwa na presenter mzuri nimesikiliza kwa makini sijapata sehemu uliyochemka kumbukumbu nzuri
mubelwani mtangazaji mahiri sana nilijua hivyo siku nilivyomsikiliza live pale east african radio usa sasa tunasubiri radio tanzania usa wewe ukiwa kama mwanzilishi wetu tupo tayari kukuunga mkono
nafurahi na kushukuru kwamba umelikumbuka hili u mtangazaji mzuri sana
hapo voa hawawezi kweli kukupa kibarua japo cha muda tu hasa ukizingatia kwamba juma nkamia amekimbia kwenda kuwania ubunge | 2018-04-22T10:29:54 | http://changamotoyetu.blogspot.com/2010/09/natimiza-ombi-la-prof-matondo.html |
mambo matano mazito malinzi ameifanyia soka ya tanzania bin zubeiry sports online mambo matano mazito malinzi ameifanyia soka ya tanzania bin zubeiry sports online
mwanzo > tff > mambo matano mazito malinzi ameifanyia soka ya tanzania
mambo matano mazito malinzi ameifanyia soka ya tanzania
uchaguzi wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania (tff) utafanyika mwezi agosti mwaka huu ambapo vigogo kadhaa wanatarajiwa kujitosa ili kumpa upinzani rais wa sasa jamal malinzi
uchaguzi huo utahitimisha awamu ya kwanza ya uongozi wa malinzi ambaye aliingia madarakani mwaka 2013
kutokana na mambo kadhaa ambayo yanaendelea katika soka la tanzania kumekuwa na mgawanyiko wa maoni ambapo baadhi ya watu wanataka uongozi wa malinzi ufikie ukomo mwaka huu
pamoja na hisia hizo uchunguzi wetu umebaini kwamba kuna mambo matano makubwa ambayo yatamrejesha kigogo huyo madarakani tena kwa ushindi mkubwa
soka ya tanzania imepiga hatua kubwa mbele chini ya jamal malinzi
mafanikio makubwa zaidi ya malinzi katika soka la vijana ni kuiwezesha serengeti boys kufuzu katika mashindano ya kombe la mataifa ya afrika kwa vijana chini ya miaka 17
mashindano hayo yanaanza wikiendi hii nchini gabon ambapo serengeti imepangwa katika kundi b na timu za mali angola na niger
safari ya serengeti boys kwenda gabon ilifanyika ndani na nje ya uwanja
ndani ya uwanja mambo yalikuwa magumu na timu hiyo ilifungwa na congo brazzaville lakini nje ya uwanja ikashinda
malinzi na jopo lake la uongozi hasa chini ya katibu mkuu mwesigwa selestine walipeleka malalamiko ya congo kumtumia mchezaji aliyezidi umri katika mashindano hayo na baadaye serengeti ikapewa nafasi
mbali na timu hiyo ya miaka 17 malinzi ameunda timu nyingine ya vijana chini ya miaka 14 ambayo ipo kambini kwenye kituo cha alliance mwanza ikijiandaa na fainali za vijana chini ya miaka 17 zitakazofanyika nchini mwaka 2019
wakati huohuo katika soka la vijana malinzi amefanikiwa kuanzisha ligi ya vijana ambayo ilifanyika mwaka jana katika vituo vya bukoba na dar es salaam
licha ya ukosoaji mkubwa kwamba ligi hiyo inaendana na ile kombe la uhai ni wazi kwamba malinzi amejitahidi kuona mashindano hayo muhimu yanafanyika licha ya kuwepo kwa mazingira magumu
mshambuliaji wa serengeti boys yohana oscar nkomola akimpita beki wa ghana katika mchezo wa kirafiki dar es salaam mwezi uliopita
udhamini kuongezeka
ongezeko la wadhamini katika ligi kuu ya vodacom ni miongoni mwa mambo ambayo yamfanya kigogo huyo atembee kifuambele
tangu mwaka 2013 kumekuwa na ongezeko kubwa la wadhamini kwa tff pamoja na timu binafsi
tumeshuhudia azam tv ikiongeza mikataba miwili katika mashindano ya kombe la shirikisho la azam hd yaani azam sports federation cup high definition ligi ya wanawake na vijana
katika mikataba hiyo miwili azam ilitoa kiasi cha shilingi bilioni 53 mwaka jana azam ilisaini pia mkataba mpya wa kuendelea kuonyesha ligi kuu kwa miaka mitano ambapo mkataba huo mpya una thamani ya shilingi bilioni 23
malinzi alipata pia udhamini mpya wa benki ya diamond trust kwa timu za ligi kuu huku akipata tena udhamini wa nhif mwaka juzi tff ilipata pia udhamini wa kampuni za startimes na star tv katika ligi daraja la kwanza lakini hali ngumu ya kiuchumi ilizifanya kampuni hizo kuondoka mwaka mmoja tu baadaye
kocha mzalendo wa taifa stars salum mayanga akiwa na nahodha wake mbwana samatta (kulia)
ni ukweli ulio wazi kwamba katika kipindi cha malinzi kumekuwa na ongezeko kubwa la mafunzo kwa makocha wazawa kwa sasa idadi ya makocha wazawa imepanda kwa kiasi kikubwa ambapo hadi waandishi wa habari wametumia fursa hiyo ya mafunzo
ni wakati huo ambao tumeshuhudia timu ya taifa ikirejeshwa katika mikono ya makocha wazawa charles boniface mkwasa na salum mayanga
kabla ya malinzi timu ya taifa ilikaa kwa kipindi cha miaka 10 ikiwa chini ya makocha wa kigeni na mafanikio makubwa zaidi yalikuwa kufuzu mashindano ya mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani (chan) mwaka 2009
simba iliitoa azam fc katika nusu fainali ya kombe la asfc
kombe la asfc
kurejea kwa kombe la fa ambalo lilikoma kwa miaka 13 ni kazi kubwa ya field marshal (jemedari) malinzi kombe hilo la fa lilifanyika kwa mara ya mwisho mwaka 2003 lakini mwaka juzi lilirejea tena na kuongeza msisimko wa soka nchini kwa sasa mashindano hayo yanafahamika kama azam sports federation cup na kwa mwaka huu yameshirikisha timu 86
timu za mbao fc na simba zitakutana katika mchezo wa fainali mei 28 mwaka huu
mwanahamisi omar 'gaucho' aliiwezesha mlandizi queens kuandika historia ya kubwa bingwa wa kwanza wa ligi ya wanawake tanzania
soka la wanawake limekuwa likipigiwa upatu duniani kote na mwaka jana malinzi alifanya sehemu yake baada ya kuwezesha kuanza kufanyika kwa ligi ya wanawake
ligi hiyo ilifanyika kwa makundi ambapo timu sita zilizofanya vizuri zilikwenda katika hatua ya mwisho ambapo zilicheza mechi kusaka bingwa
mashindano hayo licha ya kukosa udhamini yalikuwa na msisimko mkubwa miongoni mwa wapenzi wa soka la wanawake nchini
mbali na hilo wakati wa uongozi wa malinzi tumeshuhudia timu ya taifa ya tanzania bara ya wanawake kilimanjaro queens ilifanikiwa kutwaa ubingwa wa kombe wa chalenji kwa wanawake katika mashindano yaliyofanyika nchini uganda
item reviewed mambo matano mazito malinzi ameifanyia soka ya tanzania rating 5 reviewed by bin zubeiry sports online | 2018-05-25T09:12:41 | http://www.binzubeiry.co.tz/2017/05/mambo-matano-mazito-malinzi-ameifanyia.html |
waziri mkuu atembelea shamba la katani la hassan sisal estate makanya
waziri mkuu kassim majaliwa akiwa ameshika jani la katani wakati alipotembelea shamba la katani la hassan sisal estate makanya wilayani same katika mkoa kilimanjaro julai 192019 anayetoa maelezo ni meneja mshauri wa shamba hilo ndekirwa nyari
waziri mkuu kassim majaliwa a
waziri mkuu awafunda watumishi wa umma
waziri mkuu kassim majaliwa akiangalia vitabu katika maktaba iliyokarabatiwa ya shule kongwe ya same sekondari katika mradi wa ukarabati wa shule hiyo kongwe mkoani kilimanjaro julai 192019 kushoto ni mwalimu mkuu wa shule ya same sekondari hoza mgonja (picha na ofisi ya wa
jacqueline mengi aongea kwa mara ya kwanza tangu mume wake afariki dr mengi aliniachia maneno haya kwa walemavu ( video)
mjane wa dr reginald mengi jackline mengi ameongea kwa mara ya kwanza baada ya mume wake kufariki akiongea na waandishi wa habari jackline alizungumza haya
atoa tuzo hizi kwa walemavu
amtaja mlemavu huyu ambaye aliachiwa kazi ya kukitafsiri kitabu cha mengi cha i can imust i
ripoti irene uwoya ahojiwa na polisi kwa kitendo cha kuwarushia fedha waandishi aachiwa kwa dhamana
jacqueline mengi aongea kwa mara ya kwanza tangu mume wake afariki ( video)
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akisalimiana na wahudumu wa ndege iliyomchukua baada ya kuteremka katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere jijini dar es salaam asubuhi leo ijumaa julai 19 2019 akitokea jijini dodoma picha na ikuluc
mwanza mahabusu wenye kesi ndogondogo na wafungwa ambao watabainika kubambikiwa kesi watoto wazee na makundi mengine yenye mahitaji maalum wanatarajiwa kufutiwa kesi na vifungo vyao baada ya rais john magufuli wa tanzania kuagiza uhakiki wa kuwabaini kufanyika kwenye magereza
alaf wazindua shindano la mpigapicha bora utunzaji wa maji
alichokisema jaguar kuhusu watanzania
air tanzania yatua mumbai india
waziri wa ujenzi uchukuzi na mawasiliano injinia isaack kamwelwe akiwa ndani ya ndege ya air tanzania ikiwa ni safari ya kwanza kwa ndege za air tanzania kutoka nje ya bara la afrika na ni safari ya moja kwa moja kutokea uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere jijini dar
waziri lukuvi afungua kikao kazi cha wataalamu wa ardhi jijini dodoma
wor'out media
benki ya cba ikishirikiana na kampuni ya vodacom imefanya droo yake ya 5 ya kuadhimisha miaka 5 ya huduma ya mpawa yenye lengo la kuongeza ushirikishwaji wa kifedha kwa wateja wake kwenye makao makuu ya benki hiyo dar es salaam
katika kusherehekea maadhimisho hayo promosheni h
views 566 votes 0 shares 2
views 195 votes 0 shares 2
views 254 votes 0 shares 0
views 322 votes 0 shares 1 | 2019-07-22T16:42:48 | https://www.africanewshub.com/news/lang/sw/page/3 |
baada ya mkoa wa karbala najafu bagdad na muthanna atabatu abbasiyya inaitikia wito wa baabil na imeanza kujenga kituo cha kuhudumia watu walio ambukizwa virusi vya korona
05 julai 2020 1202
atabatu abbasiyya tukufu imeitikia wito wa watu wa baabil imeanza kujenga kituo cha kuhudumia watu walio ambukizwa virusi vya korona alhayaat cha saba ambacho ni muendelezo wa vituo vilivyo jengwa katika mkoa wa karbala najafu bagdad na muthanna
kwa mujibu wa maelezo ya makamo katibu mkuu wa atabatu abbasiyya mhandisi abbasi mussa
amesema baada ya kupokea maombi kutoka kwa idara ya afya ya mkoa wa baabil ya kujenga kutuo cha kuhudumia watu walio ambukizwa virusi vya korona alhayaat na kufuatia uwezo wa kuhudumia wagonjwa hao ikiwa ni sehemu muhimu ya kusaidia sekta ya afya katika mkoa huu tumefanya haraka kuitikia wito wao pamoja na kuwa mafundi wetu wanaendelea na kazi kama hiyo katika mkoa wa karbala bagdad na muthanna
akabainisha kuwa kituo kitajengwa katika mji wa marjani wa kitabibu kwa kuwashirikiana na idara ya afya ya mkoa wa baabil kwenye kiwanja chenye ukubwa wa mita za mraba (3500) kitakuwa na zaidi ya vyumba (85) pamoja na vyumba vya madaktari na wauguzi kwa mujibu wa makadirio ya awali tayali mafundi wa kitengo cha usimamizi wa kihandisi katika atabatu abbasiyya wamesha anza kuandaa sehemu kitakapo jengwa kituo hicho na wanaendelea na kuandaa ramani maalum ya ujenzi huo wataanza kujenga baada ya makubaliano ya mwisho na upande wa wanufaika ili kuhakikisha wanatoa huduma bora za matibabu kwa watu wa baabil
kumbuka kuwa jengo hili ni moja ya vituo vitatu vinavyo jengwa na mafundi wa kitengo cha usimamizi wa kihandisi katika atabatu abbasiyya kwenye mkoa wa bagdad muthanna na karbala aidha ni sehemu ya muendelezo wa vituo vingine vitatu vilivyo jengwa katika mji wa imamu hussein (as) wa kitabibu kingine katika hospitali kuu ya hindiyya na cha tatu kilijengwa kwa ufadhili wa kiongozi wa waumini (as) katika mkoa wa najafu | 2020-08-13T06:29:30 | https://alkafeel.net/news/index?id=11040&lang=sw |
ureno yafuzu kwa fainali euro 2016 | michezo | dw | 07072016
ureno yafuzu kwa fainali euro 2016
ronaldo yaisaidia timu yake ya taifa kufuzu kwa mechi ya fainali euro 2016
ureno imetinga fainali ya kombe la ubingwa wa mataifa ya ulaya euro 2016 baada ya kuizima ndoto ya wales kwa kuilambisha magoli mawili kwa sufuri mjini lyon ufaransa mechi hiyo ya kwanza ya nusu fainali iliyopigwa usiku wa kuamkia leo ilikuwa imechukuliwa kama kipimo cha nani mkali kati ya washambuliaji wawili wa klabu ya real madrid cristiano ronaldo wa ureno na gareth bale wa wales
ni ronaldo aliyeng'ara hasa katika ngwe ya pili ya mechi ilikuwa mnamo dakika ya 50 ya mchezo alipopaa kimo cha zaidi ya mita 25 na kuunganisha kwa kichwa mpira wa kona uliofyatuka na kutua wavuni ukimwacha mlinda mlango wa wales wayne hennesey akiduwaa
wakati wachezaji wa wales wakitafakari kilichowakuta na kujaribu kujipanga upya kwa mara nyingine ronaldo alionyesha kuwa nyota yake siyo ya kubabaisha kwa kupenyeza pasi iliyotua kwenye mguu wa nani na kubadilishiwa mkondo na kwa mara ya pili katika muda wa dakika tatu kipa hennesey akajikuta akigeuka kuokota mpira wavuni
hatimaye machozi ya furaha
akizungumza baada ya mechi hiyo ronaldo amesema kikosi kizima cha ureno kimefanya kazi murua kufuzu kwa mechi ya fainali na kuongeza kuwa anayo matumaini kuwa baada ya mechi hiyo atalia machozi ya furaha sio ya huzuni kama ilivyotokea mwaka 2004 waliposhindwa na ugiriki kwenye uwanja wa nyumbani mjini lisbon
''mara zote nimesema nataka kubeba kombe na timu ya taifa ya ureno'' amesema ronaldo na kuongeza ''nimekuwa katika kiwango cha juu kwa miaka 13 na takwimu kamwe hazidanganyi'' amemalizia
licha ya kuyaaga mashindano wales wameridhika na hatua waliyoipiga
pamoja na kufungasha virago kurejea nyumbani wales wanaondoka kifua mbele kwa kuweza kucheza nusu fainali ikiwa ndio kwanza wameshiriki katika mashindano ya kimataifa kwa muda wa miaka 40
gareth bale amesema na hapa manukuu ''tumefanya kila tulichoweza uwanjani na nje ya uwanja tungependa kuwashukuru mashabiki wetu ambao wamekuwa mfano wa kuigwa'' mwisho wa kumnukuu
pengo la ramsey pepe ladhihirika
mechi kati ya timu hizo ilikuwa imeanza kwa tahadhari pengine kwa sababu kila upande ulimkosa mchezaji muhimu wales haikuwa na huduma za kiungo wake aaaron ramsey ambaye alitumikia adhabu baada ya kupewa kadi mbili za njano na ureno ilimkosa nondo katika safu ya ulinzi pepe ambaye alikuwa na majeraha
mechi hii ilikuwa ya kwanza kati ya sita kwa ureno kuishinda katika muda wa kawaida wa dakika tisini tangu mashindano haya yalipoanza nchini ufaransa
ronaldo ambaye anashikilia rekodi kama mchezaji aliyeingiza magoli mengi katika michuano ya champions league hivi sasa yuko sambamba na michel platini wa ufaransa kwa kufunga magoli mengi katika fainali za ubingwa wa ulaya kila moja akiwa na magoli 9
ureno ambayo tayari inayo tiketi kibindoni itasubiri mshindi kutoka mechi nyingine ya nusu fainali itakayochezwa leo kati ya wenyeji ufaransa na ujerumani kwenye uwanja maarufu wa velodrone mjini marseilles
habari njema kwa ujerumani ni kwamba nahodha wa timu bastian schweinsteiger yuko fiti kwa mechi ya leo ingawa sami khedira na mario gomez wana majeraha naye beki mats hummels anatumikia adhabu ufaransa kwa upande wake kikosi kizima kimekamilika
euro 2016 kivumbi cha nusu fainali
wales kidedea yatinga nusu fainali
maneno muhimu ureno wales euro 2016 ronaldo bale
kiungo https//pdwcom/p/1jksz | 2019-03-19T21:47:49 | https://www.dw.com/sw/ureno-yafuzu-kwa-fainali-euro-2016/a-19384857 |
itis standard report page ilisha striatula
results of search in every kingdom for scientific name exactly for 'ilisha striatula'
taxonomic serial no 551321
(download help) ilisha striatula tsn 551321
common name(s) banded ilisha [english]
species ilisha striatula wongratana 1983 banded ilisha
reference for ilisha striatula
reference for ilisha striatula banded ilisha [english] | 2019-01-21T07:50:41 | https://www.itis.gov/servlet/SingleRpt/SingleRpt?search_topic=Scientific_Name&search_kingdom=every&search_span=exactly_for&categories=All&source=html&search_credRating=All&search_value=Ilisha%20striatula |
maonyesho ya tatu ya bidhaa za viwanda tanzania kufunguliwa dec 6 2018 dar
you are athome»habari360»maonyesho ya tatu ya bidhaa za viwanda tanzania kufunguliwa dec 6 2018 dar
previous articlejku yachezea mbili safi yaaga ligi ya mabingwa
next article rais dkt shein azindua mradi wa uchunguzi wa saratani ya shingo ya kizazi zanzibar | 2018-12-12T10:01:37 | https://habarimpya.com/featured-2/kajunason/maonyesho-ya-tatu-ya-bidhaa-za-viwanda-tanzania-kufunguliwa-dec-6-2018-dar |
ving'amuzi vya dstv kwa tsh 12000 per month | jamiiforums | the home of great thinkers
ving'amuzi vya dstv kwa tsh 12000 per month
discussion in 'tech gadgets & science forum' started by wizzo aug 9 2011
wanajf naomba kwa anaejua anisaidie eti ni kweli kunaving'amuzi vya dstv ambavyo vinafanana na vile vya startimes na vnalipiwa 12000 kwa mweznipeni ukweli wa hli jambo kama ni kweli vinapatkana wapi mi npo arushanawasilisha
mimi nafahamu kua vipo vya shs 15000 kwa mwezi na vina chanel nzuri kuliko hiyo startimeskama sikosei kuna chanel 30nenda ktk tawi lolote la dstv utapata
ni dola 10 sasa sijui ukibadili kwa pesa yetu sasa hivi sijui ni sh ngapi
vinakamata kwa kutumia antena au satelite dish kwa anaejua atujuze
je vina channel ngapi na zaina gani au kama za akina star times
wanajf naomba kwa anaejua anisaidie eti ni kweli kunaving'amuzi vya dstv ambavyo vinafanana na vile vya startimes na vnalipiwa 12000 kwa mweznipeni ukweli wa hli jambo kama ni kweli vinapatkana wapi mi npo arushanawasilishaclick to expand
nafikiri ulitaka kuulizi packages za dstv ninavyojua mimi full package ni 110000 hapa unapata super sport zote na kuna midium package unalipia 60000 hii haina s/sport nafikiri kuna ya chini zaidi yenye limitation ya channel 30 sijui bei yake mawasiliano ni kwa satellite
bei ya chini kabisa no 110000 malipo kwa mwezi no 16000 local channel ni tbc tu kuna channel moja ya sspt blitz
bei ya chini kabisa no 110000 malipo kwa mwezi no 16000 local channel ni tbc tu kuna channel moja ya sspt blitzclick to expand
zipo na za kenya na ipo moja inayoonesha tamthiliya na movie za kiswahili ni kali kweli
nipo loliondoje arusha kuna branch yao kwani nahitaji hiyo ndogo
dstv hakuna kitu
nipo loliondoje arusha kuna branch yao kwani nahitaji hiyo ndogoclick to expand
mpe hi babu wa samunge
vituo vyote vya mafuya vyaitwa shelii
ukiona dish tu basi ni dstv lol
dstv arusha wanapatikana karibu na impala hotel dstv wana package kama 4
1) dstv full package premium =$90
2)dstv compact plus= tshs 80000/=
3)dstv compact= tshs 48000/=
4)dstv family= tshs 17000/=
chagua uipendayo
hawa wafanya biashara wanaofanya biashara zao hapa bongo kwa dola($) wananiudhi sana kama wanaona shilingi(tsh) ya tanzania haina thamani kwao wahamie huko wanakotumia dola hii pia inaonyesha wana watu wao waliowalenga ktk biashara yao na sio watanzania walalahoi
mkuu ni lazima uende dstv ukanunue decoder dish na fundi wa kuinstall then ndio uchague package unayotaka
chagua uipendayoclick to expand
dstv family ni dola 20 na dstv access ni dola 10 ndio ya chini kabisa lakini lazima kwanza ununue decoder na dish yake
nikitaka equipment peke yake yaani dish na decoder wanauza bei gani
nikitaka equipment peke yake yaani dish na decoder wanauza bei ganiclick to expand
bei ni sawa kama hapo juu mkuu gharama za fundi ni juu yakodstv wanaumiza sana japokuwa hatuna option nyingineme nililipia fully package kwa 140000coz dolla ilikuwa juu hiv hakuna wachakachuaji wa hii kitu wakuu
bei ni sawa kama hapo juu mkuu gharama za fundi ni juu yakodstv wanaumiza sana japokuwa hatuna option nyingineme nililipia fully package kwa 140000coz dolla ilikuwa juu hiv hakuna wachakachuaji wa hii kitu wakuuclick to expand
nasikia wachakachuaji wapo wengi sana lakini sijawapata ila kwa hapa jf ngoja waje
nasikia wachakachuaji wapo wengi sana lakini sijawapata ila kwa hapa jf ngoja wajeclick to expand
waje watupe maujanja aisee hawa jamaa wanatukamua sana mkuu | 2017-07-23T21:14:30 | https://www.jamiiforums.com/threads/vingamuzi-vya-dstv-kwa-tsh-12000-per-month.162470/ |
video birthday party ya producer marco chali usiku wa may 29 2016 millardayocom
video birthday party ya producer marco chali usiku wa may 29 2016
usiku wa may 29 2016 producer kutokea mj record marco chali amefanya birthday party nyumbani kwake maeneo ya mikocheni jijini dar es salaam party ambayo ilihudhuriwa na mastaa mbalimbali kutoka bongoflevani ayo tv na millardayocom ilifika eneo la tukio na nimekurekodia full video kutoka kwenye birthday party ya marco chali
← previous story video tulitarajia kutokea kwa tukio lililotokea bungenimbunge goodluck mlinga
next story → video freeman mbowe kazungumza baada ya wabunge kutolewa tena bungeni | 2020-06-05T01:14:46 | https://millardayo.com/marmomay30/ |
tanzania one tff yamteua mwamuzi chacha kuchezesha michuano ya ayg
tff yamteua mwamuzi chacha kuchezesha michuano ya ayg
release no 061
aprili 11 2014
simba ashanti utd kuvaana taifa
michuano ya ligi kuu ya vodacom (vpl) kuwania ubingwa wa tanzania bara inaendelea kesho(aprili 12 mwaka huu) katika raundi ya 25 ambapo simba na ashanti united zitapambana uwanja wa taifa dar es salaam kuanzia saa 10 kamili jioni
timu ya watoto wa mitaani yatambulishwa bungeni
posted by musa shigela at 422 am | 2017-08-22T05:11:31 | http://mateja20.blogspot.com/2014/04/tff-yamteua-mwamuzi-chacha-kuchezesha.html |
benchi la ufundi simba lamvuruga kichuya | shaffihdauda
home dauda tv benchi la ufundi simba lamvuruga kichuya
kama hukufuatilia game ya simba dhidi ya uar ambapo wenkundu wa msimbazi walipoteza mechi hiyo kwa kufungwa 10 basi kuna jambo ambalo lilitokea na kuzua maswali mengi kwa wadau wa soka
benchi la ufundi la simba lilifanya mabadilko kwa kuwatoa wacheza kadhaa ambao walianza kwenye kikosi cha kwanza na kuingia waliokuwa benchi miongoni mwa wachezaji waliopumzishwa walikuwa ni shiza kichuya jonas mkude mwinyi kazimoto nicholas gyan na mzamiru yassin
kitu kilichozua maswali mengi ni kwamba shiza kichuya na jonas mkude hawakukaa kwenye benchi baada ya kutolewa ili kuwapisha wachezaji wengine kichuya alionesha wazi kutofurahishwa na maamuzi ya benchi la ufundi kumpumzisha wakati mkude yeye alionekana akipiga story na baadhi ya wadau
afisa habari wa simba haji manara alinaswa na kamera ya shaffihdaudacotz akizungumza jambo na kichuya ambapo inadhaniwa alikuwa akimtuliza mchezaji huyo kutokana na kuonesha wazi hakuridhia kupumzishwa
baada ya mechi kocha wa simba masoud djuma aliulizwa na waandishi kwa nini baadhi ya wachezaji wameonesha kutoridhishwa na uamuzi wa benchi la ufundi kuwafanyia mabaliko jibu la kocha huyo lilikuwa hivi tumecheza mechi kwa tension kwamba lazima tufunge na lazima tushinde kwa hiyo ule wasiwasi wa kutaka kufanya kitu vizuri unajikuta unaharibu lakini ndio game
previous articlevideo kocha wa simba baada ya kutolewa mapinduzi cup
next articlevideo yanga yaandaa mpango wa kuimaliza ura | 2018-03-18T21:08:37 | http://shaffihdauda.co.tz/2018/01/08/benchi-la-ufundi-simba-lamvuruga-kichuya/ |
bongo voice staa wa fast & furious paul walker aacha urithi wa dola milioni 25 kwa binti yake
staa wa fast & furious paul walker aacha urithi wa dola milioni 25 kwa binti yake
staa wa filamu za fast & furious paul walker alifariki kwa ajali mbaya ya gari mwezi novemba mwaka jana mara tu baada ya kifo chake watu wengi walikuwa na maswali je utajiri wake aliokuwa nao atauacha kwa nani sasa imefahamika kuwa ameacha urithi wenye thamani ya dola za kimarekani milioni 25
familia ya fast & furious
kupitia mtandao wa tmz umesema wosia aliouandika paul walker kabla ya mauti kumfika umeeleza kwamba mali zote ambazo mkali huyu alikuwa nazo zitabaki kwa binti yake wa miaka 15 aitwaye meadow
paul walker akiwa na mwanae meadow
matarajio ya wengi yalikuwa kungekuwa na mgao mzuri ambao kwa upande mmoja ama mwingine ungemnufaisha mpenzi wake walker aliyedumu naye kwa muda wa miaka sabajasmine gosnell lakini mambo hayakwenda kama walivyodhani
kwa sasa meadow anaishi hawaii na mama yake rebecca soteros japo wosia ulimtaka aishi na mama yake paul walkercheryl kwani ndiye mwenye haki ya malezi na matunzo yote
credit gongamx | 2016-12-11T02:15:12 | https://bongovoice.blogspot.com/2014/02/staa-wa-fast-furious-paul-walker-aacha.html |
covid19 uhuru na pombe magufuli watatua mgogoro wa mipakani
mvuke wa mgogoro wa kidiplomasia uliotishia kuwalewesha uhuru na pombe waanza kuyeyuka
9 days ago 3641 views by francis silva
kufuatia mgogoro wa kidiplomasia uliokuwa ukinukia kuzuka katika mipaka ya kenya na tanzania marais wa nchi hizi mbili wamezungumza na kufikia suluhu
habari nyingine sio kila analosema uhuru ni lazima nikubaliane nalo kimani ichung'wah
mvuke wa mgogoro uliotishia kuwalewesha uhuru na pombe waanza kuyeyuka
habari nyingine kakake seneta moses wetang'ula azikwa bungoma
katika kufichua walichozungumza jumatatano mei 20 rais wa tanzania john pombe magufuli alisema tayari walifanya mazungumzo na mwenzake wa kenya rais uhuru kenyatta na kusuluhisha
mgogoro huo ulikuwa ukisukumwa na jinsi mataifa haya mawili yamekuwa yakishughulikia janga la virusi vya corona
habari nyingine alfred keter amshambulia khalwale asema anafuata mamilioni ya dp ruto
mvuke wa mgogoro wa kidiplomasia uliotishia kuwalewesha uhuru na pombe waanza kuyeyuka picha nation
wakati ilipochukua hatua dhabiti za kukabiliana na virusi hivyo jirani tanzania imekuwa ikionekana kutojali sana kihusu hatari ya virusi hivyo na hata kusaabisha uhuru kufunga mipaka yake
hatua hiyo ilifanya tanzania kuona kichefuchefu na majibizano kuzuka kati ya nchi hizi mbili
hapa ni alichosema magufuli kuhusu mazungumzo yao na uhuru
habari nyingine covid19 kenya yaandikisha idadi kubwa zaidi ya maambukizi kufuatia visa 66 vipya
haiwezekani kila dereva ambaye anaenda kenya awe na corona mimi nina dereva wangu hapa kwahiyo na yeye ana corona dereva fungua dirisha la gari wakuone haya watu wa singida mnamuona huyu dereva wangu mzima kabisa anaonesha kuwa na corona jamani
juzi nilipigiwa simu na kenyatta nikiwa bado chato akanipa pole na kujielezea mambo ya corona kidogo hata leo nimeongea naye kulikuwa na migogoro kule tumekubaliana na rais kenyatta kwamba waziri wa uchukuzi wa kenya na tanzania wakuu wa mikoa ya mipakani wakutane na wenzao wa kenya kujadili na kuyamaliza
viongozi wa mikoa wasitatue matatizo kwa jazba nafahamu ukichokozwa sana ukanyamaza na wewe unachokoza kidogo sio mbaya ila tumeyazungumza na kenyatta tumeyamaliza mawaziri na wakuu wa mikoa pia mkutane na wenzenu kenya yaishe haya ndani ya wiki hii magufuli alisema
42 minutes ago 8146 views
2 hours ago 21131 views
an hour ago 5769 views
46 minutes ago 1667 views
bibi wa miaka 82 awaacha wanamtandao vinywa wazi na picha zake tamu | 2020-05-30T12:48:21 | https://kiswahili.tuko.co.ke/358211-mvuke-wa-mgogoro-wa-kidiplomasia-uliotishia-kuwalewesha-uhuru-na-pombe-waanza-kuyeyuka.html |
rev 9 | `yml | step | manubutu i tauya i nago mulieta anelose 'ana ve5 yana evulega i yuvei tamu tomotoga 'aninamanamalina i obu fwayefwayeye 'wa da vo 'ana 'isa bani'odi 'ubwana i da 'anita'ia abamega i obuga vatu'ai manamanawena yaiaina yadi 'eba mia 'ana 'eba yavu i 'ewai i mieni i yavuya
evulega 'ana ve5 i yuvei
1manubutu i tauya i nago mulieta anelose 'ana ve5 yana evulega i yuvei tamu tomotoga 'aninamanamalina i obu fwayefwayeye 'wa da vo 'ana 'isa bani'odi 'ubwana i da 'anita'ia abamega i obuga vatu'ai manamanawena yaiaina yadi 'eba mia 'ana 'eba yavu i 'ewai i mieni i yavuya 2i yavuya nika lufwa bwaikina i souyeni 'wa da vo libi domwatuaina lufwana bega inala matana i umai yana mageta i 'awaduguli abama 'ana 'isa'isa bani'odi igovala 3lufwanina 'wainega limwana fuedi i obu tanotanoge i vetuli yadi 'aiova i vekasikasisi bwa'o'o'o bani'odi 4limwananidi tatalabodadi kebu 'adi fata 'ani'ani i na 'ivesakoidi wata bani'odi mosomoso 'alo welavi tomotoga fuedi i na ovadi we'e tomotoganidi yaubada yana tugusa debadie i yatodiga kebu i na ovadiga 5i vonedi i na ovadimo we'e 'ivewafa faifaina kebu i da tauyediga weta'i 5 nagedie i na ovaovadi bega i na veveviga bwaikina bani'odi bwa'o'o'o yadi 'aiova 6veviganina faifaina tomotoga i na vo 'a da wafa veviga 'a baila siwe yaubada kebu i na tauyedi i na wafaga
7limwananidi 'adi 'isa'isa 'wa da vo 'aisaya osi kaleko kainumu 'wainega i da 'ivivigavudi vetalaga faifaina ma 'adi veimea bega debadie 'adi vaigavu golida i yatodi maigidi 'wa da vo tomotoga maigidi 8nava'audi manamanawedi nigodi manamanawedi wata nigonigodi bani'odi 'aisaya laioni nigodi 9nuafoudie 'adi vaigavu 'ana 'isa'isa kaleko kainumu fafedi butu'aidi bwaikaotogidi 'wa da vo 'aisaya osi waka fwayafwaya fuedi i da luluyo'edi vetalaga faifaina 10we'e giudi bani'odi bwa'o'o'o giudi 'waidiega tomotoga i na lovelovenidi weta'i 5 nagedie 11vatu'ai manamanawena 'ana to'isave'avina kumanina wata limwananidi 'adi toveimea 'ana wagava me diu bonadiega abadoni we'e me guliki bonadiega afoloni 'ana saivila to'ivesako 12de'e vitanina i 'a'ava vita 'ailuga wata sai'afoga i na souyedi
s3 sou 1012s4 ve 616s12 ve 813
evulega 'ana ve6 i yuvei
13anelose 'ana ve6 yana evulega i yuveiga bona a nogai i mai 'eba velomu kamwanega 'eba velomunina golida 'wainega i 'idewai yaubada mataneye i tovotovoi
14bonananina a nogaiga i vonavona anelose 'ana ve6 'waineye i vo anelosenidi 4 basenadi i yogonidi i yatodi ufa bwaikina 'ana wagava iufiletisi 'waineye 'u na yavudi i na nagoi 15anelosenidi 4 i yavudiga basenadi i 'idewadi i yatodi bega 'awasasanina 'aiatanina weta'inina wata malamalanina i venua'ivineniga 'waineye i na souyedi tomotoga fuedi i na luvewafadi tomia fwayafwaya 'adi 'aila'a vi'ai 'aitonu 'ailuga 'atumaidi we'e vi'ai 'aitamogana i na luvewafadi 16anelosenidi 4 tovetalaga fueotogidi i 'edakumesedi 'adi 'aila'a i lu'ivoneyeni 'waikuye matatabudi 200 milioni (200000000)
17wata a 'iseni 'wa da vo a da 'enotalailoiloyedi tovetalaganidi osi kwavudie i laka i nunagoi nuafoudie 'adi kaleko kainumu 'ifwaidi yamoyamoidi 'wa da vo 'ai'ala'alata 'ifwaidi 'ala'alawidi 'wa da vo malaveta 'ifwaidi 'ovu'ovudi 'wa da vo manufagila osi 'unu'unudi 'wa da vo 'aisaya laioni 'unu'unudi we'e 'awadiega 'ai meana lufwa wata manufagila 'ala'alaina i sousouyedi 'waidiega tomotoga vi'ai 'aitamogana i luvewafadi vi'ai 'ailuga 'atumaidi 19osinidi yadi toketokena bega i na luluvewafadiga 'awadie wata giudie fai giudi 'wa da vo 'o'olo 'unu'unudi bega tomotoga i nikenikedi
20vitanidi i 'a'ava tomotoga 'ifwaidi i miamianiga bola i baibaila kebu nuanuadi taunidi i na tauyedi yaubada i na subisubiai nuanuadi seitani enavo bani'odi yaiaina i na subisubiadi wata kumaea i dabidi golida siliba kofa kileu wata welavi 'waidiega i 'odu'odu 'waidie naninidi tomotogaotoga 'adi 'idewadewa kebu 'adi fata i na 'isa i na nogaya wata i na feto siwe i subisubiadi 21wata kebu nuanuadi i na nuaviladi bega i na 'ailove luvewafa ve'avula'avo'avovo vainago wata 'adi 'afo'a i na bailedi
s15 ve 8712s20 ve 16911 same 1351517 | 2020-01-26T21:10:17 | https://www.stepbible.org/?q=version=YML%7Creference=Rev.9 |
brothel anama
call girl anama courtesan anama hookers anama sluts anama whores anama gfe anama girlfriend experience anama shagging anama strip club anama strippers anama dogging anama fuck buddy anama hookups anama free sex anama sex meet anama nsa sex anama | 2019-02-16T04:12:51 | https://www.sugartown.co.nz/brothel-anama.php |