English
stringlengths
10
646
Sheng
stringlengths
7
602
.Then Jesus told his disciples a parable to show them that they should always pray and not give up.
Kisha JC akashow wale disciples wake parable moja ya nguvu ju ya prayer njo at least wanyite lazima kila time wa pray bila ku give up.
.He said: "In a certain town there was a judge who neither feared God nor cared about men.
Akasay: "Kwa tao fulani kulikuwa na jaji mwenye hakuogopa God ama kujali na wasee.
.And there was a widow in that town who kept coming to him with the plea, 'Grant me justice against my adversary.'
Na kulikuwa na a widow kwa hiyo tao mwenye alikuwaga akirudi rudi kwa judge na one request,'Nigei justice against my adversary.'
."For some time he refused. But finally he said to himself, 'Even though I don't fear God or care about men,
"Kwa muda jamaa akakataa. Lakini finally akajiambia, 'Hata kama siogopi sir Godi wala sijali stori ya wasee,
.yet because this widow keeps bothering me, I will see that she gets justice, so that she won't eventually wear me out with her coming!' "
Lakini ju huyumjane alikuwa kila saa ananisumbua, nitahakikisha anaget justice, njo mwishowe asinichokeshe kabisa na kurudi rudi kwake!'"
.And the Lord said, "Listen to what the unjust judge says.
Kisha the lord akasema,"Skiza chenye yule judge mu unfair alidai.
.And will not God bring about justice for his chosen ones, who cry out to him day and night? Will he keep putting them off?
Na sa God je, si atahakikisha kuwa justice imehappen for wale amewachagua, wenye wanacry out kila day and night kwake? Atazidi kuwalenga akiwa put off?
.I tell you, he will see that they get justice, and quickly.However, when the Son of Man comes, will he find faith on the earth?"
Nawashow aje, atacheki kuwa mnaget justice, Tena chap chap. Lakini je, time son wa God atakam earth je ataget faith kwa earth?"
.To some who were confident of their own righteousness and looked down on everybody else, Jesus told this parable:
Kwa wengine wenye walikuwa confident ju ya righteousness yao na wali look down kwa kila msee,JC akawashow hii parable:
."Two men went up to the temple to pray, one a Pharisee and the other a tax collector.
"Wasee wawili waliishia kwatemple ku pray, mmoja alikuwaga pharisee na yule mwingine alikuwaga msakanyaji wa munde ya tax..
.The Pharisee stood up and prayed about himself: 'God, I thank you that I am not like other men robbers, evildoers, adulterers or even like this tax collector.
Yule pharisee akasimama na kupray about himself: 'God, nakushukuru ju siko kama wale wasee wengine majambazi, wakora, wahanyaji- ama hata ka huyu msakanyaji wa tax.
.I fast twice a week and give a tenth of all I get.'
Na fastigi twice kwa wiki na mi hupeana tithe ya kila kitu naget.'
."But the tax collector stood at a distance. He would not even look up to heaven, but beat his breast and said, 'God, have mercy on me, a sinner.'
"Lakini msakanyaji wa munde ya tax, akasimamia kwa bali.Hata hangecheki juu to heaven, lakini akabeat breast yake ka sign ya kulia,'Sir Godi, nioneehuruma mi sinner.'
."I tell you that this man, rather than the other, went home justified before God. For everyone who exalts himself will be humbled, and he who humbles himself will be exalted."
"Nakushow kuwa huyo jamaa, na si yule mwingine,aliishia home ako justified mbele ya sir Godi.Ju kila mse mwenye anajiinua atashushwa na kila mse anajishusha atainuliwa juu."
.People were also bringing babies to Jesus to have him touch them. When the disciples saw this, they rebuked them.
Wasee walikuwa pia wakileta watoi kwa JC ili awaguse wapone. Vile disciples walicheki ivo, wakawazushia.
.But Jesus called the children to him and said, "Let the little children come to me, and do not hinder them, for the kingdom of God belongs to such as these.
Lakini JC akawaita kwake kuwashow, wacha watoi wadogo wakam kwangu,na usiwakataze, ju kingdom ya sir Godi inabelong kwa kama hao.
.I tell you the truth, anyone who will not receive the kingdom of God like a little child will never enter it."
Nawaelimisha ivi ukweli, mse any mwenye hata receive kingdom yasir Godi kama mtoi mdogo hatawaiingia huko."
.A certain ruler asked him, "Good teacher, what must I do to inherit eternal life?"
Kisha sonkwo fulani akamwuliza,"My good mwalimu, ni what njo lazima ni do kuinherit eternal life?"
."Why do you call me good?" Jesus answered. "No one is good except God alone.
JC akamwuliza, "Mbona unaniita mpoa? Hakuna mse mpoa except sir Godi pekee.
.You know the commandments: 'Do not commit adultery, do not murder, do not steal, do not give false testimony, honor your father and mother.' "
Si unamesea commandments:' Usi commit adultery, usi madee, usi thegi, usipeane ma witnessings za uwongo, heshimu mbuyu wakona masa wako.' "
."All these I have kept since I was a boy," he said.
Akamshow,"Hizi zote nime keep toka nikuwe boy."
.When Jesus heard this, he said to him, "You still lack one thing. Sell everything you have and give to the poor, and you will have treasure in heaven. Then come, follow me."
Wakati JC aliskia ivo, akamshow, "Bado una lack kitu moja. Uza kila kitu yako naugeiane kwa wasee poor, na utakuwa na treasure in heaven.Kisha kamu unifuate.
.When he heard this, he became very sad, because he was a man of great wealth.
Vile aliskizia ivo, akashuka moyo down sana, ju alikuwa mse ana wealth ingine meja.
.Jesus looked at him and said, "How hard it is for the rich to enter the kingdom of God!
JC akamcheki ivi na akamshow niaje,"Ni Vigumu sana for the rich kuingia kwa kingdom ya sir Godi!
.Indeed, it is easier for a camel to go through the eye of a needle than for a rich man to enter the kingdom of God."
For real,ni easier for acamel ku go through jicho ya sindano kuliko ata for mse rich kuingia kingdom ya sir Godi."
.Those who heard this asked, "Who then can be saved?"
Wale wazeiya waliskizia iyo tamko wakaulizana,"Kwaivo ni nani sasa basi anaweza okolewa?"
.Jesus replied, "What is impossible with men is possible with God."
JC akajibu, "Chenyeni impossible kwa wasee ni possible nasir Godi."
.Peter said to him, "We have left all we had to follow you!"
Pitaa akamshow niaje, "Tumesare kila kitu tulikuwanacho njo tukufuate!"
."I tell you the truth," Jesus said to them, "no one who has left home or wife or brothers or parents or children for the sake of the kingdom of God
"JC akawajibu,"Nawashow cha ukweli, hanakumse mwenye aliacha home ama wife ama ma bro ama masiz ama mapero ama watoi ju ya Kingdom ya sir Godi
.will fail to receive many times as much in this age and, in the age to come, eternal life."
mwenye atakosa ku-receive mara mob as much kwa hii age na, kwa ileage inakam, maisha eternal."
.Jesus took the Twelve aside and told them, "We are going up to Jerusalem, and everything that is written by the prophets about the Son of Man will be fulfilled.
JC akakwachu wale twelve kuwa take aside akawashow, "Tunaishia up hadi Jerusa, na kila kitu chenye kimechorwa by wale prophets kumhusu son wa man kitakuwa fulfilled.
.He will be handed over to the Gentiles. They will mock him, insult him, spit on him, flog him and kill him.
Atasareiwa hadi kwa wase unbelievers.Watamchongoa, watamtusi, watamtemea mate, watampiga viboko na kummada.
.On the third day he will rise again."
Siku ya third lakini ata rise tena from the dead."
.The disciples did not understand any of this. Its meaning was hidden from them, and they did not know what he was talking about.
Wale disciples hawakushikanisha chochote hapo. Maana yake ikakuwa hidden toka kwao, na hawakujua chenye alikuwa akibonga about.
.As Jesus approached Jericho, a blind man was sitting by the roadside begging.
Sa JC aki approach Jeri, mse blind alikuwa amepolea by the baro anabeg.
.When he heard the crowd going by, he asked what was happening.
Ithaa aliskia rende ina pass by, akauliza ni nini ilikuwa ina happen.
.They told him, "Jesus of Nazareth is passing by."
Wakamshow niaje,"Jesus wa Nazareti ana pass by akiishia."
.Jesus said to his disciples: "Things that cause people to sin are bound to come, but woe to that person through whom they come.
JC akashow disciples wake niaje: "ma something za kukwaza wasee njo wa sin ni lazima tu zi kam, lakini ole wake yule mse through whom zitakam.
.It would be better for him to be thrown into the sea with a millstone tied around his neck than for him to cause one of these little ones to sin.
Ni better kwake ka angetupwa ndani ya baharina mawe ya rego rego ka necklace than kwake kufanya mmoja wa hawa watoi a sin.
.So watch yourselves. "If your brother sins, rebuke him, and if he repents, forgive him.
Kwa ivo jichungeni. "Bro wako aki commit dhambi, mrebuke,na aki tubu dhambi, mforgive.
.If he sins against you seven times in a day, and seven times comes back to you and says, 'I repent,' forgive him."
Aki do dhambi against you mara saba kwasiku, na marasaba akam back kwako akushow, 'na repent,' mforgive."
.The apostles said to the Lord, "Increase our faith!"
Wale ma apostles wakashow JC, "Increase faith yetu!"
.He replied, "If you have faith as small as a mustard seed, you can say to this mulberry tree, 'Be uprooted and planted in the sea,' and it will obey you.
Akamjibu, "Kama una faith small kama seed ya haradali, unaweza show hadi hii mulberry tree, 'Kuwa uprooted na upandwe ndni ya bahari,' na itaku obey.
."Suppose one of you had a servant plowing or looking after the sheep. Would he say to the servant when he comes in from the field, 'Come along now and sit down to eat'?
"Tuseme mmoja wenu alikuwa na servant wake ana take care ya kondoo zake. Je, atamshow yule servant akikam home toka kwa viwanja, 'Kam hapa kando sasa upoe down udishi?'
.Would he not rather say, 'Prepare my supper, get yourself ready and wait on me while I eat and drink; after that you may eat and drink'?
Si badala yake atamshow, 'Tayarisha ka supper kangu, jiandae kuniserve nikidishi na kunywa; alafu baadaye unaweza dishi na kunywa?'
.Would he thank the servant because he did what he was told to do?
Kwani tena atamthank yule mboch ju ati ali do chenye alishoiwa ku do?
.So you also, when you have done everything you were told to do, should say, 'We are unworthy servants; we have only done our duty.' "
So nyi pia,mkisha do kila kitu chenye mmeshoiwa, mnafaa kusema, 'Si ni servants unworthy; tume do duty yetu' "
.Now on his way to Jerusalem, Jesus traveled along the border between Samaria and Galilee.
Sa akiishia on his way to Jerusalem, JC akatravel along ile border kati ya Samaria na Galilee.
.As he was going into a village, ten men who had leprosymet him. They stood at a distance
Sa vile alikuwa akiingia kwa village, wasee kumi wenye walikuwa na ukoma wakamkuta.Wakasimama kwa distance mbali
.and called out in a loud voice, "Jesus, Master, have pity on us!"
na wakiita kwa sauti ya juu, "JC,Boss,kuwa na huruma juu yetu!"
.When he saw them, he said, "Go, show yourselves to the priests." And as they went, they were cleansed.
NyakatiJC aliwacheki hivi, akasema,"Ishia mjishowini kwa wale ma priest." Na vile walikuwa wakienda, wakaponywa.
.One of them, when he saw he was healed, came back, praising God in a loud voice.
Mmoja wao, vile alicheki ameponywa, akakam back, akipraise God kwa sauti loud.
.He threw himself at Jesus' feet and thanked him and he was a Samaritan.
Akajitupa kwa feet za JC akamshukuru sana-na alikuwa samaritan.
.Jesus asked, "Were not all ten cleansed? Where are the other nine?
JC akauliza, "Si wote kumi waliponywa? Wale wengine nine wako wapi?
.Was no one found to return and give praise to God except this foreigner?"
Kwani hakukupatikana mse mmoja wa kurudi kusema thanks na praise kwa Sir Godi except huyu foreigner?"
.Then he said to him, "Rise and go; your faith has made you well."
Akamshow yule jamaa,"Rauka nauishie; faith yako imekuweka poa."
.Once, having been asked by the Pharisees when the kingdom of God would come, Jesus replied, "The kingdom of God does not come with your careful observation,
Time moja, ju alikuwa ameulizwa na mafarisayo when kingdom ya sir Godi ingekam, JC akajibu, "Kingdom ya sir Godi haikam ati ju umechunguza vi carefully kuicheki,
.nor will people say, 'Here it is,' or 'There it is,' because the kingdom of God is within you."
bali wasee hawatasema, 'Njo hii hapa,' ama 'Njo ile pale,' ju kingdom ya sir Godi iko ndani yenu."
.Then he said to his disciples, "The time is coming when you will long to see one of the days of the Son of Man, but you will not see it.
Kisha akashow disciples wake,"Time inakam when mtatamani kucheki hatamoja yamasiku za mtoi son wa adam, lakini hamtaicheki.
.Men will tell you, 'There he is!' or 'Here he is!' Do not go running off after them.
Majamaa watawashow, 'Yuko pale ivo!' ama 'Yuko hapa ivi!' Msikimbilie off kuwafuata.
.For the Son of Man in his day will be like the lightning, which flashes and lights up the sky from one end to the other.
Ju mtoi sonwa adam in his day atakuwa kama lightning, yenye inachapa nakulight sky toka kona moja hadi nyingine.
.But first he must suffer many things and be rejected by this generation.
Lakini kwanza lazima ago through suffering mob na arejectiwe na hii generation.
."Just as it was in the days of Noah, so also will it be in the days of the Son of Man.
"Vile tu ilikuwaga days za Noah, ivo pia njo itakuwa siku za mtoi chali wa adam.
.People were eating, drinking, marrying and being given in marriage up to the day Noah entered the ark. Then the flood came and destroyed them all.
Waseewalikuwa wakidishi, na kubambua,wakioa na kupeanwa kwa wedo hadi ile day Noah alidonjo kwa ark. Kisha ile elnino ilikuwa hapo msee ilikam ikawadestroy wote.
."It was the same in the days of Lot. People were eating and drinking, buying and selling, planting and building.
"Ilikuwa ivo pia sikuza Lot. Wase walikuwa wakidishi nakubambua tu, wakiboti cargo nakuuza zingine,wakiplant mashake naku do mijengo.
.But the day Lot left Sodom, fire and sulfur rained down from heaven and destroyed them all.
Lakini ile day Lot alichomoka tu ivi akaacha Sodom, nare na sulfur zilinyesha down from heaven na kuwa destroy wote.
."It will be just like this on the day the Son of Man is revealed.
Itakuwa tu ivi ile siku mtoi son wa adam ana kuwa revealed.
.On that day no one who is on the roof of his house, with his goods inside, should go down to get them. Likewise, no one in the field should go back for anything.
Hiyo day kusiwe na mse mwenye amepatikana ju ya roof ya keja yake, na burungo zake ndani, mwenye atashuka kuzicollect. Ivo pia, hakuna mse ndani ya kiwanja anafaa kurudia chochote.
.Remember Lot's wife!
Kumbuka wife wa lot!
.Whoever tries to keep his life will lose it, and whoever loses his life will preserve it.
Mwenye ametry kukeep life yake ataipoteza, na mwenyeamepoteza life yake ataihifadhi.
.Jesus told his disciples: "There was a rich man whose manager was accused of wasting his possessions.
JC akashow disciples wake niaje: "Kulikuwa na sonkwo mmoja mwenye manager wa ma biz zake alipatikana na accusation za ku waste cargo za mdosi.
.So he called him in and asked him, 'What is this I hear about you? Give an account of your management, because you cannot be manager any longer.'
Kwa ivo mdosi akamwita na akamwuliza, 'Ni stori gani hii naskia ju yako? Nipee account kwanza ya vile una manage, ju hauwezi baki manager tena any more.'
."The manager said to himself, 'What shall I do now? My master is taking away my job. I'm not strong enough to dig, and I'm ashamed to beg
"Yule manager akajibongesha, 'Wuui!Nitado what sasa manze? Mdosi asha ni sack akachukua job yangu away. Siko mstrong vile niseme ati nitaenda kulima shake, na mapepe zangu na status, niko ashamed ku beg-
.I know what I'll do so that, when I lose my job here, people will welcome me into their houses.'
Najua chenye nita do njo sasa, hatatime napoteza job hapa, watu watanikaribisha kwa ma hao zao.'
."So he called in each one of his master's debtors. He asked the first, 'How much do you owe my master?'
Kwa hivo akaita ndani kila mmoja ya wale wase walikuwa na madeni za mdosi. Akauliza wa fao, 'Dongela ngapi una owe mdosi wa mine?'
." 'Eight hundred gallons of olive oil,' he replied."The manager told him, 'Take your bill, sit down quickly, and make it four hundred.'
Mdeni akasema," ' Galans soo nane za olive oil.' Maneja akamshow, 'Haya! Chukua bill yako, kaa down chap chap, ichange ikuwe soo nne.'
."Then he asked the second, 'And how much do you owe?' " 'A thousand bushels of wheat,' he replied. "He told him, 'Take your bill and make it eight hundred.'
" Kisha akaulizathe second,'Na wee unatu-owe how much?' Akajibu," 'Gorogoro Tenga moja za ngano.' Akamshow, 'Chukua bill yako na uchange ikuwe soo nane.'
."The master commended the dishonest manager because he had acted shrewdly. For the people of this world are more shrewd in dealing with their own kind than are the people of the light.
"Yukle sonkwo alibaki amemsare tu,hadi akamcongratulate maneja mkora huski, ju ali act na ujanja ya hustler.Ju wasee wa hi dunia wana ujanja ya kuhustle more wakati wana deal na wenzao hatakuliko majamaa wa nuru.
.I tell you, use worldly wealth to gain friends for yourselves, so that when it is gone, you will be welcomed into eternal dwellings.
Nawashow, tumia mali ya dunia kuget mabeshte for yourselves, njo ikisha die, ime go, utakaribishwa kwa ma cribs zenyeni za milele.
."Whoever can be trusted with very little can also be trusted with much, and whoever is dishonest with very little will also be dishonest with much.
"Mwenyeni mtrust worthy kwa vitu kidogo kidogo anaweza kuwa trusted na much, na mwenye ni mkoramkora haaminiki kwa vitu ndogo ndogo hawezi atakuwa mkora wa vitu mob.
.So if you have not been trustworthy in handling worldly wealth, who will trust you with true riches?
Kwa ivo ka we haujatrustiwa ku handle mali yaworld, sa nani njo ataku trust na ile mali ya real?
.And if you have not been trustworthy with someone else's property, who will give you property of your own?
Na kama haujaaminika na burungo ya mse mwingine, nani atajugei mali yako we mwenyewe?
."No servant can serve two masters. Either he will hate the one and love the other, or he will be devoted to the one and despise the other. You cannot serve both God and Money."
"Hanaku servant mwenye anaweza tumikia ma sonkwo wawili.Labda ata hate mmoja na apende yule mwingine ama atajitolea zaidi kwa mse mmoja na adharau yule mwingine. Hauwezi ku serve sir Godi na Munde."
.The Pharisees, who loved money, heard all this and were sneering at Jesus.
Wale mapharisayo, wenye walipenda pesa, wakaskia hiyo yote na wakaanza kumcheki JC na dharau.
.He said to them, "You are the ones who justify yourselves in the eyes of men, but God knows your hearts. What is highly valued among men is detestable in God's sight.
JC akawaambia, "Nyi njo mnajipendekezaga mbele ya macho ya wasee, lakini God ashajua heart zenu.Chenye kiko na value mob kwa majamaa kiko hated mbele ya macho ya sir Godi.
."The Law and the Prophets were proclaimed until John. Since that time, the good news of the kingdom of God is being preached, and everyone is forcing his way into it.
"Law na ma prophets walikuwa wakitangazwa hadi time ya Johnie.Toka hapo iyo time, ile good news ya kingdom ya sir Godi ina preachiwa, na kila mse anaingia kimangoto,by force.
.It is easier for heaven and earth to disappear than for the least stroke of a pen to drop out of the Law.
Ni easy zaidi for heaven na earth ku disappear kuliko hata ile maandishi ndogo kabisa ya kalamu kuanguka toka kwa law.
."Anyone who divorces his wife and marries another woman commits adultery, and the man who marries a divorced woman commits adultery.
"Kila mtu mwenye anadivorce waifudhes wake na kumarry manzi mwingine ana commit adultery, na yule jamaa ana marry a divorced woman pia anacommit adultery.
."There was a rich man who was dressed in purple and fine linen and lived in luxury every day.
"Kulikuwa na mse rich alikuwa anadunga nguo za purple na linen fine na aliishi kwa raha kila daily.
.At his gate was laid a beggar named Lazarus, covered with sores
Kwa gate yake kulikuwa na beggar fulani aliitwa lazarus, mwenye body yake ilifunikwa na vidonda.
.and longing to eat what fell from the rich man's table. Even the dogs came and licked his sores.
Naalitamani kudishi hata tu chenye kilianguka from meza ya sonkwo. Hata dogi zilikuwa zinakam kuramba vidonda zake. Yak!
."The time came when the beggar died and the angels carried him to Abraham's side. The rich man also died and was buried.
"Ile time ikakamu na beggar aka kick na ma angels wakamkamia wakambeba hadi kando ya Abraham. Yule jamaa richpia akadie na akazikwa.
.In hell, where he was in torment, he looked up and saw Abraham far away, with Lazarus by his side.
Huko hell, place alikuwaga aki go through torture, akacheki juu na akaona Abraham huko mbaali, na Lazaro kando yake.
.So he called to him, 'Father Abraham, have pity on me and send Lazarus to dip the tip of his finger in water and cool my tongue, because I am in agony in this fire.'
Kwa hivo aka call out kwake, 'Daddy Abraham, kuwana huruma kwangu jo na utume Lazaro a dip fingertip yake kwa maji akam apoeshe ulimi yangu, ju naumia sana kwa hii nare.'
"But Abraham replied, 'Son, remember that in your lifetime you received your good things, while Lazarus received bad things, but now he is comforted here and you are in agony.
"Lakini Abraham akajibu, "Son, kumbuka tu ile wakati ya life yako ulipokea vitu freshi freshi, lakini Lazaro alikuwaga tu na vitumboff, lakini sasa ako comfortable hapa na wewe unaumia.
And besides all this, between us and you a great chasm has been fixed, so that those who want to go from here to you cannot, nor can anyone cross over from there to us.'
Hatakama tungelenga hiyo stori, kati yetu na wewe kuna mtaro ingine ya nguvu ime fixiwa hapo, hadi hata kama wale wasee wako hapa wanataka kwenda toka hapa hadi kwako hawawezi, na wale wanataka ku cross toka kwako kukam hapa hawawezi.'
."He answered, 'Then I beg you, father, send Lazarus to my father's house,
Akamjibu,'Basi please nakuomba, mbuyu, send Lazaro kwa hao ya mbuyu wangu,
.for I have five brothers. Let him warn them, so that they will not also come to this place of torment.'
Ju nina mabro wa five.Wacha awashow warning, njo pia nao wasikam hapa kwa hii place ya mateso.'
."Abraham replied, 'They have Moses and the Prophets; let them listen to them.'
Abraham akajibu, 'Wako na Mosee na ma prophets; wacha; wacha wawasikilize wao.'
." 'No, father Abraham,' he said, 'but if someone from the dead goes to them, they will repent.'
Sonkwo akadai," ' Zi, mbuyu Abraham,lakini mse akitoka from the dead aishie kwao, wata repent.'